ไม่สามารถเล่นวิดีโอนี้
ขออภัยในความไม่สะดวก
MAZINGE AMWAMBIA MCHUNGAJI NDACHA ~ UMEINGIA CHA KIKE WENZAKO WANANIKIMBIA ~ AMTWANGA SWALI LA MWAKA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 5 ก.ย. 2021
- SHEIKH: OTHMAN MAZINGE AMWAMBIA MCHUNGAJI NDACHA ~ UMEINGIA CHA KIKE ~ WENZAKO WANANIKIMBIA ~ AMTWANGA SWALI LA MWAKA ~ AMEKUBALI ANAOMBA URUDIWE TENA AJIPANGE
#Mtoro_Online_Tv #Mazinge #Ndacha #Debate
Maa Shaa Allah, Allah awabariki masheikh ma daa'i wa kiislamu kwa kazi ngumu wanayofanya ya kuwaelimisha ngudu zetu katika ubinadam(wakristo). Katika maisha yangu nimemuomba sana Mungu amkutanishe mchungaji ndacha na Sheikh Al Habib Othman Mazinge katika mdahalo kwa maana huyu pastor huku kenya anawapotosha sana watu. Shk. Mazinge Allah akuhifadhi na akupambe kwa afya.. In shaa Allah mungu atawaongoza wakristo wote waione njia ya hakki na kuifata. Wabillah tawfiq.
Aaamin aamin aaamin
Mnapongeza , apo mazinge anasema kinyume na kinaco sababisha yesu aseme petro ni shetani , kwasababu mazinge anafahamu waislamu wanakalilishwa siwasomi, ndiomaana akawapotosha kwa maandiko, akasema yesu kusema petro nishetani nikwakusema yesu ni mwana wa Mungu akadanganya, ebu jisomee uwone kama walimu wenu niwaongo soma matyo 16:21-23 petro wakati aliposikia yesu atakufa musalabani na kufufuka Siku yatatu petro akakataa akasema asimpate Ayo mateso, yesu akamwambia toka nyuma yangu shetani wukikwazo kwangu yamungu huuataki bali ya wanadamu , wanao sema yesu hakufa niwale waliokuwa ndungu yashetani nao ni waislamu kwasababu mhamadi alimslimisha shetani akawa mwislamu, maneno ni yale yale shetani alipo nena ndani ya petro wakati petro bado haja okoka poleni sana waislamu ,lakini cungeni sana walimu wenu mujisomee vitabu wasiwasomee jisomee nyie wenyewe, yesu alisema mutapata ukweli ukweli nae utawakomboa.
@@abuuaisha4738 mazinge ni muongo mpaka anamzidi shetani kwa uongo duh yaani ni wakala wa ibilisi
@@marcbanyankirubusa135 ni muongo mbwa huyo
@@marcbanyankirubusa135 اللهم هدناالصراط المستقيم
Allah awabariki masheikhe wetu azidi kuwazidishieni nguvu na afya njema na umri mrefu inshaAllah amiin
Aamiii
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Ukhty Guzalink ☝️ ufaidike
Aaaaammmmmiiiiiiiin
Amiin
@@mtokaboys2175 7
Barakaallahu laka ya SHEIKH MAZINGUE.....we love you, from Mozambique.
Professor Mazinge is indeed fantastic, highly equipped with religious knowledge, congratulations Mazinge
You're absolutely right Mr Rhio Phiri, congratulations 🎊 sir
Mazinge ni muongo Yesu alikubaliana na Petro
Ni vizuri kusema ukweli
@@noahwamalwa4385 tupe andiko
Mashaallah
@@noahwamalwa4385 mazinge ajui kitu, Soma Luka 1:35 St. Luke 1:35. The angel answered, "The Holy Spirit will come on you, and the power of the Most High will overshadow you. So the holy one to be born will be called the Son of God.
Maa Shaa Allah professor mazinge.
Mola akupe umri mrefu wenye twaha
Amiin
WEWE SIO MAZINGE WEWE NI MZINGA UNGURUMAPO WATU LAZIMA WAIPATEPATE HABARI YAKO.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 mzinga kweri
Maa shaa Allah professor hua hamalizi muda Ustaadhi mazinge Allah akulipe jazaa njema hapa duniani na kesho akhera!!!!!
Amiin
Nakupenda ost wangu mazinge kwa ajili ya Allah, uwe na umri mrefu wenye manufaa na mwisho mwema
Professor mazinge maisha malefu kwako 💙💙💙💙
Mungu akubariki sana pastor
Maashallah fantastic replying
Jazaka Allah khaira shekh mazinge
Mazinge Haujafunguliwa na Mungu wa Mbinguni , siku utafunguliwa . Utamkubali Yesu . amina
asante mtume Muhammad Kwa Elimu uliyotuachia
Sahihi
Matthew 16:13-20
Matthew 16:13-20 NIV
When Jesus came to the region of Caesarea Philippi, he asked his disciples, “Who do people say the Son of Man is?” They replied, “Some say John the Baptist; others say Elijah; and still others, Jeremiah or one of the prophets.” “But what about you?” he asked. “Who do you say I am?” Simon Peter answered, “You are the Messiah, the Son of the living God.” Jesus replied, “Blessed are you, Simon son of Jonah, for this was not revealed to you by flesh and blood, but by my Father in heaven. And I tell you that you are Peter, and on this rock I will build my church, and the gates of Hades will not overcome it. I will give you the keys of the kingdom of heaven; whatever you bind on earth will be bound in heaven, and whatever you loose on earth will be loosed in heaven.” Then he ordered his disciples not to tell anyone that he was the Messiah.
Pro. Mazinge that's what is in the scripture Mambo mengine ni yako. Junga rahana ya mwenyezi Mungu isikwangukie kwa kuwapotosha watu wanao itaji ukweli. Barikiwa Nyote.
Sure kabisa , Yan ameunganisha script mbili tofauti , wakati the story iliishia verse ya 20 ye kachukua verse ya 23 which is different scenario
Allah awaongoze na a2fishe waislamu
Nakipenda shekh kwa ajili ya Allah munguakuhifadhi
Amiin
Amiin
Yaani kiukweli Huyu Baba umepotokaaa UISLAM SIO DINI HATA MSEMEJEEEEE YESU NI BWANA NA MWOKOZI WETU UJIELEWIII UMEJAAA MAJINI MPKA MIGUUNI
Masha Allah.
Ongera sana ustaz Amzinge.
Allah azid kuwapa nguvu mashekh wetu Allah akulinde na Shar za waja Mazinge. na wao Mungu awabadilishe awaongoe
Maashaa ALLAH Tabaaraka Allah.
This Sheikh MAZINGE s Fantastic and Amazing! May Almighty Allah bless him. He is indeed blessed by the Lord of all mankind. Christians, please listen to him without bias. He will guide you, using the Quran, and Bible, to HEAVEN. His arguments make sense. Turn your intellectual cup the right side up so you can receive guidance. If your cup is upside down because of BIAS, you will not get any guidance. Listen to him. It is what your LORD wants. May God, ELAHA in Aramaic, ALLAH in Arabic, wants you to do. So you too can be SAVED! Thanks. RAY FROM CANADA
Allahhumma Amiiini yaraabi. Call him professor mazinge
Ndacha kama petro vishetani hivi Shukran sheikh mazinge kwa elimu.
Twakupenda sana Sheikh Allah Ukujalie kila Lakher
Mwenyezi mungu akuzidishie shifaa na maarifa Professor, mapenzi ya dhati toka Nairobi, Kenya.
Mashaallah vizur mazing mungu akuzidishie umuri
Ukweli utabaki kuwa ukweli yani utabaki kuwa uislam ndio dini ya ukweli nakupendeni walimu zatu waki islam
One question who is muhammad?
@@alexnimubona3539 we hujui kua Muhammad S.A.W ni mtume Wake Allah SW..na nimjumbe na ndo Mtume wa mwisho kuja kwa umati huu wa Muhammad S.A.W
Uislamu ni dini ukweli mbele za Mungu mwenyezi au Shetani?
@@mchopaluka4319 ni dini ya kweli ndio maana mpaka mungu kaitaja kwenye quran
Swali linakuja wapi bibilia au kitabu chochote kinasema ukristo ni dini
@@beautifullnasheed8373 nawewe kumbe ni mjinga...hivi afrika kabla ya ukoloni kulikua na hizi takataka za uislam na ukristo...madini ya wazungu yanatenganisha afrika Mungu Hana dini mjinga wewe...pokea elimu hiii ukristu na uislam ni vitu vya wazungu kugawanya waafrika..nimejAA Germany and Spain ..ndugu wazungu haya madini hawana mda nayo Tena wanatucheka Sana afrika Kwa uelewa mdogo juu ya haya madini yao
Duu MashAllah Allah ibarik shekh mazinge
Pppopppoppppppppppppppppppp
Mazinge anachanganya mada, Hakuna uhusiano kati ya jibu la Petro la kuwa Yesu ni Kristo mwana wa Mungu, na kauli ya Yesu ondoka nyuma yangu u shetani wewe.
Akili Kama haiwez kufanya Kaz vizuri huwez kuelewa una takiwa uwe na roho mtakatifu ndio uelewe maandio
Subiri ufe ndo utajua hujui
Yani anajibu kitoto sasa sana wakati Yesu anamwambia petro Toka nyuma yangu nipale Petro alipo mwambia Yesu hakika Bwana wangu haya hayatakupata kwaiyo Yesu aliona kilichondani ya Petro Nishetani anaemtumia Petro na sio kwamba Yesu kamwambia Petro kuwa ni Shetani apo anajibu kufiraisha uma tu
Wewe hauna akili yakufikilia ndio mana huelew
Mashekh wetu endeleeni kufunza umma,,,,, Pastor Ndacha Mwenyezi Mungu pia akuongoze uwe MUISLAMU
mazinge mungu akusamee kwa kubadilisha maandiko
Allah bless you with long life, only defendind islamic RELIGIAN
LONG LIVE PROFESSOR MAZINGE
Masha allah bro waislamu mkuu
Madugu mosilamo mdugu mojo wislamu
Jisas cissa ni moslamu
Allah give more power Alhabiib Mazinge
Maashallah
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike kiongozi
Sheikh uthman mazinge ALLAH azidii kukupa moyo na ujasiri uzidi kuwaingiza katika njia iliyo ya haki nakupenda kwa ajili ya allah
Ustaadh. Mazinge mwenyezi mungu muumba. Akupe nuur. Na mwisho mwema. Nakuombea duwaa!! Kwa ku ufikisha!! Ukweli kwa hojja zilizo hai!! Takbiir Allah Akbar!!
Kweli Clip amewekwa Mazinge Peke Yake...ila maelezo aliyotoa amejaribu kunukuu aya ambazo amezitumia Ndacha na akazitolea ufafanuzi mzuri na kuzichapa kwa muendelezo wa aya nyengine... Hii imefanya Sote tuelewe kwa Umakini zaidi na ikampa Credit 100% Mazinge.
Kweli kabisa
Kabisa
Furahisha wengi chomekeni pamoja. Mazinge anafurahisha tu waislamu ila anajua ukweli
Hahahaa!!Imekulakwako ikiwa hukuelewa hapooo!!!.Pole ndugu ktk Adamu
Wewe Bado umelala
Utakuja kufurahi vizuri siku ya hukumu wakati unachochewa kuni hujielewi ww😅😅😅
Yesu mwenyewe alimuita Mungu Baba
Ushahidi tunaomba
Mungu akusamehe kwa kubadilisha neno lake.
Huyu ndiyo PROFESSOR MAZINGE bana
Yesu ni njia kweli na uzima na atakuja kuhukumu sijui sura yako itakuwa wapi
Nani kakwambia ww anaehukumu ni Allah ww
Mazinge 👍👍👍🇹🇿😍
Mashaallah mashaallah Allah awabari mashehe weru
Mashaaallah
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike
@Yusuf Sahal mbona wacheka
Kwakweli mjadala Yesu alitukuzwa sana mtabaki tu kuchaguwa vipande nakwavile dini yenu niyaushindani hakuna jina jengine zaidi ya Yesu pia nimegunduwa kitu muhamad kwao sawa na Mungu tafuta msahafu wa tafsir ya farsi usome majina ya Mungu wao halaf namajina ya Muhamad hayana tofaut
Kafie mbele hujui chochote...Allah ana majina mangapi...na mtume ana majina mangapi
🤣😂😂kafie mbele umepotea wew
Mtazidi kuwa watumwa wa waarabu kisa Muhammad muaji 😅
Eee mwenyezi mungu wasamee waislam maana hawajui walitendaro Ameen🙏🏻🙏🏻
Mngu akuongoze SSI hatuwakashifu tunataka kuwafundisha na kuwaonesha dini ya kweli
Yani nyie ndo mmepoteya dhahirii,
Allah Akulipe kheri
Mazinge mashaallah hongera kwako Allah akupe umri mrefu akuepushie na hasadi uzdi kuitangaza dini ya haki
Mathayo 3
17 na tazama, sauti kutoka mbinguni ikisema, Huyu ni Mwanangu, mpendwa wangu, ninayependezwa naye.
Alisikia sauti ya shetani... yesu alisema hujawai ata siku moja kusikia sauti ya mungu
Nani alisema kuwa tazama sauti kutoka mbinguni?
Maandiko ya Biblia ukitaka kuyatafsiri kama unavyopenda wewe ama akili yako inakopenda lazima upotoke, Mungu mwenyewe lazima akufunulie kuelewa ndo utapata maana sahihi ya kilichoandikwa. Mungu mwenyewe ameweka wazi sehemu nyingi tu kuwa Yesu ndie mwana wake na ndio njia ya kweli na uzima.mtu haendi Kwa Baba Ila kupitia kwake
@@georgemheluka3122 Kaka hahahaha nimecheka sana ebu tulia kuniletea Hadith za uongoo ilo Chaka ambali huwa mnapenda kujificha eti oooo bibilia sio Kama gazeti inatafasiri yake ebu nambie mapumbu Nini maanake imeendakwa
@@allykeita704 itoshe kusema tu Yesu yu hai na anatenda kazi hata sasa,,na uzuri wa Yesu yeye watu wote anawapenda wakimtafuta tu wanampata,ndio maana hata wengi walio waislam wanakuja kwetu mambo yaliyoshindikana kwenu lakini Kwa kupitia jina la Yesu kristo mwana wa Mungu alie hai wanapokea suluhisho la mateso yao,,Ameeen
Wakristo wa Tanzania wataingia Moroni Kwa uzembe , Mazinge Allaah akurehemu Kwa kazi unayoifanya ngumu ,
Pole kwa kufuata uongo wa mazinge na kuacha ukweli wa Mungu
@@victorianyange9281 Wewe mwendawazimu kweli hebu tupe huo ukweli wako maana hata wachungaji wenu wamechemka hapo wewe bdo2 unakua kiburi kuamini ukweli
@@allyjumaallyjuma692 hivi mchungaji ndio Mungu..hapo wate mnaoshadidiaa ukristu na uislamu wapumbavu ..Mungu Hana dini...hivi Kuna sehemu quran Una sema Allah ni muislamu au Kuna sehemu biblia inasema Mungu ni mkristu ..pendaneni wanadamu wote katuumba Mungu haya madini yameletwa na wazungu..fungukeni waafrika...Mimi mroman mke wangu muislam..tunaishi..vizuri na wale waliku WANASEMA OOH UMEOLEWA NA KAFIRI SASA TUMEONA WOTE WAMESHAAACHANA..SISI TWADUNDA TU SIJUI SASA NANI KAFIRI HAPO...kueni kifikra waafrika haya madini yameletwa na wazungu tu
Allahum Amiin
Mungu akuremu sana mazinge macho ya watu yatakuingiza motoni' maana ukweli unaujuwa
Mashaallah
Mungu
Umpemwishomwema
Mazinge kasoma Mathayo 16:13-17, then karukia mstari wa 23, akasema anayesema Yesu Mwana wa Mungu ni Shetani, halafu Waislamu wakashangilia. Yani kama hawana vichwa. Hapo Kati Kuna mstari wa 19-22 umemezwa,ambao unaonesha kwann Petro ameambiwa nenda nyuma yangu Shetani. Hawa watu kwa hii tabia ya kusoma maandiko nusu watawapa wengi mno wasiosoma maandiko, maana wapo tayari kudanganya.
Ce très beau
Allah akuongezee umri sheikh"Mazinge"
Mazinge makafiri hawamuwezi.. Makafiri hata muwe Mia hapo hamchomoki
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
Siku ya mwisho uta jua kafili ninani
@@davidkifalu6812 atajulikana
Allah akuhifadhi Sheikh wetu
Mazinge unanifurahisha sana
الحمدلله على نعمة الاسلام.
Amiin
Allah akupe umri mrefu wenye mwisho mwema ust mazinge
Amiin
Ndacha amepatikana leo ahsanta profesa mazinge
Ostazi mazinge anajuwa kiukwel 😅😅🇹🇿🇹🇿
Mm namjua mungu nawahubili amana
Shekhe mazinge mungu akupe umri mrefu
Mazingeeeeeeeeee
Allah awaifadhi waadhiri wetu nyote na kesho QIYAMA awalipe Pepo fridhausi
Amiiin
ماشاءالله
MashaAlllaah
Allah akbar Allah akuzdshie elimu shekh mazinge Allah akuzdshie afia na umri mrefu 🤲
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
Amiin
NDACHA ANACHEZEA KICHAPO KILA UPANDE KWA SHEIKH YUSUF NA KWA USTADHI MAZINGE BALAA KICHAPO TU KWA NDACHA
Hahaaaaaa
Alimtaka mwenyeweeeee,,,
@@nurudinamchome6852 NDIO HIVYO MTOTO AKILILIA WEMBE NA ZA WEMBE WA NACET MPE AKIJIKATA AKIJICHINJA NDIO ATAJUA WEMBE SIO WAKUCHEZEA
Amen
th-cam.com/video/Eh1tMTW6PvU/w-d-xo.html
Guzalink ☝️ tufaidike ukhty
Mazinge jibu swari unakwepa
Takbiir, Allahuakbar
Baba mazinge mungu akuweke sana sana akubarik sana
kaka mnazingua nyie
Hapo mazinge umechemka kwanza umechanganya maada,swali la Yesu kuwauliza wanafunz wake yey ni nan na Petro kuambiwa toka shetani ni mada mbili tofaut zilizozungumzwa ila umetumia uongo kuwadangany wasiojua bible
Kabisa Maana alimwambia rud nyuma yangu shetani pale petro alipo mwambia Kristo hatakufa.....Mazinge amekanusha hiyo scenario
Sikieni ndugu zangu wakristo yesu inawezekana akawa mwana wa MUNGU lkn Maana yake sio yesu kwamba ni mtoto wa kuzalia hapana jamani yesu ni mtoto wa MUNGU kwa Maana ya mapenzi ....mfano yesu anasema yohana 20;17 ninapaa kwenda kwa baba yanga nae ni baba yenu kwa MUNGU wangu nae ni MUNGU wenu, mbona ni simple Sana kwa iyo na sisi pia si ni watoto wa MUNGU Kama yesu? Nadhani hapo mmeeelewa ndugu zangu lengo ni kuelimishana sisi wote ni watoto wa Adam, thanks 🙏
Tulia.... Yohana 17:5 Quran inakuchanya wewe na wenzako Allah kasema atakuwaje na mwana na hakuwa na mke? Mfano mtu anafariki Kisha waulize mwanawe yupo wapi? Babake marehemu atasema atakuwaje na mwana wakati hakuwa na mke.... Yesu ni Mwana wa Mungu, mazinge muongo anachanganya Mada... Ajielewi
Fundisho huwa linajengwa kwa kuzingatia biblical hermeneutics huwezi kujenga doctrine bila kuzingatia biblia inasemaje.
Wakatoliki walipotangaza kuwa Yesu ni mwana wa Mungu huko Nicea Uturuki. Walikuwa wamezingatia msisitizo wa Maandiko ya Agano jipya katika Biblia
Professor,🙋🙋
Mashallah Allah
Matthew 3:17
And suddenly a voice came from heaven, saying, “This is My beloved Son, in whom I am well pleased.”
The voice is not God
Amina
Huyo mazinge na huyo mchungaji wote wahuni tuu..
Mazinge mbona unatumia nguvu sana.... huu ni mjadala toa point za kueleweka.....(umenitaka ndo nn)
Amen,Ndacha nguvu,mazinge ana kitu uyo.
Very good only
Allllahu Aqbaru
Mashallahh Allah Akbar
Huyu hata Hana kitu eti anakuja na kitabu cha wakatoliki vitu ambazo hata hakuna Kwa Bible na kujipiga kifua.
Mazinge wew ni vichekesho tuu lakin acheni mzaha Dunia inaisha sije mkajuta
Hawa jamaa wanauhakika wakula kila siku.wote ni vipofu hapo....hakuna ukweli wowote hapo njia mungu hazichunguziki.....
Neno limekuingia hauna pa kutokea
Mashallah mazinge
Jifunze quran kusoma kuandika gusa picha yangu hapo kama hautojali
Ndacha uko vizuri
Mjadala mzuri Sana aiseeeeeeeeeeeee
Kuna mengi Sana ya kujifunza
Ila anazeheka sheikh wetu mazinge 😔
Mwalimu ndacha barikiwa sana watoe matongotongo machoni wapate kuona nduzetu
Hahahahah jaman yaan huo mstari wa rud nyuma yang na sehemu iliyotumika ni tofaut jaman hafu sion maana ya mabishano hata wakristo lazima tujielewe huu sio mda wa kubishana soon kila kitu kitakuwa wazi leo waache wabeze Sana Ila watakuja juta Kama kipindi Cha Nuhu Wala rehema haitakuwepo Tena waacha wamkatae Yesu waendelee kufuga majini maana ndio dili kwao....
Mazinge utadaiwa roho za watu wengi kwa kuwapotosha ukwel kuwa uongo
th-cam.com/video/aQA0-gRqKsA/w-d-xo.html
Kama unaona Ndacha anaongea ukweli basi sahau!! Pitia hiyo link maana Ndacha huyu huyu pia anasema Yesu sio mwana wa Mariamu!
Mimi nilikuwa na subili uyo mchungaji haaaa mpaka anadiliki kusema mtume muhammadi eti mpinga kilisto daaa tukishiba tusikufulu jaman😢😢😢
Aminna
kazi ya mungu inajitetea yenyewe