MUUZA MADAFU IKULU NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? KATUONESHA ANAPOISHI “UKIJA VIBAYA NAKUKALISHA"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 เม.ย. 2024
  • MAPYA YA MUUZA DAFU WA IKULU, JE NI KOMANDO ALIYETUA NA HELIKOPTA? UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"
    ALIYEUZA MADAFU IKULU AONDOA UTATA KUTUA NA HELIKOPTA MUUNGANO "UKIJA VIBAYA LAZIMA NIKUKALISHE"

ความคิดเห็น • 1.7K

  • @basitjuma6081
    @basitjuma6081 หลายเดือนก่อน +542

    Mnaotaka milard awakutanshe wawili hawa Gonga like

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee หลายเดือนก่อน +15

      Hatuna hata shida nao. waendelee na maisha yao na sisi tuendelee na yetu

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f หลายเดือนก่อน

      Mnachekesha nyny ndo nn ah 😅😅😅😅😅😅😅😅 upumbavu tuu hii nchi

    • @modekaijames
      @modekaijames หลายเดือนก่อน

      ​@@EdwardSamson-uf1eeewaaaah

    • @davisjuma5887
      @davisjuma5887 หลายเดือนก่อน

      haiwezi tokea ata sikumoja kiukweli

    • @user-hp7rx4zk4t
      @user-hp7rx4zk4t หลายเดือนก่อน +2

      Niyeye uyo mmoja

  • @AlhajiIssa-jb9hr
    @AlhajiIssa-jb9hr หลายเดือนก่อน +89

    "ASKARI HACHAGUI KAMBI " pigia mstari hilo neno halafu twende sambamba na muuza madafu ikulu.

    • @janetdundul3858
      @janetdundul3858 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂😂

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 หลายเดือนก่อน +4

      Wanakuwaga hata vichaa mitaa muhimu hivyo yote yanawezekana

    • @siaammo1104
      @siaammo1104 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

    • @VeronicaAdam-lx8yd
      @VeronicaAdam-lx8yd หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😂😂

    • @user-vh7ll3vp7w
      @user-vh7ll3vp7w หลายเดือนก่อน +2

      Huyu jamaa Nyota yake inahitaji ikamilishe kusudi la Mungu Mh. Rais ampe tuuu nafasi'

  • @Amani-kr9ln
    @Amani-kr9ln หลายเดือนก่อน +205

    Tunao tamani huyu jamaa akutane na yule comando tujuane hapa kwa like jamani

    • @user-bo2ry2dy7x
      @user-bo2ry2dy7x หลายเดือนก่อน

      Kweli ili tuamini

    • @MussaMugumnyi
      @MussaMugumnyi หลายเดือนก่อน

      j​@@user-bo2ry2dy7xñdztþźc, d3e22&8i

    • @athumanikadaika5817
      @athumanikadaika5817 หลายเดือนก่อน

      yaani hajikutanishe mwenyewe aaah bado sijaelewa 🤣🤣🤣

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 หลายเดือนก่อน +77

    Security top ukija vibaya lazma uka, Askar hachagui kambi, Raisi ajione yupo salma sanaa (kwa maana ya kwamba kila kona wapo) lugha ya mazungumzo inajielezaa - JAMANII SIO YEYEE ILA NA YY NI MIONGONI MWA WALIOMOO-. 2lio pata mafunzo ya kizalendoa JKT naomba tujiane kweny LIKE APOOH👇.

    • @MahmudSaidy
      @MahmudSaidy หลายเดือนก่อน +2

      Huwez elewa kama haujasoma fasihii 😂😂😂

    • @samboy5033
      @samboy5033 หลายเดือนก่อน +2

      Komando huyu

    • @sweetrayuzuwiya8375
      @sweetrayuzuwiya8375 หลายเดือนก่อน +4

      Bado hajasema, kwa nini auze madafu ikulu na kwa nini yupo fiti kiasi hicho na kwa nini afanane na komando kama mapacha na kwa nini yupo flexible kwenye pikipiki kiasi hicho?

    • @user-yb5hh9mr5q
      @user-yb5hh9mr5q หลายเดือนก่อน +4

      Tulopita jkt kauli kama hizo zipo kwa maafande ,Chengne muuza madafu gan wa nchi gan anaeweza kuongea kauli za kishujaa kama hvyo

    • @Askari22
      @Askari22 หลายเดือนก่อน

      @@sweetrayuzuwiya8375aiseee

  • @manp9091
    @manp9091 หลายเดือนก่อน +369

    Mnao taka Millard ayo aende kwa comando mpo gonga like hapa

    • @user-xy6ed7ve6r
      @user-xy6ed7ve6r หลายเดือนก่อน +12

      Sio aende tu, waitwe wote tuwaone kama ni watu wawili tofauti

    • @magneticofficialtz
      @magneticofficialtz หลายเดือนก่อน +4

      Akienda bila gadi ataambiwa akoroge mike iwe uji halafu anywe😅😅😅

    • @amiibinam7774
      @amiibinam7774 หลายเดือนก่อน +3

      😂😂😂😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@user-xy6ed7ve6rMILAD AYO MUWONGO WAWEKWE PAMOJA MDIO TUTAMUAMINI

    • @Ndenza
      @Ndenza หลายเดือนก่อน

      ​@@user-xy6ed7ve6rwewe ndo una skil

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 หลายเดือนก่อน +70

    mnao taka Millard ayo aende kwa comando tujuane kwa kugonga lake

  • @CyprianBCTanzania
    @CyprianBCTanzania หลายเดือนก่อน +12

    Wakati wa Mungu kumketisha Mtu juu na Wakuu ukishafika basi amini imekuwa, Bila shaka kabisa ndio wakati wake huyu ndugu yetu kutimia ndoto yake katika maisha na hakika kupitia vinywa vya Watu pia hata kupitia tukio la kufananishwa na moja ya Komando wa JWTZ hii naiona kabisa katika jicho la KiMungu tiki kubwa na tayari imekuwa na zaidi ajiandae tu kupokea maana tayari fursa imeshamfikia mlangoni mwake.

    • @oprahpelle2531
      @oprahpelle2531 หลายเดือนก่อน

      AMUAMINI BWANA WETU YESU KRISTO

  • @presidentofafrica.5038
    @presidentofafrica.5038 หลายเดือนก่อน +12

    muuza madafu , anauza madafu hadi anapata hela ya kwenda kulipia chuo cha karatee.., tunaolewana vzr gonga like😁

    • @jessemadullu2226
      @jessemadullu2226 หลายเดือนก่อน

      Ha ha ha! Jamaa wanatuona watoto Sana! Tanzania ya gizani imeshapita! Hatujui kusoma sawa, Ila picha tunaona. Muuza madafu wa kawaida hana ubavu wa kuongea hivi. Anajua zimamoto, FFU, polisi etc.

    • @IbrahimMohamed-of3sl
      @IbrahimMohamed-of3sl หลายเดือนก่อน

      Na ana bodaboda

  • @talents7934
    @talents7934 หลายเดือนก่อน +112

    Mmemsikia akisema "Hii ni security Top hazipitiki Njia" kwa wanaojua Hii ni kauli ya kijeshi jeshi

    • @tamisiliwano5291
      @tamisiliwano5291 หลายเดือนก่อน +5

      kwel kaka maana wana vibao vyao pia huwa wanaadika kuwa hakuna njia Amri😂

    • @nurumwangoka5924
      @nurumwangoka5924 หลายเดือนก่อน +5

      Na hapo wala sio kwake anazuga

    • @anoldmmari-mi7qg
      @anoldmmari-mi7qg หลายเดือนก่อน +6

      Ni sawa ila hizo quote anazotumia zipo kwenye wimbo wa Dizasta vina Tribulations diss track

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz หลายเดือนก่อน

      ​@@tamisiliwano5291😂😂

    • @peternguma9182
      @peternguma9182 หลายเดือนก่อน +2

      Iyo anamaanisha, security ya juu ya kulinda mipaka

  • @rahmamukhtar521
    @rahmamukhtar521 หลายเดือนก่อน +19

    Safari hiyoooooo
    Majaliwa mwingine huyooooooo
    Nchi hii ALLAH akiamua kukutoa kwenye Hali Moja kwenda juu hakuna wa kuzuia

  • @AYUBPAULMWANGOKA
    @AYUBPAULMWANGOKA หลายเดือนก่อน +2

    Kama nakosoa nitasifia pia.
    Hii ndyo Kazi ya Millard Ayo TV sio ule umbea siju aliposti mtandaoni mtapoteza uaminifu na Nita mshauri bosii wanotuletea udaku WA mtandaoni Awafukuze Kazi
    Umefanya Kazi nzuri Sana bro nitamshauri boss aongezo kipato chako usithubutu kutuletea udaku!🎉🎉🎉🎉

  • @simonbura7890
    @simonbura7890 หลายเดือนก่อน +39

    Huyo ni komando, na yule wa jirani yake pia anaitwa captain paul Elias, kama mlifatilia maonyesho jana ndo alimtaja kama kiongozi wa wale makomando

    • @joycekaguo8476
      @joycekaguo8476 หลายเดือนก่อน

      Akai hapo

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 หลายเดือนก่อน +3

      ​@@joycekaguo8476yaan mtu wa usalama mnaweza mkawa mnaishi naye sehemu moja na mkawa mnachakarika naye mtaani

    • @Askari22
      @Askari22 หลายเดือนก่อน

      @@johnmwandu2116 hii Nimecheka sanaa

    • @plukeria600
      @plukeria600 หลายเดือนก่อน

      Hqhah

    • @ezevisionmediastudioezevis7855
      @ezevisionmediastudioezevis7855 หลายเดือนก่อน +1

      @@johnmwandu2116 na kama ni demu anakupa na mzigo kabisaa

  • @josephevaristi8923
    @josephevaristi8923 หลายเดือนก่อน +20

    Walioshtukia jamaa ni muuza madafu wa mchongo,
    👇

  • @DStvTz.
    @DStvTz. หลายเดือนก่อน +62

    Hana ndevu na commando Hana ndevu kama umegundua hili ebu gonga like tujuane

    • @frankdionis7700
      @frankdionis7700 หลายเดือนก่อน +1

      Anaweza kuingiza sana sela

    • @mussamussa9446
      @mussamussa9446 หลายเดือนก่อน +1

      aliyekwambia komando hana ndevu ni nani, KOMANDO anaweza kuwa vyovyote kulingana na mazingira na hali

    • @amonymzawaaa8934
      @amonymzawaaa8934 หลายเดือนก่อน +1

      Umenipa akili😂

    • @jabiryyunus9782
      @jabiryyunus9782 หลายเดือนก่อน +1

      Makomando wana ndevu kama Osama sasa kama hujuii

    • @Denis_prudence
      @Denis_prudence หลายเดือนก่อน

      @@jabiryyunus9782 unachosema ni kwel kaka ila huyu jaamaa anamaanisha komandoo aliyeshuka kwa helikopta siku ile hakuwa na uchebe na huyu wa hapa hana uchebe..

  • @dicksonmgoga-hj4im
    @dicksonmgoga-hj4im หลายเดือนก่อน +23

    Nchi yangu naipenda sana, watu wake wanalala muda wanaotaka, kuna watu wanafanyakazi muda wote! Tuendelee kulinda nchi yetu kila mmoja!

    • @vitalismushi1858
      @vitalismushi1858 หลายเดือนก่อน

      Huyu atakuwa anafanya kazi muda wote. Kulala kwake ni kwa machale sana. Commando kutokulala kwa siku kadhaa ni jambo la kawaida kwao.

    • @dicksonmgoga-hj4im
      @dicksonmgoga-hj4im หลายเดือนก่อน

      Watu wa hivi tunao wengi Sana, ndo maana kitu chochote kinapotokea kinachohatarisha nchi ni haraka Sana kukidhibiti! Pia alimhakikishia Mama Samia atembee kifua mbele Kwa jeshi letu liko macho!

    • @user-fs7xc2bb5d
      @user-fs7xc2bb5d หลายเดือนก่อน

      Allahuma Amin

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 หลายเดือนก่อน +3

    Dunia wawili kweli... Tunaomba uyu kijana awezeshwe...atafika mbali anakitu....mama yetu .SAMIA. SULUHU HASSAN TUNAKUOMBA. inua kipaji cha uyu kijana wako.....NA MNGU. AKUBARIKI📌🙏

  • @SamwelAngelile
    @SamwelAngelile หลายเดือนก่อน +25

    Hiyo ni code..watafutwe ili wakutane hiyo ni zuga zuga baada ya mda uyo atapoteah na kurud kambin kwake

  • @issakimvuli2099
    @issakimvuli2099 หลายเดือนก่อน +81

    Inawezekana ikawa co yy,lkn yupo ndani ya system kwa mtazamo wng!

    • @raymrash
      @raymrash หลายเดือนก่อน +6

      hata mimi naamini hivyo..kwenda kuuza madafu ikulu sio jambo dogo

    • @itstwinshi2179
      @itstwinshi2179 หลายเดือนก่อน +2

      ​@@raymrash nenda kizembe, ukijua ni ordinary muuza madafu 😂

    • @MarthaTraceFrancis
      @MarthaTraceFrancis หลายเดือนก่อน +2

      Jamani ni yeye uyo msidanganywe

    • @AbcD-bn1nz
      @AbcD-bn1nz หลายเดือนก่อน +1

      ​@@itstwinshi2179😂😂

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 หลายเดือนก่อน

      ​@MarthaTraceFrancis kabisa ni yeye bana hivi hata macho yanashindwa kuona kweli?

  • @sylvesterchisenga3707
    @sylvesterchisenga3707 หลายเดือนก่อน +16

    "Kama raia mnaacha kuuzima"
    Tumekushtukia
    Angalau ungesema"kama raia tunaacha kuuzima

    • @josephherman201
      @josephherman201 หลายเดือนก่อน

      Anajitahidi kuongea kwa kujiweka ndani lakini anajishtukia!

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 หลายเดือนก่อน +7

    Hiyo kofia naijua hongera Ndugu

    • @keagleeagle821
      @keagleeagle821 หลายเดือนก่อน

      Hii kofia nili search hadi mtandaoni.
      Nipe siri
      Maana imefanana na ya huyo commando

  • @sistertrashid2488
    @sistertrashid2488 หลายเดือนก่อน +28

    Mimi watanzania na wa amini Sana kwahiyo wengi wamesema ni yeye Aya na mimi nasema ni yeye😅😅😅

    • @oman1oman179
      @oman1oman179 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅

    • @user-bh4up3dg5m
      @user-bh4up3dg5m หลายเดือนก่อน

      Sio yy

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 หลายเดือนก่อน

      Namie pia ni yeye maana sio kwa mfanano huu

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l หลายเดือนก่อน +69

    Kuna jamaa mmoja alikuwa secrets office. Akitoka nyumbani anatoka na suti bag ya lap top na gari. Sasa kuna rafiki ya mke wake akamwambia mbona anamwona mtu posta ni kichaa anafanana na mume wake?
    Huyo dada alishtuka mume wangu kuwa kichaa. Yule dada ilibidi waongozane naye kwenda posta. Walipofika waliona jamaa kichaa anafanana na mume wake.
    Basi walichukua baunsa wakamnyakua wakampeleka nyumbani wakamweka store.
    Wakaa kusubiri kama mume atarudi nyumbani mpaka saa tano za usiku alikuwa hajarudi. Baadae yule bwana kichaa alibidi aseme ukweli kwamba alikuwa kazini.

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 หลายเดือนก่อน +1

      Duuuh

    • @fatmamdihiri4164
      @fatmamdihiri4164 หลายเดือนก่อน +4

      Ndio zao Kuna rafiki yangu namjua vzr ndio kazi zake ivyo😂😂😂lkn kanambia ni sisemi watamuhua sababu Ana fichua siri za watu wengi

    • @magrethhillary5449
      @magrethhillary5449 หลายเดือนก่อน

      @@fatmamdihiri4164 kheee sas ua anapata faida gani

    • @rasnchimbi
      @rasnchimbi หลายเดือนก่อน

      😂😂😂

    • @EdwardSamson-uf1ee
      @EdwardSamson-uf1ee หลายเดือนก่อน +8

      kama huyoo secret service alishikwa mpaka na baunsa na kwenye usafiri akapelekwa basi alikuwa mzembe sana

  • @bensonmasanja9862
    @bensonmasanja9862 หลายเดือนก่อน

    Yeah God bless you

  • @HanceBablo-ot8sz
    @HanceBablo-ot8sz หลายเดือนก่อน +2

    God bless you guy

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co หลายเดือนก่อน +127

    Baas yule komandoo tuombe nayeye awepo kwenye interview na huyu nae awepo😂😂

    • @salimmalaka256
      @salimmalaka256 หลายเดือนก่อน +2

      HAPO SAWA

    • @annodaboy
      @annodaboy หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂

    • @GloryMbwambo
      @GloryMbwambo หลายเดือนก่อน +1

      Sindo huyo

    • @GloryMbwambo
      @GloryMbwambo หลายเดือนก่อน +2

      Acheni kujichanganya ndo huyo huyo wee huon maneno yake Ni kejeli

    • @ramadhanimtetu3656
      @ramadhanimtetu3656 หลายเดือนก่อน +2

      Waje Wawili wote tuone
      😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-id7lc7tk4d
    @user-id7lc7tk4d หลายเดือนก่อน +20

    Muuza madafu ajieleze vizuri namna iyo ata hakosei

  • @HamadAlex
    @HamadAlex หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Millard you're now halfway to get another TH-cam button

  • @user-qx6mm2lp2b
    @user-qx6mm2lp2b หลายเดือนก่อน

    😂😂😂 safi sana nimependa mwamba huyu..yes huyu by mm ndiye yule ila taratibu haziruhusu kusema yess cz apo anakaz maalum..na yess be kwanza anahusishwa na yule mwamba alie kua muungano day.pili ana vitu vingi vinavyofanana na sifa ya komando mwenye mazoez maalum pia naye anyone mfano fighting skills..na sura plus mophology yan muonekano wanafanana so conclusion yess ndie..usalama wetu wa yaifa uko vzur safi sanaaaaa..❤❤❤❤❤

  • @Babaharvey3624
    @Babaharvey3624 หลายเดือนก่อน +11

    Namba yako nimeisave nitakutafuta komando wangu❤🎉

    • @user-sg6lc4te4o
      @user-sg6lc4te4o หลายเดือนก่อน

      Utaskia namba unayopiga kwa sasa haipatikani

  • @pascalvitalis
    @pascalvitalis หลายเดือนก่อน +42

    Security top hazipiti njia, askar achagui kambi, afu mwamba hacheki😂😂😂 i love Tz🎉

    • @shufaahmmmohamed1833
      @shufaahmmmohamed1833 หลายเดือนก่อน +2

      Umeelewa had ongea yake mmmh huwa hawasemi bana mi bado naona anakitu ndan yake

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Ndio hivyo

    • @mad0060
      @mad0060 หลายเดือนก่อน

      Kackilizeni nyimbo za Dizasta vina..... mtaelewa

  • @vicentmichael5028
    @vicentmichael5028 หลายเดือนก่อน +2

    Ukiskiliza interview vzr utaelewa

  • @tobiasantony3644
    @tobiasantony3644 หลายเดือนก่อน +1

    Huyo niyeye. 1. Sauti zinafanana, 2. Wote wanavichogo, huyo komando pale jukwani aligeuka tazama kichogo na huyo muuza Madafu. 3. Mwili unene, kimo na rangi. 4. Swala la kuuza Madafu ikuru na kutumia pikipiki kuuzia Madafu, 5. Mazingira ya nyumba anayokaa na sifa alizonazo ni kweli anaekti kukaa hapo. 6. Huyo ni kamandoo lakini kitengo Cha usalama. Huyo ni mamba.

  • @shedrackshaibu1986
    @shedrackshaibu1986 หลายเดือนก่อน +28

    Leo anaongea tofaut na mwanzo mwanzo alikuwa anaongea kiha saiz anaongea vizur

  • @christophermgaya4670
    @christophermgaya4670 หลายเดือนก่อน +29

    Muuza madafu anafanya mambo yote ya kikomando. Enewei😅😅😅

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 หลายเดือนก่อน +11

    Kama ni komandoo na anauza madafu nampongeza anafanya kazi nzuri hongera sana bwashe

  • @user-mb2iq8ht3c
    @user-mb2iq8ht3c หลายเดือนก่อน +1

    Anamsikiliza sana Dizasta vina

  • @YAHAYAMTOO
    @YAHAYAMTOO หลายเดือนก่อน +5

    Mmmmh bwana watu ao nawajua vizuri umeona ilo buti na staili zake

  • @merrynancesimon1562
    @merrynancesimon1562 หลายเดือนก่อน +8

    Komando Kama komando picha limeanza ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-fs8kl1gd7u
    @user-fs8kl1gd7u หลายเดือนก่อน +4

    Cha kwanza kabisa suruali aliyovaaa angalia kwa umakini ndo utajua.pili buti alilovaa tatu mazungumzo yake.nne yupo fitness kabisa huyo yupo kwenye sesytem

  • @user-iu2sg5fi6u
    @user-iu2sg5fi6u หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana Madam Mshupavu na Mama wa mfano time will tell, Samia 2025 tunaimani na wewe kubwa sana Mama.

  • @HusnaSimbila
    @HusnaSimbila หลายเดือนก่อน +12

    securuty top haipiti njia

  • @joshuajohn2668
    @joshuajohn2668 หลายเดือนก่อน +49

    Jamaa anakofia moja ya buku jero ila boot la laki na nusu

    • @Bruno4cus
      @Bruno4cus หลายเดือนก่อน +2

      Kawaida iyo Boss si alikuwa mlinzi

    • @user-pt4ts3ho3g
      @user-pt4ts3ho3g หลายเดือนก่อน +2

      😂😂 umeona

    • @innocentlusajo9303
      @innocentlusajo9303 หลายเดือนก่อน

      raia mkakamavu!! jah bless man one day yes

    • @NathanJulius-jv4dw
      @NathanJulius-jv4dw หลายเดือนก่อน

      hahahahhahahaha umeona eeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

    • @SamsonGamba-lk6qx
      @SamsonGamba-lk6qx หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😂😂😂😂

  • @kennethipapo9552
    @kennethipapo9552 หลายเดือนก่อน

    Mhuuuuuu,, like father like son

  • @EdifonceSylvester
    @EdifonceSylvester หลายเดือนก่อน +1

    Angalia hayo macho mzee hyo ni hatari sana

  • @jastinj.joseph7577
    @jastinj.joseph7577 หลายเดือนก่อน +17

    Huyo ni afsa wa serikali

  • @edwardouma1630
    @edwardouma1630 หลายเดือนก่อน +14

    Uyo jamaa ni usalama wa taifa asikudanganye by fossil nikiwa Nairobi Kenya

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 หลายเดือนก่อน +4

    Watu wawili tofauti, mapua

  • @oshaimuafrica8398
    @oshaimuafrica8398 หลายเดือนก่อน +22

    Gonga like Kama unamkubali komando chapu hapa tiwazidi wote humu

  • @samboarnold611
    @samboarnold611 หลายเดือนก่อน +8

    Usafi (ndevu ), nidham ya maneno, confidence ... Una juaje mixed martia art ( combat)

  • @saidihamisi4949
    @saidihamisi4949 หลายเดือนก่อน +1

    Mungu anatisha! Duniani wawili wawili Bora mwenzetu wapili yake yupo hapo hapo. Wewe Sasa wapili wako marekani.

  • @alicksinkamba3401
    @alicksinkamba3401 หลายเดือนก่อน +2

    Zingatia neno mama Samia awe na Aman kabisa Kwa lile jeshi aliloliona pale

  • @AZAM_MEDIA
    @AZAM_MEDIA หลายเดือนก่อน +9

    Wa kwanza

  • @collinstemba6040
    @collinstemba6040 หลายเดือนก่อน +50

    Huyu yupo kwenye system 😮

    • @1stladyafrica402
      @1stladyafrica402 หลายเดือนก่อน +1

      Kabisa ndo yeye

    • @wemakalama6458
      @wemakalama6458 หลายเดือนก่อน

      Ni spy maybe anachunguza kitu mhh kazi ipo

    • @graysonjohn1080
      @graysonjohn1080 หลายเดือนก่อน

      @@wemakalama6458 mnamwonea tuu

  • @faizaahamd2052
    @faizaahamd2052 หลายเดือนก่อน +2

    Mama samia msappoti huyu kijana anaweza 💗

    • @susanmshindo7593
      @susanmshindo7593 หลายเดือนก่อน

      Maana Mama mwangalie Kama sie yeye basi muwezeshe Mama yetu

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 หลายเดือนก่อน

      Mara ngapi?

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg หลายเดือนก่อน

    WELL DONE

  • @rukaka_jr4514
    @rukaka_jr4514 หลายเดือนก่อน +12

    Ni yeye

  • @ramadhanisalum3898
    @ramadhanisalum3898 หลายเดือนก่อน +6

    Ogopa sana mungu na teknollj

  • @raulianraphael6853
    @raulianraphael6853 หลายเดือนก่อน

    Upo vzr Madafuboy kaz nzur
    Nimshaur kitu Achana Na Interview Piga kaz
    Kua nje ya Camera
    Kitengo watakuekea kitengo maalum so Kua makini
    Siri ibaki Sirini
    Mtaji utaongezewa na majukumu utayatimiza

  • @laurentndowa2304
    @laurentndowa2304 หลายเดือนก่อน

    Huyu Kijana,kaka millard Ungempigia Promo, Natamani Angepata Hiyo nafasi ya jeshi akatimiza Ndoto zake, ningekuwa mtu mkubwa serikalini .ningempeleka jeshi huyu Kijana, MUNGU amsaidie Atimize Ndoto zake, Nawe Kaka Millard MUNGU ndiye atakae Kulipa,kupitia nyie Jamaa anaweza kupata nafasi serikali ikamuona. Ahsante

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 หลายเดือนก่อน +43

    Hapo mngemfuata huyo mjeda na yeye ukweli ungejulikana huyo ni yeye anacheza na akili za watu

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy หลายเดือนก่อน +2

      Sas unasema ni yey unauhakik?kuliko yeye anaejisemea?kwamba wewe ndio unajifanya unamjua sana au khaaa achen kulazmisha vitu ambvyo huvujui chizi wewe

    • @SaidiAmiri-qv5ed
      @SaidiAmiri-qv5ed หลายเดือนก่อน +3

      Huwa hawaonekani ovyo,utampatia wapi hahahahhahahahha makomando

    • @naah884
      @naah884 หลายเดือนก่อน +2

      Sasa kama ni yeye itakusaidia nn

    • @SaraMathew-xd2vp
      @SaraMathew-xd2vp หลายเดือนก่อน

      Ten itakuwa vzuri kama wakitutanisha nao wote wawili ili tulizike

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน

      Usikatizie rizki yake tumpigie kampeini achukuwe jeshini

  • @RichWise671
    @RichWise671 หลายเดือนก่อน +49

    Lakin Hii ni Security Top hazipiti njia 🔥🔥🔥

    • @scorasticaclement6308
      @scorasticaclement6308 หลายเดือนก่อน

      Nomaaaa

    • @peternguma9182
      @peternguma9182 หลายเดือนก่อน +1

      Maana ni kwamba mwanajeshi wa juu wa kulinda mpaka

    • @mulanmike1997
      @mulanmike1997 หลายเดือนก่อน

      top shelf 🌋

    • @MfaumeRamadhani-wm9gi
      @MfaumeRamadhani-wm9gi หลายเดือนก่อน

      Hi ni lyrics ya moja ya wimbo wa dizasta vina anatumia kujimwambafai 😂😂😂

  • @wilget109
    @wilget109 หลายเดือนก่อน +1

    Siye kabx sema wamefanana tu🙌

  • @user-vy9en5ly1z
    @user-vy9en5ly1z หลายเดือนก่อน

    Ila unatuchota. Wewe Mkuu bwana salute.

  • @nsuriitv2468
    @nsuriitv2468 หลายเดือนก่อน +43

    HONGERA SANA MILARD AYO KWA KUFIKISHA SUBSCRIBERS 5ML

    • @user-yn4di1lj7f
      @user-yn4di1lj7f หลายเดือนก่อน +1

      Asifikishe Kwa upumbavu 😅😅😅😅😅😅

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 หลายเดือนก่อน +3

    Wapo tofauti kabisa,

    • @latifamuhunzi4061
      @latifamuhunzi4061 หลายเดือนก่อน

      Na hasa ukiangalia pua zao ndio utaona utaona tofauti zao,ila wa bongo wakisha shupalia jambo si ujuwaga

  • @allidehunter3223
    @allidehunter3223 หลายเดือนก่อน +1

    👏

  • @comradejonasrwegoshoramwal5727
    @comradejonasrwegoshoramwal5727 หลายเดือนก่อน

    Good interviewer

  • @MichaelJames-tp6co
    @MichaelJames-tp6co หลายเดือนก่อน +28

    Sawa kaka tuendelee kuuza madafu yetu,

  • @josephandrea8266
    @josephandrea8266 หลายเดือนก่อน +37

    Jukumu la kulinda amani na kudumisha umoja ni la kila mtu . Rais Ajiamini yupo mikono salama

    • @baloz8974
      @baloz8974 หลายเดือนก่อน +4

      Umesoma hizo kauli

    • @rukiamkali2091
      @rukiamkali2091 หลายเดือนก่อน +3

      Hio ni kauli ya kujua kua huyo ni mtu wa............

    • @barakakomba6087
      @barakakomba6087 หลายเดือนก่อน

      Kaka hizo lugha za watu wa hitifaki umetisha kwa kugundua hilo 😅

    • @ajoseph31
      @ajoseph31 หลายเดือนก่อน

      Apo me mwenyew ndio nlistuka..

    • @user-zw4tf5os8b
      @user-zw4tf5os8b หลายเดือนก่อน

      Kauli ya kiume hiyo, huyo mwamba ndo yeye

  • @HusseinBio
    @HusseinBio หลายเดือนก่อน

    Nakubali San mwamba

  • @cheedinhoonlinetv7339
    @cheedinhoonlinetv7339 หลายเดือนก่อน +1

    Muuza madafu ghafra Kawa star mara kanunua piki piki mara bishoo mara anataman awe jeshi mara anataman awe mwanamichezo mara ooh mara anakosa pesa yakulipa pango ghafra muuza madafu anamiliki boxer saafi kabisaa daah hongera sana kwake 👍👏 kweli maisha ni bahati
    NB; huku mtaani hajanyoa mustach pale uwanjani kanyoa ndavu oya wanangu stukeni😅😅😅 ooh

  • @Ablahisaid
    @Ablahisaid หลายเดือนก่อน +12

    Huyo alikua asijioneshee yengelikua vizr zaid

    • @user-bh4up3dg5m
      @user-bh4up3dg5m หลายเดือนก่อน

      Sio yy wamefanana tu

    • @kiuje
      @kiuje หลายเดือนก่อน

      Kwanza mlitakiwa mitumie akili mboni aombi msaada😂

    • @charlessomi2506
      @charlessomi2506 หลายเดือนก่อน

      Asijioneshe aache kufanya majukumu yake kisa watu watamuhisi kua yeye n komando, halafu majukumu yake akayafanye nani

  • @sengiyumvaathanas8815
    @sengiyumvaathanas8815 หลายเดือนก่อน +27

    Security top hazipiti njiaa, ukija vibayaa lazima nikukalisheee sijui mnaelewaaaaaaa😀😀😀😀

    • @twahambowe440
      @twahambowe440 หลายเดือนก่อน

      😂😂😂😮

    • @kasukukasuku3896
      @kasukukasuku3896 หลายเดือนก่อน +1

      Yap security top lugha za kijeshi izo

    • @audaxbizimana8084
      @audaxbizimana8084 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅😅😂😂

    • @radhiaomary5591
      @radhiaomary5591 หลายเดือนก่อน +2

      Mm naamgalia logo ya kofia yake tu😂😂atakua jasusi huyo

    • @aryanamendes8700
      @aryanamendes8700 หลายเดือนก่อน

      😅😅😅😅

  • @nobertdomic2119
    @nobertdomic2119 หลายเดือนก่อน

    Aisee

  • @catherinecostantino2034
    @catherinecostantino2034 หลายเดือนก่อน

    Pia tofaut

  • @dicksondkaganga1290
    @dicksondkaganga1290 หลายเดือนก่อน +3

    He is very bright. Kama siyo Askari basi mama mwangalie huyu kijana!

    • @susanmshindo7593
      @susanmshindo7593 หลายเดือนก่อน

      Yap! Kabisa kasoma mwelewa Yuko poa atatufaa ki kazi

    • @ezrommkambati1554
      @ezrommkambati1554 หลายเดือนก่อน

      Ampe mara ngapi mbona wabongo vilaza sana?

  • @wanzakleruu8648
    @wanzakleruu8648 หลายเดือนก่อน +63

    Kodi inakushinda huna simu kubwa lakini unamiliki boxer😅😅

    • @hildagabriel1003
      @hildagabriel1003 หลายเดือนก่อน +2

      Pengne hatakiwi kujionesha km huma

    • @IdarousPossy
      @IdarousPossy หลายเดือนก่อน +5

      Acha kukalili maisha kwamba unamjua sana au?kwamba hio boxer ulimnunulia wewe yani useme yake?acha ufara na ushamba

    • @user-ex9sd8wm4l
      @user-ex9sd8wm4l หลายเดือนก่อน +1

      😂😂😂😂😂😂

    • @mathiasmaguzu8902
      @mathiasmaguzu8902 หลายเดือนก่อน +2

      Hapo sasa

    • @rumdeesonsoa1811
      @rumdeesonsoa1811 หลายเดือนก่อน

      Hiyo ni kawaida wewe ndio mshamba

  • @JoeliAlfled
    @JoeliAlfled หลายเดือนก่อน

    Niweeeee safiiii sanaaa

  • @youthmediatv1
    @youthmediatv1 หลายเดือนก่อน

    Duh

  • @traudkamugisha8051
    @traudkamugisha8051 หลายเดือนก่อน +3

    Ahahahaaaa muuza madafu mpaka unamiliki boxer mpya, ahahahaaaa, niwewe bwana ila tunashukuru kwa kazi nzuri ya ulinzi kwa Nchi yetu.

  • @Y.D.c.p
    @Y.D.c.p หลายเดือนก่อน +3

    Alie beba namba ya comando, gonga like yako hapa chini

  • @mawazoaliselemani
    @mawazoaliselemani หลายเดือนก่อน

    Chalii wangu namkubali sana

  • @damiansambuo5955
    @damiansambuo5955 หลายเดือนก่อน

    Kazi ya kudumisha amani ni ya kila Mtanzania. Gonga like

  • @eliaspeter4017
    @eliaspeter4017 หลายเดือนก่อน +8

    Vitu vingine ni siri za kiusalama sasa wabongo tumekomaa na mwana aisee, mambo ya Ngonswe tumwachie Ngonswe mwenyewe, utulivu tulionao hapa mamaland Tz kuna watu wenye dhamana ambao ndo kazi zao sasa media zimekomaa na hii ishu ya jamaa

  • @stivejayngoga1403
    @stivejayngoga1403 หลายเดือนก่อน +4

    Jamaa siyo yeye!! KWASABABU;
    1.Huyu jamaa anavindevu(sharubu) yule komando hana kabisa
    2. Muundo wa Pua huyu anapua ndefu kuliko yule komando

    • @ibrahtv5592
      @ibrahtv5592 หลายเดือนก่อน

      Duuu yaa wee jamaa😂

    • @bullahrwabatika8014
      @bullahrwabatika8014 หลายเดือนก่อน +1

      Wauza madafu huwa wana visu vikali saaana vya Likatia madafu rais alienda kununua madafu bila bodyguard yoyote hii inawezekanaje?

  • @oman1oman179
    @oman1oman179 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤❤❤huu kisha trend

  • @user-mb2ek2ds1h
    @user-mb2ek2ds1h หลายเดือนก่อน +2

    Jmn mama Samia sema neno bas kama sio yy mpe nafas jmn

  • @Burner_Acc
    @Burner_Acc หลายเดือนก่อน +5

    Bongo kila mtu ni usalama hadi vichaa.

  • @CuteMaryam818
    @CuteMaryam818 หลายเดือนก่อน +6

    Nikiangalia pua zao kama tofauti kidogo au itakua ni pacha wake 🤔🤔

    • @wamisangi2801
      @wamisangi2801 หลายเดือนก่อน

      Na mustachi kwa mbali. Uko vizuri.

    • @lightnessmsuya3170
      @lightnessmsuya3170 หลายเดือนก่อน

      Au Mama yao alizaa pacha mmoja akapitea enz hzo ila najiuliza tu maan mmh

  • @joshuanassary5072
    @joshuanassary5072 หลายเดือนก่อน +2

    Kauli zake ni tata, very technical...

    • @AllyMaya-yj3xd
      @AllyMaya-yj3xd หลายเดือนก่อน

      Umeona eeeh kazi ya kulinda amani kudumisha umoja ni kazi ya kila mtanzania haya ni maneno ya kitaalam kabisa😂😂

  • @pendosospeter4807
    @pendosospeter4807 หลายเดือนก่อน +1

    Huyu ndo yeye ❤❤bhana

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz หลายเดือนก่อน +15

    Mpeni kazi huyu kijana naeeza anania halisi Rais sikilia ombi huyu kijana

    • @user-pb1ug4zr1j
      @user-pb1ug4zr1j หลายเดือนก่อน +2

      Watu kama hawa wanakuaga wazalendo kwny kazi

    • @talents7934
      @talents7934 หลายเดือนก่อน +5

      Apewe kazi mara mbili??

    • @dreamleague-uq2gx
      @dreamleague-uq2gx หลายเดือนก่อน +4

      Apewe kazi gani nyengine😊😂

    • @Denis_prudence
      @Denis_prudence หลายเดือนก่อน +2

      Apewe kazi mara ngapi tena jamaaam?

    • @daudiissa9256
      @daudiissa9256 หลายเดือนก่อน +1

      Kwei bhana aajiliwe tena

  • @VummyEdward
    @VummyEdward หลายเดือนก่อน +24

    Niyeye ila akiwakazini anajisafisha vizili namafuta mazuli naakiwa kitaa ana kua lafu Ili wasimjue tenauyo nimpelelezi waki kesho nawana mafunzo yakuweka miiliyao tofauti tofauti kulingana na mazingila aminini nawaambia

  • @mariummfizowz6968
    @mariummfizowz6968 หลายเดือนก่อน

  • @joycehaule9717
    @joycehaule9717 หลายเดือนก่อน

    Wow nimefurahi AYO MMEKUA WAKWANZA KU TULETEA HABARI

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS หลายเดือนก่อน +7

    Jamani hata mimi nafanana na mawaziri naomba kazi ya uwaziri

  • @ramadhanikashimbiri4851
    @ramadhanikashimbiri4851 หลายเดือนก่อน +12

    Najarib kuunganisha dots kwann atrend kwa madafu , mara komando alaf mwisho ni mpambanaji mashuat, boxing hapo ngoja

    • @menalikechildren8836
      @menalikechildren8836 หลายเดือนก่อน

      najiukiza hivo pia

    • @johnmwandu2116
      @johnmwandu2116 หลายเดือนก่อน

      Yaan umejiuliza km Mimi, yaan hizo dots ukiziunganisha unamalizia kwakusema "NI YEYEEEEEEEEE"😂😂

  • @IbraMedan
    @IbraMedan 27 วันที่ผ่านมา

    Noma

  • @audaxbizimana8084
    @audaxbizimana8084 หลายเดือนก่อน +1

    😅😅😅😅😅😅 nchi yangu naipenda❤❤❤❤❤❤❤

  • @mohamedally121
    @mohamedally121 หลายเดือนก่อน +3

    Hawa ni watu wawili tofauti...