SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 21 พ.ค. 2024
  • SAIDA KAROLI| UGUMU wa MAISHA wa MAISHA UNAVYOMTAFUNA kwa SASA, DHURUMA ya PESA ILIVYO MUUMIZA!
    Jishindie Zawadi na Global TV
    Jaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV
    👉🔥👉forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

ความคิดเห็น • 332

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  หลายเดือนก่อน +21

    Jishindie Zawadi na Global TVJaza sehemu zifuatazo hapo chini ili kuingia kwenye droo ya kujishindia zawadi mbali mbali na Global TV forms.gle/aU9zsYyXNyKWmd3f7

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya หลายเดือนก่อน +2

      Lanenepa.mashalah

    • @Ramlakimaro
      @Ramlakimaro หลายเดือนก่อน +1

      Mpaka leo bado zinaishi

    • @YOSHUAMWAMPETA
      @YOSHUAMWAMPETA หลายเดือนก่อน +1

      SAIDA UMEWAIMBIA SANA WATU LAKINI HUJAMWIMBIA YESU KRISTO WA NAZARETI.Nakuomba nakusihi ANZA SASA KUMSIFU YESU KRISTO WA NAZARETI ATAKULIPA ZAIDI.

  • @officialdogobdance672
    @officialdogobdance672 23 วันที่ผ่านมา +17

    I respect her so much namuombeaga kila siku mungu amuweke miaka 1000 maana huyu alinilea miaka 7 nilienda kwake nikiwa mdogo sana mpaka saii niko Star kwa sababu ya huyu mama heshima kwake❤❤❤❤❤❤

  • @ettienewand9850
    @ettienewand9850 8 วันที่ผ่านมา +3

    Hivi mtu akitaka kumzawadi huyu mama amfikie vipi.She deserves to be appreciated. Nyimbo zake zinanigusa sana.

  • @ndogoroedson199
    @ndogoroedson199 หลายเดือนก่อน +32

    Ukiachana na usanii bado ww ni mama la mama Mungu akubariki sana mdogo wangu

  • @anisiamchembe6552
    @anisiamchembe6552 หลายเดือนก่อน +41

    Saida tunakupenda sana!!👑

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 หลายเดือนก่อน +36

    Maskn anapambana kwa ajili ya watoto wake hongera sana❤❤❤

    • @liberatusjackson5045
      @liberatusjackson5045 หลายเดือนก่อน

      Nakataa

    • @openglo
      @openglo หลายเดือนก่อน

      ​@@liberatusjackson5045kwanini?

  • @SimonBinde
    @SimonBinde หลายเดือนก่อน +61

    Huyu tumuheshimu kashfa so nzuri ni mama yetu

    • @evakessy3282
      @evakessy3282 หลายเดือนก่อน +4

      Kwani nani amekoment kashfa na wewe hovyo

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน +2


      😅😅

    • @WahidaHilaly
      @WahidaHilaly หลายเดือนก่อน +1

      ❤❤❤

    • @MTOTOWAvitoto
      @MTOTOWAvitoto หลายเดือนก่อน

      ​@@evakessy3282kwani wewe huoni hiyo title ya hapo juu walivoandika eti UGUMU WA MAISHA UNAVYOMTAFUNA SAIDA KAROLI sasa siuongo huo kwa maisha gani mabaovu alonayo??ni usenge tuu wanataka wapate views wengi

    • @AlhajiIssa-jb9hr
      @AlhajiIssa-jb9hr หลายเดือนก่อน

      😂😂😂muambie huyo.​@@evakessy3282

  • @ambakisyemwakinunu2002
    @ambakisyemwakinunu2002 หลายเดือนก่อน +25

    Hizi interview zinafundisha sana hasa kwa watu wanaoongea ukweli kama mama Saida MWENYEZI MUNGU akujalie zaidi kwa moyo wa kuwasaidia na kuwafunza wengine

  • @user-dk8mm9vi3y
    @user-dk8mm9vi3y 18 วันที่ผ่านมา +7

    Mbona kaacha kuimba kipawa akiozi ats kwe. Mie Mkenya ningali na kumbuka nyimbo zako nikiwa jijini Nairobi. Mie Mkenya. ❤

  • @SimonBinde
    @SimonBinde หลายเดือนก่อน +24

    Mungu akupe maisha marefu

  • @Boaz-Gwanko
    @Boaz-Gwanko หลายเดือนก่อน +18

    Nashauri Saida akahojiwe na Milard ayo,au atafutiwe mwingine ndani ya global, huyu mwingine hajui kumuhoji mtu aliye kaa mda mrefu bila kuhojiwa, ana mambo mengi kifuani lakini hana mtu wa kuyachokonoa... Nimehuzunishwa na mwandishi wenu anaye chekacheka tu bila kuhoji maswali ya msingi.

  • @SwahiliAmbasador954
    @SwahiliAmbasador954 หลายเดือนก่อน +22

    Mungu anatupenda sote huyu mama kanigusa sana lakini mafanikio yapo haijalishi ni umri upi ulio nao jina lako mama nikubwa sana na sio Tanzania tu africa kwa ujumla Mungu akusimamie mshirikishe pia Mungu katika kila jambo kama unavyo kubali ukuu wake katika maisha yako una moyo mzuri Sana Mama

  • @aishakambenga6191
    @aishakambenga6191 หลายเดือนก่อน +24

    Mme wangu anapenda nyimbo zako zote ❤

    • @ZuberiMayanga
      @ZuberiMayanga 13 วันที่ผ่านมา

      Angalia utaibiwa mme

  • @dayana5513story
    @dayana5513story หลายเดือนก่อน +8

    Wow I'm happy to see her,akipata profession interviewer anavitu vingi vya kufundisha vijana

  • @gracepaul4194
    @gracepaul4194 21 วันที่ผ่านมา +6

    Dada saida anza kumwiimbia Mungu sasa

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 หลายเดือนก่อน +9

    Hongera sana mama yangu wewe ni mwanamke na nusu,sema rudi kwenye asili ya nyimbo zako utabaki kuwa juu lakini huu ukisasa ndo utakudidimiza.Natamani nikuone wa moto siku zote

  • @magrethmbuma3045
    @magrethmbuma3045 หลายเดือนก่อน +24

    Huyu mama nampenda sana mpaka kesho

  • @bodyaman
    @bodyaman หลายเดือนก่อน +14

    Hongereni Global TV Kwa kufanya interview na Saida Karoli rejendri WA Muziki wa bongo akiwa hai

  • @kisinza6077
    @kisinza6077 หลายเดือนก่อน +14

    Kiukweli mama yangu nikushauri tu, kama hakuna affect unayoipata usukumani; naomba endelea kupiga chaka to Chaka, kama malengo yako Huwa yanatimia; usichague mama kikubwa Hela. Mi najua kilichokufelisha ni technology ya muziki haikuwa imekomaa mpo wengi sana mlipiga kazi kubwa ila hakuna kitu Leo.
    Watu walichezea sana kazi zenu walitajirika, na mbaya sana mama yangu hukuwa na Elimu kabisa. Piga kazi mama yangu kikubwa Hela. .

  • @Vaiva4254
    @Vaiva4254 17 วันที่ผ่านมา +3

    Hata Saida akija kampala sasa hivi... Hawezi-shindwa kupata watu... Tena watu wengi sana...usikate tamaa mama

  • @juliethkatabwa5306
    @juliethkatabwa5306 หลายเดือนก่อน +8

    Asante Saida kwa kumkumbuka meneja wako.

  • @mariamkibindo1741
    @mariamkibindo1741 หลายเดือนก่อน +2

    MashaAllah nafurahi kumuona huyu mama nimekuwa nikisikiliza nyimbo zake za zamani karibia nusu nakujua kuimba kilugha chake❤wote nyumban tunapenda sana saida karoli,

  • @AishaMaganga-vd1jg
    @AishaMaganga-vd1jg 24 วันที่ผ่านมา +2

    Kikubwa uzima mamangu. Hatahivyo Mungu amekubaliki nyumba yakuishi na watoto wako! Tunakupenda sana.❤❤❤❤

  • @user-sc4ol3yp2x
    @user-sc4ol3yp2x หลายเดือนก่อน +8

    Tunakupenda mno saida

  • @philbertzacharia3087
    @philbertzacharia3087 18 วันที่ผ่านมา +2

    Nimependa sana aliposema ivi "nikazama mtoto wa kike itakavokuwa na iwe Mungu akupe maisha marefu @said

  • @k.anaidza
    @k.anaidza 27 วันที่ผ่านมา +2

    Hongereni sana kwa Interview yenye mafunzo makubwa na kumleta Bi. Saida Karoli. Tunampenda sana🙏🏿🤗

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 27 วันที่ผ่านมา +2

    Mtangazaji kuna maswali ya msingi ulipaswa uulize kwa hii interview huyu mama ni legendary

  • @mathsngasadm3093
    @mathsngasadm3093 หลายเดือนก่อน +2

    Napenda mno jimbo zako, yaani kila nikisikiliza najikuta napata radha ya kipekee mno.
    Hongera sana Mama saida kwa kipaji ulichojaliwa na Mwenyezi Mungu

  • @patricknyiti5303
    @patricknyiti5303 หลายเดือนก่อน +4

    Huyu ni Muanga wa cloudz FM ..Walimtumia sana kwa faida yao

  • @marthaayuma7065
    @marthaayuma7065 หลายเดือนก่อน +2

    Natazama toka Kenya.hongera sana dada kipenzi ❤❤❤❤❤❤ nakupenda .sana.nakukubalia kabisa🎉🎉🎉

  • @zainabrobbykoroso8912
    @zainabrobbykoroso8912 27 วันที่ผ่านมา +1

    I'm from kenya I truly like this mamaa because nikikua songs zake ndio nilipenda kwaza afu anakaa mama mpoa sana much love ❣️❣️

  • @aminaomary5567
    @aminaomary5567 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana saida. Ludi ktk mziki wako. Tunakupenda sana❤❤❤

  • @athanasjoseph9529
    @athanasjoseph9529 หลายเดือนก่อน +2

    Icon. Halafu hataki maisha ya kufake. Nimependa hiyo spirit.

  • @hawababy120
    @hawababy120 หลายเดือนก่อน +4

    Mashaallah Allah Akutunze zaidi❤

  • @annamussa185
    @annamussa185 หลายเดือนก่อน +7

    Wasukuma watu pouwa sana❤

  • @Rukwembe7712
    @Rukwembe7712 หลายเดือนก่อน +20

    Ili litangazaji halijui kuuliza maswali ya maana uzuri Saida anajiongeza anaelezea hata vitu ambavyo ajaulizwa

    • @Boaz-Gwanko
      @Boaz-Gwanko หลายเดือนก่อน

      Yani Hadi kero

    • @dinachiwaligo
      @dinachiwaligo หลายเดือนก่อน

      Yaani mtangazaji ziro kabisa anajikunakuna Tu namiguno kibao

    • @user-hy6lh7cp1q
      @user-hy6lh7cp1q หลายเดือนก่อน

      Kweli bro Yan halijui kuhoj da kumbe umegundua nlhs n mim peke yang

    • @user-hy6lh7cp1q
      @user-hy6lh7cp1q หลายเดือนก่อน

      huyu jamaa hajui kuhoj kabsa jaman anashusha brand

    • @odilomwemeziernest646
      @odilomwemeziernest646 28 วันที่ผ่านมา

      @@user-hy6lh7cp1q ila sometime muwe na heshima siyo kumtusi mtu,unapomuita binadamu mwenzako hili litangazaji unaonyesha jinsi gani wewe hujielewi.

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 หลายเดือนก่อน +8

    Pole saida ila umenichesha

  • @nusrathmanyawa4501
    @nusrathmanyawa4501 หลายเดือนก่อน +2

    Nakupenda sana mama yangu Saida ❤❤❤

  • @maduhumanyangu1544
    @maduhumanyangu1544 หลายเดือนก่อน +2

    Hongera sana...mama Saida kwa Kipaji chako

  • @maniamba.tz_
    @maniamba.tz_ หลายเดือนก่อน +2

    Uko vizuri Mama

  • @samsonhamery3809
    @samsonhamery3809 หลายเดือนก่อน +2

    Pole Sana Mama Saida Kaloli
    Shoo ya Kampala Uganda uwanja ulijaa akatapeliwa pesa yote akaja Tanzania kwa msaada wa lift.Akina FM walimfilisi wakatajirika wao

  • @dorahy1579
    @dorahy1579 หลายเดือนก่อน +2

    Interview nzuri sana, story nzuri sana. Mwenyezi Mungu awabariki nyinyi note wali kwenye kipindi hiki.

  • @albashakluninshaah3727
    @albashakluninshaah3727 หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akuweke sana

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 หลายเดือนก่อน

    Mashaallah Mungu akupe hitaji la moyo wako❤❤🙏🙏

  • @paulinekamau9633
    @paulinekamau9633 หลายเดือนก่อน

    Gosh I love her ❤ good to see Saida

  • @jogechi2105
    @jogechi2105 หลายเดือนก่อน

    In proud of her. Sijawai jua sura lakini sauti yake naifahamu sana

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 29 วันที่ผ่านมา +2

    Legend kabisa 🙌🔥🙌

  • @ElisoniMahamba-fr7nu
    @ElisoniMahamba-fr7nu หลายเดือนก่อน +2

    Uko sawa dada. Yetu kukopamoja nawe mungu akulinde type vit😊

  • @ramadhanseleman4276
    @ramadhanseleman4276 22 วันที่ผ่านมา +2

    Unajua sana kuimba nyimbo za asili ungejua watu wanavyokupenda sio wahaya peke yao, toa nyimbo nzuri andaa shows watu watakusapoti

  • @OberdKahwa
    @OberdKahwa 23 วันที่ผ่านมา

    Nakupenda

  • @AmaniKasekwa-uw8hp
    @AmaniKasekwa-uw8hp หลายเดือนก่อน

    Ubalikiwe sana

  • @amirhamud3343
    @amirhamud3343 16 วันที่ผ่านมา +2

    Mwandishi unazingua.Kuhoji " F"

  • @edwinmeenda9171
    @edwinmeenda9171 หลายเดือนก่อน

    Bonge Moja la interview 💯💯 big up Global TV

  • @jmm1840
    @jmm1840 หลายเดือนก่อน +8

    Habari studio
    Naitwa J.M
    Nahitaji kuonana na Saidia Kaloli.
    Naomba mniunganishe nae.

  • @joshuakitunzi9500
    @joshuakitunzi9500 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana mama uko vzr kw kujiamini bila hofu ktk upambanaji kimaisha.Endelea kupambana na husikose kumtanguliza na kumuomba mungu💪♥️

  • @bodyaman
    @bodyaman หลายเดือนก่อน +6

    Mimi Nina mjua Mama Saida Karoli anaongea ukweli na anachokiongea ni somo kubwa Kwa Saida KAROLI.

    • @allahisone6386
      @allahisone6386 หลายเดือนก่อน

      Eeweeeeeh_🤔

    • @mugadimon3563
      @mugadimon3563 27 วันที่ผ่านมา +1

      Kabisa maza anaongea ukweli

  • @cinthianyangasibeib851
    @cinthianyangasibeib851 23 วันที่ผ่านมา +2

    Kenya ishara ya like tunapenda nilikusikia ni kiwa namika 5sahii niko 28 nabado nakupenda. garuka garuka garuka mwanawenge nahupende nimaisha halisi hayo pitia mamangu 😢

  • @milliardere9177
    @milliardere9177 24 วันที่ผ่านมา

    Heshima sana

  • @josephjaleen127
    @josephjaleen127 17 วันที่ผ่านมา

    My late bro loved nyimbo zako sana nikiwa shule ya msingi uku Kenya,maria Salome na zingine.

  • @nangabohh3
    @nangabohh3 19 วันที่ผ่านมา

    We need you in Kenya my dear Saida,I loved your music,Ngoma Zako zilifanya nimpende Sana make wangu(mapenzi kisungusungu)

  • @richardmalekela4786
    @richardmalekela4786 หลายเดือนก่อน +4

    Safi sana mama anahekima,tujifunze kitu.

  • @SurprisedMacawBird-qh7dg
    @SurprisedMacawBird-qh7dg 26 วันที่ผ่านมา

    Kazi nzuri

  • @user-nf3dc9fb6v
    @user-nf3dc9fb6v หลายเดือนก่อน

    Saida karoli nakukubali sana mama yangu ♥️♥️♥️♥️

  • @REMEASYPIANO
    @REMEASYPIANO หลายเดือนก่อน +2

    nimependa sana anavyo ongea ukweli uhalisia wa maisha yake

  • @user-qf6dh9hy8c
    @user-qf6dh9hy8c 24 วันที่ผ่านมา

    Asante tunakupenda mama

  • @patriciambita4469
    @patriciambita4469 หลายเดือนก่อน

    Saida nakupenda sanaaaa❤

  • @jescaedwardkurumela4333
    @jescaedwardkurumela4333 24 วันที่ผ่านมา

    Umebarikiwa

  • @user-oy9wr2zc6x
    @user-oy9wr2zc6x หลายเดือนก่อน +2

    Mungu akutunze mafanikio hayana umri.

  • @angellomarcel5677
    @angellomarcel5677 หลายเดือนก่อน

    Duh..! Aseee

  • @user-ei2ud7gh5h
    @user-ei2ud7gh5h 21 วันที่ผ่านมา

    Dàh had roho inaumaà kweliiiiiila jaman , maboss hata kama mtu akiwahajui mlipe kisitahiki, mtu mweleze ukweli umepata kiasi hiki mnaweka mezani yote na mnagawana kiasi gani❤❤❤❤❤❤❤

  • @RamadhaniSelemani-bn1fz
    @RamadhaniSelemani-bn1fz หลายเดือนก่อน

    Napenda sana nyimbo zako ameen

  • @Oman-nu2kc
    @Oman-nu2kc 29 วันที่ผ่านมา

    Mm nakupenda sana sana tangia umeanza nyimbo Yako yakwanza nakutafuta sana sana dadaangu

  • @ramadhaniisihaka295
    @ramadhaniisihaka295 21 วันที่ผ่านมา +2

    Nyimbo zangu pendwa ni kaisiki,iyembe,ngoz zone,

  • @damsonwilson5202
    @damsonwilson5202 หลายเดือนก่อน

    Mama Angu Mungu Atakutukuza siku zako zilobaki kwenye game Mama

  • @user-pk7qq3eb5r
    @user-pk7qq3eb5r 5 วันที่ผ่านมา

    Uko vizuri mama mi naona kile kitu kilichokufanya uhit, ndo uendelee nacho Kwa kukiboresha ili uwike zaid

  • @user-st8hd9iq4o
    @user-st8hd9iq4o 25 วันที่ผ่านมา

    Hongera Sana mama ulifanya kazi nzri kwa muda mrefu

  • @benedictormulagha9022
    @benedictormulagha9022 หลายเดือนก่อน

    nimeguswa namaneno yako mama angu ❤nakupenda sana❤🎉🎉

  • @titongholo6261
    @titongholo6261 หลายเดือนก่อน +2

    Mtangazaji hajui kazi yake vilivyo, hajui kuulizwa maswali ya uchokozi na ya udadisi

  • @mathiaslyamunda2526
    @mathiaslyamunda2526 29 วันที่ผ่านมา

    Huyu mkweli Sana Mungu amsaidie.

  • @Saidy-eu1hc
    @Saidy-eu1hc 11 วันที่ผ่านมา

    Mamangu anapenda nyimbo zako sana mpaka anatulela kila mda muweken saida

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar หลายเดือนก่อน +1

    Da Saida imiss u

  • @Darvio
    @Darvio หลายเดือนก่อน

    Mama tunakupenda sana hasa sisi wasukuma tukikuona tu tunafurahi utafanikiwa bila kujari umri wala miaka Mungu atakuheshimisha ❤❤❤

  • @listerlujiso6009
    @listerlujiso6009 หลายเดือนก่อน

    Mi kiukweli mzee Mutta alikuwa na roho nzur sana sana mimi nilimjua kwa mema tu.

  • @Hakuzwe
    @Hakuzwe หลายเดือนก่อน +4

    Mama,umenenepa sana enda gym.

  • @josephatmgaya7321
    @josephatmgaya7321 24 วันที่ผ่านมา

    Hakika ww mpambanaji sana hongera dada

  • @IsacRobath
    @IsacRobath 21 วันที่ผ่านมา

    🇲🇿 kutoka Mozambique Mimi ninamuona Saida nikiwa mtoto, nasema ukeelyi Saida Karoli tunakupenda sana, Mimi APA nitampenda milele.

  • @peterkaale6977
    @peterkaale6977 หลายเดือนก่อน

    She is so beautiful I
    Love her

  • @jtheophil5499
    @jtheophil5499 หลายเดือนก่อน

    Umeanza kujikuza tena Saida.Tulia piga kazi achana na mambo ya brand.Hayo ndo yanakufanya ukose deal.Tunakupenda husijikweze wewe piga kazi.Sema umeiva sana.Umeongea vizuri mno.

  • @alorineawuor2205
    @alorineawuor2205 16 วันที่ผ่านมา

    Yes mum people learn day after day....
    Dust your gown and continue with the race mum , you are still alive

  • @davidkadenge1902
    @davidkadenge1902 27 วันที่ผ่านมา

    Nime umia sana Mungu akuongeze mama

  • @MchagaUk
    @MchagaUk หลายเดือนก่อน

    Huyu mama interview yake nzuriiiiiiiiiiiiiiiiii

  • @fidikenya
    @fidikenya หลายเดือนก่อน

    Saida Karoli ❤️❤️❤️

  • @PrisicaBitaza-lx8sg
    @PrisicaBitaza-lx8sg 22 วันที่ผ่านมา

    Tunakupenda ndugu yetu,, tunakupenda sana ukooo uko pamoja nawe

  • @user-rg1qu2iu3r
    @user-rg1qu2iu3r หลายเดือนก่อน +1

    Hongera Sana mwanangu

  • @mrkitaa7938
    @mrkitaa7938 หลายเดือนก่อน

    ❤❤

  • @NelsonDaniel-ou2fg
    @NelsonDaniel-ou2fg หลายเดือนก่อน +4

    Harmonize njoo apa umusikilize saida karoli, Wew uliesema ga ulidhulumiwa na Diamond platnumz kumbe niulimbukeni ndoshida

  • @AbihudiMbekomize-py8fb
    @AbihudiMbekomize-py8fb 2 วันที่ผ่านมา

    Wakola mama nakupenda sana

  • @mfuasieddyson6521
    @mfuasieddyson6521 หลายเดือนก่อน

    ❤❤❤❤safi mama tuko pamoja

  • @erickkagisa833
    @erickkagisa833 หลายเดือนก่อน

    Huyu mama jasho lake lililiwa na watu wachache....wapumbavu tu. Pole mama

  • @user-zj6hp6ju3w
    @user-zj6hp6ju3w หลายเดือนก่อน +1

    Msaidieni mama watanzania kweli