Mimi ningependa kutoa ushuhuda wangu.kuna somo ulitoa 2023 mwezi wa nne,kichwa kilikuwa ni IMANI HALISI.nimeisikiliza juzi na wakati wa maombi ulipofika ukaitana hivi....mtu yeyote Ana jambo lililoko mbele yako ambalo linakutisha.mimi kwa kweli nilikuwa ninaumwa kwa siku Tatu hivi kwa upande wa ini.niliamini kwamba maombi yalikuwa yangu kabisa...baada ya naombi mtumishi nishuhudie kwamba maumivu yalipotea na mpaka Leo siumw kabisa,nimepona.sifa na utufu ni kwa mungu....mkenya nairobi
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Nîme shiriki ibada toka nyumbani mwangu apa GOMA, Kivu ya KASKAZINI, D.R.C Nina omba msaada kwa pasta MMBAGA ya maombi kuhusu kazi yangu ya upasuhaji wa mabati na mkaa amboyo ina kwama MUNGU anisaidie nipate 'amna ya kuya tosha msituni na kuya fikisha sokoni Mimi ni LUSANGI WABEKA WILLY Asante
Amen amen amen pastor. Mungu anazidinkukutumia na hakika unanibariki. Wakati mwingine nakosa kabisa muda lakini kidogo ninaopata nakufwatilia sana na mahuniri yako yamenitoa mbali sana.
Aksante sana pastor, nimebarikiwa sana. Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema kwani naamini baba yetu wa Mbinguni amekuandaa ili uongoe roho za watu wengi zaidi ya walioisha ongoka. Hakika masomo na mafundisho yako ni unique na yanagusa maisha yangu katika namna ya pekee . Masomo yako nikiyasikiliza kila siku kabla sijalala na kuwa nalala na imani thabiti ready to face the next day kwa imani kwamba usiku wote sihitaji hofu. Ninapoyasikiliza Asubuhi yananifanya nione nishafanikiwa katika plan zangu za siku na kuondokana na mawazo mabaya yanayonionyesha kwamba mimi sio mshindi. Aksante my pastor kwa kunifundisha kwamba kitendo cha kwamba nilizaliwa mimi tayari ni mshindi .....statement hiyo inanipa nguvu na ujasiri wa kiutendaji. Aksante pastor kwa mafunuo mazuri.
Tumshukuru Mungu kwa kutupatia mtumishi wake pastor mmbaga atupatia ujumbe kutoka kwa Mungu mwenyewe Mungu mbariki mtimishi wako nabarikiwa sana na pastor mmbaga
Asante muchungaji naombi moja kwa Siku 10ya maombi napenda mungu anilinde Pia napate kujuwa namna ya kufundisha Neno lake takatifu , niwe kama wewe muchungaji
GOD amuses me every day and i thank Him for the sermon because you preached what i was praying for i have no doubt that God is talking to me and He has answered my prayer
Amen Amen growly to JESUS mjungaji jm blessed niko nakijana anakunwya pombe vibaya anitwa Daniel naiitaji maombi yako namini mungu atatenda yalio mema jm in saudi
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Nabarikiwa na Maombi na mahubiri yako, Mchungaji naomba uniombee Mungu anijaze roho mtakatifu, watu ninaowadai wanilipe pesa zangu niliowakopa, nipate ujauzito ndani ya mwaka huu
Makufuatilia sana mchungaj japo mimi sio msabato... ubarikiwe na Mungu.
Nabarikiwa sana kwa haya mahubiri, Bwana aendelee kukutumia vyema. Hakika tutamshuduia Mungu kwa makuu anayotenda maishani mwetu.
Mimi ningependa kutoa ushuhuda wangu.kuna somo ulitoa 2023 mwezi wa nne,kichwa kilikuwa ni IMANI HALISI.nimeisikiliza juzi na wakati wa maombi ulipofika ukaitana hivi....mtu yeyote Ana jambo lililoko mbele yako ambalo linakutisha.mimi kwa kweli nilikuwa ninaumwa kwa siku Tatu hivi kwa upande wa ini.niliamini kwamba maombi yalikuwa yangu kabisa...baada ya naombi mtumishi nishuhudie kwamba maumivu yalipotea na mpaka Leo siumw kabisa,nimepona.sifa na utufu ni kwa mungu....mkenya nairobi
Amen 🙏
Amen
Pasta asante,niombee iliniwe n'a hekima,nimpende mungu tena zaidi, naomba Salama katika unyumba wangu,watoto wangu wakomae wakimpenda mungu
Asante kwa baraka hiii kubwa,mimi ni amosi toka kongo
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
Nîme shiriki ibada toka nyumbani mwangu apa GOMA, Kivu ya KASKAZINI, D.R.C
Nina omba msaada kwa pasta MMBAGA ya maombi kuhusu kazi yangu ya upasuhaji wa mabati na mkaa amboyo ina kwama
MUNGU anisaidie nipate 'amna ya kuya tosha msituni na kuya fikisha sokoni
Mimi ni LUSANGI WABEKA WILLY
Asante
Barikiwa Pastor Mungu azidi kukuinua na kukutunza nabarikiwa sana na mafundisho yoteeee yako utunzwe na Bwana
Amen amen amen pastor.
Mungu anazidinkukutumia na hakika unanibariki.
Wakati mwingine nakosa kabisa muda lakini kidogo ninaopata nakufwatilia sana na mahuniri yako yamenitoa mbali sana.
Asante sana kwa siku 10 za maombi, hata karibu na kwetu hakuna maombi ya siku kumi, nimeshukuru kupata mpango huu, barikiwa
Nime Barikiwa Sana sana Barikiwa mtumishi
Nabarikiwa mnooo na mahubiri haya pr Mbaga.Niombee Binti yako olpa Jeremiah fanuel wa Kivule msongola.Nasumbuliwa mnooo na kuvimba miguu😭🙏🙏
Naamini Mungu hujibu maombi tukiamini
Aminaaaaaaa pastor mungu akubaliki Kwa somo zuri sana
Nabarikiwa sana na mahubiri mazuri na mungu akubariki 🙏🙏🙏🙏
Mungu azidi kukutunza pastor
Kanzi ya bwana tuko tnabalikiwa sana mm na familia yetu yote mungu akulinde na ww
mungu wetu aku bariki papa pasta
Nabarikiwa na neno la mungu
Aksante sana pastor, nimebarikiwa sana. Mungu akupe maisha marefu yenye afya njema kwani naamini baba yetu wa Mbinguni amekuandaa ili uongoe roho za watu wengi zaidi ya walioisha ongoka. Hakika masomo na mafundisho yako ni unique na yanagusa maisha yangu katika namna ya pekee . Masomo yako nikiyasikiliza kila siku kabla sijalala na kuwa nalala na imani thabiti ready to face the next day kwa imani kwamba usiku wote sihitaji hofu. Ninapoyasikiliza Asubuhi yananifanya nione nishafanikiwa katika plan zangu za siku na kuondokana na mawazo mabaya yanayonionyesha kwamba mimi sio mshindi. Aksante my pastor kwa kunifundisha kwamba kitendo cha kwamba nilizaliwa mimi tayari ni mshindi .....statement hiyo inanipa nguvu na ujasiri wa kiutendaji. Aksante pastor kwa mafunuo mazuri.
Ubarikiwe sana pastor Mmbaga kwa mafudisho mazuri MUNGU azidi kukutunza pamoja na familia yako na barikiwa sana na mafudisho yako Baba yangu
Tuombeye mungu atupe nguvu ya roho mtakatifu
Tumshukuru Mungu kwa kutupatia mtumishi wake pastor mmbaga atupatia ujumbe kutoka kwa Mungu mwenyewe Mungu mbariki mtimishi wako nabarikiwa sana na pastor mmbaga
❤utusaidie mungu baba tukupende zaidi ya yote🤦♀️
Mungu akubariki
Barikiwa sana
Barikiwa Mchungungaji.Tumepata mengi.
Pr,niombee niponye magonjwa na ndoto zinazonisubua mimi na familia yangu.
Nakuelewa sana pastor naitwa risper juma Niko hapa kigambon
Mungu akutumiye watu maelfu waokolewe sifa nikwa Mungu
Ubarikiwe sana mutumishi wa Mungu
Mwalimu mzuri sana. Nashukuru sana pasta
Pastor hakika nimebarikiwa sana na hili somo
Mungu azidi kukulinda Pastor Mmbaga 🙏
Ameen,nami naomba boss wangu anisikilize siku za ibada aweze kuniruhusu
Amen Mungu atubariki sote
Amen
Pr Mungu akubariki kuna changamoto kwenye hili somo kuna sehem sauti haisikiki maana nimelidowlord naamini litafanyiwa kazi
Kweli Pastor niombee kusimama na neno la Mungu na Roho Mtakatifu
Asante muchungaji naombi moja kwa Siku 10ya maombi napenda mungu anilinde Pia napate kujuwa namna ya kufundisha Neno lake takatifu , niwe kama wewe muchungaji
ameen pr
Somo nzuri sana , nimebarikiwa
barikiwa muchungaji mimi ombi langu kubwa ni kwamba mwisho wa siku kumi niwe nime pata karama ya uponyaji
Nimebarikiwa sana na somo hili
Aminaa Mungu aendelee kukutumia nabarikiwa sana
Amen🙏🏽
Barikiwa mchungaji,tumepata mengi.
Ubarikiweeee saana mchungaji
Mungu n mwem n barikiwa n mahubir Aya kupitia chanel muhubir tv asanten
GOD amuses me every day and i thank Him for the sermon because you preached what i was praying for i have no doubt that God is talking to me and He has answered my prayer
Pasta niombee nizidishe ukaribu na mungu
Amen ubarikiwe sana
Amen ni Imani yangu kuwa ndani ya siku kumi za maombiBwana ataleta badiliko kubwa kwa walio lake. Be blessed all.
Umenilea Sana kuroho
Barikiwa sana
Glory to God
God is Great. Thanks pst David
Prayformorher
ameen mungu sikia maombi yetu
God is good, Pr.
Mchungaj naomba nsaidie kuombea familia yangu tuepushiwe na magonjwa
Hakika Mungu anatenda amini
Pasta nami najekeka sana namafundicho yako.mimi natoka kwenye inchi ya congo.uniombeye nami nipate mtoto kwenye ndoa yangu
Mungu atukuzwe Mtumish Mungu akubariki kwahuduma
Hakika Mungu atufungue kupitia siku 10 za maombi.
Amen Amen. May God bless you all.
Amen Amen growly to JESUS mjungaji jm blessed niko nakijana anakunwya pombe vibaya anitwa Daniel naiitaji maombi yako namini mungu atatenda yalio mema jm in saudi
Mungu atende muujiza kwa Daniel. Ninamuombea
@@MahubiriPrMmbaga Amen Amen growly to JESUS mjungaji naamini
Wapi hapa
Amina amina
Jaman naomba muniombee katika jozi zangu nataka kuwa mtumishi shambani mwa Bwana
Amina mungu akutendee sawa sawa na mapenzi yake be blessed
Mungu wangu naomba unisaidie nipate muda wa kuongea nawe.
Asante sana kwakuwa unatenda.
Barikiwa pr.
Katika maombi haya mungu afungue watu wake
Niombeee Mungu aendelee kusimama na Mimi Kwenye changamoto za maisha
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Yesu anaendelea kujikaza na ninabarikiwa na kipindi hiki maana nazidi
Kujua siri ya maombi sasa
Nimependa mahuburi haya. Mwenye no yake jamani naomba
Naomba ile namba ya kutuma maombi
Naomba msaada mwenye number ya Pastor Mmbaga
Me pia nahitaji no ake
Samahani naomba kujua mnarusha kutokea wapi
Nahita kumpenda MUNGU kuliko kitu chochote
Tuombe pia tumshinde shetani kabisa asipate nafasi hata kidongo
Ubarikiwe Sana pasted,naomba uniombee niwe wakumpendeza Mungu na wanadamu,na nipate mume wangu wakunipendeza
Ni mbaraka mwingine tena wa siku 10 za maombi, tunaamini tutaendelea kutua mizigo, tutainuliwa kwa namna ya pekee na tutawekwa huru in the name of Jesus amen.
Mungu akubariki
Mungu azidi kukutunza pastor
Amen
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Mungu azidi kukutunza pastor
Amen
Mungu azidi kukutunza pastor
Amen
Amen
Amen
Amen
Amen
Nabarikiwa na Maombi na mahubiri yako, Mchungaji naomba uniombee Mungu anijaze roho mtakatifu, watu ninaowadai wanilipe pesa zangu niliowakopa, nipate ujauzito ndani ya mwaka huu
Naomba msaada wa number ya pastor mmbaga
Amen