sauti ya andunje,,, haijakaa sawa, n laini sana na haisikiki vizuri,, mjitahidi kuboresha na kuacha kutumia uzoefu sababu tunawafahamu. mtu mgeni kwenu anaweza asielewe mantiki ya mchezo kupitia sauti ya andunje,,, l;abda picha tu. wenzangu mnaonaje hapo?
joti nazani nimda sasa wakuandaa sears yakila wik kama mark angel wako na care taker sears na house keeper sears nazani vilichangiya sana kuwap follows dunian your a fun guy and so talented tuburudishe basi
Joti never disappoints..., from kenya mad love
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆
Yeah joti is the best from 🇹🇿
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
Bamdogo nataka nikwambie kitu...enhhhh..."Babu jinga inama ufikiri mali yako inaliwaaa, mali yako inaliwaaaa...🤣😂
Umeijuaje hyo nyimbo, naijua iyo bamdogo....Maake apo kwanza nchekeeee😁😁
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
Jot umenipa rahaaa sana nilikua cnamud yakaz apa ngoja nilisongeshe , nawapenda nawapenda nawapenda teeena jooot mimawewe milele
Muondoa stress zetu Leo kweli mapema!!!!
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
😂😂😂😂😂eti Ka Deal na Mama Mdogo Alafu Kamlie Cha Mkongo 😂😂😂😂
Best comedian in my heart ❤
Safi broo unajuaaa sana
Joti hajawahi kushindwa daah... Jamaa anaweza mnoooooo🤣🤣🤣
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
🤣🤣🤣kila siku huwa nasubiri huyu mwamba atakuja kwa staili gani.👏🙏kwa kuanza siku vizuri Andunje
Kila Ijumaa kifungua kinywa changu ni joti😂😂
@@MalJr01 Ukiamka baada ya kuwasha moto unawasha data 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kkkkkkkkkk katoto kambeya haki anduje we ni number one kuhusu ili swala la comédie ww ni Simba 👌♥️💕💓💗mwanangu
Ongera sana Big JOTI naku kubali sana toka Drc 🇨🇩🇨🇩
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆👆👆
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
🤣🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆🤸🤸🤸
Joti umeshindikana Mana tunasahau had madeni ya vicoba, huhuhuhuhu
😆🤣🤣🤣😂
Aiseeee. Ivi mi ndo nimechelewa ivi kweliii jamaniii 😳😳😳😳
😂😂😂😂😂 joti kaka ww ni noma ww ni living legend wa comedy bro respect kazi imeenda shule
😂😂😂Tuliorudia kuangalia tujuane kazi anayo
🤣🤣🤣
Noumaaaa sanaaa , joti kitombangile🤣🤣🤣🤣🤣
Mikazo
Miguno
Anaitwa Nishai Kitombangile kitwango 😂😂😂😀
Jot nakupenda bule hauna kaz mbovu mungu azid kukubarik hakuna kam we😂😂😂
😆😆😆😆😆😆 wew joti ni mwehu kabisaaaaa
Andunje hufai
Joti uki-act kama andunje uwa unatisha Sana, SEMA wewe mwamba unajua Hadi unakera😂😂💯
King of commed Tanzania 🇹🇿 ukibish usilike
Joti mashauri cku umweke mkwere kwenye moja ya clip zako mtatosha mnoo.. mna chemistry zinaendana
Kweli
Kazi nzuri Kaka Mung akutunze Na Ukarahisishie Kila Jema
Joti unafit kila sehem kama mtoto babu kijana mzee hiyo ni baraka mshukuru Allah
Jikoni ayupo ndani ayupo yuko wap.izi ambakati atapigwa nani sasa joti wee atali🤣🤣🤣
Waoooh nimewah kidog wa 25
Watu wa mungu hamlali et
"Chakufanya saivi kadili na mamdogo alaf mnunulie na mkongo " hahah joti bana
sauti ya andunje,,, haijakaa sawa, n laini sana na haisikiki vizuri,, mjitahidi kuboresha na kuacha kutumia uzoefu sababu tunawafahamu. mtu mgeni kwenu anaweza asielewe mantiki ya mchezo kupitia sauti ya andunje,,, l;abda picha tu. wenzangu mnaonaje hapo?
Umesomeka kaka jitihada zitafanyika,barikiwa🙏
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
🤣🤣🤣🤣👆👆👆👆👆🤸🤸
Hahahaha kkkkkkkkkkkkk nakufa mimi Maboga weee mbuzi sana kwa kweli nasheka hadi mbavu zinakatila
We cha kufanya kadili na mamdogo af mlie cha mkongo😂😂😂
Leo n mm nimewahi jmn navyopenda kazi za joti
joti nakpenda bure mungu akuzdishie uhai mrefu
Tumempokea mjomba🤣🤣🤣🤣🤣🤣amekurubuni si umekubali lakini🤣🤣🤣🤣🤣
Mjomba kaja tena😂😂😂😂😂 joti
Ata Ivo una shati kama hili😃😃
Eti mali yako inaliwa 😂😂😂😂 joti your awesome 😀😀
Joti umeiteka nchi tasnia yA uchekeshaji 👊👊👊 saivi ni non stop one week unashusha video 💥💥💥💥💥
Mtoto mbea huyu apo kwenye shuz mimi hoi🤣🤣🤣 Ila joti wewe only one comedy
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
👆👆👆👆👆🤣🤣🤣🤣🤣
😄😄😄😂 JOTO Eeeh eti cha MKONGO.😄😄 This is Talented.🫶🏻
Kwahyo mama yako anakwambia umepumua unakataa ina maan nimepumua mimi? 😂😂😂😂 Mwamba katisha
Mbona hayupo 😃😃😃😃joti bana
Sema huyo mwamba kipande Angeua , so funny
Nakukubalo Sanaa chief of all comedians
joti nazani nimda sasa wakuandaa sears yakila wik kama
mark angel wako na care taker sears na house keeper sears nazani vilichangiya sana kuwap follows dunian
your a fun guy and so talented tuburudishe basi
Brother mmetisha sana naomba sapoti brother napenda sana comedy
From brazuka, joti, is best comedians, welcome my favorite jot
mwambaaaaaaa nakubali sn
🤣🤣🤣 Andunje kiboko ety Amba Kati inahusika😂😂👏
Wa ukae 💥💥
Well done team Joti 👏 👍 🙌 👌 you are the best
Nakukubali joti nikiwa na mawazo Huwa yanaisha
Nitafute Kijana
Akiriyako unaifahamu wemwenyew kbs love from bujumbura kamenge
Wewe jamaa:,-):💯💯💯💯
Hii ni kali katika kali zote ....big up sana joti
Watu wamekesha kumsubiria Aziz kii wakaona waunganishe na kwa joti
Mtoto km wew kwangu usingekaaa😂😂🤣 yan akamlie na cha mkongo tn😂
Waishirn leo nipn ht like 2
Nakupenda sana joti yaan unatakiwa unikatie bima Maan mbavu zangu zikivunjika sijui
Hhhh joti hatar Fire
Joti ww acha ukorofi eti kadil na mama mdgo hlf mpe cha mkongo yaan ukipat mtto kam joti unaumbuka mchan kweup🤣🤣🤣🤣
Hoi masela njooni ulaya nyinyi
✊🏿🇺🇸
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
👆👆👆👆🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Daaahhhh joti Fundiiii Ataendelea kula za adi
Wa tatu kukomenti😅
Kadili na mamdogo alafu kamlie na Cha mkongo duuuh ama kweli uyu mtt atauwa mtu
Kadili na mamdogo halafu mlie cha mkongo 😀😀😀
Leo mapemaaa❤️❤️❤️❤️
Andunje una akili mbovu una akili mbovu unanunua mknda mbovu Kama huu😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Jamani we noma unajua
uwii joti uko vizuri 🤣🤣🤣🥰🥰🥰
Ka deal na Ma mdogo, halaufu umkalie cha mkongo, aisee joti nomaa
Good work bro
Paapaa leo kazi anayoo😮💨😂😂🤣🤣🤣🤣
Saut kidg aijakaa pw inaitaj marekebisho kdg
Yn andunje kamchachafya mama ake balaa uyu mama akirudia yy mwanamke nganganga jot et uyooo kamuona😂😂😂💔
Joti: Sasa hiyo uppercut anapigwa nani sasa??😂😂😂😂😂😂
hahahahaaaaaa mapema leo.... joti mubaya
Huwez Amini nmesimama barabarani hadi imeisha🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌
Kazi anayo😂😂
Jamaa kayakanyaga .. shuhuda mwenyewe andunjee😅🤣🤣🤣
Nakubali sanaa
Safi sana andunje
Eti nimeona miguuu jinga kweli
Deal na na na mdogo afu mnunulie cha mkongo🤣🤣🤣
Uckae karibu n andunje mjomba atkuhribia CV yko bureee
Andunje Mungu akuweke
Hahahaha kazi ipo kazi ipo
Jot umetisha
Much improved video/audio quality. Well done Joti.
Big up bro
Hongera
wallah nimecheka looh 😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣 joti joti joti wewe ni Mzee majuto junior 🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌
Joti....💞💞💞💞
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
th-cam.com/video/vlVJQzbIEtc/w-d-xo.html
Mmmh 😂😂😂😂😂😂
Kashika Tumbo
Andujeeeeee Bala Sanaaaaa 😀😀😀😀😀😀😀😀
Nilikumisi sana Samia
Asnte sana ANDUNJE kwa kunisababishia kuianza vyema sku yangu kwa kuufurahisha moyo wangu
Mamdogo aliwe na mkongo
Yaan dada anaona km dunia inataka kumuangukia
😂😂hii Kali
Love from Kenya
th-cam.com/video/z1jcvtF3R9c/w-d-xo.html
👆👆👆👆🤣🤣🤣🤣🤣🤣