TFF YATOA MAAMUZI SAKATA LA CHAMA NA SIMBA JUU YA RELEASE LATTER YA KUICHEZEA YANGA MSIMU UJAO..

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 24 ส.ค. 2024
  • #BATTLETV

ความคิดเห็น • 119

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks หลายเดือนก่อน +2

    Swala la chama niushamba TU mchezaji kamaliza mkataba shida labda hawa Simba na tff ndo tatizo katika mpira wetu huu wanaturudisha nyuma Kila siku

  • @user-yz6ds9hn9l
    @user-yz6ds9hn9l หลายเดือนก่อน

    Hawa yanga hawachui mchezaji kwa utaratibu waanza kumpa rushwa acheze chini ya kiwango hayo yamefanyika kwa chama na wenzake serikali inajua inafumbamacho kwakuwa mawaziri wa serikali wapo humo wanachangia jeuri hiyo,

  • @usiniguse
    @usiniguse หลายเดือนก่อน +3

    Mchezaji Kama alikuwa huru release later ya Nini? Si aende tu. Acheni ushabiki. Kama amemaliza mkataba Thank you ya Nini?

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน +3

    TIMU ZOTE ZIFUATE UTARATIBU WAKUCHUKA WACHEZAJI NA NYIE ONGEENI KIMPIRA USIONGEE KIMAPENZI YA TIMU

  • @AlfredMwakabana
    @AlfredMwakabana หลายเดือนก่อน +2

    Mkiwa wachambuzi wachane ukweli watoe ujinga kwani ni aibu kwa vilabu vyetu mchezaji ni haki yake kimaisha yake

  • @JafarOmar-b1u
    @JafarOmar-b1u หลายเดือนก่อน

    sasa iv wachezaji wakubwa watakuja kuchezea timuiyo wataogopa ayo wanajiferisha

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g หลายเดือนก่อน +3

    Wapende wasipende watatoa

  • @ThobiasBarnaba-fs6pv
    @ThobiasBarnaba-fs6pv หลายเดือนก่อน

    Moto uwake

  • @user-yr4pv2vj7m
    @user-yr4pv2vj7m หลายเดือนก่อน

    Chama ata wafira.nyie makoro msim uuuuuu

  • @christianjohnmwalugaja8090
    @christianjohnmwalugaja8090 หลายเดือนก่อน

    Hao Jamaa (Simba) wanashirikiana na Karia. Karia tuachie mpira wetu. Bado unaupotosha sana mpira wa Tanzania.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Yani umsajiri mchezaji wakati akiwa kwenye mkataba arafu unasema Karia kafanya nini acha uchoko

  • @simonndunguru1629
    @simonndunguru1629 หลายเดือนก่อน

    Wachambuzi semeni Ukweli kuhusu Chama
    Mnababaisha tu. Muda umeisha wa Mkataba wa Chama

  • @jiarosmazengo966
    @jiarosmazengo966 หลายเดือนก่อน

    Mbona FEI TOTO yanga imetuwekea ukingo na la chama hakuna thank you

  • @fatumamtakyawa3612
    @fatumamtakyawa3612 หลายเดือนก่อน

    FEI NA YANGA NI VITU TOFAUTI TOTO ALIKUWA AJAMALIZA MKATABA

  • @CikeTanzania
    @CikeTanzania หลายเดือนก่อน

    Wampe tuu wanini

  • @amanifadhi
    @amanifadhi หลายเดือนก่อน

    Simba siowajinga

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim หลายเดือนก่อน

    Chama kamaliza contract fifa ipo huwezi kuzuia asicheze yanga

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h หลายเดือนก่อน +1

    Fei mkataba wake ulikuwa haujaisha ila aliomba kuvunja mkataba, je chama mkataba wake na smba ulikuwa bado haujaisha? Chama ameomba kuvunja mkataba?.

  • @yudamanyumbu4978
    @yudamanyumbu4978 หลายเดือนก่อน

    Mchezaji akisha maliza mkataba na timu yoyote ana uhuru wa kuondoka au kukubali kusaini mkataba tuache ubabaishaji

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo หลายเดือนก่อน

    Hakuna TFF kutetea kitu mbn yanga mulimbana fei toto mpka kaongea raisi samia ndio mukamuachia lengo lenu alikua munataka kumpoteza sasa bas chama nae amepotea hii ndio bongo atajua hajui

  • @user-bi8hr3nu6g
    @user-bi8hr3nu6g หลายเดือนก่อน +1

    Simba yafungiwa

  • @makamelila
    @makamelila หลายเดือนก่อน

    Tatizo chama kaleta dharau na nyie mnaongea tu yachama kwa sababu ni WA Tim yenu lakini mbona hamuongei kuhusu lawi

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 หลายเดือนก่อน

    Wao Fei toto Wamemgomea kuja Simba sasa wacha Dawa iwaangie

  • @ayubujoel
    @ayubujoel หลายเดือนก่อน

    Simba wanasuburi kumtambulisha Elie mpanzu ndo chama apewe thank u

  • @williamkajala8005
    @williamkajala8005 หลายเดือนก่อน +2

    Ubaya Ubwela, Hawa kinachama wameichezea Sana Tim yetu msim huu Lazima tuoneshane ubabe tu mpaka kieleweke

  • @ZaharaniMisso-ke4dy
    @ZaharaniMisso-ke4dy หลายเดือนก่อน +3

    Mulisema chama mzee kumbe bado munamuitaji sio

  • @JuhudiKasanga-yq5ks
    @JuhudiKasanga-yq5ks หลายเดือนก่อน

    Swala alikuwa amemaliza mkataba au ni upumbavu wa Simba kwani chama ndugu yenu au anatafuta maisha kama alivyokuja kwenu toka timu nyingine acha ushamba nyinyi wenyewe lawi alafu chama Tena aibu na magoli wenu huyo ni matatizo matupu

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 หลายเดือนก่อน

    Ni suala la mda tukucheza Yanga hawa tifuatifua wakishindwa ni fifa wanaamua wachambuzi wetu ni sheeda sio watu wa mpira ila ni washabiki wa timu flani

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y หลายเดือนก่อน +6

    Simba ❤❤❤kumpa chama hiyo arudi kwa nizam kubwa alikua anadharau viongozi na hiyo ndo malipo yake na wampe 2025 hiyo istlechar wala siyo figisu Yanga wao kwa Feitoto kuja Simba wanakinga kifya haya sasa ngomo drooo

    • @asiaruhasha5561
      @asiaruhasha5561 หลายเดือนก่อน

      😊😊😊😊

    • @user-eg9jq5ny3n
      @user-eg9jq5ny3n หลายเดือนก่อน +1

      Dunduka bwegeeee

    • @vaxminja9053
      @vaxminja9053 หลายเดือนก่อน +2

      Mashabiki wa Simba hawajui hata wanaongea nini, hivi unafikiri release letter ni utashi wa Simba? Ni sheria

    • @OS-pf6op
      @OS-pf6op หลายเดือนก่อน +1

      Wataitapika tu watake wasitake😂

    • @athumanibakari8618
      @athumanibakari8618 หลายเดือนก่อน

      Mpeni Pole Injinia wenu

  • @user-tt8ew7tf8e
    @user-tt8ew7tf8e หลายเดือนก่อน

    Yanga walivyofanya kwa fei ilikuw saw Ila akifanya simba ni sahihi

  • @Esterkomba-ef7eb
    @Esterkomba-ef7eb หลายเดือนก่อน

    Kwani Simba hajiandai endeleeni kuichafua Simba lakini hamtaweza

  • @MamboMbuli
    @MamboMbuli หลายเดือนก่อน

    Watangazaji wa kibongo bana,,,mujiulize kwa Feisal mbona yanga warikomaa 😮😮😮na hadi Rais Samia akaingiria kati ,,🎉acheni unazi nyie

  • @BantuntibahezwaToyi
    @BantuntibahezwaToyi หลายเดือนก่อน

    Hahahaaàa gazeti la Leo chama yanga waishia kumvisha shuka la kijani😂😂😂hiyo ndio tafasiri ya ubaya ubwera

  • @ElizabethEmmanuel-nj1oi
    @ElizabethEmmanuel-nj1oi หลายเดือนก่อน

    Nyie wanayanga si ndo nyie mliokua mnawasema wachezaji wa Simba wazee na Chama mmemsajili katoka timu Gani?

  • @WiseRigers
    @WiseRigers หลายเดือนก่อน

    Huyo ni mchezaji huru release later ni kwaajiri ya uthibitisho tu kama wamemalizana kiroho safi kama hawataki kutoa tff wanawajibika kumpa haki mchezaji ili aendelee kucheza
    Tofaut na Feisal alikuwa na mkataba simba hawana uwezo wa kumzuia chama sema nyie wachambuzi wa kibongo ni wa hovyo sana huwezi fananisha sakata la chama na Feisal ni tofaut kabisa

    • @matiankomola2391
      @matiankomola2391 หลายเดือนก่อน

      Mpira wa Tanzania unaendeshwa kishabiki!

  • @user-ff1it9og8y
    @user-ff1it9og8y หลายเดือนก่อน

    Kama Tff mnasema wafanye haraka kwa chama waanze Feitoto sheria ya kuwa Simba wakitaka kumchukua walipe Azam na Yanga walipwe sgeria gani jama acha nao chama wamlipe bila kuwachezea msimu mzima malipo ni hapa hapa Duniani😂😂😂😂😂

    • @robertphilip385
      @robertphilip385 หลายเดือนก่อน

      Utateseka sana Fei kuichezea Simba na siwasawa na ngamia kupenya kwenye tundu la sindano

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo หลายเดือนก่อน

    Amepotezwa manara atakua chama huyu anapotea kirahis sana tu

  • @fanuelnkyalu974
    @fanuelnkyalu974 หลายเดือนก่อน

    Simba waache upuuzi wa kuidhoofisha ligi yetu, hii ni habari ya sungura zisitaki mbichi hizo, TFF walione hilo ni AIBU KWA TAIFA.

    • @KakeSimba
      @KakeSimba หลายเดือนก่อน

      We fala unaongeya nini

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 หลายเดือนก่อน

    Makolo wamekuwa machoko.. team ya tajiri namba 2 Africa, my foot

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 หลายเดือนก่อน

    Hakuna anyetaka Chama arudi simba huo ni ushenga wenu waandishi kwa Chama na timu yake.Kwanza ni mchezaji huru tangu 30 June 2024 sasa hiyo release letter ya nini

  • @frbm1729
    @frbm1729 หลายเดือนก่อน

    Aligoma mapemaaa kuichezea Simba kutombana na ushawishi wa Yanga usiofuata utaratibu.Atajampa.

    • @phoebembwambo2763
      @phoebembwambo2763 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂😂kutombana?????

  • @makamelila
    @makamelila หลายเดือนก่อน

    Kama kunahitajika barua maanayake hapo kinajambo inamaana mkataba ulikuwa haujaisha

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht หลายเดือนก่อน

    Kama Tff washindwa kumpa haki yake leo ndio nitahamini Tff ni simba sakata la morson yanga walivyo zuia hirizileta ya morson simba waliruhusiwa na tff morson alicheza kama kawaida

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h หลายเดือนก่อน

    Kwani tarehe ya mkataba wa Yanga na Chama unaonyesha umefungwa tarehe ngapi? Mwezi June au July? Mkataba wa chama na simba imeisha tarehe ngapi? June au July?. It s too much simple to give out decision.

  • @OmariBwagizo
    @OmariBwagizo หลายเดือนก่อน

    Huyo chama atakua kama Morrison tu

  • @hassannickson7654
    @hassannickson7654 หลายเดือนก่อน

    Kwani mchezaji anatakiwa kuzungumza na Timu nyingine wakati Gani? Kama sio miezi 6 mbona ishu iko wazi tu

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x หลายเดือนก่อน

    Simba Kila wkitaka mchezaji yanga wanazuia angalia fei nyie mnataka yanga wafaidike

  • @MaguguStore
    @MaguguStore หลายเดือนก่อน +1

    Ngoja ashike adabu , Chama chama chama ndio nani amekamatiwa pazuriii

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h หลายเดือนก่อน

    MkATABA UMEISHA TAREHE 30/06/2024, sasa kinachogombaniwa ni nini? YUKO HURU.

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน

    😊 ni bad😊😊😊

  • @salumomar-ph8ht
    @salumomar-ph8ht หลายเดือนก่อน

    Chama awataki kwanini mnalazimisha aipende tim yenu achen ushamba

  • @damianmcba9525
    @damianmcba9525 หลายเดือนก่อน

    Mchezaji yupo huru kuongea na timu yeyote ikiwa imebaki miezi 6 ya contract, hiyo ni sheria ya FIFA, Amna lolote hapo , Contract ikiisha hayo mambo ya release letter ayana uhitaji

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Shida chama alimwaga wino wakati yupo kwenye mkataba watu wana akili nyingi kuliko yeye

  • @makamesaid9137
    @makamesaid9137 หลายเดือนก่อน

    Mfa maji haishi kutapa tapa
    Mara lawi mara Chama na mara hii tutawapiga 10 G MAKOLO wasipoangalia.

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Shida akili za viongozi wenu bado ndogo sana walimsajiri Chama akiwa ndani ya mkataba na hapo ndiyo tutawakamatia mpaka mavi yawatoke

  • @Prosperkaluta
    @Prosperkaluta หลายเดือนก่อน

    Upumbavu wa viongozi wa wa Simba tu.
    Kumbe wana haja naye sana.

  • @shukranionesphoro7744
    @shukranionesphoro7744 หลายเดือนก่อน

    Ww dogo chama anakiburi , piga pini ngao asicheze

  • @magrethmakauki235
    @magrethmakauki235 หลายเดือนก่อน

    Fei mkataba ulikuwa haujaisha, chama mkataba umeisha

  • @martinkabazo8412
    @martinkabazo8412 หลายเดือนก่อน

    Kama mkataba umeisha na wamemsajiri cmba inalaumiwaje

  • @lotimwansule5017
    @lotimwansule5017 หลายเดือนก่อน

    Nyie mmesahau ya fei yanga walichofanya, nyie acheni unazi wote nyie ni Yanga

  • @ChristopherTogolan
    @ChristopherTogolan หลายเดือนก่อน

    Aloo chama n mchezaj hulu

  • @chemstry409
    @chemstry409 หลายเดือนก่อน

    Sasa siwalisema mzee??? na matusi wakamtukana....

  • @user-ox1eg1ej6u
    @user-ox1eg1ej6u หลายเดือนก่อน

    Ins. .maana .iyo. Ndio

  • @husseinkarim7663
    @husseinkarim7663 หลายเดือนก่อน

    Wamruhusu Chama aende Yanga,wa.mwachie tu

  • @usiniguse
    @usiniguse หลายเดือนก่อน

    ACHENI USHABIKI. KAMA MKATABA UMEISHA REALEASE LATER YANINI SI AONDOKE TU?

  • @raymondsambaa6687
    @raymondsambaa6687 หลายเดือนก่อน

    Atarudije Simba wakati hana mkataba?

  • @FatumakunemkaKunemka
    @FatumakunemkaKunemka หลายเดือนก่อน

    Twataka tumpe bench kwanza

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h หลายเดือนก่อน

    Chama kamaliza mkataba au bado? Kama hajamaliza kwa nini hamkwenda naye Misri?.

    • @MgangaMasudi
      @MgangaMasudi หลายเดือนก่อน

      Anataka nini

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Mbona unajiuliza mwenyewe na kujijibu mwenyewe

  • @user-jc4mm7vs9x
    @user-jc4mm7vs9x หลายเดือนก่อน +7

    NI KUMNYOOSHA HANA ADABU CHAMA.

  • @revocatusmalimi4525
    @revocatusmalimi4525 หลายเดือนก่อน

    Tunashauri viongozi wetu wampe tu hiyo taraka ili akafunge ndoa nyingine akiwa huru

  • @SmilingFlowerBouquet-hs2hv
    @SmilingFlowerBouquet-hs2hv หลายเดือนก่อน

    SIMBA MUMESHA PEWA TARAKA SHIDA NN? MWACHE AENDEEEE

  • @mussammanga7791
    @mussammanga7791 หลายเดือนก่อน

    Mashaka gani mkubali kuwachwa, mchezaji timu haitaki.
    Fei si mlisema asilazimishwe?
    Sasa kibao kimegeuka.
    Hahahahaaa!

  • @user-os9ps3ry6x
    @user-os9ps3ry6x หลายเดือนก่อน

    Mnaona ni kitu kidogo nyie ni yanga tunawajuwa

  • @chiefmajai9345
    @chiefmajai9345 หลายเดือนก่อน

    Maumivu walio wasajiri simba bado pengo

  • @user-eg9jq5ny3n
    @user-eg9jq5ny3n หลายเดือนก่อน

    Shida niudundukaaaaa😂😂😢

  • @RichardSanga-zr2nj
    @RichardSanga-zr2nj หลายเดือนก่อน

    NIMESIKIA HIRIZI LETA 🤣

  • @CornenciaFaustine-pd2rc
    @CornenciaFaustine-pd2rc หลายเดือนก่อน

    Akili mu kichwa si mnae mchezesheni tu

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 หลายเดือนก่อน

    Mpeni tu

  • @user-or9cl2tc1h
    @user-or9cl2tc1h หลายเดือนก่อน +5

    Muwe wakweli chama alisajiliwa yanga bado akiwa na mkataba na simba hiyo ndo shida iliyopo

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c หลายเดือนก่อน

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

    • @FadhiliSalehe-l2c
      @FadhiliSalehe-l2c หลายเดือนก่อน

      Ushaidi unao kaka? Ila kisheria mchezaji anarusiwa kuongea na timu nyingine akiwa amebakisha miezi 6 kabra ya mkataba kuisha.

  • @shamissuleyman4894
    @shamissuleyman4894 หลายเดือนก่อน +1

    Hahahahahaha huyu chama na timu yake mpya walifanya fujo kusajiliwa kabla ya mkataba kuisha

  • @deboy3323
    @deboy3323 หลายเดือนก่อน +1

    Hhhhhhhh hatumpi✊🦁🔥

  • @anithawidambe7543
    @anithawidambe7543 หลายเดือนก่อน +4

    KUNA TIMU WANA WIVU SANA NA SIMBA

  • @julianajeremiah4353
    @julianajeremiah4353 หลายเดือนก่อน

    Mjinga anatakiwa kuwaombea kuwapeleka ndio sababu😂 na asicheze

  • @MkuwaTheDon
    @MkuwaTheDon หลายเดือนก่อน

    Mmmh

  • @AllyMasangaluka-bm5ib
    @AllyMasangaluka-bm5ib หลายเดือนก่อน

    Acheni ujinga nyie mchezaji akifika miezi SITA analusiwa kuongeza na timu nyingine kengenyie chama huru

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Ni kuongea ila cyo kusaini mkataba we kichwa maji

  • @abdalla8193
    @abdalla8193 หลายเดือนก่อน

    Lawi hanadabu

  • @maimunaathumani9121
    @maimunaathumani9121 หลายเดือนก่อน

    Safi jeuri uyo

  • @jumaathumani6886
    @jumaathumani6886 หลายเดือนก่อน

    Ni kwamb huko TFF wallace ni Pacha na simba sc huyo chama atajua hajuw ubaya ubwela qmmk😅😅😂

  • @user-ox4fv4cf5l
    @user-ox4fv4cf5l หลายเดือนก่อน

    Nyie na Mikia fc wote ni mbumbumbu tu,mbona Simba walimtangaza na bado wanadai Lawi ni mchezaji wao hali y kuwa ni mchezaji halali wa Coastal..? alafu kw nn Simba tu? hata KMC walilalamika kwa Awesu Awesu

  • @joshuamwambene2874
    @joshuamwambene2874 หลายเดือนก่อน

    TFF kila siku mnaindama Yanga hamuoni aibu .,Acheni kabisa yanga icheze kandanda

    • @abdallahmzee4335
      @abdallahmzee4335 หลายเดือนก่อน

      Tff hawaindami Yanga ila Yanga inabanwa kwenye mkataba wa chama ulikuwa lini hapo ndiyo mtajua kuwa timu yenu inaviongozi watoto