@@christinamussa6085 Christina huna Cha kunieleza huyu ni Binti wa kiislamu anatakiwa kuhifadhi nywele zake na SI nywele tu kuna mengi tu ,ila ndio Ivo amehafilika na starehe za kiulimwengu ,zaidi Dunia inataka mazingatio kuna siku tutamalizika wote sisi tutarudi Kwa Mola wetu pamoja na wewe , kwaiyo nikufanya yalio Mazuri ,ya kumrizisha ALLah ndio tunakumbushana . 🙏
Siyo shida ni kitu cha kawaida kwa mwanaadamu kuzeeka na kufa kama miti, wanyama pia huzeeka na kufa. Hata wewe pia utazeeka na kufa. Kitu cha kawaida.
Uyu Dada nampenda sanaa ila whozu ni mjinga sana anaekupendea mtoto wako uyo ndo wako
❤❤❤❤ we love to Queen wema
Nakupenda sepetu wangu mmwaaa
Pole sana Dada wema
Hasiye sikia la mkuu uvunjika guuu
Tumia kitambaa kinachoitwa hijjabu Kwa kuhifadhi manywele Yako ayo ,
Unamfundish unamfokea
Sasa hiv kwelii wewe unaona huna dhambi
@@christinamussa6085 Christina huna Cha kunieleza huyu ni Binti wa kiislamu anatakiwa kuhifadhi nywele zake na SI nywele tu kuna mengi tu ,ila ndio Ivo amehafilika na starehe za kiulimwengu ,zaidi Dunia inataka mazingatio kuna siku tutamalizika wote sisi tutarudi Kwa Mola wetu pamoja na wewe , kwaiyo nikufanya yalio Mazuri ,ya kumrizisha ALLah ndio tunakumbushana . 🙏
Heee🤣 mwanaume kisirani
@@justme5876 wanajisahau sana kwaiyo kuwakumbusha
Umezeeka dada
Siyo shida ni kitu cha kawaida kwa mwanaadamu kuzeeka na kufa kama miti, wanyama pia huzeeka na kufa. Hata wewe pia utazeeka na kufa. Kitu cha kawaida.
Mashaallah Wema Supetu unainawirisha Tanzania ❤ Hakuna kama wewe wapuuze wajiga na Commments zao.
Hata wewe pia hutobaki hivo,pesa inaongea wewe naumasiki wako kwanza utazeka vibaya
❤❤❤❤❤
huu anafamya kazi gani
Kwahivyo hakuna chimama na chibaba tena?
Jmn
Mhhh kazeeka kweli