MAAMUZI SAHIHI YA KUINGIA KATIKA NDOA || PASTOR GEORGE MUKABWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 27 ส.ค. 2024

ความคิดเห็น • 42

  • @mercynafula6905
    @mercynafula6905 หลายเดือนก่อน

    Asante sana mtumishi wa mungu,,hii mafundisho ni ya ukweli mimi nlijiingiza kwa ndoa mapema,sai Sasa mimi ni mama wa watoto wawili na tuliachana sai nko kwetu ,lakini namushukuru mungu kwa kukutuma uje ukatuokoe🙌🙏👏👏

  • @FurahaMwasila
    @FurahaMwasila หลายเดือนก่อน

    Namshukuru Mungu somo ili nimelipata wakati bado sijaoa na nmejifunza jambo barikiwa sana mchungaji

  • @user-qv5xw4zm6y
    @user-qv5xw4zm6y หลายเดือนก่อน

    Asante sana kwa mafundisho mazuri .God bless u

  • @everinemasoka6923
    @everinemasoka6923 2 หลายเดือนก่อน

    Amen

  • @salimajosephine1673
    @salimajosephine1673 ปีที่แล้ว +2

    Munguwangu hayamambo ningeyajuwaka mapema singekuwa jinsi nilivyo leo basi isaidiye basi watoto wa ngu

  • @happyshoo-to5sn
    @happyshoo-to5sn 5 หลายเดือนก่อน +1

    Barikiwa sana Mtumishi nmejifunza vingi sana hapa kwako

  • @terrynjuguna5602
    @terrynjuguna5602 11 หลายเดือนก่อน

    I found this church on TH-cam. I have been watching all the videos and I've been taught a lot. Thank you for allowing God to use you to teach the word. Much love from Kenya

  • @annekombo6945
    @annekombo6945 4 หลายเดือนก่อน

    Pastor asante kwa huu ujumbe,haya ndo makosa nilifanya sahi sina ndoa lakini naamini Mungu atanibariki na ndoa sahihi

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 ปีที่แล้ว +1

    Hili somo limenipa utulivu kabisa na umakini sana blessed dady

  • @edwinonsombi
    @edwinonsombi ปีที่แล้ว +1

    Ameni asente kwa somo hili

  • @user-ud8jq4ez4h
    @user-ud8jq4ez4h 11 หลายเดือนก่อน +1

    Mimi ni mama,I wish ningepata his somo kabla sijaoleka,singefanya uamuzi mbaya but bcoz sikujua ,God help me and rem my marriage.

  • @beammicrocredit
    @beammicrocredit ปีที่แล้ว

    Ahsante pastor kwa SoMo zuri MUNGU nisaidie nijue kuijenga ndoa ya badae Amen.

  • @davidmghanga8502
    @davidmghanga8502 ปีที่แล้ว

    Eee asante umejaa neema ya kufundisha bila kuchoka

  • @estherwilliam5125
    @estherwilliam5125 ปีที่แล้ว

    asante mtumishi, tunaomba sehemu ya pili somo hili

  • @veronicanzingula5426
    @veronicanzingula5426 ปีที่แล้ว

    Amina sana pastor, Somo hili limekuja wakat ulio sahihi.

  • @user-nf5gi5ru4s
    @user-nf5gi5ru4s 9 หลายเดือนก่อน

    Amina,umenifungua baba ubarikiwe sana

  • @joyceezidory9276
    @joyceezidory9276 5 หลายเดือนก่อน +2

    𝙹𝚊𝚖𝚊𝚗 𝚑𝚞𝚢𝚞 𝚙𝚊𝚜𝚝𝚊 𝚢𝚞𝚔𝚘 𝚠𝚊𝚙𝚒

  • @Jenvier-jz2lg
    @Jenvier-jz2lg ปีที่แล้ว

    Baba yangu unanibariki xna ni Léonard tka Drc Congo

  • @yoshuamwakisopile8212
    @yoshuamwakisopile8212 ปีที่แล้ว

    Asante sana Yesu!

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 ปีที่แล้ว

    Baba Neema ya kufundisha mafuta iko juuu

  • @stephanosospeter1709
    @stephanosospeter1709 ปีที่แล้ว

    Ameen

  • @hagailumbwe9146
    @hagailumbwe9146 ปีที่แล้ว

    Ubarikiwe sana Baba

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 ปีที่แล้ว

    Mafunzo ya baraka sana

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 ปีที่แล้ว

    Baba Asante sana ukweli hayo yapo wazi

    • @IdrissPrecious
      @IdrissPrecious ปีที่แล้ว

      Mungu mwema azidi ku kubariki baba mchungaji umekuwa baraka saana ningelikuwa tz ningelikuwa mushorika wako kabisa

  • @thomasgervas5883
    @thomasgervas5883 ปีที่แล้ว

    Amina

    • @marianguli7994
      @marianguli7994 ปีที่แล้ว +1

      Asante Pastor unatufundisha vitu vizuri sana na ni mafundisho adimu sana

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 ปีที่แล้ว +1

    Kukosea ndoa nikitu kigumu mno

  • @giftmuchai2106
    @giftmuchai2106 2 หลายเดือนก่อน

    Am so sorry me😢

  • @mildredsakali2243
    @mildredsakali2243 ปีที่แล้ว +2

    Pastor naomba uzungumzie kwa kina jinsi ya kuvunja mahusiano mabaya au kuvunja agano la ujumba mbaya please 🙏

  • @joycewambui2270
    @joycewambui2270 ปีที่แล้ว +1

    Afadhali kuishi pekee kuliko ndoa rong

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 ปีที่แล้ว +1

    Baba ukweli umenigusa hadi nimejisikia kulia ukweli ni mateso mabaya na magumu Sana kulazimisha ndoa sababu ya kupa mimba ni mateso yasiyoelezeka ni mateso ambayo yanakupa nafasi ya kuogopa hata kuingia kwenye mahusiano na kuogopa hata waliomuhimu maana kila ukikumbuka unakumbuka makosa ya yule aliyekosa

    • @RizikiMarie
      @RizikiMarie ปีที่แล้ว

      Niatari sana ndugu yangu sisi wengi tulihingia tukiwa miaka 15 na nusu nikulia tu kwa hii somo

    • @davidmghanga8502
      @davidmghanga8502 ปีที่แล้ว

      🎤

    • @ChristinaSanga-pl5jm
      @ChristinaSanga-pl5jm 10 หลายเดือนก่อน

      Kwa kweli mtumishi hili somo ni muhimu sana ingekuwa ni vyepesi lifundishwe kupitia TBC taifa au ITV

  • @Udindigwa
    @Udindigwa ปีที่แล้ว

    Jioni leo Nimefatilia Tena Kipindi hiki Kuzuri SANA Mungu Asimame Nawe Uzidi Kutujenga Unamchango Mkubwa SANA

  • @amedesamki425
    @amedesamki425 11 หลายเดือนก่อน

    Kinywa cha kuhani kitatoa maarifa ya kuendesha ndoa kama maarifa ufahamu na busara

  • @upendomollelu7260
    @upendomollelu7260 ปีที่แล้ว

    Kweli poster umenifundisha ukweli mtupu Mungu akutunze.

  • @fastprostudioclips4528
    @fastprostudioclips4528 3 หลายเดือนก่อน

    nisaidieni number ya mchungaji

  • @JumaNussura
    @JumaNussura 10 หลายเดือนก่อน

    Mm ñi màmà nilimtege.meà muñgu kwenye ndoà

  • @HezronZacharia-vi4kv
    @HezronZacharia-vi4kv ปีที่แล้ว

    Unapatikana wapa pastor?

  • @fastprostudioclips4528
    @fastprostudioclips4528 3 หลายเดือนก่อน

    Amen