Annoint Amani = Yesu njoo Nisaidie (Vita ya familia Official music Video )
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 18 ธ.ค. 2021
- #yesunjoonisaidiebyannointamani#
Huwezi kulazimisha watu wapende au wakubari kile unacho wapa kutoka kwa Mungu,
Maadam umeitwa na Mungu muache Mungu mwenyewe kwa wakati wake akutambulishe,
Maana kama wakati bado,
Utatumia nguvu sana kujitambulisha lakini wakati wa Mungu ukifika anajibu maswali yoote wanayojiuliza juu yako,Tena Mungu anajibu kwa ukubwa ambao hautaacha kiulizo chochote kwao,
Ushauri,
enderea kunyenyekea chini ya mkono wa Bwana ulio Hodari, tulia hapohapo alipokuweka Mungu, hapo ndipo pana mwanzo wako mkubwa utakao ishangaza Dunia na jamii inayo kuzunguka,
Unaweza kuzaliwa na wazaz lakini wakawa hawajui wewe ninani katika dunia,hata ndugu au marafiki,
hivyo shetani kwavile anajua una waamini watu wa karbu anaweza kuwa tumia ili uliache kusudi la Mungu ,
Mtafute Mungu sana sana,
Acha kuongea sana na watu kuhusu mambo yako,
Gfra utashangaa Mungu atakavyo kutumia kwa namna ya ajabu mpaka dunia ita Muogopa Mungu unae mtumikia)
Atrtist,Annoint Amani
Song,Yesu njoo nisaidie
Album, MIMI NDIE MUNGU PEKEE
(Lamguage Swahili)
for Bookngs
instagram Annointamani
+255767240181
+255755099942 Dar es salaam Tanzania)
Studio A,E,A Tones prod by Meddy
Video,DIRECTED BY MEDDY
+25786849123) - เพลง
Napenda izoo nyimbo sana naomba mungu anipe kibali namii nimtukuzee sana
God is watching you.....don't give up much love from Kenya 🇰🇪
Nimekuwa nikipitia jaribu langu kidogo leo. Huu wimbo umenipeleka miguuni pa Mungu 🙏🏿🙏🏿😭😭😭😭.Ushindi ni kwa ajili yetu
God bless you
Pia wewe nakuombea kipaji chako kiendeleee maana KAZI safi
@@dianawayela7433Amen🙏🏿🙏🏿
Mungu. Akumbaliki. Ulikua. Ukunda. Redemt. Jootena
Utubariki
AMEN , Haleluyaaa
Ameen barkiwa sana ujumbe umenigusa naomba niokoe afya yangu njoo niokoe
Wow Hallelujah… Annoint Yesu yukaribu Sana na wewe, usiogope…. Anapigana vita viako. Ni muaminifu. Shikilia Yesu tu pekee. Ni rafiki wa kweli. Shalom Shalom
Ameeeen 🙏🙏 barikiwa Sana Mungu akuinue katika level ingine
Amen 🙏 🙏 🙏
Ameeen ameeen ameen mungu akubariki sana sana mtumishi wa mungu annoint uinuliwe uzidi kuitangaza injili ya Bwana Mpk mataifa yote yajue mungu kuwa ni Bwana na mwokozi wa maisha yetu
Your songs are always a blessing. Listen to your God and not people.
Yesu njoo nisaidie😭😭😭save me Lord🙏
The appointed God's time,the mostly needed 🙏 🙏🙏🙏🙏come to my rescue Lord
Amen 🙏 mungu n mwaminifu kwa Kila Jambo be blessed 🙏🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Glory be to GOD very powerful song ,,natamani nimalize mwendo salama
Nabarikiwa pia aseee
Amen and Amen glory to God be blessed my brother may God lift you up good work 🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻🧎♂️🧎♂️🧎♂️🧎♂️
Ndiyo kabisa wanaokugo mbanisha ni watuwakowa karibu jamani oooh my God ubarikiwe sana mutumishi wamungu
Nyimbo nzur yenye hisia MUNGU azid kukuinua
It's a touching song ,may God bless you annoit amani🙏🙏
Barikiwa zaidi kaka kw nyimbo nzuri za kuguza mioyo
mungu wa elijah kuja uthimbitishe hallelujah
gossipers hudhani wanajua kilakitu,,,lakini mungu kamfichia mwanadamu rizki yakee!!!! asantee ndugu kwaizo nyumba zakujengaa!!!!
Baba njoo😢🙏ombi langu 🙏 thank you so much man of God,,
Ameen...yesu akiwa upande wetu hakuna kushindwa barikiwa zaidi
Hallelujah. All the glory to the most high..you are going far mtumishi.
Mungu akitie nguvu mtumishi majaribu ni ya muda nakukuvukisha daraja❤❤❤❤
Hallellujah you bless my heart oooh God nifundishe kunyamaza nisije jibu nikakuosea
Mungu nimwema ametimiza ahadi zake kwetu atafanya jmbo namini atatenda nakwangu amen
Dan namuona hapo...wimbo mu zuri
Kenyans loves you alot❤❤❤❤👏👏👏👏👏👏asante kwa nyimbo nzuri🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Amen kweli iko hivyo kupigwa twapigwa na watumishi wezetu......but God will not leave you I love your songs alot
Nimepeda kabisa
Mungu sio mwanadamu Imani 'isife moyo wewe muombe mwenyezi kila siku Naye atakuinua zaidi watakuwa ashame'i love you songs saul
Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen Amen
Hii nyimbo imenitoa bali sana Mungu akuweke myumishi wa mungu
This is My, thanks to the lod
Waaw the god 🙏 blessed you anoint
Annoit don't give up keep up brother god blesses you i love how you sing❤❤❤❤❤❤❤❤❤🙏🙏🙏🙏
Amen amen bwana nisaidie nishike mkono twende wote pamoja
Amen,a tree with good fruit is the one get stones, don't mind get focused
Unafanya roho yangu kuwa karibu na yesu,; nakupenda sanaa
Nyimbo nzuri sana ruhusu basi tuzilody Mungu awenawe daima
Mutumishi unzidi kuinuliwa sana
Bwana yesu nisaidie vita yangu ni Kali wanaonipiga vita niwatumishi wezangu..bwana nipiganie
Nyimbo zako nizakutia moyo ubarikiwe sana Amina
Wimbo huu umenigusa sana,naomba ukumbukwe milele
Bwana anisaidie kweli atusaidie
Great job May God bless you and lift you to a higher level
Hallelujah🙌...what a touching song...no weapon formed against the chosen one's shall prosper.. mbele yako iko sawa 🙌🙌🙏
Amen UTUKUFU kwa Bwana
Your songs are annointed the same way with the artist...be blessed Amani
Asante wimbo huu umenifanya nijisikie vizuri Sana na kuto kuogopa majalibu umenifundisha neno kaka innont
😢😢😭😭😭😭 ii wimbo imenitoa machozi it's just powerful inaedana na situation ygu 😭😭😭
Nabarikiwa sana nyimbo zak nyimbo zako zinanigusa sana
I really cried listening to this song ...don't give up man of God ..there is a reason why you are the one passing through that the Almighty God has the reason...but why do pple who are close to someone be the one who hurts pple the most don't understand....don't give up
Amani, i really love your songs, am from 🇰🇪huu wimbo umenigusa ila unaisha nikiwa bado sijaridhika...how i wish ungeurefusha kidogo jameniii...kwa kweli uliitwa na mungu zidi kubarikiwa mtumishi wa mungu!!!
Yani hii nyimbo naipenda mno
Wow what a sweet song though it's emotional 😭😭😭be blessed man of God
Pole sana baba yangu
Usiliye nawale
Wale ni wale
Watumishi wanzake ao mtu awaye yeyote asikutenganishe Na Mungu wako
Hallelujah ujumbe mzurii unatia nguvu sanaaa
Siwezi hata kunyamaza natoa chozii tuh bwana yesu njooo nisaidie nimalize mwendo salama
Much blessed 😢😢 huu wimbo umenitoa machozi
amina barikiwa bro
Woooow🙏🙏🙏🙏what an inspiring song😍😍
Unanibariki Sana barikiwa
Good 🙏mungu akuiniwe zaid mtumishi 😭🙏🙏🙏
Iyo nyimbo yesu atashuka kweli ama atumane juu imenigusa sana
Amen, glory to glory 🙏🙏
Kazi safy sana
Amen glory be to God how made us, umenibariki sana na huu wimbo kaka yangu
Hi goodluck
Eimeen
What a sweet song be blessed saaana
ameniiiiiiiiii ubarikiwe.....
Mungu akuinue annoint me mwenyewe nimetoa machozi
MUNGU yupo pamoja nawe, usiogope eeee shujaaa.
Amen amen Mungu akumbariki sana Tena sana 🙌🙌🙌
When I hear this song, I feel more encouraged, keep up bro
Pole ni vikwazo tuuu ... simama kwenye mstari wako
Saut unayo ila kunabaadh ya nyimbo unaimba hatuelew et una pampaz kwel.. Nice song annoit
Amen,Be blessed Annoint,vita Ni kawaida Na hiyo ndio hishara ya kusimama wima Na Neno la mungu Kwa kuwa Kuna mafanikio mbele let's God fight against our worries 🙏🏽🙌Mungu akuinuie Na wenye wanapata Neno lake kupitia hizi nyimbo wainuliwe Na nyota zilizofugwa zifunguke Kwa Jina la yesu,Amina👏❤️🥰big blessings from Kenya 💙
God help your anointing people wanapitianga magumu watie nguvu
Dhuuu kumbe na epi upooooo sijakuona miaka mingi
Amen Amen my brother unanipa ngufu asante saana
Barikiwa Anoint.kazi yako ni njema
Annoint , keep moving.
Ameeen Hallelujah annoint 🙏🙏🙏🙏🙏🎉🎉🎉🌟🌟🌟
Kweli kaka,Umenikubucha ni lazima tumuhite yesu_hivyo ndo tutakuwa salama Mungu hawabaliki sana Mpendwa!
I am inove with this history
Kaka nyimbo zako zanibariki sana Huwa najikuta kukata tamaa lkn nyimbo zako zanibariki mungu akutie nguv
Kaka ubarikiwe sana nyimbo zako hua zina nibariki sana
Wooow he sings his songs deep inside from his heart lead by the spirit,be blessed bro
😭nimebarikiwa.MOLA akuzidishie baraka
Njoo Yesu niokoe, alleluia Barikiwa sana
Powerful 💪 God bless you was chosen by God🙏👏
Nyimbo nzuri hii annoint mungu akuinue milele
Ombi langu Bwana. Njoo nisaidie.
Nice song.. God bless you 🙏
I love you songs kwanza hii Mungu akubariki bro❤❤❤
Kanisa ukua na vita sana
Usiogope mungu hawezi kuwa mbali na wewe wewe ni mteule Vikwazo visikukatishe tamaa..safari ya shujaa akikosi kikwazo
inaliza jamani yooooooooo bwana yesu njo nishindiye
Amani I really ❤❤ ur songs kwnza Ile y (mama)following from Kenya nkuombea mungu akusongeshe kw viwango vya juu mtumishi
From kenya hiyo wimbo imeniguza sana😢😢
Mwenyezi mungu akubariki kwa wimbo mzuri