Jamani serikali ya ccm hivi kwanini Kila ikifika uchaguzi Hali inakuwa hivi tatizo ni nini..!!? Tuseme ni uwoga wa kupoteza madaraka au kuna nini hasa..? Jamani sisi wananchi tumechoka na haya matukio yanayoibuka Kila uchaguzi unapofika. Hofu inatanda kwa sisi wananchi na kibaya zaidi serikali ya ccm na jeshi letu la polisi wanakuwa kimya hawasemi chochote . Binafsi nakerwa sana na haya matukio ila sina jinsi kwa vile mimi ni mnyonge. Ewe mwenyeeZimungu sikia kilio chetu sisi wanyonge na ufanye kitu kwa hawa wanaofanya matukio wananchi tuwe na Amani.
Hivi polisi wameishiwa mbinu kabisa kupambana na uhalifu hadi wanateka watu na kuwapoteza. Warudisheni hao watu mliowateka vinginevyo Mungu anakwenda kuwaharibu muda mfupi ujao. Nawatahadharisha kwamba mnaenda kuharibiwa kwa aibu na mtakiri kwa ulimi wenu kuwa ninyi ndo wapotezaji wakubwa wa watu nchi hii. Ninyi mtakuwa kama mashetani sasa!!!
Kaka hizo no mbina za kutisha Wana chama semi na Wananchi Kwa ujumla Ili waogope nawashindwe kupitia kura. Lakini nose me tu, serekali ya Samia inatisja kilo última na ubiko
Nyie mnaosema ni maigizo nawaona ni machiz kwenye ziara ya makonda hamjaona mamia ya watu watu wametekwa subirn yawakute hv yule jamaa wacc aliyesema wakiwapotza wasiwatafute mbona haulizwi??
We mbwa mwitu Marajó ya Bibi yako why unaongea upuuzi kwani kutweka watu Kila siku we huvisikiii? Acha ujinga wako hii watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu.au ingekutachi pindi babá yako ema mama nahisi ungeamini kwamba hivi tendo vipo
Wewe Mhehe kama angelikuwa ndugu yako au mwanachama wenu mbona nchi haikaliki jamani muwe na hofu ya Mungu kwa nini lakini hamjiamini shida uroho wa madaraka mmeshajua kutupiga sasa mnafikiri wakipata nafasi za uongozi watalipiza visasi na kufilisiwa huu ni ubinafsi kwelikweli
We mbwa mwitu IPO siku atatekwa babá yako au mama yako we Kila siku watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu afu wewe, unaongea upuuzi kama huna chá kukoment kaa kimyaa chizi wewe
KAMA NI MHALIFU KWA NINI ASIKAMATWE ETI NI KIONGOZI WA CHADEMA ASIKAMATWE HATA KAMA NI MHALIFU NYIE MNATAKA KICK TUUU KWA WANANCHI ILI MHURUMIWE MPEWE KURA
Uchaguzi huenda ukawa mbaya kuliko wakati wa kupitishwa bila kupingwa....kumeanza kuchangamka mmm! Ugali mbaya sana
poleni sana makamanda
Pole sana makamanda people's
Wapo wale wa CCM waliosema kama wapo watu 6:29 wanaomkosoa mama watapotezwa. Ànzeni nao hao
Kwn polisi wako mitaani nyongeni na familia zao
POLENI SANA MAKAMANDA, TUPAZE KELELE
Polen sana mkamanda
Wanaosema maigizo siku wakitekwa watayaona hayo maaigizo
Poleni sana makamanda wetu
Polisi wanashida gani nchi hii jamani?
CCM WANESHA SEMA JESHI LA POLISI WASIWAINGILIE WAKIANZA KUWAKAMATA NA KUWAPOTEZA,
Jamani serikali ya ccm hivi kwanini Kila ikifika uchaguzi Hali inakuwa hivi tatizo ni nini..!!? Tuseme ni uwoga wa kupoteza madaraka au kuna nini hasa..? Jamani sisi wananchi tumechoka na haya matukio yanayoibuka Kila uchaguzi unapofika. Hofu inatanda kwa sisi wananchi na kibaya zaidi serikali ya ccm na jeshi letu la polisi wanakuwa kimya hawasemi chochote . Binafsi nakerwa sana na haya matukio ila sina jinsi kwa vile mimi ni mnyonge. Ewe mwenyeeZimungu sikia kilio chetu sisi wanyonge na ufanye kitu kwa hawa wanaofanya matukio wananchi tuwe na Amani.
Serikali hii Haina tofaut na Ile nyingine
Hivi polisi wameishiwa mbinu kabisa kupambana na uhalifu hadi wanateka watu na kuwapoteza. Warudisheni hao watu mliowateka vinginevyo Mungu anakwenda kuwaharibu muda mfupi ujao. Nawatahadharisha kwamba mnaenda kuharibiwa kwa aibu na mtakiri kwa ulimi wenu kuwa ninyi ndo wapotezaji wakubwa wa watu nchi hii. Ninyi mtakuwa kama mashetani sasa!!!
Kaka hizo no mbina za kutisha Wana chama semi na Wananchi Kwa ujumla Ili waogope nawashindwe kupitia kura. Lakini nose me tu, serekali ya Samia inatisja kilo última na ubiko
Andika ujumbe vizuri basiii
Jamani tuwatafute izilaeli
Nini kifanyike kama wanaotekwa ni wapinzani tu kwanini ccm hawatekwi
Sasa brother mbona ujasema kama mlienda polisi kuuliza wewe unakimbilia kutoa taarifa sasa wametekwa wakati unajua walipo
Raisi tusaidie tunaishi kwa hofu sana wewe mkuu wetu Samia tunakuomba haya yasitoke
Mama hana msaada maana keshawaambia Majeshi wajipange na Uchaguzi wa Mwakani kwa hio wamekusudia vibaya
Mkuu wa polisi wa Tanzania ni shida yaani hafanyi kazi yake kwa weledi
Nyie mnaosema ni maigizo nawaona ni machiz kwenye ziara ya makonda hamjaona mamia ya watu watu wametekwa subirn yawakute hv yule jamaa wacc aliyesema wakiwapotza wasiwatafute mbona haulizwi??
Nyie jiteken tu hakuna shida
Nyie mtaogea mpaka lini chukueni hatua.
Acheni drama za kitoto hizo
Watz tubadrike tuache uoga nchihii niyetusote hakunamwenyehatimiliki, mapolisi watz nimakada waccm wanakula sahanimoja namafisadi wanchihii
Alafu wapo wasiojitambua wanasema eti wanajiteka?! iv mtu anaweza jiteka na kujipiga Risasi?! mtu kama hujatekewa huwez jua uzito wake!
Unondolism wa Chadema unaendelea
Kwanza Temeke Hakuna Ngome ya Chadema Kule Nguvu ni Cuf ndio Mpinzani Mkuu wa Ccm hata Mkutano hamjai Acheni Uongo
Acha ujinga wewe watu yupo serious we unaendekeza uchawa na njaa yako. Hovyo kabsa
We mbwa mwitu Marajó ya Bibi yako why unaongea upuuzi kwani kutweka watu Kila siku we huvisikiii? Acha ujinga wako hii watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu.au ingekutachi pindi babá yako ema mama nahisi ungeamini kwamba hivi tendo vipo
Mbwa wewe ndoo mnahalibu nch
Nyiechadima tumechoka nacelles kelelembakalini
Wewe Mhehe kama angelikuwa ndugu yako au mwanachama wenu mbona nchi haikaliki jamani muwe na hofu ya Mungu kwa nini lakini hamjiamini shida uroho wa madaraka mmeshajua kutupiga sasa mnafikiri wakipata nafasi za uongozi watalipiza visasi na kufilisiwa huu ni ubinafsi kwelikweli
We mbwa mwitu IPO siku atatekwa babá yako au mama yako we Kila siku watu wanatekwa tekwa ovyo ovyo tu afu wewe, unaongea upuuzi kama huna chá kukoment kaa kimyaa chizi wewe
Nyie itisheni maandamano nyie mtatekwa yote.
Hivihinitazania au
Mjue kuna shida chadema,mjitafakari IMA mnauhalifu na mnajificha kwenye chama,
KAMA NI MHALIFU KWA NINI ASIKAMATWE ETI NI KIONGOZI WA CHADEMA ASIKAMATWE HATA KAMA NI MHALIFU NYIE MNATAKA KICK TUUU KWA WANANCHI ILI MHURUMIWE MPEWE KURA
CHADEMA TENA WAKO KWENYE MAIGIZO FILAMU INAENDELEA MPAKA 2030😢😢😢😢😢
Nimaigizo sivyo hongera sana
Kwamba wamejificha au, mbona kama nawe ndio hamna.
Hamna kitu hapo boss@@daudimchileg307
Yakimkuta mmoja wa familia yako useme hivyo hivyo
Sawa ni maigizo
Mungu atajibu