Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.
Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.
Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.
Ahsante Yanga SC Ahsante wananchi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉
inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever
Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.
The Club Above All 🎉🎉🎉🎉
That's why Yanga is a big team and its blessed to have trophies,God bless Yanga Africans and Wananch....
Mungu Urie juuu msaidie.ndugu yangu
Hii ndo siri yanga, kwenye utoaji kuna siri kubwa sana 💛💛💛
Mashaalah, Allah akupeni kila la kheri .
Maana ya uongozi bora ndiyo haya yanayonekana mawaliza watu kwa furaha sio kimpira tu.kweli hii timu ni wananchi hongereni sana.
Alikamwe mungu akutunze akupe makubwa zaidi ya haya .upendo mkuu❤
😢😢😢asanteni wote mliotoa mwenyezi Mungu awabariki
Hongereni sana ndugu zangu wananchi
God bless you Wanainch
This has made me cry! Mungu awabariki wanayanga! Makombe hayaji HIVI HIVI! Thank u Jesus,💚from UK
Kwakweli mungu ibariki hii team! Zikumbuke sadaka za wana wako
Hiiiii ndio maaaana halisi ya club ya wananchi!!
Hongera Kamwe!!
Wengine dar tunaitaka sana mikeka ya asili jamani
Be blessed San kwa wote waliojitoa, maish marefu mama mung akulinde, ally kamwe uishi miaka ming🤲
Allah wafyie mepesi kwa yote mnayo hitaji❤
HII NIMEIPENDA UDUMU UDUGU WA WANANCHIIIIIIIIIII
Allah ajalie wote waliechangia na inshallah awazidishie mlipotowa.
Hiiii clabu inaunganisha watu aiseeeee!!!
Ndio maaaaaana ya club ya wananchi!
Kwa mliotoa mwenyenzi mungu awazidishie
Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Viongozi wetu Neema kwenye maisha yenu Inshaallah
Daah nimeguswa sana Na huyu dada hongera zake nyingi kwakutokukata tamaa ya maisha lasivyo angekua ombaomba mtaani MUNGU azikdi kukubariki
Mashallah mashallah mashallah 😢😢nimeipenda iyo
Mungu awazidishiye nyote mliotowq mola atawaongezeya
Big club ..Big events
Mungu ni mwema
Mungu akutiye nguvu dada inunuliwe tu Mike kama jamani tena yote tafadhali kamwe
Mungu akuponye wa kukaja
MashaAllah.
Hiyo imeenda,Kwa ALLY hakuna jambo dogo!! Mungu alibariki Yanga na mama huyu.one💚💛
❤Mungu hakupe kheri na weye
Laitani km ningekuwa karibu ningeinunuwa namie
Dah nmejikuta nmelia nmejisikia faraja sana
Mungu awe nany nyote mlionunua mikeka kumsapot mama kipofu
Upendo mkubwa Sana Huu
Allah Akbar
Nice
Dah, Salome Mwakyusa amenitoa machozi. Yanga imfikirie, awe balozi wa Yanga.
Aisee furaha imezidi mpaka machozi yanatoka tu Mungu awabariki wote mliomshika mkono Salome Mwa....
🙏🙏
Thank you. Wananchi kwa uwezesshaji huo
MASHAA ALLAH HADI MACHOZI YAMENITOKA 😢😢😢
Pole na mimi pia
Hiyo ndio maana ya timu ya wananchi
Aly kamwe mm nataka mkeke anisukie na upata nje
Nmetokwa machozi😭😭
daaaaaa mimi sina neno! ila sijawahi juta kuwa yanga
Kwa kweli nimejikuta machozi yananitoka wakati huyo mama mlemavu wa macho anashukuru hizi sadaka ni baraka kubwa mbele ya mwenyezi mungu
Yaani yanga Mungu awabariki sana 😭😭😭😭😭
Na bado hawaamini kwa mungu wanaamini uchawi
Na mchawi wetu ameccoment hapa
Mliotoa wote mkaongenzewe mlipo toa na kutuwakilisha wana yanga wote.
😂😂😂😂 yaaan madunduka yamekalia kulogwa tu akili hamna niumaskini huo wa akili
Amina Yanga yangu
Mashaallah ❤️😘
Hii ndo sababu ya kuipenda yanga
Nimejilia bure hapa.
Mimi nataka miwili napataje namba zake wanayanga wezangu iyo mikeka
Naomba namba ya uho mama naitaji mikeka
Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.
Kwa kweli yaani wamekalia ushirikina
Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.
Mmetoa kwa moyo wa upendo Wala hamtapungukiwa Bali mtaongezewa mbarikiwe mpaka mshangae
Ndiyo maana Yanga inafanikiwa
𝚍𝚊𝚊𝚑 𝚊𝚕𝚏𝚞 𝚞𝚝𝚊𝚜𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚘𝚘𝚑 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚕𝚘𝚐𝚊 𝚓𝚊𝚖𝚗 𝚍𝚞𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚣 𝚔𝚠𝚎𝚕 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚘𝚜𝚊 kubarikiwa
inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever