Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like
Nimeona
Nimeona pia
Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂
Congo na motema
Crown ni nyumbani
Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿
Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222
Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤
San@@mogrosso3500
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
@@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa
Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake @@joycekisamo4896
Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿
Likes from East Africa 😂😂😂
Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before
Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako
Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo@@joycekisamo4896
CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉
Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥
All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓
Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music
King ni mmoja tu
Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi
Haongelwi kwa chuki dat why
Sns hawezi kuongolea hahaha
Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba
our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮
Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.
Dj D Ommy bonge la hipe
Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo
Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu
Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂
Even my self I had this question ❓ which Canada are this??
Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??
Only one king in Africa 🥰
Akun kama yeye
King always is king thank you king kiba
THE INTERNATIONAL DJ
Kingkiba salute
Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤
Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa
Dj wa crownfm hyo
@@PendoUrassa-xm7rukwani hatujui au
Ndo dj wake uyo
King ni mmoja
Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz
Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.
King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥
King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Duuuh
Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉
Mfalme wa music 👑👑
Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....
Show amazing king
Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli
King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king
Only one king❤❤👑
I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭
The king himself 🔥🙄🙌
King forever ❤
Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.
King 👑👑👑 y
Bila kumtaja simba bado ssa hapo mond kaja vp
Lia basi😂😂@@salimalaquimane3077
King kiba Atari sana❤
Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada
Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿
King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba
King Kaká we ni kiboko
Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅
Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa
King kiba🔥🔥🔥
King kiba nakubali mtu wa watu ❤
Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍
Anaeijua anajua Tu big up bro🔥
Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow
Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍
Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa
Great vibe🎉
King to the world 🎉
Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana
Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤
Kingkiba tunakukubalii sana
DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu
King 👑 on top
Nakubali sana ❤
Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown
King king🔥🔥🔥🔥
Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage
Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥
Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia
Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu
Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake
É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá
Nani ame ona bendera ya congo❤
Uyo ndio king
Dj d ommy anamjulia king kiba
King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa
Congolese we’re there big up
Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤
Dj d ommy hatariii mno
King🎉🎉
Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪
Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.
Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Wakwanzaaa😂😂
Safii kiba kazi nzur
Tu mérite être le roi
King ni mmoja2
Mashaallah❤❤🎉🎉
Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa
Watu walipigishwa show asubuhi ureno na watu 10 tu😂😂😂
Kiba kiba kiba we ni mfalme 4 ever
Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.
King ❤
Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa
Mfalme wa africa
Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥
Kama huyajui makongodeko usitoe like hapa
Kumbe mziki wetu umefika mbali kama ndio hiv ❤❤nihatari
Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani
safi 🎉
Naiona bendera ya Congo ikipeperushwa
Unamaana hapo ni kongo au
Ninoma Sana 😂😂
DJ d ommy
King Kiba king of east Africa ❤
King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤