KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2023
- KKKT - DMP WAZO HILL
KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)]
TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
INSTAGRAM - / kkkt_wazo_hill
FACEBOOK ACCOUNT - / 100069093037456
FACEBOOK PAGE - / kkkt-wazo-hill-dmp-103...
TH-cam - / @kkktwazohill
WEBSITE : www.wazohillparish.or.tz/
KWA MAONI NA USHAURI:
Simu : +255 653 659 110
Barua Pepe : wazohillchurch21@gmail.com
#kkkt #dmp #kkktwazohill #kkktkijitonyama #kkktmbezibeach #kkktkimara #azaniafrontlutheranchurch #upendomedia #upendotv #love #mungu #god #yesu #jesus #religion #spiritual #faith #dayosisi #dayosisiyamashirikipwani #ibada #pasaka #live #mubashara #wazo #wazohill #kinondoni #tanzania #eastafrica #africa
Aisee huu wimbo mimi kama mKKKT naupenda sana kwakweli,aisee aliyeleta huu wimbo na hii notem MUNGU AMBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Bila hiyo sauti ya 4 wimbo usingenoga....you made my day! Waao!
❤❤❤❤ I 😢😢😢 huu wimbo nafurahi hd na Lia haswa kipindi hiki nilichompoteza mdogo wangu ghafla wakiwa wanapenda kumzika upareni alafu kwenye ajali akafa peke yake uwiii mungu awa bariki kwakutupa vitu adim
Pole sana mamaaa
Mungu wangu wambinguni awatunze hakika Wimbo umenifanya nabubujikwa namachonzi umenikumbusha mbali sana Mungu awatunze.
Namkumbuka Mama yangu alitangulia kwa Mungu,huu wimbo aliupenda sana,Mungu endelea kumhifadhi Mama Yangu mahali pazuri hadi siku nitakayomuona tena,AMEN
Kila nikiliza wimbo huu napata aman na roho mtskatifu kuwepo na kutawala
Hongera saaana baba kwa sauti yako ya 4
Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri ila besi halikupendeza
Mungu wa mbinguni awabariki kwa wimbo mzuri na sauti nzuri
All voices are clear amazing.
Mungu wangu najisifia mno kuwa mluteri jamani nyimbo zetu ni za Utukufu na injili tuuu oh hleluia Bwana
Neno lako ee yesu linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponya🙏😭
Wimbo huu kiukweli ukiwa nahuzuni faraja inarudi.pia miaka ya 1963 Dunia ilikuwa na Amani kubwa Mno Mbarikiwe sana Wazo Amen
Mungu akutunze saana baba sauti yako ya 4 ni nzuri mno mno kwa ujumla mnaimba vizuri sana
Neno lako eeeeh Yesu
Ooooh haleluya hizi ndizo nyimbo zinazompa MUNGU wetu UTUKUFU na uwepo wake unalijaza kanisa
Ukiusikiliza wimbo huu kwa umakini unisikia hisia nzito moyoni!! Kuna wadada wawili wanaimba kwa hisia kali hadi machozi yanatiririka!! Hongera sana kwaya nzima!!
Nakupenda wimbo huu ninataka kuingia mjini Kwa Mungu
Hiyo ndo KKKT OG. Hadi raha. Hongereni sana
Ameen
Home sweet home !! Mmenikumbusha nyumbani ❤❤❤
Nimebarikiwa sana sana! nimekumbuka nyumbani
😢😢huu wimbo umenikumbusha siku namzika Baba yangu😢😢 pia unanifariji sana
Hongera sana Baba yangu kwa kumuimbia Mungu na Kwaya nzima
Hongera sana Elihudi Emmanuel kwa kazi nzuri mngeuimba tena u control sauti ya 4 kwenye Mike. Zaidi mbarikiwe kwa ubunifu wa Kiwango cha juu cha uimbaji wimbo huu. Sichokagi mana niwimbo wangu wa Kipaimara tuliingia nao na Trapet miaka hiyo. Nakuelewa kwa kazi hizi
Huu wimbo unanikumbusha mbali mungu awabalik sana muda wenu sibule mungu ata walipa
I like the base leading,am blessed
Kabisa
Hongereni sana aise satu tamu mno ,, I love it so much 💓🔥🔥🔥💕💕💕
Huyo wa sauti ya 4 ndiye aliyenogesha huu wimbo kiasi hiku ,kiongozi naye da yuko vizuri mno mno wimbo wa nguvu sana
Kabisa mtumishi, Sauti ya 4 nzuri na yakuvutia imenibariki sana.. Mwisho wa siku wote wameniambia vizuri sana.. Katika maisha yangu hapa duniani hii ni kati ya nyimbo zilizonibariki
This is not just like a song is a powerful prayer. Am not kkkt but I like all team Jesus. Am proud being team Jesus from Catholic
Kwaya nzuri na sauti nzuri sana ,hongera sana watumishi wa Mungu ,
Mwimbaji na Mike ana base Safi lakini ameiweka karibu sana
Mmeimba vizuri sanaa Yani
Siku nyingine huyo aliyeimba ameshika maiki msimpe tena maiki kaharibu Radha yani
Ni wimbo unaonipa faraja kubwa Sana! Mungu awabariki
Well sung song by it when sung in truth and spirit it can open the heaven showers of blessings Steven Lauwo
The bass is so powerful and beautiful. I love the melody
Mungu awabariki kwa wimbo mzuri
Angelic voices praising mighty God in heaven. God the son in control of his flock!
Receive the praises.
Hongera sana Kwaya ya umoja. Sauti yako njema Teacher Erick nimekusoma # Kwaya ya wanawake msasani
Hongereni sana..mpiga kinanda kafanya kweli pia
Huu wimbo aisee... Ukiuimba kwa kuutafakari lazima utoe machozi, anyways mbarikiwe Sana wazo hill, nawapendaga Sana ila huyo aliyeimba sauti ya nne ameharibu ladha halisi iliyotakiwa kwa Susi wasikilizaji not nyngi haziimbi kwa usahihi na Mic kaiweka karibu Sana imeharibu harmony ya muziki..mwalimu pokea maoni Haya uyafanyie kazi, NAWATAKIA HUDUMA NJEMA
Asante tumepokea mawazo yako mpendwa
@@kkktwazohill napendekeza uimbwe upya ndio muuapload bila huyo wa base
Touching song ever. Hongereni sana
Wimbo mtamu sana.barikiweni sana
Yesu ananiambia uningojee😢🙏🙏🙏🙏
This is my fav song of all
well sing ,good dressing all are smart.....barikiweni sana
Mwimba bezi umenifuraisha sana mungu awabarik
kuna mahali anahama kuimba sauti ya tatu but very good
Mungu awabariki sana mmeimba vzuri sanaaa
Baba hongera sana Kwa sauti ya nne
Hongereni sana waimbaji ....
Barikiweni mno tumebarikiwa sana na wimbo huu.
Amen
Huu Mwimbo unanikumbusha Baba yangu alivyokuwa anaimba yaan Tena huyo Baba anayeimba hapo kwa sauti ananipa Faraja ya kwamba Niko na Baba yangu mzazi kabisa Mungu endelea kumpunzisha kwa Amani Mzee Martin ameacha alama nzuri Duniani😢😢
Mkono wako unishike nisianguke najiona kuwa mnyonge Nuru mwake. ×2
Neno lako eee Yesu linanipa uzima Nikifika nitaimba umeniponya×2
Kumuenzi ni kuishika na kuitetea Imani.....
Hizo ndizo nyimbo tunafaa kuimba barikiweni sana
Hongelen sana mmenikimbusha mbali
Uyo aliye imba na mike amezingua sanaaa alafu maneno hajashika
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Very touching song i like it
Naupenda wimbo huu
aloshika maiki kaharibu wimbo, wengine wote waliimba sawa ila yeye aliimba anachojua yeye
Jaman hyo ndo kkkt dah hakika
Barikiweni sana mpo vizuri sana
Hongeren kwa huduma nzuri
Mungu awabariki
❤❤❤❤❤❤
♥️♥️😢♥️👏🇮🇱🇹🇿 Huwa najisikia Raha sana ndani yangu wimbo huu ukipigwa Ibada I.
Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.
Barikiwa Sana wahubiri kwa njia ya nyimbo
Sauti ya nne ni haba sana duniani hawa wamebahatasha kuwa na mtu mmoja tu mwenye kipaji ktk sauti hiyo
SAUTI YA 4 , SAUTI YA 4 , IMENIBARIKI SANA SANA, WAIMBAJI WOTE PIA WAMEIMBA VIZURI SANA SANA PIA.. HII NI KATI YA NYIMBO ZITAKAZO BAKI KWENYE MOYO WANGU HAPA DUNIANI..
Stay blessed Wazo Hill
Hamna kitu hiyo bes ameharibu khaaa
Hongreen sana
Huyo wa mike amebaribu
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Huu wimbo nikius🎉ikiliza kwa tafakari na jinsi ulivyoimbwa nabatikiwa sana maana ni kweli naona mimi siwezi peke yangu pasipo UWEZA WA YESU KRISTO
KWELI NATAMANI SANA kufika kwa baba ila bado najikongoja nautafuta uso wa Bwana. YESU KRISTO NDIE MSAADA WANGU.
Mungu wabaruki KKKT WAZO HILL na kuzidi sana 🙏🙏🙏
Mbarikiwee sanaaa ❤❤❤❤❤❤
Congratulations 👍👍👍
Kaharibu sana aliyepo kwenye 🎤
mmeuaa sana🤗
Mbarikiwe sana
Asante waimbaji nimeguswa
Kwa kweli nahisi roho wa Mungu yupo mahali hapa. Wimbo huu huniletea kumbukumbu za mazishi ya shangazi yangu.......NIKIFIFIKA NITAIMBA UMENIPONYE!
😂Huyu wa Bass yuko vzr sana , ila pumzi taab kidogo😅
Congrats Umoja Choir
Hongeren I sana 🙏🙏🙏
Hongereni waimbaji mmeimba vizuri
Bass safi sana
Hongeren sanaa
Wimbo mzur ila aloimba sait ya nne akasikika peke yake yake kaharibu utamu wote wa wimbo
Kwa kwl kaaribu wimbo, ni kama ameforce solo ivi
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Katika uimbaji haitakiwi kusikia sauti ya flani. Inatakiwa kusikika sauti ya 1, 2, 3 na 4. Ukiimba usifunike sauti za wengine.
Halelujah
Amen, Mungu Awabariki
Amen
Hakika wimbo unagusa mioyo ya watu,barikiweni sana!!!!🙌🙌🙌
Ni wimbo mzuri unipa ujasir
Mwenye mic jamn karibu ladha ya wimbo sana ,
Epukeni kutumia mic kwenye set songs za halaiki. Jifunzeni kuimba sauti bila mic. Ona sasa utamu wote wa wimbo umemezwa na huyo jamaa anayeimba bass nadhani yupo karibu na mic. Kwenye uimbaji wa halaiki Kila sauti inatakiwa isikike kwa ratio. Otherwise hongereni kwa dressing code na utulivu wa kiibada. Ni Mimi ndugu yenu mkatolikiki
Nikweli kabisa,
Mpo vzr mbarikiwe
Asante. Kama walivyosema wengine, kwa taaluma yetu ya muziki, mtu ambaye sauti yake ni kubwa, pana au nzito huwa hawekewi maiki. Hapo base ameonekana kama yeye ndiye Solo. Otherwise, grateful!!!
Jaman kwann mlimpa mic huyo wa bass huo niuimbaj wawap sijapenda kabisa
ukijakujua muziki utamuelewa hahahahaaa
Huyo anayeimba mwenyewe kwa mike anaharibu wimbo. Na tena haimbi sawa na noti zilivyo
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Mbona kama anaimba sahihi sauti ya nne?
❤
Hongereni sana kwa kuimba VIZURI
Woow
Huyo bas kameza woote anasikika zaidi hivyo uwekeni vizuri
Microphone huwa inawekwa kwa mbali kidogo Kama Ni nyimbo ya pamoja otherwise sound system haijakaa sawa, bass iko juu Sana inafunika sauti zingine
Haya wataalam wa mziki no eneo lenu kutoa ushauri mini kiboreshwe ili Jina la Bwana liendelee kuinuliwa
Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.
Huu wimbo ukiimbwa kwa roho lazima utoe machozi una uhalisia mno
Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.
Hakika
Mungu wabariki
Ukiwaangalia wanakwaya wenyewe wakiimba makini kiroho na wengine wanatokwa na machozi!! Umeimbwa kwa hisia kali sana!!
Huyo kwenye microphone🎤🎤 daaah😞😞
Nooo kwaya lazima sauti zibalance hiyo ya 4 inakera as if yy ndo important kuliko wote!
Good singing bt huyo Jamaa wa base pooo
Siku hii nilikuwepo ibadani, huyo Mwalimu aliyeongoza kundi alishine, hasa kwenye wimbo huo aliimba kwa hisia za ndani akiuelezea wimbo. Hakika nilibarikiwa sana
Nimemuona. Halafu wewe ulishapitia ICF kule IAA??
@@franklema2008 ndiyo tulimaliza 2006
@@flanomambo8539 oh sawa, nilikuwa Mkiti 2009-2011, nilikuwa nasikia jina lako kwenye historia ya ICF!!!!😊😊
@@franklema2008 atukuzwe Mungu Baba aliyetujalia fursa ya kutumika
@@flanomambo8539 Amen, Amen, Amen. Ubarikiwe!