HOFU YATANDA , VIONGOZI WA CHADEMA TEMEKE HAWAJULIKANI WALIPO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 46

  • @mathayomwashambwa1238
    @mathayomwashambwa1238 2 หลายเดือนก่อน +3

    Uchaguzi huenda ukawa mbaya kuliko wakati wa kupitishwa bila kupingwa....kumeanza kuchangamka mmm! Ugali mbaya sana

  • @hamisimuhunzi7916
    @hamisimuhunzi7916 2 หลายเดือนก่อน +4

    poleni sana makamanda

  • @acariusamos6228
    @acariusamos6228 2 หลายเดือนก่อน +2

    Pole sana makamanda people's

  • @duniakidogo8516
    @duniakidogo8516 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wapo wale wa CCM waliosema kama wapo watu 6:29 wanaomkosoa mama watapotezwa. Ànzeni nao hao

  • @Abdul-oc1ul
    @Abdul-oc1ul 2 หลายเดือนก่อน +3

    Kwn polisi wako mitaani nyongeni na familia zao

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 หลายเดือนก่อน +2

    POLENI SANA MAKAMANDA, TUPAZE KELELE

  • @jescageorge-fv8yt
    @jescageorge-fv8yt 2 หลายเดือนก่อน

    Polen sana mkamanda

  • @AlfredMatemu
    @AlfredMatemu 2 หลายเดือนก่อน +2

    Wanaosema maigizo siku wakitekwa watayaona hayo maaigizo

  • @TomasiklistophaMwinuka
    @TomasiklistophaMwinuka 2 หลายเดือนก่อน +1

    Poleni sana makamanda wetu

  • @Uhuru1234
    @Uhuru1234 2 หลายเดือนก่อน +3

    Polisi wanashida gani nchi hii jamani?

  • @sagandamalechampullo659
    @sagandamalechampullo659 2 หลายเดือนก่อน +1

    CCM WANESHA SEMA JESHI LA POLISI WASIWAINGILIE WAKIANZA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA,

  • @jumakisailo8496
    @jumakisailo8496 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani serikali ya ccm hivi kwanini Kila ikifika uchaguzi Hali inakuwa hivi tatizo ni nini..!!? Tuseme ni uwoga wa kupoteza madaraka au kuna nini hasa..? Jamani sisi wananchi tumechoka na haya matukio yanayoibuka Kila uchaguzi unapofika. Hofu inatanda kwa sisi wananchi na kibaya zaidi serikali ya ccm na jeshi letu la polisi wanakuwa kimya hawasemi chochote . Binafsi nakerwa sana na haya matukio ila sina jinsi kwa vile mimi ni mnyonge. Ewe mwenyeeZimungu sikia kilio chetu sisi wanyonge na ufanye kitu kwa hawa wanaofanya matukio wananchi tuwe na Amani.

  • @elbaricktv1632
    @elbaricktv1632 2 หลายเดือนก่อน

    Serikali hii Haina tofaut na Ile nyingine

  • @raymondnlelwa427
    @raymondnlelwa427 2 หลายเดือนก่อน

    Hivi polisi wameishiwa mbinu kabisa kupambana na uhalifu hadi wanateka watu na kuwapoteza. Warudisheni hao watu mliowateka vinginevyo Mungu anakwenda kuwaharibu muda mfupi ujao. Nawatahadharisha kwamba mnaenda kuharibiwa kwa aibu na mtakiri kwa ulimi wenu kuwa ninyi ndo wapotezaji wakubwa wa watu nchi hii. Ninyi mtakuwa kama mashetani sasa!!!

  • @mariaanthoniangowi9376
    @mariaanthoniangowi9376 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kaka hizo no mbina za kutisha Wana chama semi na Wananchi Kwa ujumla Ili waogope nawashindwe kupitia kura. Lakini nose me tu, serekali ya Samia inatisja kilo última na ubiko

    • @raymondnlelwa427
      @raymondnlelwa427 2 หลายเดือนก่อน

      Andika ujumbe vizuri basiii

  • @JekobuNgwara
    @JekobuNgwara 2 หลายเดือนก่อน

    Jamani tuwatafute izilaeli

  • @EliaHiluka
    @EliaHiluka 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nini kifanyike kama wanaotekwa ni wapinzani tu kwanini ccm hawatekwi

  • @JacksonMartin-pb2vq
    @JacksonMartin-pb2vq 2 หลายเดือนก่อน

    Sasa brother mbona ujasema kama mlienda polisi kuuliza wewe unakimbilia kutoa taarifa sasa wametekwa wakati unajua walipo

  • @estachengula3902
    @estachengula3902 2 หลายเดือนก่อน

    Raisi tusaidie tunaishi kwa hofu sana wewe mkuu wetu Samia tunakuomba haya yasitoke

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 2 หลายเดือนก่อน

      Mama hana msaada maana keshawaambia Majeshi wajipange na Uchaguzi wa Mwakani kwa hio wamekusudia vibaya

  • @ThomasAlute
    @ThomasAlute 2 หลายเดือนก่อน

    Mkuu wa polisi wa Tanzania ni shida yaani hafanyi kazi yake kwa weledi

  • @EmanueliWildausoni
    @EmanueliWildausoni 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mnaosema ni maigizo nawaona ni machiz kwenye ziara ya makonda hamjaona mamia ya watu watu wametekwa subirn yawakute hv yule jamaa wacc aliyesema wakiwapotza wasiwatafute mbona haulizwi??

  • @Ibrahim-ne3in
    @Ibrahim-ne3in 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie jiteken tu hakuna shida

  • @maryhando227
    @maryhando227 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie mtaogea mpaka lini chukueni hatua.

  • @SaidAlly-uh4qw
    @SaidAlly-uh4qw 2 หลายเดือนก่อน

    Acheni drama za kitoto hizo

  • @josephmakutano7067
    @josephmakutano7067 2 หลายเดือนก่อน

    Watz tubadrike tuache uoga nchihii niyetusote hakunamwenyehatimiliki, mapolisi watz nimakada waccm wanakula sahanimoja namafisadi wanchihii

    • @EzekiaMtwale
      @EzekiaMtwale 2 หลายเดือนก่อน

      Alafu wapo wasiojitambua wanasema eti wanajiteka?! iv mtu anaweza jiteka na kujipiga Risasi?! mtu kama hujatekewa huwez jua uzito wake!

  • @yonassngonye3759
    @yonassngonye3759 2 หลายเดือนก่อน

    Unondolism wa Chadema unaendelea

  • @HASSANWAZIRIGAO
    @HASSANWAZIRIGAO 2 หลายเดือนก่อน

    Kwanza Temeke Hakuna Ngome ya Chadema Kule Nguvu ni Cuf ndio Mpinzani Mkuu wa Ccm hata Mkutano hamjai Acheni Uongo

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 2 หลายเดือนก่อน

      Acha ujinga wewe watu yupo serious we unaendekeza uchawa na njaa yako. Hovyo kabsa

    • @zuchuNosha
      @zuchuNosha 2 หลายเดือนก่อน +1

      We mbwa mwitu Marajó ya Bibi yako why unaongea upuuzi kwani kutweka watu Kila siku we huvisikiii? Acha ujinga wako hii watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu.au ingekutachi pindi babá yako ema mama nahisi ungeamini kwamba hivi tendo vipo

    • @MawazoKitumbo
      @MawazoKitumbo 2 หลายเดือนก่อน +1

      Mbwa wewe ndoo mnahalibu nch

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 2 หลายเดือนก่อน

    Nyiechadima tumechoka nacelles kelelembakalini

    • @marcokaroje8980
      @marcokaroje8980 2 หลายเดือนก่อน

      Wewe Mhehe kama angelikuwa ndugu yako au mwanachama wenu mbona nchi haikaliki jamani muwe na hofu ya Mungu kwa nini lakini hamjiamini shida uroho wa madaraka mmeshajua kutupiga sasa mnafikiri wakipata nafasi za uongozi watalipiza visasi na kufilisiwa huu ni ubinafsi kwelikweli

    • @zuchuNosha
      @zuchuNosha 2 หลายเดือนก่อน

      We mbwa mwitu IPO siku atatekwa babá yako au mama yako we Kila siku watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu afu wewe, unaongea upuuzi kama huna chá kukoment kaa kimyaa chizi wewe

  • @maryhando227
    @maryhando227 2 หลายเดือนก่อน

    Nyie itisheni maandamano nyie mtatekwa yote.

  • @JeradiMaulidi
    @JeradiMaulidi 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hivihinitazania au

  • @MohammedAwadh-gq9si
    @MohammedAwadh-gq9si 2 หลายเดือนก่อน

    Mjue kuna shida chadema,mjitafakari IMA mnauhalifu na mnajificha kwenye chama,

  • @malikidaudi2517
    @malikidaudi2517 2 หลายเดือนก่อน

    KAMA NI MHALIFU KWA NINI ASIKAMATWE ETI NI KIONGOZI WA CHADEMA ASIKAMATWE HATA KAMA NI MHALIFU NYIE MNATAKA KICK TUUU KWA WANANCHI ILI MHURUMIWE MPEWE KURA

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji 2 หลายเดือนก่อน

    CHADEMA TENA WAKO KWENYE MAIGIZO FILAMU INAENDELEA MPAKA 2030😢😢😢😢😢

    • @kazimilykulwa2516
      @kazimilykulwa2516 2 หลายเดือนก่อน

      Nimaigizo sivyo hongera sana

    • @daudimchileg307
      @daudimchileg307 2 หลายเดือนก่อน +1

      Kwamba wamejificha au, mbona kama nawe ndio hamna.

    • @NasraHaruna-e3h
      @NasraHaruna-e3h 2 หลายเดือนก่อน

      Hamna kitu hapo boss​@@daudimchileg307

    • @abdallaahabdallaahibrahim6719
      @abdallaahabdallaahibrahim6719 2 หลายเดือนก่อน +2

      Yakimkuta mmoja wa familia yako useme hivyo hivyo

    • @zebedayokatamaduni9676
      @zebedayokatamaduni9676 2 หลายเดือนก่อน

      Sawa ni maigizo
      Mungu atajibu