MAHABA YA WANANCHI KWA MLEMAVU WA MACHO MBEYA/WANUNUA MIKEKA YAKE YOTE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ค. 2024
  • #DaimaMbeleNyumaMwiko #TimuYaWananchi
  • กีฬา

ความคิดเห็น • 69

  • @amaniomar1755
    @amaniomar1755 19 วันที่ผ่านมา +4

    Ahsante Yanga SC Ahsante wananchi Daima mbele nyuma mwiko 🎉🎉🎉

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 19 วันที่ผ่านมา +4

    inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever

  • @alfredkatuma426
    @alfredkatuma426 18 วันที่ผ่านมา +2

    Mungu ataendelea kuiinua hii club katika viwango vya juu sana! Ipo siri kubwa sana katika kutoa kwa wahitaji. Yanga wameona hili tangu mwanzo na huu ni mwaka nne wanashuhudia mambo makubwa sana kwenye club yetu. Mungu na aendelee kuibariki club yetu iwe juu juu zaidi.

    • @jr_mkumbojr
      @jr_mkumbojr 18 วันที่ผ่านมา +1

      The Club Above All 🎉🎉🎉🎉

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l 19 วันที่ผ่านมา +2

    That's why Yanga is a big team and its blessed to have trophies,God bless Yanga Africans and Wananch....

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu Urie juuu msaidie.ndugu yangu

  • @jellymagawa2888
    @jellymagawa2888 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hii ndo siri yanga, kwenye utoaji kuna siri kubwa sana 💛💛💛

  • @alikhamis8520
    @alikhamis8520 19 วันที่ผ่านมา +3

    Mashaalah, Allah akupeni kila la kheri .

  • @thadeusmarkiminja2282
    @thadeusmarkiminja2282 19 วันที่ผ่านมา +2

    Maana ya uongozi bora ndiyo haya yanayonekana mawaliza watu kwa furaha sio kimpira tu.kweli hii timu ni wananchi hongereni sana.

  • @upendoluva2066
    @upendoluva2066 18 วันที่ผ่านมา

    Alikamwe mungu akutunze akupe makubwa zaidi ya haya .upendo mkuu❤

  • @malietamaliet
    @malietamaliet 19 วันที่ผ่านมา +2

    😢😢😢asanteni wote mliotoa mwenyezi Mungu awabariki

  • @charlesmwaipasi2884
    @charlesmwaipasi2884 18 วันที่ผ่านมา

    Hongereni sana ndugu zangu wananchi

  • @user-lr6kf6bf9l
    @user-lr6kf6bf9l 19 วันที่ผ่านมา +2

    God bless you Wanainch

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 18 วันที่ผ่านมา

    This has made me cry! Mungu awabariki wanayanga! Makombe hayaji HIVI HIVI! Thank u Jesus,💚from UK

  • @jacklinembuya2749
    @jacklinembuya2749 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kwakweli mungu ibariki hii team! Zikumbuke sadaka za wana wako

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hiiiii ndio maaaana halisi ya club ya wananchi!!
    Hongera Kamwe!!

  • @tegemeakyangenyenka6111
    @tegemeakyangenyenka6111 19 วันที่ผ่านมา +3

    Wengine dar tunaitaka sana mikeka ya asili jamani

  • @LUGALILAISACK
    @LUGALILAISACK 18 วันที่ผ่านมา

    Be blessed San kwa wote waliojitoa, maish marefu mama mung akulinde, ally kamwe uishi miaka ming🤲

  • @mohamedsaide3405
    @mohamedsaide3405 19 วันที่ผ่านมา +1

    Allah wafyie mepesi kwa yote mnayo hitaji❤

  • @allykiduli2156
    @allykiduli2156 19 วันที่ผ่านมา +3

    HII NIMEIPENDA UDUMU UDUGU WA WANANCHIIIIIIIIIII

  • @user-of9be9dj2k
    @user-of9be9dj2k 18 วันที่ผ่านมา

    Allah ajalie wote waliechangia na inshallah awazidishie mlipotowa.

  • @gabrielmoses6860
    @gabrielmoses6860 19 วันที่ผ่านมา +4

    Hiiii clabu inaunganisha watu aiseeeee!!!
    Ndio maaaaaana ya club ya wananchi!

  • @salmamlokela1987
    @salmamlokela1987 19 วันที่ผ่านมา +1

    Kwa mliotoa mwenyenzi mungu awazidishie

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 18 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah namuomba M/Mungu awajaalie Viongozi wetu Neema kwenye maisha yenu Inshaallah

  • @hosea7919
    @hosea7919 19 วันที่ผ่านมา

    Daah nimeguswa sana Na huyu dada hongera zake nyingi kwakutokukata tamaa ya maisha lasivyo angekua ombaomba mtaani MUNGU azikdi kukubariki

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mashallah mashallah mashallah 😢😢nimeipenda iyo

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu awazidishiye nyote mliotowq mola atawaongezeya

  • @chazp6436
    @chazp6436 19 วันที่ผ่านมา +3

    Big club ..Big events

  • @user-ce2xg9wt4s
    @user-ce2xg9wt4s 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu ni mwema

  • @roudhamahmoud763
    @roudhamahmoud763 19 วันที่ผ่านมา +1

    Mungu akutiye nguvu dada inunuliwe tu Mike kama jamani tena yote tafadhali kamwe

  • @VaiEliass
    @VaiEliass 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu akuponye wa kukaja

  • @kaseja
    @kaseja 19 วันที่ผ่านมา +1

    MashaAllah.

  • @errydeo8865
    @errydeo8865 18 วันที่ผ่านมา

    Hiyo imeenda,Kwa ALLY hakuna jambo dogo!! Mungu alibariki Yanga na mama huyu.one💚💛

  • @user-lz8dx8df5b
    @user-lz8dx8df5b 18 วันที่ผ่านมา

    ❤Mungu hakupe kheri na weye

  • @aminakhamis2276
    @aminakhamis2276 19 วันที่ผ่านมา +3

    Laitani km ningekuwa karibu ningeinunuwa namie

  • @Bquality
    @Bquality 19 วันที่ผ่านมา +1

    Dah nmejikuta nmelia nmejisikia faraja sana

  • @ThomasJeremia-c9p
    @ThomasJeremia-c9p 18 วันที่ผ่านมา

    Mungu awe nany nyote mlionunua mikeka kumsapot mama kipofu

  • @boscombuba6824
    @boscombuba6824 19 วันที่ผ่านมา +3

    Upendo mkubwa Sana Huu

  • @rukiakyaka1827
    @rukiakyaka1827 18 วันที่ผ่านมา

    Allah Akbar

  • @mosesmulashani5124
    @mosesmulashani5124 19 วันที่ผ่านมา +1

    Nice

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 18 วันที่ผ่านมา

    Dah, Salome Mwakyusa amenitoa machozi. Yanga imfikirie, awe balozi wa Yanga.

  • @allankashoro2077
    @allankashoro2077 19 วันที่ผ่านมา

    Aisee furaha imezidi mpaka machozi yanatoka tu Mungu awabariki wote mliomshika mkono Salome Mwa....

  • @kalikenechota8606
    @kalikenechota8606 19 วันที่ผ่านมา +3

    🙏🙏

  • @AbelMwakilembembwate
    @AbelMwakilembembwate 19 วันที่ผ่านมา

    Thank you. Wananchi kwa uwezesshaji huo

  • @Hgd-jk6lh
    @Hgd-jk6lh 19 วันที่ผ่านมา +4

    MASHAA ALLAH HADI MACHOZI YAMENITOKA 😢😢😢

  • @AlfredRutaguza
    @AlfredRutaguza 19 วันที่ผ่านมา +3

    Hiyo ndio maana ya timu ya wananchi

    • @jamilahjamilah4157
      @jamilahjamilah4157 19 วันที่ผ่านมา

      Aly kamwe mm nataka mkeke anisukie na upata nje

  • @WestChoma01
    @WestChoma01 19 วันที่ผ่านมา +1

    Nmetokwa machozi😭😭

  • @lamama.
    @lamama. 18 วันที่ผ่านมา

    daaaaaa mimi sina neno! ila sijawahi juta kuwa yanga

  • @user-fl4jy5zj3v
    @user-fl4jy5zj3v 19 วันที่ผ่านมา

    Kwa kweli nimejikuta machozi yananitoka wakati huyo mama mlemavu wa macho anashukuru hizi sadaka ni baraka kubwa mbele ya mwenyezi mungu

  • @jescaodingo9564
    @jescaodingo9564 19 วันที่ผ่านมา +4

    Yaani yanga Mungu awabariki sana 😭😭😭😭😭

    • @amaniomar1755
      @amaniomar1755 19 วันที่ผ่านมา +1

      Na bado hawaamini kwa mungu wanaamini uchawi

    • @gracemtonga3263
      @gracemtonga3263 19 วันที่ผ่านมา

      Na mchawi wetu ameccoment hapa

  • @upendoluva2066
    @upendoluva2066 18 วันที่ผ่านมา

    Mliotoa wote mkaongenzewe mlipo toa na kutuwakilisha wana yanga wote.

  • @furahamoja6582
    @furahamoja6582 18 วันที่ผ่านมา

    😂😂😂😂 yaaan madunduka yamekalia kulogwa tu akili hamna niumaskini huo wa akili

  • @jumasango9793
    @jumasango9793 18 วันที่ผ่านมา

    Amina Yanga yangu

  • @AbassiBaro-jc3il
    @AbassiBaro-jc3il 19 วันที่ผ่านมา

    Mashaallah ❤️😘

  • @dengahmediatz1230
    @dengahmediatz1230 19 วันที่ผ่านมา +1

    Hii ndo sababu ya kuipenda yanga

  • @baltasartemu2153
    @baltasartemu2153 18 วันที่ผ่านมา

    Nimejilia bure hapa.

  • @nurdinmgohashowyakibabekwe6382
    @nurdinmgohashowyakibabekwe6382 18 วันที่ผ่านมา

    Mimi nataka miwili napataje namba zake wanayanga wezangu iyo mikeka

  • @abcdoman8739
    @abcdoman8739 18 วันที่ผ่านมา

    Naomba namba ya uho mama naitaji mikeka

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h 19 วันที่ผ่านมา +10

    Ndizo baraka hizo, wengine wamekalia wachezaji wao wanalogwa na yanga, wenzenu kabla ya michezo yao, wanatoa sadaka kwa walemavu, watoto yatima nk, nyie hamtaki kufanya hivyo, mwogopeni Mungu.

    • @Abuu-gs1yi
      @Abuu-gs1yi 19 วันที่ผ่านมา

      Kwa kweli yaani wamekalia ushirikina

    • @alfredkatuma426
      @alfredkatuma426 18 วันที่ผ่านมา

      Makolo timu nzima yamejaa machawi ya kutupwa. Mchawi siku zote akikuloga akashindwa atakuita wewe ndo mchawi, sasa makolo yameloga yamegonga mwamba ndo maana kila siku yanatoa milio tu.

  • @MATHIASMARKO
    @MATHIASMARKO 19 วันที่ผ่านมา

    Mmetoa kwa moyo wa upendo Wala hamtapungukiwa Bali mtaongezewa mbarikiwe mpaka mshangae

  • @ramadhanikuchuna5410
    @ramadhanikuchuna5410 18 วันที่ผ่านมา

    Ndiyo maana Yanga inafanikiwa

  • @Mamunabeel-hh9kb
    @Mamunabeel-hh9kb 17 วันที่ผ่านมา

    𝚍𝚊𝚊𝚑 𝚊𝚕𝚏𝚞 𝚞𝚝𝚊𝚜𝚒𝚔𝚒𝚊 𝚘𝚘𝚑 𝚢𝚊𝚗𝚐𝚊 𝚠𝚊𝚗𝚊𝚕𝚘𝚐𝚊 𝚓𝚊𝚖𝚗 𝚍𝚞𝚊 𝚔𝚊𝚖𝚊 𝚑𝚣 𝚔𝚠𝚎𝚕 𝚞𝚝𝚊𝚔𝚘𝚜𝚊 kubarikiwa

  • @chrissantkaunda9958
    @chrissantkaunda9958 19 วันที่ผ่านมา +1

    inapasua moyo asee😭😭😭,yote kwa yote 💚💛💚💛 U my team,my happiness YANGA Forever