KUDADEKI, MAFISADI KAMA FISADI LOWASSA WANATAMANI KIKWETE ANGERUDI ILI WAENDELEZE GURUDUMU LA UFISADI! LAKINI KIKWETE KAWAGEUKA KWA KUWAAMBIA " KANDAMIZA, NIMEKUJA KUMPONGEZA RAISI KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA MAANA HATUJAONANA KWA MUDA MWINGI."
Kama kawaida yako Kada wa Chama na Maneno yako yakurudia rudia kila siku yasio na Maana Sasa Lowasa Hapo anakuja Vipi..? huna Jipya nini wewe Mpare..?Ifikie Hatua wa Tz tuwe na Akili tuache ushabiki wa Kijinga wa Vijiweni..
@@godfreymbwambo4460 Hamna Ppovu lolote..Tubishane kwa Hoja sio story za kusikia tu na wewe unachukua..Kwanza Nipe Maana halisi ya Fisadi..?Hao Mafisadi Mbona hawajapelekwa Mahakamani mpaka leo..?Acha Kuongea hadithi za kusadikika wewe ukiitwa utoe ushahidi utatoa hizo ni Story tu mzee Baba.No data no Right to talk.
Enock kitomarys na mlivyo mnapenda starehe halafu kazi hamtaki kufanya kila siku mtakuwa ni wa kubadirisha maneno likisemwa hivi mnalimaanisha vile HAPA KAZI TU
😂😂😂😂😂Mzee Kikwetu,
Et aendelee kutukandamiza
Aendelee kutukandamiza.
duu mzee tunakukumbuka sana kwan wasiojulikana wamekuwa kero
Rajabu Mlau hata ktk awamu yake walikuwepo sana tu ila nadhani ulikuwa bado unanyonya ushauri wangu fanya kazi ndio siraha ya kuepukana na majungu
Aendelee kutukandamiza hahahaha
Amir Mpenike fanya kazi wewe ndiyo siraha ya ukombozi wa maisha yako
Kandamiza kabisa usihangalie uso wa mtu
Tuko pamoja JPM
KUDADEKI, MAFISADI KAMA FISADI LOWASSA WANATAMANI KIKWETE ANGERUDI ILI WAENDELEZE GURUDUMU LA UFISADI! LAKINI KIKWETE KAWAGEUKA KWA KUWAAMBIA " KANDAMIZA, NIMEKUJA KUMPONGEZA RAISI KWA KAZI NZURI ANAYOIFANYA MAANA HATUJAONANA KWA MUDA MWINGI."
Na kweli yaani roho zinawaumaje!
KITU GANI HUELEWI HAPO? KAMA HUELEWI NENDA KASOME SHULE TENA!!!!HAHAHHAH!!!
Kama kawaida yako Kada wa Chama na Maneno yako yakurudia rudia kila siku yasio na Maana Sasa Lowasa Hapo anakuja Vipi..? huna Jipya nini wewe Mpare..?Ifikie Hatua wa Tz tuwe na Akili tuache ushabiki wa Kijinga wa Vijiweni..
MIMI SIONGEI NA MAFISADI BWANA, MAANA JINSI ULIVYOJIBU HAPO JUU, INAASHIRIA NA WEWE NI FISADI. HAHAHAH!!!! POVU?
@@godfreymbwambo4460 Hamna Ppovu lolote..Tubishane kwa Hoja sio story za kusikia tu na wewe unachukua..Kwanza Nipe Maana halisi ya Fisadi..?Hao Mafisadi Mbona hawajapelekwa Mahakamani mpaka leo..?Acha Kuongea hadithi za kusadikika wewe ukiitwa utoe ushahidi utatoa hizo ni Story tu mzee Baba.No data no Right to talk.
Kukandamiza co?!
aendelee kukandamiza...
mhhhh kwel aendelee kutukandamiza...
kila mtu anaona bhn aendelee Kutukandamiza
Enock kitomarys na mlivyo mnapenda starehe halafu kazi hamtaki kufanya kila siku mtakuwa ni wa kubadirisha maneno likisemwa hivi mnalimaanisha vile HAPA KAZI TU
mmmmh....!!!!
Wabeja sana😀😀
Jpm Nyoosha nchi kwa kutumia rula.. adi inyooke
MUNGU BABA IBARIKI TANZANIA MUNGU BABA WABARIKI VIONGOZI WETU WENYE MAPENZI MEMA NA NCHI YETU🙏 VIVA JPM
ccm inogire
Tukandamiwe tupate akili za kutafuta
Ulimi auna mfupa
Haaaa love Tanzania
Hadi raha yaaan jinsi wanavyopeana support wakubwa
Wavejaaa saanaaa wavejakuyumbaaa
Hahahaha kwakweli kandamiza
Mwendo wa hip hop kaz kaz maneno badae saf sana
full video
Aendeleh tu kutukandamiza 😱😱😱😱😱
Hans Bwoi1983 ukipendelea kuendelea kukaa tu vijiweni bila kujishughulisha ndio mtakalia maneno hayohayo kila siku kubadirisha maana
Vyuma vya bana
nikiongoz mzur ila sio mzur
Wanawashwa eti!
Hadi raha
Utamu sana kuwa ccm ya jk na jpm penda sana wote jmn
Miss u
Kukandamiza ehhehheee
Raha sana
nzuri hiyo wabeja sana
Raha sana nikisikia wimbohuu uwanaona raa kuzariwa tanzania
@@pendomarco9307 mwabeja mayo
@@kasimmango9269 safi sana