Tazama Simba ilivyopgishwa 'gwaride' na Tanzania Prisons (1-1) | Highlights - VPL 10/03/2021
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 9 มี.ค. 2021
- SIMBA vs PRISONS: Luis Miquissone ameinusuru Simba na kichapo cha Tanzania Prisons katika mchezo wa ligi Tanzania Bara kwa bao ya kusawazisha la dakika ya 90+5, kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa Dar es Salaam baada ya Salum Kimenya kuitanguliza Prisons dakika ya 56.
Katika mchezo huo Simba walikosa penati iliyopigwa na Chris Mugalu na kupanguliwa na Jeremiah Kisubi lakini pia wakapata pigo kwa beki wao Jumanne Elifadhili kutolewa nje kwa kadi nyekundu.
Haya hapa magoli, kadi nyekundu na mkwaju wa penati
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Ndo mara yangu ya kwanza kumsikia Baraka Mpenja akisema tumsifu yesu Kristu
PRISONS HAWAJUI MPIRA BALI JUDOOOO
ila simba tunapigwa vita kweli....sasa Gwaride gani na sisi ndo tumewashambulia mwanzo mwisho 😂😂😂
Hongera niwape wachezaji wetu kiukweli simba tumeucheza mpira mwingi sana sema bahati haikuwa yetu hii imekwisha pita sasa kilichobaki nikuangalia mchezo ujao.
Daaa kagere angekuwepo hapo tungekuwa na magoli mengi sanaa
Hamnaa mpira hukoo kwa prison wanacheza hvoo ili wasajiliwe simba sijuii😂😂😂🤣 goli la mugalu ni goli halali kabisa
SIMBA WANAKIPIGA BALAAAAA
Coach asimuache morisson nje cz ni best kuliko chikwende
Mpira kacheza simba,rafu kacheza prisons
Kocha wa simba anazingua kagere ni bora kuliko huyo mgaru hata chikwende bado kwa Morrison tatizo makocha wetu uswahiba mwingi katika mechi mm binafsi kagere ni bora kuliko mgalu ila pale simba maigizo mengi sana
Was 🔥
Leo tarehe 13 naangalia hii,, nikisubiri African super cup
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Simba bola🎉🎉❤
Werr
Ilikuwa mechi ya do or die
Makolo mpk leo bdo wanasumbuliwa na prison
Miquissone
Hii mechi bana
Mpila