#EXCLUSIVE

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 26 ก.ค. 2023
  • #EXCLUSIVE: FULL STORI KICHAPO cha NDOA KILIVYOMTESA NAKAAYA SUMARI MPAKA KUTUMA UJUMBE MITANDAONI...
    Mwanadada Nakaaya Sumari kupitia Exclusive Interview aliyofanya na Global TV, amefunguka kuwa wanawake wengi wanateseka sana katika ndoa na hata wanapopeleka kesi zao katika madawati husika hazifanyiwi kazi kama inavyotakiwa.
    Nakaaya ameyasema hayo alipokuwa akizungumzia ndoa yake iliyopita pindi mwanaume huyo alivyokuwa akimnyanyasa na kumfanyia vurugu kibao wakati wakiwa pamoja.
    Hata hivyo Mwanadada Nakaya amedai kuwa tayari ameshapona na matarajio yake ni Waziri Gwajima kusimamia ipasavyo kwani mwanamke akiwa na Amani ni sawa na Taifa zima kuwa na Amani....
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 136

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  ปีที่แล้ว

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 ปีที่แล้ว +10

    Pole sana kipenzi, Mimi mwenyewe kama wewe, Mwaka wa kumi na nane huu mtoto nalea mwenyewe, na sina hata ham nae yule Mwanamme na napitia magumu sana na mtoto wangu kuhusu ada, lakini simfikirii na sio rafiki yangu na hawezi kuwa never, nilishawahi move toka mtoto Ana miaka miwili, sasaivi Ana miaka 19 napambana nae peke yangu.

  • @user-ke4pl5sm6h
    @user-ke4pl5sm6h ปีที่แล้ว +10

    Mmojawapo mm Nina watoto wa 4 huu mwaka wa 14 nalea watoto wangu mwenyewe kila kitu mm watoto 4 sio rahis hila mungu ni mwema hata siku moja awajahi lala njaa

  • @inviolathamedard6686
    @inviolathamedard6686 11 หลายเดือนก่อน +5

    Duu jamani yaani ulichoongea ni sahihi kbs yaani mimi kimenitokea

  • @ShangweSylus-nf6we
    @ShangweSylus-nf6we 11 หลายเดือนก่อน +6

    Hakuna mwanamke anapenda kulea watoto mwenyewe ila yanatukuta ya kutukuta kutoka kwa hao wanaume tamaa, Hii dhambi itawatafuna sana wanaume.

    • @maidamhanje5993
      @maidamhanje5993 11 หลายเดือนก่อน

      kabisa inauma lkn tutafanyaje

    • @kimaroprosper4403
      @kimaroprosper4403 11 หลายเดือนก่อน

      Yuko mdada miaka ya nyuma kama wewe aliongea kauli hii ya uchungu dhidi ya mwanaume uliyenae au mwanaume aliye na hizi kasoro na huyo kijana alipata watoto na wamebeba laana ...hii laana iko kwenye Ardhi bila toba na majuto kwa Mungu itakuwa worse zaidi miaka ya mbele Worseeee

  • @saadakombo4090
    @saadakombo4090 11 หลายเดือนก่อน +2

    Yani unaongea point sana libaba limekaa tyu.Mungu awalaani wababa walotelekeza watoto wao ila wakumbuke fainali ni uzeeni

  • @zawadichalale4047
    @zawadichalale4047 ปีที่แล้ว +29

    Wanawake wanaonyanyasika kijinsia ni wengi sana yaani ni 90% ya wanawake wengine hawapigwi lakini manyanyaso kama ya kushushwa chini kiuchimi ni mengi wengi wao hawataki wanawake wao wawe juu sio mume wako tu hata ss wengine tupo nyumbani na tumesoma lakini hatufanyi kazi coz ya waume zetu yaani for me ninamiaka karibu 10 tangu niachishwe kazi na mume wangu,hataki nifanye kazi for me it so painfull coz nina wazazi wananitegemea wananiona ninanyumba nzuri but wazazi wangu wanahangaika sana so painfull for me nani atatusaidia jamani?

    • @zainabwage4658
      @zainabwage4658 ปีที่แล้ว

      Good point

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +10

      Kwa nini usimuache huyo mwanaume ? Maana siku akikuacha Utakuwa huna mbele wala nyuma

    • @ashireydaimu3148
      @ashireydaimu3148 ปีที่แล้ว +4

      Hapo ukisubiri yy ndo akuache utakuwa na maumivu mara mbili, kwanza alikuachisha kazi yako pili kakupotezea mda wako na kakuacha njiani, tatu utajiona unaanza upya kutafuta kazi na kutafuta mume mpya. Sasa si bora wewe ndo umuache ili ujipange upya

    • @zawadichalale4047
      @zawadichalale4047 ปีที่แล้ว

      @@ashireydaimu3148 ndoa yeti ni ya kanisani na yy hana matatizo mengine yeyote alafu watoto wanasoma vizuri kabisa shida ni mimi na ndoto zangu nilishajarIbu kuondoka nikaishia kupata shida sana na watoto ikabidi nirudi coz watoto wamezoea maisha ya juu sana hawawezi maisha ya chini na nilioporudi alinipokea làkini swala la mm na kazi sitakiwi kugusia my dear nishahangaika sana shida ni kwamba kisaikolojia inanitafuna sana hasa nikiangalia wazazi wangu na yy haoni hilo

    • @dionestermwinuka7520
      @dionestermwinuka7520 ปีที่แล้ว

      @ nashukuru mungu sijawahi kuwa na akili ndogo kama yako kisa mtoto wa mamamkwe

  • @merianhalibunyoha2629
    @merianhalibunyoha2629 ปีที่แล้ว +3

    My cc unaongea kama mtu mwenye kubeba kila aina yakila binadam aisee nimekupenda sana dada angu unanifanya nijielewe zaid

  • @fathiyahmuzney7367
    @fathiyahmuzney7367 ปีที่แล้ว +4

    Pole sana naakaya nimekuelewa mnoo

  • @sky-wz5zi
    @sky-wz5zi 11 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji hajui kuuliza maswali,! Hashawishi mtu kuendelea kufunguka

  • @roselynenyanda1757
    @roselynenyanda1757 10 หลายเดือนก่อน +1

    Tunahitaji elimu lakini kila elimu inaanzia nyumbani.. na kila nyumba inaanzia wazazi, pamoja na yote *WANAWAKE TULEE WATOTO WETU KAMA VILE TUNGETAMANI WAUME ZETU WAWE* we should break the circle...maana kuna wamama wamenyanyaswa ila watafurahia watoto wao wakinyanyasa mabinti za watu...so it should start with YOU/ME. Hata kuwe na sheria kali kiasi gani .(ng'ombe halazimishwi kumeza maji) there is a difference between fear play na fair play...uungwana haushurutishwi...unatakiwa utoke ndani so malezi yanachangia sana kutengeneza mwanaume/mume/baba...so silaumu wamama ila tunaolea hawa vimburu bado ni sisi wamama...

  • @Marjeby
    @Marjeby ปีที่แล้ว +4

    Kweli hakuna kinacho halalisha unyanyasaji but ukipata unyanyasaji ndani ya ndoa ni tofauti sana nakuongelea unyanyasaji ukiwa demu tuu kwa jina na mahusiano.

    • @speciosermusika2009
      @speciosermusika2009 ปีที่แล้ว

      Nampa Poleni kama mwanamke mwenzie,Ila amechemsha sana ,unajua kabisa mwanaume ana wanawake wengiii nini kili kupeleka hapo? kama siyo mwana kuya tafuta mwana kuya pata?
      mwanamke mtu mzima hukuwa tu smart! kwenda kuishi na mwanaume ambaye unajua ana michepuko Kila kona una tegemea kupata support gani au kutoka wapi.😢

  • @lucykayombo9987
    @lucykayombo9987 ปีที่แล้ว +1

    Narsistic male are real, wanyanyasaji wa kutisha nyumbani hakuna maelezo watu wataelewa but super nice kwenye jamii, wana dark souls na hawajiamini sema jamii yetu haijawaelewa..Yesu ndio suluhu kwakweli

  • @suziemichael4338
    @suziemichael4338 ปีที่แล้ว +2

    Nakaaya ameongea point

  • @evanjelcamelkizedeck1356
    @evanjelcamelkizedeck1356 ปีที่แล้ว +6

    You are quite right Nakaaya.Narcist men are many😢

  • @gerraldgready8051
    @gerraldgready8051 11 หลายเดือนก่อน +2

    Me nimeyasikia mabaya tu ya uyo mzazi mwenzio kwaiyo hakua ata zuri moja

  • @naturelle1097
    @naturelle1097 ปีที่แล้ว +2

    Hakuna kuvumilia kupigwa.. bora ubaki single. Kuliko mtu anaekushusha hadhi.

  • @judithawadhi3510
    @judithawadhi3510 ปีที่แล้ว +4

    Hiki cha mwanaume kujihisi yuko low quality kuliko mke ni changamoto kubwa mnoo.Yaani hawajiamini,anakutukana mbele za watu ili aonekane mwamba.Huu ni upumbavu mkubwa na ni ukosefu wa afya ya akili.Hili swala lichukuliwe seriuse. Badala ya kumpenda mke ambae ni mpambanaji unatia wivu kwa mke wako.

  • @annamussa185
    @annamussa185 11 หลายเดือนก่อน

    Mwanaume afanye vyote ila vitendo vya aina ya kupigwa kwangu marufuku na pigwa na Mungu na maisha full stop.

  • @janegodwin3107
    @janegodwin3107 ปีที่แล้ว +1

    Nakupenda sana Homegirl❤🤍🔥🤍🔥

  • @furahasarakikya3223
    @furahasarakikya3223 11 หลายเดือนก่อน

    Makaaya Asante

  • @queenlinda255
    @queenlinda255 ปีที่แล้ว

    Umeongea vizuri sana sana

  • @mmn7480
    @mmn7480 ปีที่แล้ว +3

    Daimelda nakupenda sana jamni

  • @ayshahussen7452
    @ayshahussen7452 11 หลายเดือนก่อน +1

    Kuna wanaume washenzi sana ila kikubwa ni wanawake tutafute pesa tusikubali unyanyasaji tuwapende watoto wetu na tusiwatelekeze

  • @JulitaUronu
    @JulitaUronu 9 หลายเดือนก่อน

    😭😭hata sijui ninalia nini ila dada Nakaya umepambana sana Mungu akusimamie kipenz

  • @janekapinga6793
    @janekapinga6793 ปีที่แล้ว +2

    Hebu tumrudie Mungu jamani,tusiishi kwa kutumia akili zetu

  • @grace-neemabuninange-bujik9117
    @grace-neemabuninange-bujik9117 11 หลายเดือนก่อน +5

    Bora umejitambua. Always mwanaume akihisi ameoa mwanamke mwenye akili kuliko yeye lazima akupige, akutukane akudhalilishe eti mwanaume anakuita mchawi, mara mwizi mala malaya, akupendee wanawake wengi ili mradi ili mrqdi tu akuharibu akili. Lakin ukishalitambua hilo. Unaachana na hizo takataka

    • @sarahkundy9411
      @sarahkundy9411 11 หลายเดือนก่อน

      Daah mm niliambiwaa wizii

  • @thobiasbukali9008
    @thobiasbukali9008 ปีที่แล้ว +1

    Hapo kwenye KUMZIDI VINGI PAMOJA NA UMAARUFU, ndo tatizo lilianzia hapo.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 ปีที่แล้ว

    Dada nimekuelewa sana unaongelea maisha yangu💯%😭😭

  • @oliviaseth4652
    @oliviaseth4652 ปีที่แล้ว +3

    Wanaume tamaa nyingi

  • @sarahkundy9411
    @sarahkundy9411 11 หลายเดือนก่อน

    Daah umenigusa sanaaa daah Mungu atusaidie

  • @kagoyemwambal9061
    @kagoyemwambal9061 ปีที่แล้ว +2

    Kweli wanaume..mm yamehikuta..

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 ปีที่แล้ว +1

    Sikuwahi kusikia wanawake wa Kitanzania baada ya kuvunjika mahusiano wakisema wao ndio wamekosea au wao ndio wamewasiliti wanaume zao , ila daima lawama zote na uchafu wote na jumba bovu uwa anaangushiwa wanaume,!

  • @lucykayombo9987
    @lucykayombo9987 ปีที่แล้ว +4

    Narcissism ni ugonjwa wa afya ya akili, hatakaa kuwa responsible man kwa chochote, waongo, wanabipolar fake people, tena 10years umevumilia sana sana...wanakushusha sababu hawajiamini, na extremely cheaters wanakuwa na mahusiano meeengi, tena utakuta wamelelewa na mzazi ambaye pia anashida ya akili..

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 ปีที่แล้ว +2

    Sio Tanzania tu dunia nzima wanaume wanakimbia mjukumu yao tena wamekuwa wamalaya zaidi ya wanawake.hawana heshima hata kidogo na wake zao.

    • @sifrajenterprises5002
      @sifrajenterprises5002 11 หลายเดือนก่อน +1

      Sema wanaume weusi ukijumlisha na black Americans ila wazungu big no wanajua nini maana ya kutengana na mtoto lazma atamuhudumia

  • @rhobywerema6996
    @rhobywerema6996 ปีที่แล้ว +1

    Jamani mtuwakilishe kupiga kelele serikalini kuwachukulia hawa viumbe Sheria maana tunateseka sana na watoto wetu

  • @mmn7480
    @mmn7480 ปีที่แล้ว

    Naisubir kwa amuuu

  • @linazebadia7555
    @linazebadia7555 ปีที่แล้ว +1

    bora kipegere cha kuumia kwa muda kina pona kabisaa

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน +1

    Ukweli ni aibu sana lkn tusivumilie mateso ndani. Wana mifumo yao dume

  • @violethurassa7362
    @violethurassa7362 8 หลายเดือนก่อน

    Wewe ni mwanamke unayejiamini, songa mbele Mungu yupo, wanawake wengi wanaogopa kutoka kwa sababu ya mali au Maokotooo kusubutu wanaogopa ,waache wage na magonjwa na kipigo,😂😂😂😂

  • @malelamalela1362
    @malelamalela1362 ปีที่แล้ว +1

    Malulu nilijuwa hatakufaa ' maana nipenda penda ' au niwakulelewa

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 ปีที่แล้ว +1

    Wanawake achaneni na wanaume wapumbavu ukiachika utaumia utalia utasahau kuliko kuwa na mume pumbavu wanapenda masifa hawafai kabisa

  • @khatijakhatija6172
    @khatijakhatija6172 ปีที่แล้ว +1

    Wamekuwa wanaume hawana maana yoyote lipo lipo tu

  • @mussaathumani7595
    @mussaathumani7595 11 หลายเดือนก่อน

    Unapo ingia kwenye ndoa vigezo Vya kuangalia huku angalia hukuwa Malengo na ndoa

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt ปีที่แล้ว +1

    Jamani mbona hatokeagi mwanamke anayesema uzuri wa ndoa?na hakũna mwanamke anasema ndoa yake nzuri,hivi kweli wanawake kama hao hakũna?

    • @FatmaZena
      @FatmaZena ปีที่แล้ว

      Zamaradi ,Riama Ally na naa naa

  • @MrKimond-ip2zp
    @MrKimond-ip2zp 7 หลายเดือนก่อน

    Kuna muda hata nyie wanawake mnazingua man waweza kua baba na kutataka kujali mtoto mama ukaanza kuvimba kisa mtoto iwe fimbo Kwa baba nandoo man wababa weng huwaachia badae munaanza lawama umesema kua hapigi sim je ww Kuna siku umemupa mwanao amupigie sm baba yake?

  • @farhannahomary5505
    @farhannahomary5505 11 หลายเดือนก่อน

    Cjaelewa hata jmn

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 ปีที่แล้ว +2

    Wanawake wa kaskazini..mmhhh.. kuna yule aliyekuwa mke wa kamanda Kilewo (jina nimesahau), sijui yuko wapi.

    • @zaudatmakula3454
      @zaudatmakula3454 ปีที่แล้ว

      Joyce kiria

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 ปีที่แล้ว

      @@zaudatmakula3454 ndo huyo, amepotea wapi..alisumbua kweli kweli

    • @cheiknamouna2058
      @cheiknamouna2058 11 หลายเดือนก่อน

      ​@@josephlorri431yupo na tv yake ya wanawake live sema anaboa kiherehere mingi😂😂

  • @BilibwaIbrahim-cp6tf
    @BilibwaIbrahim-cp6tf 11 หลายเดือนก่อน

    Wanaume wengi tz hawajitambui,na wanaugonjwa wa kutojiamini

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 ปีที่แล้ว

    Ilo tatizo kubwa sana tz baba akishamwaga mbegu zake bas hamejisahau uwe meowana au meza tu ndio warivyo mtu anashindwa huduma na wara kupga cm me mzazi mwenzangu anapta njia anashindwa hata kumsarimia mtto wake kisa meachana anakususia badae akishazeka ataitaji uyo mtto amsaidye wakanti yye hakumjari,,,pya serekari hakuna wanasho kifanya sheria zao za mkoroni hunyanyasaji tu zid ya wanawake

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 11 หลายเดือนก่อน

    Ngozi nyeusi esp. wabongo wanang'ang'anaga kuonekana wapo na ndoa. Better to quit to maintain yourself. Kuna wakati hata huko ibadani wanaume wanaendekezwa mno. Hawakemewi na wana tabia ngumu sb hawakemewi

  • @emaculatemakoi8226
    @emaculatemakoi8226 8 หลายเดือนก่อน

    Hivi hawa si ndugu na yule nancy sumari

  • @DM_15
    @DM_15 10 หลายเดือนก่อน

    Hatasisi wanaume tuna changamoto nivile hatuongeai hadharani. Kwamimj wala sikuonei huruma huenda ulitumia nafasi yako kumdharau , sijawai onamwanamke ana lalamika akashauri kawaheshimu waumezao naku ishinao kwaupendo wekama uasha muachq mwanaume niwewe usiwambie nawengine wakufuate nyayozako

  • @fridaernestmkedege900
    @fridaernestmkedege900 ปีที่แล้ว +4

    Sisi ni masai bana! Akili nyingi,mbavu nene,misimamo na kujielewa.

  • @monadinadi5295
    @monadinadi5295 ปีที่แล้ว

    Mwanaume ukimzidi vitu 😂😂 Jmn rahaa hkn ktkt ndoa wala mahusiano ila baadhi ya mwanaume ndio walivyo upo sahihi nakaaya

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS 11 หลายเดือนก่อน +1

    Jamani wanawake twende gym akikupiga nawe piga😂😂😂

  • @bushbabytz
    @bushbabytz 2 หลายเดือนก่อน

    umejiachia kama nguruwe

  • @nangatukatalks
    @nangatukatalks 11 หลายเดือนก่อน

    kwani anayeamua kubeba ujauzito ni mwanamke au mwanaume.mwanamke mwenye akili huchagua mwanaume gani ambebee mimba

  • @SalamaNauthary-ip4iy
    @SalamaNauthary-ip4iy ปีที่แล้ว +1

    Nakaaya hadi leo huwa usuki nywele

    • @joycemageta4876
      @joycemageta4876 ปีที่แล้ว

      Hataki kudanganya watu nywele imegalimu m2😅😅😅😅😅 ye anadili na kiwembe cha 200 tu

    • @SalamaNauthary-ip4iy
      @SalamaNauthary-ip4iy ปีที่แล้ว +1

      @@joycemageta4876 Kwa kweli 🤣🤣🤣

  • @noellamelchiory7460
    @noellamelchiory7460 ปีที่แล้ว

    Saingine ni shetani wanaume saingine hawajitambui shetani amewavaaa

  • @philipodamian7741
    @philipodamian7741 11 หลายเดือนก่อน +1

    Aksema hayo ina mana anakuja kulaumu saiz wakati anatongozwa hakufatilia nyendo za huyo bwana wake.sasa iv analalamika try to learn the lesson before you open the book

    • @jacqueli18
      @jacqueli18 10 หลายเดือนก่อน +1

      Kiukweli wewe ni mjinga

    • @dorrie-b8q
      @dorrie-b8q 2 หลายเดือนก่อน

      How can she learn a lesson b4 even open that book and read it ..maana u are a stupid

  • @jacksonwilson5772
    @jacksonwilson5772 ปีที่แล้ว +10

    Umri ushaenda uolewe sasa, kuwa singeli ivo sio fashion. Punguza pia misimamo yako hiyo haitakusaidia kitu, mwanamke utabaki mwanamke tu, Ila usikubali tu kupigwa, mengine yavumilie tu yan, lakn ukiona wew unajitambua sana ndo ivo wanaume wanakukwepa, nan ataoa mtu anaejitutumua kiivo???. Ukiihitaji ndo lazima ukubali kwanza kwamba wew ni mwanamke, na mwanaume ni mwanaume, ukimfanya aishi na wew vizur ataishi na wew vzur kabsa, lakin ukijiona you deserve the best bas ujue yeye atajiona ndo bas tena, apo ndo shida inaanzia.

    • @julianapeason6254
      @julianapeason6254 ปีที่แล้ว +3

      ni kweli kabisa yani ukiwa unatijambua na kujua mambo mengi yaani its like you are so clever lazima uteseke, lazima apambane kukushusha, mimi nipo kwa ndoa 14yrs my husband is of such type kuna hadi wakati nilijihisi nina shida ya akili ikabidi nirudi shule kusoma nione kama nitaweza ,nikashangaa nafaulu japo masomo ni magumu .Sasa kiukweli tunatakiwa kujishusha kabisa ili maisha yaende kama mwanamke, divorce sio jambo zuri wala fashion,ni mapngo wa ibilisi wa kuiangamiza dunia, wamama tukae kwa ndoa zetu tuheshimu waume zetu

    • @jacksonwilson5772
      @jacksonwilson5772 ปีที่แล้ว +4

      @@julianapeason6254 Safi kabisa, at least wew unaelewa. Utadumu Sana kwenye ndoa yako na MUNGU atakubariki zaidi. Shida ya wanawake wengine hawatak kujishusha wanajiona wanajua Sana haki zao, ndo haoooo ma-single mothers, wanaona fashion kuwa single mother kumbe ni ujinga tu. Ukwel utabak pale pale huna ndoa au ndoa ilikushinda.

    • @rosejego335
      @rosejego335 ปีที่แล้ว +1

      Wanaume hatampewe Nini hatuelewagi mnataka nn yanini makasiriko acha anenepe

    • @jacksonwilson5772
      @jacksonwilson5772 ปีที่แล้ว

      @@rosejego335 anenepa tu ila ukwel ni kuwa wengi ndoa zinawashinda kwasababu ya kujifanya wanajua kilà kitu. Sio sahihi, na ukiona mwanaume unamheshimu lakn bdo anakuonea ujue ni tatizo lake binafsi.

    • @mary3714-hss
      @mary3714-hss ปีที่แล้ว +1

      Uvumilivu ndio tumeumbiwa wanawake God help us ,tumeumbwa kuwa msaada kwa wanaume,lakini tunageuka kuwa kilio badala ya msaada jmn!!!...Mungu tusaidie

  • @victaboy7273
    @victaboy7273 ปีที่แล้ว +4

    Huyu anachosema ni kweli, lakini sasa lazima wanawake wajue , kwanza kuolewa ni heshima sana, pia kujisifia ety nimezaa watoto wangu nalea mwenyewe 😥siyo sifa.. sasa wanatakiwa waishi ualisia wa mwanamke. Wasijione wapo sawa na wanaume. Hapo wataishi vizuri. Pia kusema siku hizi, vitendo vimezidi vya unyanyasaji, siyo kweli,. Zamani kumbukeni hapakuwa na uwezekano wa kupata taarifa. Wadada heshimuni wanaume.

  • @sheillalukuba4526
    @sheillalukuba4526 11 หลายเดือนก่อน

    @dr gwajima

  • @BettyKereth-ov2bp
    @BettyKereth-ov2bp 11 หลายเดือนก่อน

    Nakaaya umeongea vizuri sana

  • @hamidumakobogo3234
    @hamidumakobogo3234 ปีที่แล้ว

    alishawah hat kuja kigom kwa mnganga kutibiwa sehem inaitwa bagwe

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 ปีที่แล้ว +1

    Mkome ndio muache uzinifu eti mausiano mausiano bila ndoa niuchafu nauzinzi

    • @user-wk1ix1gm1p
      @user-wk1ix1gm1p ปีที่แล้ว +7

      Wewe jichunguze , hauko sawa , watu wanaua wake zao waliowaoa , eti uzinifu , tumia akili acha kuropoka

    • @fatmafatu1128
      @fatmafatu1128 ปีที่แล้ว +1

      @@user-wk1ix1gm1p wanauliwa kwasababu ya usaliti pia wewe itakuwa sehemu ya wazinifu

    • @welcometoeat165
      @welcometoeat165 ปีที่แล้ว +1

      Ili chizi kweli

    • @claudiajames2003
      @claudiajames2003 ปีที่แล้ว +1

      Una kawazimu kichwani si bure

    • @ms_teeonly
      @ms_teeonly ปีที่แล้ว +2

      ​​@@fatmafatu1128wengi sio kwajili ya usaliti ni wanaume mwenyewe tabia yake...hata kama ikiwa ndo usaliti ndo umuue au kumpiga bora umpe talaka yake riski imeisha