Mtunga Maneno: P. F. Hiller, 1699-1769 Ich Will Streben nach dem Leben. Usisahau Ku-subscribe ili Uwe wa kwanza kupata habari kutoka kwenye channel hii.
I must admit that this Lutheran hymn cuts across different countries but has the same good effect on me. We sing this hymn in Zulu but It touches me more in Swahili
Niliona wimbo tiktok NIONGOZE BWANA MUNGU mtu aliiweka akionyesha daraja jipya nikapenda nikatafuta ndio nakutana na uimbaji mzuri wa mchungaji Mwaipopo, wiki iliyopita alikuwa na somo zuri kweli redioni kwa kweli mchungaji ana vingi kabarikiwa Mungu akupe miaka mia ya kutumika hongera sana.
Naapata nguvu sana ninaposikia huu wimbo huu kila wakati ninapokuwa na magumu huwa unanipa nguvu... Ukweli nikwamba nyimbo hizi ni ibada tosha moyoni mwangu..
Rest easy my mom queen andendekisye huu wimbo ulinipa tumaini jipya ukaniongezea nguvu kuamini kwamba yupo yeye alie baba wa wote hata ukichoka atakungoja
Honest you so special to me ,I real concurred by the way you singing my ELCT SONG BLESSING PASTOR. I REAL APPRECIATING BLESSING I MISS A LOT AZANIA CATHEDRAL IT IS 10 YRS NOW
I must admit that this Lutheran hymn cuts across different countries but has the same good effect on me. We sing this hymn in Zulu but It touches me more in Swahili
Pumzika kwa amani Mama Elizabeth Laban Sichone...wimbo huu umekuwa faraja kwangu.Yesu Kristo wewe mwamba wangu.
😭😭😭🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏿 ninapojaribiwa ninaposingiziwa Yesu unisaidie nisikuache
Niliona wimbo tiktok NIONGOZE BWANA MUNGU mtu aliiweka akionyesha daraja jipya nikapenda nikatafuta ndio nakutana na uimbaji mzuri wa mchungaji Mwaipopo, wiki iliyopita alikuwa na somo zuri kweli redioni kwa kweli mchungaji ana vingi kabarikiwa Mungu akupe miaka mia ya kutumika hongera sana.
Me when I'm down, out of the mood,this song it's my strength
Amen 🙏🏽
Glory be to God peke yake🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
Ninapojariwa,ninaposingiziwa,Yesu unisaidie nisikuacheee ❤❤
“Neno Lako Eeeh YESU Linanipa Nguvu”
Neno lako ee YESU linanipa uzima nikifika nitaimba umeniponyaa
Huu wimbo kila ninapousikiliza huwa najikuta machozi yananitoka. Barikiwa sana mtumishi.
Nikishikwa na shida nikichoka njiani, yesu unaniambia uningojee. 😇😇🥰🥰
Nimebarikiwa sana. MUNGU aendelee kukutumia mtumishi wake
U re so blessed mtumishi wa Mungu,hakika Mungu atukuzwe kwa neema ya uimbaji alioiweka ndani yako,hongera sana mtumishi
Amina
RIP JOHNSON G SANGA
Rest momma😭nikukumbuka huwa nasikiliza huu wimbo npt nguvu🥲🙏🏻
Mungu mbariki huyu mtunishi kwanyimbo anazoimba nafarijika sana
Barikiwa mno baba mchungaji,
Ee Yesu wangu nishike nisikuache
Mchg. Mungu akubariki wimbo no. 170 urushe mtandaoni tumwabudu Mungu wetu
Amen!!
Naapata nguvu sana ninaposikia huu wimbo huu kila wakati ninapokuwa na magumu huwa unanipa nguvu...
Ukweli nikwamba nyimbo hizi ni ibada tosha moyoni mwangu..
So powerful 🙌🏻🔥
Mwenyekiti wa ukwata darpwani miaka yetu, ,,, Yesu analea watu wake, kwa Yesu kutamu
ukiimbaa unajiona na kuhisi kabisaa uko enzini au mbinguni na Yesu
Powerful Prayer 🙏
Naomba uimbe na ule Yesu ndiye kiongozi wangu
" Wote wachelewao hawatapata taji,.. Mimi sitaki kingine ila uzima.."
Barikiwa mch.., naomba uimbe na Wimbo TMW298 KWA HURUMA NIKUBALI🙏🙏
Nataka kuingia
Oh nataka kuingia,
Hallelujah hallelujah
Barikiwa Pastor.
Nyimbo zako zinanifanya niwena mungu karibu
Lovely song with a heavenward message.
Hakika mungu atupe uthubutu wa kumkiri mchungaji nabarikiwa na utumishi huu,..mkono wako unishike nisianguke
Nipe nguvu ninapochoka ee Yesu 😭 🙏
Oooh napenda sana huduma yako Mungu akutunze mtumishi🙏
Amen, I request Kama ulivyoagiza No 187. TMW
❤
Mwenyenzi Mungu azidi kukubariki kwa utumishi na karama aloiweka ndani yako,nabarikiwa mno
Amen Mchungaji Mungu akubariki
Barikiwa San man of God
Kuna muda huwa nahisi nilitakiwa kuwa pastor. but naona kama nimechelewa...
huu wimbo naupenda sana..
Hujachelewa kalitumikie kusudi la BWANA mpendwa
Rest easy my mom queen andendekisye huu wimbo ulinipa tumaini jipya ukaniongezea nguvu kuamini kwamba yupo yeye alie baba wa wote hata ukichoka atakungoja
Amen 😭🙏🙏🙏
Honest you so special to me ,I real concurred by the way you singing my ELCT SONG
BLESSING PASTOR.
I REAL APPRECIATING BLESSING
I MISS A LOT AZANIA CATHEDRAL IT IS 10 YRS NOW
Powerful message,Mungu aendelee kukutumia
Barikiwa Sana mtumishi wa Mungu nitapateje link niweze ku download
Amen Mungu akubariki❤
Amen amen Amen
Ubarikiwe sana mchungaji
Huu wimbo huwa naupenda sana zaidi sauti ya rev gwakisa sasa nafanyaje niupate?
Ninamshukuru MUNGU kwa utumishi aliouweka ndani yako nyimbo zako naskiliza sana na zina nihuisha sana kiroho UTUKUFU KWA MUNGU JUU MBINGUNI
Endelea kuimarishwa kwa nguvu na uweza wa Mungu
@@VoH-Official Amen
Nifundishe kukungoja Mwokozi.
Mimi sitaki kingine ila Uzima.
Ubarikiwe mtumishi
Wimbo huu unanibariki sana
Powerfully God bless u my pastor
Nabarikiwa mnooo!!!!
Am bless with this song
Hallelujah
Amen Amen Amen
Mkono wako unishike nisianguke
Nimesikia huu wimbo moyoni nikakimbilia hii page Mchungaji
Bless you
Amen
Naona ufahari juu yako pastor maana nabarikiwa kupitia kupitia uwimbaji wako mungu akubariki sana baba.
church gani hii i subscribe
Hakika hata wkt wa magumu huwa wimbo huu unanifariji saana,Mungu azidi kukuinua pastor@gwakisa mwaipopo
Utukufu kwake Mungu
AMEN
😇
Nalitukuza jina la bwana kwa ajili yako mchungaji! Mungu azidi kukuinua
Hallelujah
Amina