KUFURU ALIYOFANYA PRODUCER S2KIZZY KWENYE MSTUDIO WAKE MPYA, AFUNGUKA DIAMOND HANA SHARE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 20 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 92

  • @nassoromdede350
    @nassoromdede350 2 หลายเดือนก่อน +6

    Shout Out Zombie Mshkaji Yupo Peace Sanaa. Kama Bahati Kukutana Nawe CKu Unachukua Hizo Zulia Za Kwenye studio Zako. Much Respect. We Zombie Haujuiiii🔥🔥🔥Kuhusu Pesa Mzee Ninyingi Wanangu Haongopi.

  • @helpfootball
    @helpfootball 2 หลายเดือนก่อน +8

    Hongera sana s2kizzy nikiwa mkubwa nataka kua kama wewe

  • @dydavinman6374
    @dydavinman6374 2 หลายเดือนก่อน +1

    S2kizzy we ni hataree,,am your Kenyan Fan

  • @BuyTechWithMe-km2zw
    @BuyTechWithMe-km2zw 2 หลายเดือนก่อน +2

    what an inspiration 💥💥

  • @DjNkuthima10000
    @DjNkuthima10000 หลายเดือนก่อน +1

    Nimekubali babá

  • @Rayflix44
    @Rayflix44 2 หลายเดือนก่อน +2

    Backing vocal za komasava uliua Sana, hiyo pia inakufanya uwe producer wa tofauti

  • @yuzzohmr4590
    @yuzzohmr4590 2 หลายเดือนก่อน

    Mungu azidi kukulinda broh umeni inspire kinoma hata mimi sitakata tamaa...one day yes

  • @Commentiting
    @Commentiting 2 หลายเดือนก่อน +2

    12:34 Aight, listen up, fam! So you sayin’, “$10 grand for a basic secession? Bruh, you wildin’! I ain’t droppin’ 10 bands just to learn studio production. Two bands at most, and that’s pushin’ it!” You feel me? 🎤🔥

  • @MackameHassani
    @MackameHassani 2 หลายเดือนก่อน +2

    Skeezzy ni beatmaker mzuri sanaaa ila siyo producer km yy anavyosifia

    • @frankmsaki62
      @frankmsaki62 2 หลายเดือนก่อน +1

      Na wengi wakijua kutengeneza beat bas wanajiita ma producer...Produza ni wakina Mj,majani,Tudd tomas etc huyu anajiona kamaliza😂

    • @Godmaletz
      @Godmaletz 2 หลายเดือนก่อน +1

      😅😅😅😅😅😅napita

  • @Babamaploti
    @Babamaploti 2 หลายเดือนก่อน +1

    Amejaribu sana ela si east africa

  • @boscofidelis6223
    @boscofidelis6223 2 หลายเดือนก่อน +5

    Huyu jamaa ni mnyamaaa

  • @erickAfricatz
    @erickAfricatz 2 หลายเดือนก่อน +1

    We zombie 👁️‍🗨️☠️💀💀💀💀👽👽👽
    Haujui🔥🔥🔥s2kizz ni moto faya ❤
    Like back 🔙🔙

  • @YohanaCharles-ry1kh
    @YohanaCharles-ry1kh 2 หลายเดือนก่อน +15

    Es2kizi ni nooma, huyu mwamba

  • @lilwiz5414
    @lilwiz5414 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dah legeza hio cost angalau iwe affordable kwa maisha ya mtanzania

  • @Boeafrica
    @Boeafrica 2 หลายเดือนก่อน +5

    God bless 🙏

  • @Kudonjoshow
    @Kudonjoshow 2 หลายเดือนก่อน +9

    Congratulation bt sio yakwanza EST AFRICA TEMBEA BRO

  • @goldenstar3966
    @goldenstar3966 2 หลายเดือนก่อน +10

    Huyu jamaaaaaa nimnyamaaaaaaaaa🔥🔥🔥🔥🔥🦅🦅🦅🦅🦅

  • @Baira240
    @Baira240 2 หลายเดือนก่อน +5

    Oya wee zombie limetoroka milembe
    Zombie hizi beat hazipigwagi
    We zombie watakurooga
    Zombie sikutaji humu
    Zombie zombie zombie utatuuwah

    • @flamingofmtz
      @flamingofmtz 2 หลายเดือนก่อน

      KUMBE ZOMBIE NI MWAISAA

    • @yohanamnkande2416
      @yohanamnkande2416 2 หลายเดือนก่อน

      😢

    • @Baira240
      @Baira240 2 หลายเดือนก่อน

      @@flamingofmtz nimesahau ile ya lavalava
      Niko na zombie shetani 😅

  • @ottiefx255
    @ottiefx255 2 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana bro

  • @pascalmusana2137
    @pascalmusana2137 2 หลายเดือนก่อน +3

    Wee zombi 🔥🔥🔥

  • @vladimirputn1809
    @vladimirputn1809 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ndokabaya hivi 😂nikajua ka hendsom

  • @Az__2012
    @Az__2012 2 หลายเดือนก่อน +4

    The focus is not about helping the youth,, unataka kupiga hela tu,, dollar elf kumi😂

  • @frankmgunjimgunji9261
    @frankmgunjimgunji9261 6 วันที่ผ่านมา

    Bora tumekuwa comfortable na interview sio yule mpumbavu alirekod hovyo kutwa kumchukiwa paji la s2kizzy tu pumbav

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 2 หลายเดือนก่อน +2

    Saidia wenzako ndo malipo na shukrani kwa taifa lako achana na makaratasi ya $ 10,000

  • @AwardBillb000ard
    @AwardBillb000ard 2 หลายเดือนก่อน +1

    Bless up S2kizzy

  • @AmaniNasoni
    @AmaniNasoni 2 หลายเดือนก่อน +1

    hap ni vitendo to maneno tupa kule like za kutosha hapa twende sawa❤❤

  • @babalao3250
    @babalao3250 2 หลายเดือนก่อน

    Ila s2kizzy unajisifu zaidi kwani Mondi si ulimpata akiwa big au utupe mfano ni msanii gani umempeleka zaidi mwenye hujapata kwenye gemu tuelezee

  • @JoshuaEsrom
    @JoshuaEsrom 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ni noma

  • @rashowshine7849
    @rashowshine7849 2 หลายเดือนก่อน +2

    Nitakanyaga hapo one day

  • @feezdidthis2220
    @feezdidthis2220 2 หลายเดือนก่อน +3

    apo kwny ada ya academy dollar 10000 ndo alipotuacha maskini... ma producer wa bongo wengi ni wachoyo sana

    • @Fadytunez
      @Fadytunez 2 หลายเดือนก่อน +1

      Angesema milioni moja si kungekuwa kama chekechekea hapo

  • @PhilipoMabula-ky9vs
    @PhilipoMabula-ky9vs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nakubali saaanaa brother big up sema kwa sisi wenye kipato cha chini tutarekord kwel brother?

  • @IshipalemyPasko
    @IshipalemyPasko 2 หลายเดือนก่อน +1

    Hereni kwa wanaune ishakua kitu cha kawaida eti!?

  • @SHAIBUMWAMBUSI-s3y
    @SHAIBUMWAMBUSI-s3y 2 หลายเดือนก่อน

    SEMA S2KIZZY MIHADARATI INAMCHANGANYA SANA ANAJIONA KAMALIZA SABB MOND YUPO KARIBU YAKE SANA ANACHOCHTE KWENYE PROD. WA BONGO KWA HIT YUKO JUU SBB YA MTU ANAEFANYA NAE KAZI LAKN ANACHOCHTE WAKAWAIDA SANA MIHADARATI NDIO INAUHARIBU

  • @jumaibrahim9773
    @jumaibrahim9773 2 หลายเดือนก่อน +1

    Diamond na ww upgrade wasafi lebel imekuwa old

  • @Fadhila0-x7c
    @Fadhila0-x7c 2 หลายเดือนก่อน +5

    BONYEZA PICTURE YANGU UNISAIDIE KUSUBSCRIBE NAWAPENDA SANA ❤❤

  • @JustineOpala
    @JustineOpala 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mwandishi anauliza swali la kitoto sana et dai anashare hapo😂

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 2 หลายเดือนก่อน +1

    Nolidhani mjengo ni wake😅

  • @benjagaspar5304
    @benjagaspar5304 2 หลายเดือนก่อน +1

    Pluto🙌🇹🇿💯

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 2 หลายเดือนก่อน +1

    Zombie kama Zombie 👊

  • @bossandingy412
    @bossandingy412 2 หลายเดือนก่อน +2

    Watutolee uongooo

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 2 หลายเดือนก่อน +1

    We zombiii weee watakurogaaaa

  • @dunstunnchimbi7994
    @dunstunnchimbi7994 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ila Million 27 ni nyingi kwa uchumi wa watanzania tulio wengi. Atapata watu wa kuwafundisha ila wachache. Ila ametumia mbinu nzuri kupunguza watu

    • @Zenny89
      @Zenny89 2 หลายเดือนก่อน

      Wala Sio nyingi..hii itasaidia kuchambua na kutoa wale ambao wanataka Kunyonya..kumbuka anakufundisha Ajira ya maisha.

    • @dunstunnchimbi7994
      @dunstunnchimbi7994 2 หลายเดือนก่อน

      @@Zenny89 Ni kweli. Atawapata vijana wa kipato cha kati na juu. Sisi wengine tumeshaenguliwa.

    • @Zenny89
      @Zenny89 2 หลายเดือนก่อน

      @@dunstunnchimbi7994 Ndo maisha yalivyo..yeye afanyi msahada ni biashara. Hata mwenye Duka anataka mwenye hela ndo aingie dukani kwake.

  • @samolamsille3928
    @samolamsille3928 2 หลายเดือนก่อน +1

    Ukitaka kujifunza producer unatakiwa uwe na Dolla 10000 🤣🤣🤣🤣🤣

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 2 หลายเดือนก่อน +2

    Sawa umeivest zaidi ya 300m je?? Eneo la hiyo ofisi umelinunua pia au umepanga pia??

    • @nover8035
      @nover8035 2 หลายเดือนก่อน +1

      Alijibu, rented

  • @bovismbafumojaofficial
    @bovismbafumojaofficial 2 หลายเดือนก่อน

    Niko DRC🇨🇩

  • @joshuakatumbo3255
    @joshuakatumbo3255 2 หลายเดือนก่อน +5

    Dollar buku 10 😀😀😀

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 2 หลายเดือนก่อน

      26M 😊

    • @rashowshine7849
      @rashowshine7849 2 หลายเดือนก่อน

      ​@@Dipeson700 Nilikuwa na mpango wa kufika hapo lakini siyo kwa pesa hiyo 😢

    • @Dipeson700
      @Dipeson700 2 หลายเดือนก่อน

      @@rashowshine7849 😌

  • @MTOTOWAvitoto
    @MTOTOWAvitoto 2 หลายเดือนก่อน

    Kamati Yako ulonayo usijajaribu kuiacha zombie manake unayoyafanya tunayaona manake huko peke Yako kina watu wanatujua nguvu na akili Ili hayo yawezekane ,,hakika kazaa producers wapate funzo kutoka kwako

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 2 หลายเดือนก่อน +1

    Balaaa

  • @Janubaba-rz2xs
    @Janubaba-rz2xs 2 หลายเดือนก่อน +1

    Producer ghost🎉

  • @amostaita4429
    @amostaita4429 2 หลายเดือนก่อน +1

    Lasima mondi ana isa zake humo

  • @soudytv7471
    @soudytv7471 2 หลายเดือนก่อน +2

    Dollar afkumi kwa semister 😂

  • @Ericksamweli-tt4ov
    @Ericksamweli-tt4ov 2 หลายเดือนก่อน +1

    We zombi 🔥🔥🔥❤❤🔥🔥

  • @Youngmedi806
    @Youngmedi806 2 หลายเดือนก่อน +2

    Likes kwa s2kizzy

  • @lazaromwambene4516
    @lazaromwambene4516 2 หลายเดือนก่อน +1

    ❤❤

  • @luganojohn2673
    @luganojohn2673 2 หลายเดือนก่อน +3

    ✅️✅️

  • @verbalverbal2019
    @verbalverbal2019 2 หลายเดือนก่อน +1

    Sasa producer chipukizi 20k$ anazitoa wapi? Au anataka kufundisha watoto wa viongozi na na watoto wa wafanyabiashara wakubwa?

  • @Officialbabu_Beatz
    @Officialbabu_Beatz 2 หลายเดือนก่อน

    bro yupo normal sana ila naamin akitoka yeye nafata mm coz technique ambazo anatumia na mm ndo natumia now.

  • @LizenMaker
    @LizenMaker 2 หลายเดือนก่อน +1

    🙌🙌🙌🙌

  • @Rauhiyaqueen
    @Rauhiyaqueen 2 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi nakukubali miaka100

  • @bovismbafumojaofficial
    @bovismbafumojaofficial 2 หลายเดือนก่อน

    HI niki taka ji funza beat nikiwa inze ya Tz, nita pokelea kama ndio tuta fanyaje..?

  • @nellygmbeats5222
    @nellygmbeats5222 2 หลายเดือนก่อน +2

    IF YOU KNOW WANENE LIKE HAPA

  • @jilanimartin1620
    @jilanimartin1620 2 หลายเดือนก่อน +3

    Weee Kuna mastudio hii ni chumba Cha kurecord tu usiseme east Africa ni kubwa.hio mixer kwanza ata bado.kuna studio Zina vifaa weee

    • @Bmtstudiostz
      @Bmtstudiostz 2 หลายเดือนก่อน +1

      Analog mixer
      Anatakiwa atuletee digital mixer

    • @rashowshine7849
      @rashowshine7849 2 หลายเดือนก่อน +2

      Studio siyo vifaa ni uwezo na ubunifu wa producer unaweza kuwa na magitaa ma violin na hata saxophone lakini kupiga huwezi mwenzako ako na PC too akatengeneza mziki mkali

  • @suleimankitango
    @suleimankitango 2 หลายเดือนก่อน +1

    we zombiiii

  • @mohammedgumbo4633
    @mohammedgumbo4633 หลายเดือนก่อน

    UNATOBOA SIKIO PUA MTOTO WAKIUME UNATAKA NINI KWAWNAUM WENZIO HUWO NI USENGE ALAFU UKIJA KUZINGATIA UNAJINA LA KIISLAM

  • @chui99
    @chui99 2 หลายเดือนก่อน +1

    Kumbe zombie mwaisa

  • @rajumrecords711
    @rajumrecords711 2 หลายเดือนก่อน +2

    Komasava ni wimbo wa kawaida . Account ya Diamond iko na subcribers 8M. Komasava haijafikisha hata 6M Views toka itoke. That means it's not a hit song

    • @wahshiy-dizzier-nm5rx
      @wahshiy-dizzier-nm5rx 2 หลายเดือนก่อน +1

      Toa yako mzee ifike viewers B mze

    • @SajoAbel
      @SajoAbel 2 หลายเดือนก่อน +1

      Duh ila watu wanachuki binafsii

    • @HeriRamadhan-q7m
      @HeriRamadhan-q7m 2 หลายเดือนก่อน +1

      We msenge Kuna msanii Gani bongo anaweza kama mondi , huna akili Kuma wewe, unachokiandika hata hauelewi , Komasava ndani ya siku kumi TU itafikisha views mi.10 tulia uone fala wewe

    • @WhatWow-l4s
      @WhatWow-l4s 2 หลายเดือนก่อน

      Kuma la mamaako