Maisha ya SAMATTA na majirani NYUMBANI kwake/ mlinzi wake afunguka mazito

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 15 ต.ค. 2024
  • Mlinzi wa nyumba ya Samatta afunguka namna alivyopata kazi ya kulinda nyumba hiyo.
    #Samatta #AstonVilla #TFF

ความคิดเห็น • 74

  • @khamiswilangali9500
    @khamiswilangali9500 4 ปีที่แล้ว +7

    Interview imetulia sana big up Dar 24. Pia naomba namba ya huyo jamaa anae tengeneza hayo makuti au Dar 24 naomba mnielekeze hadi nyumbani kwa huyo jamaa wa makuti Filbert Petel

  • @Balaka-cq8qq
    @Balaka-cq8qq หลายเดือนก่อน

    Upo safi

  • @sakiman8825
    @sakiman8825 4 ปีที่แล้ว +7

    This is private property has the owner given you permission to enter yes or no?

  • @mohdshebe5640
    @mohdshebe5640 4 ปีที่แล้ว +5

    Duhhh ramani kma nyumba yangu ya tunguuu ( zanzibar)

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 2 ปีที่แล้ว

      Tunguu ya uwandani au ya wap?

  • @MedadjamesNhalelo
    @MedadjamesNhalelo 18 วันที่ผ่านมา

  • @sadicklazalo2296
    @sadicklazalo2296 2 ปีที่แล้ว +1

    Nice Sana player wetu waTanzania

  • @agabalufulani7247
    @agabalufulani7247 4 ปีที่แล้ว +1

    Good job, great of Samatta, keep it up and big up

  • @zainabmwengela5987
    @zainabmwengela5987 4 ปีที่แล้ว +2

    Naingia moja kwa moja kwenye point punguza maneno mengi

  • @allykessy-w2q
    @allykessy-w2q 7 หลายเดือนก่อน

    Ulitengea tofauti ya hiyoo jeewewe UNAYOOO ACHA KUROPOKA 11:28

  • @JanethMathayo-ys3km
    @JanethMathayo-ys3km 6 หลายเดือนก่อน

    Yuko vizur Sana

  • @tatoorashedi1787
    @tatoorashedi1787 3 ปีที่แล้ว

    Hongera umejitahidi

  • @shebbybongo567
    @shebbybongo567 4 ปีที่แล้ว +7

    Ogirinal, kama umesikia mtangazaji kachapia gonga like

  • @victusnesphory1861
    @victusnesphory1861 4 ปีที่แล้ว

    Hapo hata kama ingekuaje bado angesifiwaa. Tuu maana teyari ana maisha na yuko njeee

  • @phiniasphinias8963
    @phiniasphinias8963 4 ปีที่แล้ว

    Sasa mbona hujaingia ndani boss,,au umepigwa ban kuingia huko?

  • @onesmomassawe6230
    @onesmomassawe6230 4 ปีที่แล้ว +4

    unaongea sanaaa bhnaaa tuoneshe vtu vya msng kwa,waktiiii

  • @malopemaliyamungu5243
    @malopemaliyamungu5243 2 ปีที่แล้ว +1

    Wee mtangazji acha kutu-advice, wewe ndio uweke akiba angalau uanze kujitegemea. Acha kutokea kwenu utokee kwako sasa.

  • @rajabually8659
    @rajabually8659 2 ปีที่แล้ว +2

    Jamaa namkubali sana

  • @kanyemkambwana1589
    @kanyemkambwana1589 2 ปีที่แล้ว +1

    Dauka somba kichwa kibovu nakumbuka vurugu zako za chuo hahahahahaha kijana hatar sana ww

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 2 ปีที่แล้ว

    Hujui hata kuongea

  • @aceotz2579
    @aceotz2579 4 ปีที่แล้ว +3

    Kipenzi cha watanzania😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍❤❤❤😙😙😙❤❤❤😍😍😍😙😙😙

  • @amosijustine9148
    @amosijustine9148 3 ปีที่แล้ว +1

    Acha maneno yako wewe watu tunatumia mb zetu kujua vitu sio maneno yako mb zangu umemaliza bure tu

  • @swahilinetwork7631
    @swahilinetwork7631 4 ปีที่แล้ว +1

    Home Swit Home

  • @EliyaJesis
    @EliyaJesis ปีที่แล้ว

    Be animation football academ ia weather king now

  • @Edwardmtaya-zc4iq
    @Edwardmtaya-zc4iq ปีที่แล้ว

    Good

  • @salamakombo3257
    @salamakombo3257 4 ปีที่แล้ว +2

    Daimond hana km iyoo duuh

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 2 ปีที่แล้ว

    Hongera Sana samata

  • @RehemaChap3
    @RehemaChap3 8 หลายเดือนก่อน

    Jamani acheni wivu mjenge na nyie zenu kama mbaya utakuta hata slop kwenu hakuna

  • @mashaurivicent4028
    @mashaurivicent4028 8 หลายเดือนก่อน

    Labda ni nyumba ya mama yake , ni nyumba ya kawaida mno kwa pesa aliyonayo.

    • @Munyama675
      @Munyama675 8 หลายเดือนก่อน

      Duh

  • @Mswanotv
    @Mswanotv 4 ปีที่แล้ว

    Huyu jamaa n mtangazaji namkubali Sana hapa TZ

  • @allymukhsin2962
    @allymukhsin2962 7 หลายเดือนก่อน

    Bongo usenge mwingi sana asa hiki ndo nn kmmke

  • @mablukmawazo7291
    @mablukmawazo7291 2 ปีที่แล้ว

    Haa wapi bia tam

  • @msowanelson5452
    @msowanelson5452 4 ปีที่แล้ว

    Kolona mmekosa hadi vya kureport

  • @stevensalvatory503
    @stevensalvatory503 3 ปีที่แล้ว

    Mjengo mkali sana

  • @coldfayahmistari254
    @coldfayahmistari254 4 ปีที่แล้ว +2

    Upuzi mtupu,katafuteni basi na kishuzi chake cha rangi gani.

  • @allychindema8875
    @allychindema8875 4 ปีที่แล้ว

    👍

  • @ramadhanishabani6017
    @ramadhanishabani6017 4 ปีที่แล้ว

    Sawa dogo hamisi makamba

  • @eliazarinyakiema1969
    @eliazarinyakiema1969 2 ปีที่แล้ว

    Too much talking

  • @tatuhussein1942
    @tatuhussein1942 4 ปีที่แล้ว

    Wasanii was kisukuma

  • @queenmwasanguti2370
    @queenmwasanguti2370 4 ปีที่แล้ว

    Muwekeen barabara kaitangaza nchi kimataifa.

  • @stivenmoshi960
    @stivenmoshi960 4 ปีที่แล้ว

    Mhhhh

  • @du8284
    @du8284 4 ปีที่แล้ว

    😂😂😂nakuimba kabisa

  • @saidsinani8765
    @saidsinani8765 4 ปีที่แล้ว +1

    Nyumba ni yakawaida sana haiendani na ustaha wake has a 255 chaampion

  • @sofianibarua8770
    @sofianibarua8770 4 ปีที่แล้ว

    S

  • @Robust78
    @Robust78 4 ปีที่แล้ว +2

    Ukikosa habari za kuhabarisha umma basi hata umbea unakua habari muhimu za kutangaza. Sasa Kama nyumba yake imekamilika au haijakamilika inahusu??

  • @sahilygwisu3183
    @sahilygwisu3183 4 ปีที่แล้ว

    😂

  • @simonanthonykayombo6913
    @simonanthonykayombo6913 4 ปีที่แล้ว

    Punguza maneno mtangazaji

  • @shaadenshaduni7755
    @shaadenshaduni7755 4 ปีที่แล้ว

    Mbea

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 2 ปีที่แล้ว

    Stegemei kuona mtu maarufu kama huyo anaelipwa pesa nyingi afu ajenge nyuma ya kawaida kama hio! Nyumba ya kawaida sana hio, Nyumba hio haiendani na kipato chake! Yakawaida sana wala sio ya kusfia!

    • @yudadaniel4867
      @yudadaniel4867 2 ปีที่แล้ว +2

      ww naeee unajua ata bei ya mfuko mmoja wa cement kweli? au unaongea ongea tu kama bata anae harisha

    • @danieljoseph1610
      @danieljoseph1610 2 ปีที่แล้ว

      We huna akili hata kidogo! Unaongea manini hayo mbele za watu?

    • @magigesabai8674
      @magigesabai8674 2 ปีที่แล้ว

      Acha mambo yako wew unayo? Kla mtu na plan yake ,je unajua ana nyumba ngapi? Fuatilia utagundua nyumba kubwa ni ya bishara ya kuishi u unajenga size yako, wew ulitaka ajenge kubwa kam Hotel?

    • @Munyama675
      @Munyama675 8 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂 hiyo nyumba ni ya Kawaida? Una akili timamu lakini?

  • @ernestdismaseryd1677
    @ernestdismaseryd1677 4 ปีที่แล้ว

    th-cam.com/video/WRnrWuXh7cA/w-d-xo.html duuuh

  • @fatumasabuni2695
    @fatumasabuni2695 7 หลายเดือนก่อน