Yaani hao wanaomsema diamond wivu tu unawanyevua nyevua badala ya kutafuta hela wamekaa kuumia tu dhidi ya maisha ya zuchu na diamond waambie waache roho mbaya
Jamani ndo hayo anoyasema huyu mama watanzania tunakwamia wapi? Mimi mwenyewe nina dada zangu wa baba mmoja wakati mimi nimezaliwa siku moja na mwanangu yaani dada angu wa baba mmoja anajifungua mtoto wa kwanza na mimi nazaliwa na mama angu ni mke wa pili wa baba na aliowa mke wapili ambae ni sawa na mwanawe wa kwanza wa huyo ni mama angu, kwa maana nina umri sawa na mtoto wa dadaangu wa baba mmoja so ananiita mama mdogo na nina wadogo zangu ambao wao ni wajomba nahuyo mjomba ni mkubwa kiumri kuliko wao
😂😂😂😂😂😂😂 mbona waongea tu kimenyookaa nivipi tena aunt 😅😅😅😅 landan ni kwa bibi ako kila mtu eti nitakubeba landani. Sium bebe Mzee Abdul aendee kushangaa kidogo
Watangazaji wa Tanzania apo ndo wanafeli sana ivi kweli mutu yoyote anaeishi ulaya maneno yoyote ya ulaya anayajua ulaya ni kubwa sana unaemuliza ya yeye hizo story kwenye mutandao kama wewe mutangazaji 😂
@@margarethsaramaki3966 kwani London ni nini wacha kushoboka na London ila sio shida zangu ni shida kuzaliwa masikni kusikia mutu yuko London unatetemeka kwa sababu umasikini wewe ulizaliwa Africa na ujawai kufika ulaya yoyote ndiomaana unatetemeka
Yaani hao wanaomsema diamond wivu tu unawanyevua nyevua badala ya kutafuta hela wamekaa kuumia tu dhidi ya maisha ya zuchu na diamond waambie waache roho mbaya
Acha uongo mama ww km zuchu ana sauti nzuri kwahiyo rubi,maua sama na lady jd umewaacha wap ana sauti nzuri kwako cyo kwa watanzania wote
Mbona unaonekana una umri sawa na Mzee Abdul, inakuwaje unamwita Mzee Abdul baba wakati mnalingana umri, lngependeza ukimwita kaka
Tena ana miaka 5 zaidi ya mzee Abdul
Jamani ndo hayo anoyasema huyu mama watanzania tunakwamia wapi?
Mimi mwenyewe nina dada zangu wa baba mmoja wakati mimi nimezaliwa siku moja na mwanangu yaani dada angu wa baba mmoja anajifungua mtoto wa kwanza na mimi nazaliwa na mama angu ni mke wa pili wa baba na aliowa mke wapili ambae ni sawa na mwanawe wa kwanza wa huyo ni mama angu, kwa maana nina umri sawa na mtoto wa dadaangu wa baba mmoja so ananiita mama mdogo na nina wadogo zangu ambao wao ni wajomba nahuyo mjomba ni mkubwa kiumri kuliko wao
😅😅😅😅
Kafanywa bwana unashahidi gan km Ali escape toka uko mchukue uko London unamwambia nana sasa au tukusaidie nn
Sasa uyu dada mmmh atar alisema mwenyewe yaliyofanyika ayafai kupostiwa 😂😂😂😂😂😂
Jambo Wandugu jameni shangazi wétu hiyo unayo isema nikweli uwaambie wanasema mengi kwamaneno ya Daimonde wanamtesa kumusema waashe kusemwa uongo juyanini kumupatisha haya ndugu Yao mtanzania kwa ngambo ya Zuchu wali mwambia wanataka bibiwa pDidi Zuchu kasirikia mashabiki
Kwahiyo Diamond na mwenzie walikataa kwenda kuangalia movie kwenye cinema ya Diddy? Ebu tupe evidence kama kweli walikataa na kukimbia
Huyo Ndugu yako Ni panchari Johnson and Johnson Oil ni kiboko yao walipakwa na P Diddy😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂 mbona waongea tu kimenyookaa nivipi tena aunt 😅😅😅😅 landan ni kwa bibi ako kila mtu eti nitakubeba landani. Sium bebe Mzee Abdul aendee kushangaa kidogo
😂😂😂 mjinga wewe umejua kunichekesha nimeshasikia mara nyingi nimemsikia akisema nitambeba nimpeleke London😂😂😂
Mondi aseme ukweli tu? Je yaliomo yamo
Kwani diamond alivyohojiwa alisemaje
Ww ndio unamtagaza ss
PTV mmmmmm.
Kiswahili kimenyooka... Sasa hiyo accent vipi??
Lazima awe na accent hiyo sababu anekulia uigereza, mausha yake yote mpaka anakuwa mtu mzima.
Mzee Abdul atakuwa kafurahi sana make huwa anamuongelea sana Zubeda@@rahmaabubakar3932
Watangazaji wa Tanzania apo ndo wanafeli sana ivi kweli mutu yoyote anaeishi ulaya maneno yoyote ya ulaya anayajua ulaya ni kubwa sana unaemuliza ya yeye hizo story kwenye mutandao kama wewe mutangazaji 😂
Mondi apewe adhabu ya kuruka ruka kichura chura mara 10 basi
Hahaha
Simple apimwe malinda
Sengere tuu hiooo wewe mwenyewee msengee.malayaa suguuu weeewe una forward England.
Wanazeekea ulaya kwa sababu ya umalay na majigambo ya kuishi ulaya 😂😂😂
Unamtukana vp huyu dada kakukosea nini? Wakati maisha yake ni London ebu acha ujinga wa matusi
@@margarethsaramaki3966 kwani London ni nini wacha kushoboka na London ila sio shida zangu ni shida kuzaliwa masikni kusikia mutu yuko London unatetemeka kwa sababu umasikini wewe ulizaliwa Africa na ujawai kufika ulaya yoyote ndiomaana unatetemeka