JIONEE ALIKIBA ALICHOKIFANYA CANADA, MAELFU WAJITOKEZA.

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.ค. 2024
  • Alikiba

ความคิดเห็น • 348

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 27 วันที่ผ่านมา +96

    Nani ameona bendera ya Congo ikipeperushwa kama mimi apa kama umeona naoma like

    • @officialbwoywalandlord1896
      @officialbwoywalandlord1896 27 วันที่ผ่านมา +2

      Nimeona

    • @alphalungele-479
      @alphalungele-479 27 วันที่ผ่านมา +2

      Nimeona pia

    • @hassantupa
      @hassantupa 27 วันที่ผ่านมา +2

      Ni kwamba hapo yupo m,congo na yeye anawakilisha kwao!😂😂😂

    • @OlivierJustin-wl6dd
      @OlivierJustin-wl6dd 27 วันที่ผ่านมา +2

      Congo na motema
      Crown ni nyumbani

    • @mogrosso3500
      @mogrosso3500 27 วันที่ผ่านมา +1

      Congo ❤❤❤love Tanzania 🇨🇩🇹🇿

  • @AlikibaaCom
    @AlikibaaCom 27 วันที่ผ่านมา +84

    Diamond kafanya show ulaya lakin hakupata vibe ✨ kama hili alikiba ni mtu na watu ❤❤❤ from CANADA 🇨🇦 🤴 👑 king 🤴 umeupiga mwingi sana na wanatakiwa wasanii wa Tanzania wajifunze kutoka kwa alikiba king ni moja 22222

    • @mogrosso3500
      @mogrosso3500 27 วันที่ผ่านมา +2

      Congo Tanzania 🇹🇿 🇨🇩one love ❤❤

    • @SokoroboyNdend-iv1js
      @SokoroboyNdend-iv1js 27 วันที่ผ่านมา

      San​@@mogrosso3500

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 25 วันที่ผ่านมา +1

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

    • @AlikibaaCom
      @AlikibaaCom 23 วันที่ผ่านมา

      @@joycekisamo4896 ni Sawa ila diamond hakupata watu kama hawa

    • @user-ry4cf8ln6l
      @user-ry4cf8ln6l 22 วันที่ผ่านมา

      Elewa kupata vibe hujaambiwa show ilikuwa yake ​@@joycekisamo4896

  • @touches4lifeonlinetv46
    @touches4lifeonlinetv46 27 วันที่ผ่านมา +16

    Mwamba ana watu aisee ,,,watu hawaimbishwi regae Wala Nini Ila vibe lakutosha #saluti king kiba🇰🇪🇹🇿

  • @razakilipwelele5518
    @razakilipwelele5518 27 วันที่ผ่านมา +44

    Likes from East Africa 😂😂😂

  • @MohdAli-fl2ef
    @MohdAli-fl2ef 27 วันที่ผ่านมา +28

    Nilijua dar au Kenya kumbe king yupo abroad wow ever seen before

  • @talibthetruth8709
    @talibthetruth8709 27 วันที่ผ่านมา +20

    Nani alieona king ameheshimu bendera pale alipoiokota akampa mlizi hio ni respect🎉🎉

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 25 วันที่ผ่านมา

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v 27 วันที่ผ่านมา +26

    Mwenyezi mungu azidi kukupa maisha marefu King kiba wewe ni musanii ambae uwaga na nipa furaha sana ya moyo kupitia miziki yako

  • @shabaningaoga164
    @shabaningaoga164 27 วันที่ผ่านมา +43

    Wa kwanza king ni kiboko🔥 likes zote hapa

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 25 วันที่ผ่านมา

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

    • @rajabumkoko3947
      @rajabumkoko3947 25 วันที่ผ่านมา

      Wewe utakuwa umetumwa na diamond kwani kuna mtu kakuuliza acha shobo​@@joycekisamo4896

  • @DambweRama
    @DambweRama 27 วันที่ผ่านมา +35

    CROWN HAPA NI NYUMBANI 👑👑🎉🎉

  • @HenryChristophvtl-md1cz
    @HenryChristophvtl-md1cz 27 วันที่ผ่านมา +36

    Mfalme ni Mfale t aijalishi niwawapi💥💥💥

  • @SuleimanAli-jv3lt
    @SuleimanAli-jv3lt 27 วันที่ผ่านมา +16

    All the way from Zanzibar we love you King 👑 kiba so very much 💓

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 27 วันที่ผ่านมา +5

    Hapa sasa ndio tunaiwakilisha bongo kimataifa kwa mziki wetu kabisa sio kwa ngoma za wasanii wa mataifa mengine au amapiano za South Africa halafu uje useme unaiwakilisha bongo kimataifa,,,,,Tanzania one musician king Alikiba upo kwenye mstari wa muziki wa bongo unaupambania snaaaa mziki bongo kimataifa snaaaa na unapeperusha mziki bongo mbele ya mataifa makubwa snaaa hongera snaaa ,,,,Mfalume wa mziki wa bongo na Tanzania one music

  • @Lebabaz
    @Lebabaz 27 วันที่ผ่านมา +32

    King ni mmoja tu

  • @AmosItawa
    @AmosItawa 27 วันที่ผ่านมา +37

    Lakini unaweza kuta haiongelewi sana huyu ndo King 🤴 bhana alafu hata halingi

    • @talibthetruth8709
      @talibthetruth8709 27 วันที่ผ่านมา +3

      Haongelwi kwa chuki dat why

    • @jumakhamis226
      @jumakhamis226 27 วันที่ผ่านมา +1

      Sns hawezi kuongolea hahaha

  • @saxprince10
    @saxprince10 27 วันที่ผ่านมา +14

    Wa Canada wanaimbishwa Cinderella na wanaitikia bila hata amapiano 🙏 , Alikiba is only one kiba

  • @barakayusuph4617
    @barakayusuph4617 27 วันที่ผ่านมา +14

    our own goat 🐐king kiba🇹🇿🇺🇬🇳🇬🇰🇪🇨🇩🇨🇮🇧🇮

    • @joycekisamo4896
      @joycekisamo4896 25 วันที่ผ่านมา

      Hii ilikua ni siku inayo sherehekewa kila mwaka, inaitwa AFRO-FEST .... hivyo walikuwepo wasanii wengine kama 9 na waafrika wote na watu wengine wote wanakuja na kuangalia BURE. Hivyo sio show ya Alikiba. Hawalipwi, bali kuburudisha tu.

  • @Saki930
    @Saki930 27 วันที่ผ่านมา +9

    Dj D Ommy bonge la hipe

  • @Anwar_khan-
    @Anwar_khan- 26 วันที่ผ่านมา +4

    Asante my brother alikiba wewe kweli ni mfalme wa bongo fleva maana nimepata fuzo kwamba unalazimisha kwamba waelew kuna bongo flava asante kutangaza mziki wa bongo njee ya bongo

  • @Peresi-t1d
    @Peresi-t1d 27 วันที่ผ่านมา +23

    Jaman ivi apa ni canada kweli au mbagara mbona vibe kama bongo tu

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows 27 วันที่ผ่านมา +1

      Mambo ya torontoooooo hayo kjn uamini nn ww, toka hapa na meno yako ya kuungua 😂

    • @belitomanuel6240
      @belitomanuel6240 27 วันที่ผ่านมา +1

      Even my self I had this question ❓ which Canada are this??

    • @abdullahkazungu4025
      @abdullahkazungu4025 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kwani hamuamini kua Canada pia wa East Africa wako?? Au mnahisi niwazungu pekee??

  • @rukiasekulu502
    @rukiasekulu502 24 วันที่ผ่านมา +4

    Only one king in Africa 🥰

  • @Peresi-t1d
    @Peresi-t1d 27 วันที่ผ่านมา +18

    King always is king thank you king kiba

  • @middoTv
    @middoTv 27 วันที่ผ่านมา +17

    THE INTERNATIONAL DJ

  • @omaryluambano3495
    @omaryluambano3495 27 วันที่ผ่านมา +21

    Kingkiba salute

  • @kgchippy
    @kgchippy 27 วันที่ผ่านมา +16

    Kiba 🔥 simple and enjoyment ❤

  • @Murisal
    @Murisal 27 วันที่ผ่านมา +10

    Uyu dj asimwache king 🎉🎉anajuwa

  • @angelojuma7818
    @angelojuma7818 27 วันที่ผ่านมา +20

    King ni mmoja

  • @NemesMasawe
    @NemesMasawe 27 วันที่ผ่านมา +16

    Mzik mzur huwaa unaish vizaz kwa vizaz

  • @user-rx7te2px5d
    @user-rx7te2px5d 27 วันที่ผ่านมา +11

    Mzoefu wa izo issue,kazini.Ni fire.

  • @thomaskombe2430
    @thomaskombe2430 27 วันที่ผ่านมา +11

    King ni mmoja tu..... 🔥🔥🔥🔥

  • @yusrairakoze3966
    @yusrairakoze3966 27 วันที่ผ่านมา +6

    King unajuwaga kunipa raha kweli nakupenda mpaka nahisi baridi❤❤❤❤❤🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @Oficialkb
    @Oficialkb 27 วันที่ผ่านมา +12

    Iyo n asubuy au usiku 😂😂😂😂 king n mjo2 wengine n fek ikipendwa usha pendwa imeisha iyo🎉🎉🎉

  • @Perfect-migomigo
    @Perfect-migomigo 27 วันที่ผ่านมา +11

    Mfalme wa music 👑👑

  • @TiliaAmedeus
    @TiliaAmedeus 27 วันที่ผ่านมา +4

    Aah,uyu king sio wa level hiz, Kings anatisha maana nlivoona nyomi yoote iyo nkajua ni pale dar jangwan,kumbe yuko Canada 🇨🇦,,chaaaaah.....

  • @BoniphaceDonald
    @BoniphaceDonald 27 วันที่ผ่านมา +9

    Show amazing king

  • @ABUBAKARISAIDI-dh7fy
    @ABUBAKARISAIDI-dh7fy 27 วันที่ผ่านมา +24

    Hawa watu wanaomfananisha king 👑 kiba na mwambino wanaptea kweli

  • @alphamanoke6116
    @alphamanoke6116 27 วันที่ผ่านมา +2

    King kiba..salute big up from 🇰🇪 🤴 king will always remain to be king

  • @collinswambani8972
    @collinswambani8972 27 วันที่ผ่านมา +12

    Only one king❤❤👑

  • @CantonaKunona
    @CantonaKunona 27 วันที่ผ่านมา +8

    I can't say anything❤❤🔥🔥🔥🔥😭😭😭

  • @user-hy5le8uk5b
    @user-hy5le8uk5b 27 วันที่ผ่านมา +10

    The king himself 🔥🙄🙌

  • @edwardlesian9318
    @edwardlesian9318 27 วันที่ผ่านมา +12

    King forever ❤

  • @kelvinliheta9769
    @kelvinliheta9769 27 วันที่ผ่านมา +16

    Hapo Ingekuwa Domo ungesikia mbwembwe kibao. Ila king show kimya kimya na uwanja umejaa.

  • @SalinSultan
    @SalinSultan 27 วันที่ผ่านมา +13

    King kiba Atari sana❤

  • @AbdallaMpambika-bp6ub
    @AbdallaMpambika-bp6ub 27 วันที่ผ่านมา +2

    Dah!! Nilizan mwjaku anamsakama mwmbino kumbe kwel jamaa anajiliza sana sasa king kapga show watu wanaimbishw sinderela na wanaimba kama from mbagala kunbe canada

  • @gadafimuemede2985
    @gadafimuemede2985 27 วันที่ผ่านมา +6

    Rei para sempre 🔥🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿

  • @hendricksjohn6201
    @hendricksjohn6201 27 วันที่ผ่านมา +4

    King kiba huna mpinzani Africa nzima sema watu hawakuheshimu kwasabubinaishi Maisha yako ya kawaida wala huringi huna baya mwamba

  • @alvannykiba281
    @alvannykiba281 25 วันที่ผ่านมา +1

    King Kaká we ni kiboko

  • @barakadaprince3742
    @barakadaprince3742 27 วันที่ผ่านมา +10

    Alie sikia mbona umezima mzki gonga like hapa😅

  • @ErickWambura-dv1if
    @ErickWambura-dv1if 26 วันที่ผ่านมา

    Your the only 1 king 🤴💙❤❤❤❤❤❤ brodaa

  • @deusdeditsanga9666
    @deusdeditsanga9666 27 วันที่ผ่านมา +12

    King kiba🔥🔥🔥

  • @Kingjmtv1982
    @Kingjmtv1982 25 วันที่ผ่านมา

    King kiba nakubali mtu wa watu ❤

  • @Muidumbe450
    @Muidumbe450 27 วันที่ผ่านมา +4

    Wewe ndo King kweli❤❤🇲🇿🇲🇿👍👍

  • @idinshazimakashukwe
    @idinshazimakashukwe 26 วันที่ผ่านมา +1

    Anaeijua anajua Tu big up bro🔥

  • @msagatijackson
    @msagatijackson 27 วันที่ผ่านมา +8

    Nikazani anawaimbisha watu wa mbagara kumbe canada aisee so pow

  • @Juliusantipas
    @Juliusantipas 27 วันที่ผ่านมา +2

    Alafu Jana tundaman alisema Kwa kweli alimaanisha japo Kuna wanafki waliopinga nakukereka naamini watakua wamejionea oya sio poa noma sana🔥🔥🔥👍

  • @iddyfourteen9252
    @iddyfourteen9252 27 วันที่ผ่านมา +3

    Mfalmee n mmoja tuuuu ameumiza sanaaaa vibe km yupo mbagala au lupaso kwa mkapa

  • @gibronrugemela853
    @gibronrugemela853 27 วันที่ผ่านมา +5

    Great vibe🎉

  • @user-lk5dz3dx8z
    @user-lk5dz3dx8z 27 วันที่ผ่านมา +6

    King to the world 🎉

  • @pesaspy_tv
    @pesaspy_tv 27 วันที่ผ่านมา +6

    Media ndy kitu kilimchelewesha Alikiba light angafungua mapema basi ilikuwa unyama sana

  • @AmuriUlimwengu
    @AmuriUlimwengu 27 วันที่ผ่านมา +2

    Siyo powa king ni king tuuu❤❤❤❤❤❤

  • @ALLY_K61
    @ALLY_K61 27 วันที่ผ่านมา +22

    Kingkiba tunakukubalii sana

  • @baruthmussamuslim3434
    @baruthmussamuslim3434 26 วันที่ผ่านมา +1

    DJ d.ommy mzee wangu unampatia sana kiba mauwa yako upewemzee wangu maana unapiga ngoma nabado unaamsha vaibu

  • @uredipeter412
    @uredipeter412 26 วันที่ผ่านมา +2

    King 👑 on top

  • @omarymtotela3751
    @omarymtotela3751 27 วันที่ผ่านมา +7

    Nakubali sana ❤

  • @isayamsisika6255
    @isayamsisika6255 27 วันที่ผ่านมา +2

    Wekeni performance nzima ya king basi acha kuzingua Admin wa crown

  • @dinyoabeli9028
    @dinyoabeli9028 27 วันที่ผ่านมา +8

    King king🔥🔥🔥🔥

  • @LameckZakaria-qg9vv
    @LameckZakaria-qg9vv 27 วันที่ผ่านมา +5

    Daimond alisema msanii wetu ajulikani ata Malawi sasa uku canada anasepa na kijiji ujue kiba anakipaji bila shobo na watu anackika anakubalika bila madance anamaliza ktk stage

    • @barakadaprince3742
      @barakadaprince3742 27 วันที่ผ่านมา +1

      Yule mshamba kiba ni noma na nusu👑🔥

    • @user-pk1yl7zt8p
      @user-pk1yl7zt8p 27 วันที่ผ่านมา

      Ww nd mshamba maana ctor Zak unazo yy Hana na songesha unakopa il kumfatilia

    • @LameckZakaria-qg9vv
      @LameckZakaria-qg9vv 27 วันที่ผ่านมา

      Cm na tv zipo why tucwafuatilie au unataka iweje ndugu

  • @swala_master
    @swala_master 27 วันที่ผ่านมา +4

    Huyo ndo kings kiba mwenye crown 👑 yake

  • @IqramNoman-gu3xr
    @IqramNoman-gu3xr 17 วันที่ผ่านมา

    É noma namkubar Ali kiba onde quer que ele vá

  • @joelmuhindo-xe9yj
    @joelmuhindo-xe9yj 27 วันที่ผ่านมา +2

    Nani ame ona bendera ya congo❤

  • @Sampovoice8088
    @Sampovoice8088 27 วันที่ผ่านมา +7

    Uyo ndio king

  • @bakarimajaliwa247
    @bakarimajaliwa247 27 วันที่ผ่านมา +2

    Dj d ommy anamjulia king kiba

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 25 วันที่ผ่านมา

    King tunaomba utuandalie nyimbo nzuri ya Simba day na hiyo mke wa mtu sumu usiisahau Mimi shabiki yako mkubwa

  • @user-cs4nj4yn8d
    @user-cs4nj4yn8d 25 วันที่ผ่านมา

    Congolese we’re there big up

  • @SeifullahSady
    @SeifullahSady 26 วันที่ผ่านมา +1

    Alikb ni mfalme wawatu uyoo ndoo kng nimependzwa na iyo show ya Canada❤

  • @mohamedally4496
    @mohamedally4496 25 วันที่ผ่านมา +1

    Dj d ommy hatariii mno

  • @user-vm4fe3ql5c
    @user-vm4fe3ql5c 27 วันที่ผ่านมา +7

    King🎉🎉

  • @user-um4fk5ls3v
    @user-um4fk5ls3v 27 วันที่ผ่านมา +3

    Pia nakupenda sana kaka yangu ❤❤❤❤❤❤💪

  • @AhjuceAqeeb
    @AhjuceAqeeb 26 วันที่ผ่านมา +1

    Allah akuongoze katika maisha yako bro .akujaalie mwisho mwema na familia yako na wazazi pia Allah awajalie mwisho mwema .....napenda life style yako bro . Niwe mkweli napenda life style ya King , AY na Mr Blue....kiukweli Aina ya maisha yako yananivutia nataman Allah anijaalie kuishi kama wao Inshaallah.

  • @ZinganisaNova
    @ZinganisaNova 27 วันที่ผ่านมา +2

    Alikiba ni moto hatari sana ❤❤❤🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @egbertrwiza9226
    @egbertrwiza9226 27 วันที่ผ่านมา +9

    Wakwanzaaa😂😂

  • @HusseinChai-23
    @HusseinChai-23 20 วันที่ผ่านมา

    Safii kiba kazi nzur

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 27 วันที่ผ่านมา +9

    Tu mérite être le roi

  • @AlexGwambie-xr2hm
    @AlexGwambie-xr2hm 27 วันที่ผ่านมา +5

    King ni mmoja2

  • @user-hu3sc4kg1f
    @user-hu3sc4kg1f 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mashaallah❤❤🎉🎉

  • @GDBOYOFFICIAL
    @GDBOYOFFICIAL 27 วันที่ผ่านมา +4

    Hiii nizaidi 🔥 kiba babaaaa

  • @kelvinliheta9769
    @kelvinliheta9769 27 วันที่ผ่านมา +10

    Watu walipigishwa show asubuhi ureno na watu 10 tu😂😂😂
    Kiba kiba kiba we ni mfalme 4 ever

  • @Igauf3
    @Igauf3 27 วันที่ผ่านมา +1

    Dj d-Ommy did an excellent job ! It was smart for AK to have him on the table.

  • @FaithaAli-cy5nr
    @FaithaAli-cy5nr 27 วันที่ผ่านมา +4

    King ❤

  • @Saki930
    @Saki930 27 วันที่ผ่านมา +4

    Bendera ya Congo 🇨🇩 ipo hapo Sema Aina noma ni East Africa

  • @Brunotarimo10
    @Brunotarimo10 27 วันที่ผ่านมา +12

    Mfalme wa africa

  • @Jipendelee255
    @Jipendelee255 26 วันที่ผ่านมา +1

    Hii Cinderella Hadi goosebumps 🔥🔥

  • @Shokolokobango9385
    @Shokolokobango9385 27 วันที่ผ่านมา +7

    Kama huyajui makongodeko usitoe like hapa

  • @ZinganisaNova
    @ZinganisaNova 27 วันที่ผ่านมา +2

    Kumbe mziki wetu umefika mbali kama ndio hiv ❤❤nihatari

  • @user-en1ci8jk7v
    @user-en1ci8jk7v 26 วันที่ผ่านมา +1

    Mfalm hunatisha sana ❤❤❤❤❤ by Alackson swagg mcongomani

  • @dottombilinyi5979
    @dottombilinyi5979 27 วันที่ผ่านมา +6

    safi 🎉

  • @JojyLuhasa
    @JojyLuhasa 27 วันที่ผ่านมา +3

    Naiona bendera ya Congo ikipeperushwa

    • @MgazaMhina
      @MgazaMhina 27 วันที่ผ่านมา

      Unamaana hapo ni kongo au

  • @JosephMichael-z5y
    @JosephMichael-z5y 27 วันที่ผ่านมา +8

    Ninoma Sana 😂😂

  • @AlmasMbunde-ev2yq
    @AlmasMbunde-ev2yq 27 วันที่ผ่านมา +11

    DJ d ommy

  • @adamhashimu4462
    @adamhashimu4462 26 วันที่ผ่านมา +1

    King Kiba king of east Africa ❤

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 27 วันที่ผ่านมา +1

    King ni moja bada ya hapo ni harmonaiz waooo ❤❤