Kati ya nyimbo Bora Sana za kumfia Mungu kuwahi kutungwa Hapa Tanzania,wow mashairi,Muziki ni burudani Mno, melody, siwezi kumaliza eleza hapa ,huu ni ufunuo Mkubwa Mno Kwa mtunzi wa Huu Wimbo,nimeutumia Sana katika kipindi kigumu kumsifu Yesu mwokozi
Wimbo wangu pendwa.. Barikiwa sana mtumishi wa Bwana..
Barikiwa sana My Pastor Jackson
Yani kiukweli nyimbo zako huwa zinanikosha na xina mguso Sana songs mbele lakini namba zako hatuna tutakualikaje. Sasa tusaidie no zako.plz
Hakika Yesu wewe Ndiwe Mungu! Hiki ni kiwango kingine kabisa cha Imani pale unapokubali kuwa Yesu Ndiye Mungu Mwenyewe
Nakupenda sana kaka yangu
Asante sana
@@jacksonbenty rudi kaka kwenye muziki unajua ni wachache mnaoimba nyimbo zenye nguvu ya roho mtakatifu
🙏🙏
Bwana YESU asifiwe Pastor. Ule wimbo unaoimbwa "umenifanyia njia katikati ya bahari, umekuwa adui wa adui zangu" mbona haupatikani TH-cam?
Utaupata ndani ya siku chache
Shalom brother, tunahitaji pia nyimbo zako zile za zamani.. please upload..🙏🏼
woow naupenda sana huu wimbo, kumbe ni ww kaka umeimba👏🏼👏🏼Be Blessed
Kati ya nyimbo Bora Sana za kumfia Mungu kuwahi kutungwa Hapa Tanzania,wow mashairi,Muziki ni burudani Mno, melody, siwezi kumaliza eleza hapa ,huu ni ufunuo Mkubwa Mno Kwa mtunzi wa Huu Wimbo,nimeutumia Sana katika kipindi kigumu kumsifu Yesu mwokozi
❤❤❤❤❤
mtumishi napenda nyimbo zako ubarikiwe
Amen,utukufu kwa Bwana Yesu
Tunasubiri video mtumishi wa Mungu.....
Mungu aubariki huu utumishi, Yaani hapo furaha ya Moyo wangu nikuabudu, very Powerfull Roho Mtakatifu azidishe mafuta yake juu yako.🙏
Huu wimbo nilikuwa nawazia umeimbwa na muimbaji mwingine kabisa
Labda kuna aliyewahi kuurudia
Nimesikiliza huu wimbo,Moyo wa Ibada umerudi kwa upya ndani yangu!!
Glory to Jesus!!
Huu wimbo ni zaidi ya mali mengi, ni zaidi ya asali katika sega la asali. Nakumbuka mbali sana, wakati nimeanza wokovu. Mungu akubariki sana mtumishi
Back in 2015 mara ya kwanza nausikia
Tumsifu yesu kristo brother, Please bring back ule wimbo wa Bwana ndiwe nguvu zangu. Nimeutafuta sana haupatikani popote. Asante, Ubarikiwe sana
Baraka sanaa
Mpendwa nautafuta huu wimbo naupataje mana kila platform ya kudownload haupo
Wewe unapatikana wapi?
Naomba namba yako
❤
Amen 🙏🏾
Uweke wa video sasa mtu wa mungu
Amen,asante sana
Amen Amen!
Glory to God
Bwana ndiwe nguvu zangu unatakiwa
Unakuja
God we Glorify Your Holly Name Via this Song
Yesu wewe ndiwe Mungu, oh! Hallelujah
Ameen
Amina Yesu wewe ndiwe Mungu
Tunaomba ile ya umenifanyia njia njiaaaa haipo TH-cam
Wimbo mzuri Sana mtumishi tunaomba video
Glory to God
This song🙌🙏
Yessss🙏🙏🙏
Nimeitafuta sana hii nyimbo!
Mungu akubariki sana Jackson Bent! Ni miongoni mwa nyimbo zinazobariki mno mno🙏🏽🙏🏽🙏🏽🙏🏽
This song bless me a lot..thanks man of God
🙏🙏🔥🔥🔥🔥
🙏
🙏🏽🙏🏽💪🏽