Highlights: Yanga na Simba wapiga soka la kiume na kutoka sare ya 1-1 (VPL 07/11/2020)

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 6 พ.ย. 2020
  • YANGA 1-1 SIMBA: Watani wa Jadi katika soka la Tanzania, Yanga na Simba leo wametoka sare ya bao 1-1 katika mchezo wa ligi kuu Tanzania Bara (VPL) uliochezwa leo kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam. Magoli yamefungwa na Michael Sarpong na Joash Onyango.
    Tazama taarifa ya Habari na vipindi vingine vya Habari na Matukio LIVE kutoka Azam TV na UTV kupitia Azam TV Decoder au AzamTV Max App. Unaweza kupata AzamTV Max App kwa ajili ya Android kutoka hapa:
    ► bit.ly/2wB6zmR
    Tufuatilie kwenye mitandao ya kijamii
    ►INSTAGRAM: / azamtvtz
    ►INSTAGRAM: / azamsports2
    ►TWITTER: / azamtvtz
    ►FACEBOOK: / azamtvtz
    ►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 898

  • @joekathembe6021
    @joekathembe6021 3 ปีที่แล้ว +17

    Best East African derby....much love from🇰🇪 #Yanga#Simba

  • @richardjuma7708
    @richardjuma7708 3 ปีที่แล้ว +26

    Like za Simba Wekeni hapa wote tuseme This is Simba

  • @tizerkindamba3834
    @tizerkindamba3834 3 ปีที่แล้ว +37

    Nani anaangalia hii kabla ya derby ya tarehe 8 may 2021

  • @josephngugi9893
    @josephngugi9893 3 ปีที่แล้ว +8

    It's amazing how Tanzanians love their home team ,Football is not just a game

  • @nickrayjackson9753
    @nickrayjackson9753 3 ปีที่แล้ว +28

    Safi nimekua wakwanza simba mmenifurahisha naomba like jaman

    • @dickikahese9681
      @dickikahese9681 ปีที่แล้ว

      Mnyama atabaki kuwa mnyama tu siku zote

  • @mbarakaabdulrahmanipacha18
    @mbarakaabdulrahmanipacha18 3 ปีที่แล้ว +18

    Nawapongeza @AZAMTV kwa uwezo wao mkubwa wa kuwa na kamera za HD
    Kama nawewe unawakual @AZAMTV gonga like

  • @dechaggagirl1614
    @dechaggagirl1614 3 ปีที่แล้ว +10

    Kama umemuona zimbwe nkama kawambia njoeni haraka tutapata goal lingine wakati wakishangilia pale na onyango gonga like bc jmn🤔🤔

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 3 ปีที่แล้ว +30

    Mashabiki wa simba tujuane

  • @samwelmerikiolmpila2330
    @samwelmerikiolmpila2330 3 ปีที่แล้ว +13

    Mzee Onyango anafunga gori,wachezaji wote 11 wa Yanga wapo gorini,walipaki basi

  • @kazimilistephano8588
    @kazimilistephano8588 3 ปีที่แล้ว +6

    Baracka mpenja alikuleta Tanzania moja kwa moja mbingun bro Najua kucheza na maic 🎤🎤🎤

  • @nuhusalehe9995
    @nuhusalehe9995 3 ปีที่แล้ว +9

    Mwanaume atachelew kula lkn c kulala na njaa this is cmbaaaaa

  • @AllyASalum
    @AllyASalum 3 ปีที่แล้ว +10

    Tuachane utani, overall Yanga waliingia kiume sana kwenye mechi hii....high pressing, high intensity, high speed!! Ukiacha porojo za unazi bado ilikuwa mechi ngumu sana kwa Simba... A wake up call kwa mechi za kiume za Champions League.

  • @rayfaakim1920
    @rayfaakim1920 3 ปีที่แล้ว +9

    Simba goli 1
    Yanga 0
    Refa 1
    Mungu kawaumbua utopolo kwa dhurumaaa mxiuuuuuuuuuuuuu asante sana simbaaa👌👌👌👌

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +1

      Unajaribu kutulizA maumivu ulionayo

    • @rayfaakim1920
      @rayfaakim1920 3 ปีที่แล้ว +3

      @@onesmojustice2348 mm na nyinyi nanii ana maumivu nyinyi si mlijua mmeshinda kwa kupewa penat sisi tumechomoa tena bao la haliri kabisaaaaaa

    • @onesmojustice2348
      @onesmojustice2348 3 ปีที่แล้ว +1

      @@rayfaakim1920 Leo mmebaki sharubu tu uwanjani

    • @mtatiromgeka7270
      @mtatiromgeka7270 3 ปีที่แล้ว +1

      Yani refa nyongo kweli kwa simba asnt... Siiiiimbaaaaaa oyeeeeee

    • @rayfaakim1920
      @rayfaakim1920 3 ปีที่แล้ว +2

      @@onesmojustice2348 we unachekesha wewe wakati nyinyi ndio Mme umbuka 😂😂😂😂😂 yaniii mlikua mmejua mmesha chukua point 3 ndio mjue kwamba Leo tumewakatisha ndoto zenu za kulipiza kisasi 😂😂😂😂😂😂 kiboko yenu onyango tu mbereko nyinyi mnabebwa mpakaa basiiiiii daaah

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว +7

    Asante Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂

  • @guccijackson3055
    @guccijackson3055 3 ปีที่แล้ว +11

    Sifa za mashabiki wa bongo
    1.kuingia na motokeo
    2.kila mtu kocha

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว

      Hahahahaha true

    • @priscatwaha6982
      @priscatwaha6982 3 ปีที่แล้ว

      Hahaaaa umeonaeee

    • @kassimngohengo117
      @kassimngohengo117 3 ปีที่แล้ว

      Ni kwel utasikia kocha huyu hana plan B kwann asibdilishe mfumo aaah uyo anaesema hvy ajui chcht ukimuuliza nan alibd atoke anaemtaja unbk mdomo wazi

    • @guccijackson3055
      @guccijackson3055 3 ปีที่แล้ว

      @@priscatwaha6982 ndio mrembo

  • @mohamedjumanne9218
    @mohamedjumanne9218 3 ปีที่แล้ว +8

    Man wa mechi aristaria mwamedi huseni uyo mwingine Mme mpata tu

  • @obytobe8783
    @obytobe8783 3 ปีที่แล้ว +6

    Kama unamini yanga watakufa like comment hii

  • @pendomfinanga283
    @pendomfinanga283 3 ปีที่แล้ว +4

    Yan hii iko namba 5 on trending ni nomaa

  • @salumuali8525
    @salumuali8525 3 ปีที่แล้ว +4

    Duhh kwa marefa hawa tanzania ye2 itabaki nyuma kisoka

  • @givenrich5961
    @givenrich5961 3 ปีที่แล้ว +15

    zimbwe man of the mechi

  • @omarymaweda4692
    @omarymaweda4692 2 ปีที่แล้ว +3

    Asante yanga

  • @wilsonmukuna3692
    @wilsonmukuna3692 3 ปีที่แล้ว +5

    Hizi timu mbili zapendwa sana Tz.

  • @isaackaitira7654
    @isaackaitira7654 3 ปีที่แล้ว +4

    Goli la Yanga limetengenezwa maabara refa ni yanga halafu pia sisi simba huyu kocha ana uwezo mdogo sana huyu sven

  • @gitressngaga4414
    @gitressngaga4414 3 ปีที่แล้ว +3

    Kama unaungana na mie kuwa onyango alistahil umeme na yanga kunyimwa penalty kpnd cha kwanza kwa kumchezea gwarde sapoooo na refa akaamru kona gonga like

    • @saidibwanga1448
      @saidibwanga1448 3 ปีที่แล้ว

      Umeme gani yondani mbona hakupewa umeme alivyomshika kagere

  • @zainabujuma1508
    @zainabujuma1508 3 ปีที่แล้ว +1

    Naipenda Sana yanga

  • @isunga1964
    @isunga1964 3 ปีที่แล้ว +6

    🤣🤣🤣🤣🤣kwenye penaty nimesogeza mbele jamani leo mpaka nimeumwa na kutapika juu Simba baba lao

  • @athumaniddi5736
    @athumaniddi5736 3 ปีที่แล้ว +2

    Mshukuru kuumia beki

  • @allyking9740
    @allyking9740 2 ปีที่แล้ว +3

    Yanga tamu

  • @amirimwanday9814
    @amirimwanday9814 3 ปีที่แล้ว +7

    Bodi ya ligi hata muweke waamuzi 10 bado uwezo wawamuzi wetu ni mdogo mno baadhi ya hukumu wanazotoa sio sahihi mchezaji kafanyiwa faulu nje ya 18 lakini mkwaju wa penati unatengwa waongeze umakini

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 3 ปีที่แล้ว

      Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison

    • @hashimsaid5546
      @hashimsaid5546 3 ปีที่แล้ว

      Kama Ile ya kagere na yondani siku ile watoka 2-2 alishikwa nje akaangukia ndani jonisia rukya akatoa penalty yanga hawakusema kitu wakarudisha magoli yote na tangu siku ile Simba haijaifunga Tena yanga kwenye ligi ni droo au kufungwa Simba na Morrison

  • @andrewmwera5879
    @andrewmwera5879 5 หลายเดือนก่อน

    The commentator is the man of the match. Just Wow!!!

  • @omarikombo1410
    @omarikombo1410 3 ปีที่แล้ว +4

    Marefa wa Tanzania mungu anawaona nikweli Onyango amemfanyia faul lkn ilikua nnje ya box marefa kueni makini

  • @yonabenjamini1275
    @yonabenjamini1275 3 ปีที่แล้ว

    Asante sanaaaa yanga

  • @isayasway6867
    @isayasway6867 3 ปีที่แล้ว

    Mpenja upo vizuri sana

  • @atupelemsyani7411
    @atupelemsyani7411 2 ปีที่แล้ว +4

    Yaani huyu ni fala sijawahi kuona.

  • @muhammedsalim8077
    @muhammedsalim8077 3 ปีที่แล้ว +6

    Uyu chama anastahiki kucheza ulaya s. Tanzania. Simba oyeee onyangoooo

    • @nyamuraomary9939
      @nyamuraomary9939 3 ปีที่แล้ว

      Kwakipi alichokifanya

    • @aishamohammed5347
      @aishamohammed5347 3 ปีที่แล้ว +1

      @@nyamuraomary9939 sio lazim afunge kila siku lakin anajua kuuchezea mpira 💯

    • @gracesiwale7066
      @gracesiwale7066 3 ปีที่แล้ว +1

      Chama Jana alikuwa bado anaumwa maana jumatano alianguka

  • @emanuelnyanja7558
    @emanuelnyanja7558 3 ปีที่แล้ว +1

    Hatari sana

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว

    SIMBA sports club big Team Tanzania 🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @yankienoah290
    @yankienoah290 3 ปีที่แล้ว +2

    Duh siamini mikia wametokaje next game mutalokota ku nyavu 🔰💪🏿💨

  • @HilarioCosta-up6kc
    @HilarioCosta-up6kc 11 วันที่ผ่านมา

    ❤🎉 wewe utaniuwa

  • @Murtini2023
    @Murtini2023 3 ปีที่แล้ว +2

    I really felt for the referee here. Both sets of players feigning injury from the first whistle really. A shame.

  • @upendokwawote
    @upendokwawote 3 ปีที่แล้ว

    UKHALIFA KATIKA AFRICA
    👇👇👇
    th-cam.com/video/MEeKSu9LG9Y/w-d-xo.html
    Siku moja pamoja na Kalifa wa Islam
    👇👇
    th-cam.com/video/MXdLdioOGtk/w-d-xo.html
    Siku moja ya Maisha ya Khalifa Mtukufu
    👇👇👇
    th-cam.com/video/oUIDfEf8vQE/w-d-xo.html
    Yule Mfalme kaja
    👇👇
    th-cam.com/video/gXk7RkH0Lts/w-d-xo.html
    Sikilizeni Sauti ya Mbingu
    👇👇
    th-cam.com/video/DhF8TvfC_OU/w-d-xo.html
    Waahmadiyya (MAQADIANI) wanaamini ...
    👇👇
    th-cam.com/video/QzR_LHZsXTM/w-d-xo.html
    REHEMA YA UKHALIFA
    👇👇👇
    th-cam.com/video/XseIWMMwRbY/w-d-xo.html
    Ukhalifa na Jukumu Letu
    👇👇👇
    th-cam.com/video/R3u41dner4g/w-d-xo.html
    UKHALIFA NA MAJUKUMU YETU
    👇👇👇
    th-cam.com/video/Bqqq2_k7ybg/w-d-xo.html

  • @chipembelesaid
    @chipembelesaid 3 ปีที่แล้ว

    Mpenja uko vizuri kaka.

  • @richardjuma7708
    @richardjuma7708 3 ปีที่แล้ว +5

    Pila birian naona mmeliona watu wamepigiwa mbungi la hatariii This is Simba

  • @frankmaresa1075
    @frankmaresa1075 3 ปีที่แล้ว +1

    Super mpenja

  • @farfatdemure2784
    @farfatdemure2784 3 ปีที่แล้ว

    Simba Ni fire🔥🦁❤️✨

  • @nassibuboniphace4081
    @nassibuboniphace4081 3 ปีที่แล้ว +4

    Man of the match ni refa hiii leo simba oyeee Tanzania hatuna marefa kabisa

  • @shabanisoya0795
    @shabanisoya0795 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi sanaaaa

  • @chapaulingeproduction4768
    @chapaulingeproduction4768 3 ปีที่แล้ว +1

    Venance Chapaulinge.Arusha City.@azamtv Ninaomba mechi kubwa kama hii muwe mnaongeza muda wa highlights iwe japo dk 30 ili turudie kuona mchezo kwa upana kidogo.Asanteni sana kwa burudani mnayotupatia cc tulio mbali na Dar.

  • @fyekarashid3005
    @fyekarashid3005 3 ปีที่แล้ว

    Fantastic

  • @athumaniddi5736
    @athumaniddi5736 3 ปีที่แล้ว +1

    Mmeongea sana kwa kuumia beki yetu tulieni mtaona around ya2

  • @shidandekela4348
    @shidandekela4348 3 ปีที่แล้ว +1

    Yes

  • @HaleluyaTv
    @HaleluyaTv 3 ปีที่แล้ว

    KARIBU KUFATILIA MUBASHARA IBADA YA JUMAPILI YA LEO 15.11.2020 KUTOKA HAPA OMEGA MINISTRIES CHURCH OF ALL NATIONS ,KWA MTU WA MUNGU NABII SS ROLINGA - MBEZI BEACH AFRICANA , GUSA LINK HII KUTAZAMA KARIBU
    th-cam.com/video/hrH6slKm3bs/w-d-xo.html

  • @ferouzmasoud4741
    @ferouzmasoud4741 3 ปีที่แล้ว +2

    Asanteee Sanaa chama langu la SIMBA 🙏 kwetu soka kwao majungu 😂😂😂

  • @deejrteamsimba6671
    @deejrteamsimba6671 3 ปีที่แล้ว +1

    Usije na clips kwenye mpira😂😂baraka shikamo💪🔴

  • @alickomsyani3900
    @alickomsyani3900 3 ปีที่แล้ว +13

    Waliokuja kucheki hii game baada ya #MapinduziCup tujuane 😋

  • @lovenesskalenge2683
    @lovenesskalenge2683 3 ปีที่แล้ว +3

    Hakika Mungu umeonyesha kwamba wewe ni mkuu Sanaa. Kulikoni hao nyau🙏🙏🙏 Yanga oyeee .

  • @mudriksalum4895
    @mudriksalum4895 2 ปีที่แล้ว +1

    I love you, ssc

  • @djbensntz7981
    @djbensntz7981 3 ปีที่แล้ว +1

    Like za Simba na yanga

  • @mohamedjumanne9218
    @mohamedjumanne9218 3 ปีที่แล้ว +3

    Man of the mech huseni zibwe

  • @miriamkyando3212
    @miriamkyando3212 3 ปีที่แล้ว +1

    Yanga baba Lao,tk master baba laooooo

  • @imagethecreator6001
    @imagethecreator6001 3 ปีที่แล้ว +4

    daah nikiitazama hii mechi simba ingekula 3-0 kama wachezaji wayanga wangekuwa bora kati ka ufungaji

  • @nasibujanga8194
    @nasibujanga8194 3 ปีที่แล้ว +6

    Marefa wanazingua sana niupuuz mtupu mpira mkar ila marefa washenzi kabisa sijui mwalimu wao nani

  • @nicksonluoga2972
    @nicksonluoga2972 3 ปีที่แล้ว +1

    Safi

  • @asikurodgers8524
    @asikurodgers8524 3 ปีที่แล้ว +1

    It is best daby ever

  • @abdulkhashim5089
    @abdulkhashim5089 10 หลายเดือนก่อน

    Tunaoirudia leo sku ya simba day 2023 tujuane kwa like 👍

  • @reymondkelvin2341
    @reymondkelvin2341 3 ปีที่แล้ว +3

    Team 254 but yanga mmecheza Chelsea yanga ni 🔥

  • @aibanijr65
    @aibanijr65 3 ปีที่แล้ว +2

    Aseeh zibwe junior siyo mchezo,

  • @yasinmtila1678
    @yasinmtila1678 2 ปีที่แล้ว +2

    Daaaah iv itakua iv kwel

  • @amanirugamba5935
    @amanirugamba5935 3 ปีที่แล้ว +3

    Wana inci ni amani form Rwanda not bad

  • @loishiyesamwel1374
    @loishiyesamwel1374 3 ปีที่แล้ว +2

    Uongozi wa Simba wasiishie kulalamika kila baada ya mchezo, ni vema hili lifanyiwe kazi kisheria, ona Miquison alivyochezewa rafu nyingi bila hata kuwaonya Wachezaji wa Yanga. Ni mipango ya kutunyima ubingwa mara ya nne mfululizo.

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว

    Good game

  • @saidimsangi7250
    @saidimsangi7250 ปีที่แล้ว +2

    Baraka Edson mpenja n bonge la mtangazaj for real

  • @issadigo4776
    @issadigo4776 3 ปีที่แล้ว +3

    💥💥💥💥

    • @ratifasalumu4021
      @ratifasalumu4021 3 ปีที่แล้ว

      Penat mumewa kuongeza goli lingine mmeshndwa mnatakaje

  • @mayungalukas1374
    @mayungalukas1374 3 ปีที่แล้ว

    Big up

  • @dabimha8866
    @dabimha8866 3 ปีที่แล้ว +3

    naanza na azam tv lazima mjifinze kuwa wakweli
    referee blunder ndio imeipa yanga goli
    yanga leo soo many controversial decision zimewa beba yanga.
    ki kweli leo referee kaharibu pambano lwa kiwango kikubwa.
    Finally simba juu ya kua na too many injuries wameonesha ubora wa hali ya juu

  • @aishaabdallah6232
    @aishaabdallah6232 3 ปีที่แล้ว +7

    Atimae babu kawafunga wajukuu zakee😆😆😆

    • @seleseleli6239
      @seleseleli6239 3 ปีที่แล้ว

      🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @NR-ll4sr
      @NR-ll4sr 3 ปีที่แล้ว +1

      Hahahahaha

  • @jihanytours3556
    @jihanytours3556 3 ปีที่แล้ว +4

    No penalty ile n nje ya box ...........

  • @y.n.wsalim8253
    @y.n.wsalim8253 3 ปีที่แล้ว

    Mchezo mtamu kweli kweli love you from Kenya

    • @abbyadams8691
      @abbyadams8691 3 ปีที่แล้ว +1

      Vp huwa mnaweza kutazama derby ya Simba na Yanga mkiwa Kenya?

    • @y.n.wsalim8253
      @y.n.wsalim8253 3 ปีที่แล้ว +1

      @@abbyadams8691 Highlights za Azam sports

  • @neemahema7370
    @neemahema7370 3 ปีที่แล้ว

    hii clip mbona haipo clear

  • @hassanbaraza1165
    @hassanbaraza1165 3 ปีที่แล้ว +2

    Yanga daima

  • @evamariadaudi5038
    @evamariadaudi5038 3 ปีที่แล้ว +5

    Simba wameujaza uwanja

  • @ubaaxibrahim896
    @ubaaxibrahim896 3 ปีที่แล้ว +3

    I don’t understand what the commentator is saying but I love it. Love from Somalia 🇸🇴🙌🏽

  • @johnshirima6198
    @johnshirima6198 3 ปีที่แล้ว +2

    Kama unahisi mpenzi wako anakusaliti na unahitaji kusoma meseji zake kwa siri bila kushika simu yake na pasipo mpenzi wako kujua kama unaziona meseji zake, ingia PLAYSTORE kisha tafuta Application inayoitwa KASNETA download kwenye simu yako unganisha namba ya mpenzi wako kwenye hiyo Application utaweza kunasa meseji zake zote anazotuma na anazotumiwa kwa kutumia hii App ya KASNETA inapatikana PLAYSTORE

  • @twalibassaaassaa3525
    @twalibassaaassaa3525 3 ปีที่แล้ว +1

    Was nice game

  • @seurisilanga1997
    @seurisilanga1997 3 ปีที่แล้ว

    Young African

  • @evansmlalo4049
    @evansmlalo4049 3 ปีที่แล้ว +5

    Yanga ilikuwa washinde huu mchezo lakini kwa kuwa Kocha ni mchezo wake wa kwanza akaharibu alipowarudisha Wachezaji nyuma kulinda goli moja hakuwa na habari kuwa Simba ni wazuri sana safu ya mbele. Yanga wangecheza kama mwanzo Simba ingelala lakini Tuisila Kisinda mchoyo sana. Kocha Kaze mfundishe Tuisila kutoa pasi akiwa impossible engles. Metacha Mnata anatoka golini bila kuhakikisha ataukuta mpira ndio tatizo lake kubwa lakini ni golikipa anayejua kumkatisha tamaa forward yeyote. Mwisho niliwaambia Yanga hakuna mzee kwenye michezo kama mtu anafanya mazoezi. Angalia kitu amefanya Onyango kasahihisha makosa yake na kuisawazashia bao Simba.

    • @AM-pq4yq
      @AM-pq4yq 3 ปีที่แล้ว

      hakuna makosa aliyoyafanya onyango yale ni makosa ya REFA ambaye ni mshabiki mkubwa wa yanga Refa kaibeba yanga

    • @mohamednurdin1732
      @mohamednurdin1732 3 ปีที่แล้ว

      Uliwanga bana wachezaji wetu waliona nyota kipindi cha kwanza,nadhani uliona tulivyorudi baada ya kugundua uchawi wenu mambo yakawa hatari kwenu na soka likaonekana,pia usione simba mbovu mambo bado kikosi kitakaa sawa soon maana kunawatu pale watahakikisha timu inarejea kwenye moto wake.

    • @boazraphaelmgecha2313
      @boazraphaelmgecha2313 3 ปีที่แล้ว

      Mama

  • @yassinsalim4597
    @yassinsalim4597 3 ปีที่แล้ว

    Daah

  • @josephmatiku887
    @josephmatiku887 ปีที่แล้ว +2

    Hapa yanga ill kuwa icheze 6🤣😄😍🥰😄😃😀

  • @muhammadmuhammad5043
    @muhammadmuhammad5043 3 ปีที่แล้ว

    Mungu ibariki Dar YANGA African Oyeeeeeeee

  • @chiyughajr.9968
    @chiyughajr.9968 3 ปีที่แล้ว +4

    Kwahiyo Jimmy Kindoki ameiweka wapi button ya Babu Onyango? Yanga mnafungwa na beki wakati kikosi chote kimerudi kulinda goli...

    • @ikouwasi7644
      @ikouwasi7644 3 ปีที่แล้ว

      Nyie wenye washambuliaji mbona hakuna aliyefunga

    • @adearsalum9932
      @adearsalum9932 3 ปีที่แล้ว

      Aliekwambia beki hawez kufunga nani?

  • @peterngatunga2153
    @peterngatunga2153 3 ปีที่แล้ว +4

    Washukulu mungu hao mijusi

  • @niceforysanga4108
    @niceforysanga4108 2 ปีที่แล้ว +1

    Kazi ilikua nzur hii hatariiiii 🔥✊ tarehe 30 yanga afe

  • @iqramkimji726
    @iqramkimji726 3 ปีที่แล้ว

    Azam pls Tuwekeeni FULL MATCH

  • @stanmkindi9037
    @stanmkindi9037 3 ปีที่แล้ว

    daima mbele

  • @sudaissoud3670
    @sudaissoud3670 3 ปีที่แล้ว +2

    Yanga na refa wanajuana maana hii sio penati

  • @samwelsillah7885
    @samwelsillah7885 3 ปีที่แล้ว

    safi simba

  • @granuskazimoto225
    @granuskazimoto225 ปีที่แล้ว

    Keeptap

  • @fabianndimanya2055
    @fabianndimanya2055 3 ปีที่แล้ว +2

    Farid ktk ubora wake👏👏👏👏👏

  • @benedictikihwele2151
    @benedictikihwele2151 3 ปีที่แล้ว

    Diamond wimbo mpya

  • @jameswitandala845
    @jameswitandala845 3 ปีที่แล้ว +1

    Noma Sana simba