KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)] (KKKT WAZO HILL)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 ก.พ. 2023
  • KKKT - DMP WAZO HILL
    KWAYA YA UMOJA - NINATAKA KUINGIA [TUMWABUDU MUNGU WETU (154)]
    TUFUATILIE KUPITIA MITANDAO YETU:
    INSTAGRAM - / kkkt_wazo_hill
    FACEBOOK ACCOUNT - / 100069093037456
    FACEBOOK PAGE - / kkkt-wazo-hill-dmp-103...
    TH-cam - / @kkktwazohill
    WEBSITE : www.wazohillparish.or.tz/
    KWA MAONI NA USHAURI:
    Simu : +255 653 659 110
    Barua Pepe : wazohillchurch21@gmail.com
    #kkkt #dmp #kkktwazohill #kkktkijitonyama #kkktmbezibeach #kkktkimara #azaniafrontlutheranchurch #upendomedia #upendotv #love #mungu #god #yesu #jesus #religion #spiritual #faith #dayosisi #dayosisiyamashirikipwani #ibada #pasaka #live #mubashara #wazo #wazohill #kinondoni #tanzania #eastafrica #africa

ความคิดเห็น • 144

  • @sir_ENOCKMACHA
    @sir_ENOCKMACHA 7 วันที่ผ่านมา +1

    Aisee huu wimbo mimi kama mKKKT naupenda sana kwakweli,aisee aliyeleta huu wimbo na hii notem MUNGU AMBARIKI SANA 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @brantywilson1347
    @brantywilson1347 3 หลายเดือนก่อน +4

    Bila hiyo sauti ya 4 wimbo usingenoga....you made my day! Waao!

  • @MARYNAGUJustin
    @MARYNAGUJustin 19 วันที่ผ่านมา +2

    ❤❤❤❤ I 😢😢😢 huu wimbo nafurahi hd na Lia haswa kipindi hiki nilichompoteza mdogo wangu ghafla wakiwa wanapenda kumzika upareni alafu kwenye ajali akafa peke yake uwiii mungu awa bariki kwakutupa vitu adim

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisa หลายเดือนก่อน +1

    Mungu wangu wambinguni awatunze hakika Wimbo umenifanya nabubujikwa namachonzi umenikumbusha mbali sana Mungu awatunze.

  • @brysonjohnlukumay
    @brysonjohnlukumay 23 วันที่ผ่านมา +1

    Namkumbuka Mama yangu alitangulia kwa Mungu,huu wimbo aliupenda sana,Mungu endelea kumhifadhi Mama Yangu mahali pazuri hadi siku nitakayomuona tena,AMEN

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 หลายเดือนก่อน +2

    Kila nikiliza wimbo huu napata aman na roho mtskatifu kuwepo na kutawala
    Hongera saaana baba kwa sauti yako ya 4

  • @DastanKitojo-bo1cc
    @DastanKitojo-bo1cc 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mbarikiwe sana kwa wimbo mzuri ila besi halikupendeza

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie 3 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu wa mbinguni awabariki kwa wimbo mzuri na sauti nzuri

  • @ericsababu8825
    @ericsababu8825 7 วันที่ผ่านมา

    All voices are clear amazing.

  • @merceulomi4003
    @merceulomi4003 ปีที่แล้ว +4

    Mungu wangu najisifia mno kuwa mluteri jamani nyimbo zetu ni za Utukufu na injili tuuu oh hleluia Bwana

  • @TinnahJatros
    @TinnahJatros หลายเดือนก่อน +1

    Neno lako ee yesu linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponya🙏😭

  • @latiaelimbise8584
    @latiaelimbise8584 ปีที่แล้ว +2

    Wimbo huu kiukweli ukiwa nahuzuni faraja inarudi.pia miaka ya 1963 Dunia ilikuwa na Amani kubwa Mno Mbarikiwe sana Wazo Amen

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu akutunze saana baba sauti yako ya 4 ni nzuri mno mno kwa ujumla mnaimba vizuri sana
    Neno lako eeeeh Yesu

  • @leahdaniel1117
    @leahdaniel1117 ปีที่แล้ว +2

    Ooooh haleluya hizi ndizo nyimbo zinazompa MUNGU wetu UTUKUFU na uwepo wake unalijaza kanisa

  • @leslietewe5520
    @leslietewe5520 4 หลายเดือนก่อน +1

    Ukiusikiliza wimbo huu kwa umakini unisikia hisia nzito moyoni!! Kuna wadada wawili wanaimba kwa hisia kali hadi machozi yanatiririka!! Hongera sana kwaya nzima!!

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse 7 หลายเดือนก่อน +1

    Nakupenda wimbo huu ninataka kuingia mjini Kwa Mungu

  • @elamungairo4785
    @elamungairo4785 10 หลายเดือนก่อน +2

    Hiyo ndo KKKT OG. Hadi raha. Hongereni sana

  • @allanngowi9015
    @allanngowi9015 11 หลายเดือนก่อน +1

    Home sweet home !! Mmenikumbusha nyumbani ❤❤❤

  • @rhodanangoma7386
    @rhodanangoma7386 ปีที่แล้ว +3

    Nimebarikiwa sana sana! nimekumbuka nyumbani

  • @annaikungu6429
    @annaikungu6429 11 หลายเดือนก่อน +1

    😢😢huu wimbo umenikumbusha siku namzika Baba yangu😢😢 pia unanifariji sana

  • @francescammari5337
    @francescammari5337 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Baba yangu kwa kumuimbia Mungu na Kwaya nzima

  • @emmanuelidafa2974
    @emmanuelidafa2974 10 หลายเดือนก่อน +4

    Hongera sana Elihudi Emmanuel kwa kazi nzuri mngeuimba tena u control sauti ya 4 kwenye Mike. Zaidi mbarikiwe kwa ubunifu wa Kiwango cha juu cha uimbaji wimbo huu. Sichokagi mana niwimbo wangu wa Kipaimara tuliingia nao na Trapet miaka hiyo. Nakuelewa kwa kazi hizi

  • @user-hv3gr9hs2n
    @user-hv3gr9hs2n 9 หลายเดือนก่อน +1

    Huu wimbo unanikumbusha mbali mungu awabalik sana muda wenu sibule mungu ata walipa

  • @augustinenjengwa7515
    @augustinenjengwa7515 ปีที่แล้ว +4

    I like the base leading,am blessed

  • @williamnyaga6094
    @williamnyaga6094 6 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni sana aise satu tamu mno ,, I love it so much 💓🔥🔥🔥💕💕💕

  • @richardkirenga1112
    @richardkirenga1112 6 หลายเดือนก่อน +3

    Huyo wa sauti ya 4 ndiye aliyenogesha huu wimbo kiasi hiku ,kiongozi naye da yuko vizuri mno mno wimbo wa nguvu sana

    • @noelbryson7840
      @noelbryson7840 5 หลายเดือนก่อน

      Kabisa mtumishi, Sauti ya 4 nzuri na yakuvutia imenibariki sana.. Mwisho wa siku wote wameniambia vizuri sana.. Katika maisha yangu hapa duniani hii ni kati ya nyimbo zilizonibariki

  • @arttilioemiliam2419
    @arttilioemiliam2419 ปีที่แล้ว +1

    This is not just like a song is a powerful prayer. Am not kkkt but I like all team Jesus. Am proud being team Jesus from Catholic

  • @gracenyanchama9869
    @gracenyanchama9869 9 หลายเดือนก่อน +1

    Kwaya nzuri na sauti nzuri sana ,hongera sana watumishi wa Mungu ,

  • @kimanzitunzi4600
    @kimanzitunzi4600 ปีที่แล้ว +3

    Mwimbaji na Mike ana base Safi lakini ameiweka karibu sana

  • @heavenlymusicproduction4360
    @heavenlymusicproduction4360 ปีที่แล้ว +3

    Mmeimba vizuri sanaa Yani
    Siku nyingine huyo aliyeimba ameshika maiki msimpe tena maiki kaharibu Radha yani

  • @solomonkingu3837
    @solomonkingu3837 9 หลายเดือนก่อน +1

    Ni wimbo unaonipa faraja kubwa Sana! Mungu awabariki

  • @eliawonylauwo1005
    @eliawonylauwo1005 ปีที่แล้ว +2

    Well sung song by it when sung in truth and spirit it can open the heaven showers of blessings Steven Lauwo

  • @dennisondari94
    @dennisondari94 6 หลายเดือนก่อน +1

    The bass is so powerful and beautiful. I love the melody

  • @joelrushima6487
    @joelrushima6487 ปีที่แล้ว +2

    Mungu awabariki kwa wimbo mzuri

  • @ronn3340
    @ronn3340 ปีที่แล้ว +1

    Angelic voices praising mighty God in heaven. God the son in control of his flock!
    Receive the praises.

  • @ceciliampamila2000
    @ceciliampamila2000 3 หลายเดือนก่อน

    Hongera sana Kwaya ya umoja. Sauti yako njema Teacher Erick nimekusoma # Kwaya ya wanawake msasani

  • @simonmusyimi2209
    @simonmusyimi2209 4 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni sana..mpiga kinanda kafanya kweli pia

  • @inesmtoi7344
    @inesmtoi7344 ปีที่แล้ว +11

    Huu wimbo aisee... Ukiuimba kwa kuutafakari lazima utoe machozi, anyways mbarikiwe Sana wazo hill, nawapendaga Sana ila huyo aliyeimba sauti ya nne ameharibu ladha halisi iliyotakiwa kwa Susi wasikilizaji not nyngi haziimbi kwa usahihi na Mic kaiweka karibu Sana imeharibu harmony ya muziki..mwalimu pokea maoni Haya uyafanyie kazi, NAWATAKIA HUDUMA NJEMA

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว +2

      Asante tumepokea mawazo yako mpendwa

    • @sir_ENOCKMACHA
      @sir_ENOCKMACHA 7 วันที่ผ่านมา

      @@kkktwazohill napendekeza uimbwe upya ndio muuapload bila huyo wa base

  • @kipipakipipa5050
    @kipipakipipa5050 ปีที่แล้ว +1

    Touching song ever. Hongereni sana

  • @lizben1150
    @lizben1150 3 หลายเดือนก่อน +1

    Wimbo mtamu sana.barikiweni sana

  • @ceciliakingazi6792
    @ceciliakingazi6792 9 หลายเดือนก่อน +1

    Yesu ananiambia uningojee😢🙏🙏🙏🙏

  • @magorimagori9264
    @magorimagori9264 ปีที่แล้ว +2

    This is my fav song of all

  • @mmbandomacky2117
    @mmbandomacky2117 ปีที่แล้ว +1

    well sing ,good dressing all are smart.....barikiweni sana

  • @godluckmasawe2173
    @godluckmasawe2173 ปีที่แล้ว +1

    Mwimba bezi umenifuraisha sana mungu awabarik

    • @jimmymassam8657
      @jimmymassam8657 10 หลายเดือนก่อน

      kuna mahali anahama kuimba sauti ya tatu but very good

  • @wintyapamawalla2539
    @wintyapamawalla2539 ปีที่แล้ว +1

    Mungu awabariki sana mmeimba vzuri sanaaa

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse 7 หลายเดือนก่อน +1

    Baba hongera sana Kwa sauti ya nne

  • @evajestcaemmanuel6456
    @evajestcaemmanuel6456 11 หลายเดือนก่อน +1

    Hongereni sana waimbaji ....

  • @SeaRockinvestments
    @SeaRockinvestments ปีที่แล้ว +1

    Barikiweni mno tumebarikiwa sana na wimbo huu.

  • @julietymartin1739
    @julietymartin1739 9 หลายเดือนก่อน +3

    Huu Mwimbo unanikumbusha Baba yangu alivyokuwa anaimba yaan Tena huyo Baba anayeimba hapo kwa sauti ananipa Faraja ya kwamba Niko na Baba yangu mzazi kabisa Mungu endelea kumpunzisha kwa Amani Mzee Martin ameacha alama nzuri Duniani😢😢
    Mkono wako unishike nisianguke najiona kuwa mnyonge Nuru mwake. ×2
    Neno lako eee Yesu linanipa uzima Nikifika nitaimba umeniponya×2

  • @NdindaKioko-jv5fy
    @NdindaKioko-jv5fy 2 หลายเดือนก่อน

    Hizo ndizo nyimbo tunafaa kuimba barikiweni sana

  • @rahelmdoe3460
    @rahelmdoe3460 ปีที่แล้ว +1

    Hongelen sana mmenikimbusha mbali

  • @joelsamwel2580
    @joelsamwel2580 ปีที่แล้ว +2

    Uyo aliye imba na mike amezingua sanaaa alafu maneno hajashika

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @monicamwary8240
    @monicamwary8240 11 หลายเดือนก่อน +1

    Very touching song i like it

  • @MargarethKisse
    @MargarethKisse 7 หลายเดือนก่อน +1

    Naupenda wimbo huu

  • @vincentgodlisten1434
    @vincentgodlisten1434 ปีที่แล้ว +2

    aloshika maiki kaharibu wimbo, wengine wote waliimba sawa ila yeye aliimba anachojua yeye

  • @SilasMbise-bp4ph
    @SilasMbise-bp4ph ปีที่แล้ว +1

    Jaman hyo ndo kkkt dah hakika

  • @lameckkitiku
    @lameckkitiku 2 หลายเดือนก่อน

    Barikiweni sana mpo vizuri sana

  • @edwardmkaro2021
    @edwardmkaro2021 ปีที่แล้ว +1

    Hongeren kwa huduma nzuri

  • @elinamnatai9990
    @elinamnatai9990 10 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu awabariki

  • @SaraMaphie
    @SaraMaphie 3 หลายเดือนก่อน +2

    ❤❤❤❤❤❤

  • @raphaelmwamakimbula9642
    @raphaelmwamakimbula9642 ปีที่แล้ว +3

    ♥️♥️😢♥️👏🇮🇱🇹🇿 Huwa najisikia Raha sana ndani yangu wimbo huu ukipigwa Ibada I.

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.

    • @matendokadinde6533
      @matendokadinde6533 ปีที่แล้ว

      Barikiwa Sana wahubiri kwa njia ya nyimbo

  • @MartinChedy
    @MartinChedy 20 วันที่ผ่านมา

    Sauti ya nne ni haba sana duniani hawa wamebahatasha kuwa na mtu mmoja tu mwenye kipaji ktk sauti hiyo

  • @noelbryson7840
    @noelbryson7840 5 หลายเดือนก่อน +2

    SAUTI YA 4 , SAUTI YA 4 , IMENIBARIKI SANA SANA, WAIMBAJI WOTE PIA WAMEIMBA VIZURI SANA SANA PIA.. HII NI KATI YA NYIMBO ZITAKAZO BAKI KWENYE MOYO WANGU HAPA DUNIANI..

  • @lanesmkemwa2718
    @lanesmkemwa2718 ปีที่แล้ว +1

    Stay blessed Wazo Hill

  • @user-ui1nl5jm2l
    @user-ui1nl5jm2l 2 หลายเดือนก่อน

    Hamna kitu hiyo bes ameharibu khaaa

  • @user-xy8co8uo1w
    @user-xy8co8uo1w 23 วันที่ผ่านมา

    Hongreen sana

  • @innocentmassao3903
    @innocentmassao3903 ปีที่แล้ว +3

    Huyo wa mike amebaribu

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

    • @aminanialice4435
      @aminanialice4435 ปีที่แล้ว

      Huu wimbo nikius🎉ikiliza kwa tafakari na jinsi ulivyoimbwa nabatikiwa sana maana ni kweli naona mimi siwezi peke yangu pasipo UWEZA WA YESU KRISTO
      KWELI NATAMANI SANA kufika kwa baba ila bado najikongoja nautafuta uso wa Bwana. YESU KRISTO NDIE MSAADA WANGU.

    • @aaronswai6935
      @aaronswai6935 ปีที่แล้ว

      Mungu wabaruki KKKT WAZO HILL na kuzidi sana 🙏🙏🙏

  • @didanitondi1158
    @didanitondi1158 8 หลายเดือนก่อน

    Mbarikiwee sanaaa ❤❤❤❤❤❤

  • @user-vf5yl6yg6n
    @user-vf5yl6yg6n ปีที่แล้ว +1

    Congratulations 👍👍👍

  • @samsonmwakikuti5318
    @samsonmwakikuti5318 ปีที่แล้ว +1

    Kaharibu sana aliyepo kwenye 🎤

  • @busaraclemence4447
    @busaraclemence4447 11 หลายเดือนก่อน +1

    mmeuaa sana🤗

  • @didanitondi1158
    @didanitondi1158 ปีที่แล้ว +1

    Mbarikiwe sana

  • @VenelandaKabura-bc8dk
    @VenelandaKabura-bc8dk ปีที่แล้ว

    Asante waimbaji nimeguswa

  • @georgejumaa9672
    @georgejumaa9672 ปีที่แล้ว

    Kwa kweli nahisi roho wa Mungu yupo mahali hapa. Wimbo huu huniletea kumbukumbu za mazishi ya shangazi yangu.......NIKIFIFIKA NITAIMBA UMENIPONYE!

  • @leonardmakwela5551
    @leonardmakwela5551 2 หลายเดือนก่อน

    😂Huyu wa Bass yuko vzr sana , ila pumzi taab kidogo😅
    Congrats Umoja Choir

  • @EuniceMalisa
    @EuniceMalisa 2 หลายเดือนก่อน

    Hongeren I sana 🙏🙏🙏

  • @happyjanuaryfusi1145
    @happyjanuaryfusi1145 ปีที่แล้ว

    Hongereni waimbaji mmeimba vizuri

  • @upendokiwanga9538
    @upendokiwanga9538 หลายเดือนก่อน

    Bass safi sana

  • @user-fh8zr4ki4g
    @user-fh8zr4ki4g 2 หลายเดือนก่อน

    Hongeren sanaa

  • @istudiohimo2113
    @istudiohimo2113 ปีที่แล้ว +6

    Wimbo mzur ila aloimba sait ya nne akasikika peke yake yake kaharibu utamu wote wa wimbo

    • @blessednassary8432
      @blessednassary8432 ปีที่แล้ว +1

      Kwa kwl kaaribu wimbo, ni kama ameforce solo ivi

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว +1

      Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 ปีที่แล้ว +2

    Katika uimbaji haitakiwi kusikia sauti ya flani. Inatakiwa kusikika sauti ya 1, 2, 3 na 4. Ukiimba usifunike sauti za wengine.

  • @theodorajohn9474
    @theodorajohn9474 9 หลายเดือนก่อน +1

    Halelujah

  • @msewelutheranchurchchoir
    @msewelutheranchurchchoir ปีที่แล้ว

    Amen, Mungu Awabariki

  • @godfreypeter4630
    @godfreypeter4630 ปีที่แล้ว

    Hakika wimbo unagusa mioyo ya watu,barikiweni sana!!!!🙌🙌🙌

  • @user-zi3nf8eo9g
    @user-zi3nf8eo9g 8 หลายเดือนก่อน

    Ni wimbo mzuri unipa ujasir

  • @elibarikmafie7490
    @elibarikmafie7490 ปีที่แล้ว +1

    Mwenye mic jamn karibu ladha ya wimbo sana ,

  • @bernardjohn8788
    @bernardjohn8788 ปีที่แล้ว +4

    Epukeni kutumia mic kwenye set songs za halaiki. Jifunzeni kuimba sauti bila mic. Ona sasa utamu wote wa wimbo umemezwa na huyo jamaa anayeimba bass nadhani yupo karibu na mic. Kwenye uimbaji wa halaiki Kila sauti inatakiwa isikike kwa ratio. Otherwise hongereni kwa dressing code na utulivu wa kiibada. Ni Mimi ndugu yenu mkatolikiki

  • @RevCharlesJPeter
    @RevCharlesJPeter ปีที่แล้ว +1

    Asante. Kama walivyosema wengine, kwa taaluma yetu ya muziki, mtu ambaye sauti yake ni kubwa, pana au nzito huwa hawekewi maiki. Hapo base ameonekana kama yeye ndiye Solo. Otherwise, grateful!!!

  • @gehartuhagile5178
    @gehartuhagile5178 8 หลายเดือนก่อน +1

    Jaman kwann mlimpa mic huyo wa bass huo niuimbaj wawap sijapenda kabisa

    • @busaraclemence4447
      @busaraclemence4447 8 หลายเดือนก่อน +1

      ukijakujua muziki utamuelewa hahahahaaa

  • @gideons5265
    @gideons5265 ปีที่แล้ว

    Huyo anayeimba mwenyewe kwa mike anaharibu wimbo. Na tena haimbi sawa na noti zilivyo

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

    • @franklema2008
      @franklema2008 ปีที่แล้ว

      Mbona kama anaimba sahihi sauti ya nne?

  • @JordanBegumisa
    @JordanBegumisa หลายเดือนก่อน

  • @kwayamtgregorymkuubariadi-1940
    @kwayamtgregorymkuubariadi-1940 ปีที่แล้ว +1

    Hongereni sana kwa kuimba VIZURI

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 ปีที่แล้ว

    Woow

  • @lucaseben4914
    @lucaseben4914 2 หลายเดือนก่อน

    Huyo bas kameza woote anasikika zaidi hivyo uwekeni vizuri

  • @lothawilliam7688
    @lothawilliam7688 ปีที่แล้ว +1

    Microphone huwa inawekwa kwa mbali kidogo Kama Ni nyimbo ya pamoja otherwise sound system haijakaa sawa, bass iko juu Sana inafunika sauti zingine

    • @SeaRockinvestments
      @SeaRockinvestments ปีที่แล้ว +1

      Haya wataalam wa mziki no eneo lenu kutoa ushauri mini kiboreshwe ili Jina la Bwana liendelee kuinuliwa

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Sawa Mpendwa, tumepokea ushari. Asante kwa maoni.

  • @maramsenga4431
    @maramsenga4431 ปีที่แล้ว +6

    Huu wimbo ukiimbwa kwa roho lazima utoe machozi una uhalisia mno

    • @kkktwazohill
      @kkktwazohill  ปีที่แล้ว

      Share link na wengine wapate kubarikiwa Mpendwa.

    • @lanesmkemwa2718
      @lanesmkemwa2718 ปีที่แล้ว

      Hakika

    • @SilasMbise-bp4ph
      @SilasMbise-bp4ph ปีที่แล้ว

      Mungu wabariki

    • @leslietewe5520
      @leslietewe5520 26 วันที่ผ่านมา

      Ukiwaangalia wanakwaya wenyewe wakiimba makini kiroho na wengine wanatokwa na machozi!! Umeimbwa kwa hisia kali sana!!

  • @Amatha_K
    @Amatha_K ปีที่แล้ว +1

    Huyo kwenye microphone🎤🎤 daaah😞😞

  • @GenesPeter
    @GenesPeter หลายเดือนก่อน +1

    Nooo kwaya lazima sauti zibalance hiyo ya 4 inakera as if yy ndo important kuliko wote!

  • @tombaroz9976
    @tombaroz9976 2 หลายเดือนก่อน

    Good singing bt huyo Jamaa wa base pooo

  • @flanomambo8539
    @flanomambo8539 ปีที่แล้ว +5

    Siku hii nilikuwepo ibadani, huyo Mwalimu aliyeongoza kundi alishine, hasa kwenye wimbo huo aliimba kwa hisia za ndani akiuelezea wimbo. Hakika nilibarikiwa sana

    • @franklema2008
      @franklema2008 ปีที่แล้ว +1

      Nimemuona. Halafu wewe ulishapitia ICF kule IAA??

    • @flanomambo8539
      @flanomambo8539 ปีที่แล้ว

      @@franklema2008 ndiyo tulimaliza 2006

    • @franklema2008
      @franklema2008 ปีที่แล้ว +1

      @@flanomambo8539 oh sawa, nilikuwa Mkiti 2009-2011, nilikuwa nasikia jina lako kwenye historia ya ICF!!!!😊😊

    • @flanomambo8539
      @flanomambo8539 ปีที่แล้ว +1

      @@franklema2008 atukuzwe Mungu Baba aliyetujalia fursa ya kutumika

    • @franklema2008
      @franklema2008 ปีที่แล้ว +2

      @@flanomambo8539 Amen, Amen, Amen. Ubarikiwe!