kipenz chamm lowasa, umeenda bila ndoto yako kutimia, mungu hakutaka na kazi yake Haina makosa . umetimiza ambacho mungu alikuleta duniania. roho yako I mikononi mwa Mungu Amen
Sisemi.uongo lowasa nilikua nampendaa ni baba asiyrkua na majivuno siku zoe ongea yake ilikua ya kistaarabu pumxika kwa aman acha upate heshima zako ulikua hujikweziii
Jamani ivi ninani anaekubali kusifiwa kila siku?? Hizi nisifa za mwisho kwani akisha ingia tu kaburini nawatu wakaligeuzia kaburi kisogo basi kilakitu kinakua kimesahaulika😢😢😢 Pumzika kwa amani Lowasa
Pumzika kwa amani mzee wetu lowasa,Mungu ailaze roh yako mahal pema pepon Mungu akusamehe yote uliyokosea hakika wewe ni mwanadam,unakosea pia Tutakukumbuka kwa mengi sana.😢
😭😭Tuko kwenye dunia ambayo walio kufa hupokea maua mengi kuliko walio hai,, hii ni kwa sababu majuto yana nguvu kuliko shukrani✍📌 inaumiza saana,, itoshe kusema nenda ulale salama kiongozi wetu, japo tumekupa maua mengi baada ya kufikwa umauti😭😭😭😭😭
UNAPOISHI HUWA UNAKUWA UNA UNATENGENEZA HISTORIA UNAPO KUFA HUWA NDIPO HISTORIA YAKO INA ANDIKWA KWA ULICHO FANYA KWA WATU UMEFAULU KUISHI MZEE LOWASA RIP😭😭😭😭
Kuna watu hapo kipindi anahamia chadema walimsema kwa maneno ya hivyo sana,sasa Mungu kampenda zaidi hutosikia kwenye hotuba ya marehemu Kama aliwahi kuhama chama dah Ulale mahari pema peponi shujaa wa Tanzania
Hakika Lwasa mzalendo wa kweli umekwenda moja kwa moja tungali tunakuhitaji tusiyethamini vyeo wala madaraka, bali utu. Ole wao walio wa vyeo, tuone wadumu milele duniani.
each spirit will taste death,,, innalillah wainnalillah Raajun , tulitoka mavumbin na huko tutarud tena tangulia baba tupo nyuma yako tutaonana baadaye, still rest in paradise
Hapa tumesha sahulishwa kutambua nn! Maana ya kifo!! Maana sijui tunacho kitafakar hapa ni kifoo!! Ngomq?? hatujui tuendako wala hatuujui ugumu wake huko tuendako 50:6 yeremia inna lillah wa inna ilaih raajiun😭😭😭😭😭
inna lilahi wainnaa ilaihi rajiuun maiti anaburudishwa wakati hapo anahangaika na ya akhera hana habari ya dunia anaona kama kazaliwa akafariki hajui haamini kama kaishi miaka mia moja
Mpoto mnafki hata tukimuuliza kinamliza nini atajibu kinafiki,tuwe was kweli huyu lowasa alifanya nini tz zaidi ya wizi tu,mpoto acha unafki nilikua na kuheshimu ila leo neo nimejua wewe na watanzania wenzio ni wanafki mno,na mmefika hapo mmelipwa pesa wala hamjakwenda bure
Ama hakika sio kila ndoto inatimia hakika alitamani kuwa rais wa tz🇹🇿 nenda mzee nitakukumbuka sana 2015 katika viwanja vya furahisha jiji la miamba hakika tulikuwa na mahaba na kama mwenyewe ulivosema nenda baba nenda tataonana badae
Mjomba unajua sana alafu unajua tena. Asante kwa kumuombolezea Lowassa wetu
kipenz chamm lowasa, umeenda bila ndoto yako kutimia, mungu hakutaka na kazi yake Haina makosa . umetimiza ambacho mungu alikuleta duniania. roho yako I mikononi mwa Mungu Amen
Sisemi.uongo lowasa nilikua nampendaa ni baba asiyrkua na majivuno siku zoe ongea yake ilikua ya kistaarabu pumxika kwa aman acha upate heshima zako ulikua hujikweziii
Mungu akupe pumnziko la milele Mzee wetu Lowasa,poleni sana Wana familia
Jamani ivi ninani anaekubali kusifiwa kila siku?? Hizi nisifa za mwisho kwani akisha ingia tu kaburini nawatu wakaligeuzia kaburi kisogo basi kilakitu kinakua kimesahaulika😢😢😢 Pumzika kwa amani Lowasa
Pumzika kwa amani mzee wetu lowasa,Mungu ailaze roh yako mahal pema pepon
Mungu akusamehe yote uliyokosea hakika wewe ni mwanadam,unakosea pia
Tutakukumbuka kwa mengi sana.😢
Hakika kazi ya Mungu Haina makosa. Nenda kipenzi cha Watanzania. Vita umevipiga , mwendo umeumaliza na Imani umeishinda.
Mungu akulaze sehem takatifu ya pendo lake umusalimie magufuli mwambiye bado tunampenda na kumukumbuka nawe tutakukumbuka daima
😭😭Poleni sana kwa msiba huo😭😭Mungu amlaze Mahalia. pema peponi😭😭😭 DOCTOR. EDWARD NGOYAI LOWASSA .mwendo ameumaliza😭😭😭😭😭😭😭😭 Mungu awa saidie
Maneno yake/ujumbe wake unamtoa mchozi lila anayemkumbuka Lowasa kwa utendaji wake,ni kweli Lowasa alimrithi Sokoine kwa mema mengi.RIP Edward.
😭😭Tuko kwenye dunia ambayo walio kufa hupokea maua mengi kuliko walio hai,, hii ni kwa sababu majuto yana nguvu kuliko shukrani✍📌 inaumiza saana,, itoshe kusema nenda ulale salama kiongozi wetu, japo tumekupa maua mengi baada ya kufikwa umauti😭😭😭😭😭
Kwakweli😢😢
Ni kweli kabisa na matusi na kebei juu daaah
Kwani anasikia?aliyekwisha kufa hana hijala tena.
Mngeyasema haya kubla hajafa ,wakati walimwita fisadi wanadamu baanaa!
Kwahiyo wasimpe maua? Wewe unawapa maua wangapi?
UNAPOISHI HUWA UNAKUWA UNA UNATENGENEZA HISTORIA UNAPO KUFA HUWA NDIPO HISTORIA YAKO INA ANDIKWA KWA ULICHO FANYA KWA WATU UMEFAULU KUISHI MZEE LOWASA RIP😭😭😭😭
😢😢😢😢ooh lowassa rudi rudii💔😭😭😭😭😭😭😭 hii nyimbo inatouch maini adi firigisi uwii r .I.p lowassa
Daaaah pumuzika Kwa amani baba yangu ila itoshe kusema tupo dunia ambayo walio kufa upewa maua 🎉 mengi kuliko walio hai😭😭😭😭
Naomb,
❤ameci.yanga 0:00
God's love more lowasa
Mashahallah lkn Anaweza cn mpoto
Turi kupenda sana msalimie mzee wetu Magufuli hakika dunia niwapitaj
Lala salam Jaman Lowassa 😭😭😭😭😭Arusha tutakkumbuka kwa ukarim wako
😂😂😂😂burian kiongozi lala salama tulikupenda mungu amekupenda zaid
Yote anajua mungu watanzania tutakuombea kwamungu lala salama mamba
Mumshauri Nurueel juu ya baadhi ya mapambo yaendane na matukio hapo ni msibani machain ya nn!!? Half dancing hiyo sio mahala pake
Kuna watu hapo kipindi anahamia chadema walimsema kwa maneno ya hivyo sana,sasa Mungu kampenda zaidi hutosikia kwenye hotuba ya marehemu Kama aliwahi kuhama chama dah Ulale mahari pema peponi shujaa wa Tanzania
Mambo ya vyama ni ya hapa duniani tu ndugu.yasikusumbue saana.
Pumzika kwa amani shujaaa polen sana wanafamilia ila msihuzunike sana kaz ya Mungu haina makosa ametangulia tu tutaonana baadae kuweni namatumain
RIP Mzee Lowasa,Mungu Akipumzishe Mahali Pema Peponi!Ameen.
Dah! Inauma sana ila hamna namna,pumzika Kwa aman Jemedal wetu
Hakika Lwasa mzalendo wa kweli umekwenda moja kwa moja tungali tunakuhitaji tusiyethamini vyeo wala madaraka, bali utu. Ole wao walio wa vyeo, tuone wadumu milele duniani.
Uzuri sana mzee
Sasa badara ya kuimba nyimbo za kuwafariji muna waimbia nyimbo za kuwa liza wasanii mungu ana waona
Ndio yote sawa hata wakilia ni sawa wamefiwa
😂😂😂
Tulikupenda lakini Mungu kakupenda zaidi yetu,
Pumzika kwa Amani
Mrisho always touches hearts ❤
Mpoto on fire. Sanaa, kwake haijarishi ni wakati gani?
Pumzika kwa aman mzee wetu lowasa hakk mwendo umeumaliza
Mungu 🙏 muraze malehem lowasa mahali Pema peponi Amina
Mi naona mpoto anagomba siyo njia nzuri ya kufariji
Upinzani kweri ni vita kweri mrimjua. Ila samia mama mungu anamakusudi nawewe ikomboe tanzania mungu anamakusudi na wew
Pumzika kwa amani mzee wetu
each spirit will taste death,,, innalillah wainnalillah Raajun , tulitoka mavumbin na huko tutarud tena tangulia baba tupo nyuma yako tutaonana baadaye, still rest in paradise
Hapa tumesha sahulishwa kutambua nn! Maana ya kifo!! Maana sijui tunacho kitafakar hapa ni kifoo!! Ngomq?? hatujui tuendako wala hatuujui ugumu wake huko tuendako 50:6 yeremia inna lillah wa inna ilaih raajiun😭😭😭😭😭
Golden Leader Rest in Peace Honor Lowasa
Poleni Sana jamii nzima
Mpoto salute
LAKINI HIVI VYA KUFUNGA NYWELE NYUMA KAMA WANAWAKE NA ZA USUSI KAMA WANAWAKE WAKATI NI WANAUME HAVITUBARIKI!!!
Pumzika kwa Amani baba Mungu mlaze panapostahili
Ishi ulaumiwe 😢kufa usifiweee,RIP LOWASA
Mwezimungu akulaze mahali pema peponi .akusamee makosa yako uwe mtu wa peponi amina yaarab
inna lilahi wainnaa ilaihi rajiuun maiti anaburudishwa wakati hapo anahangaika na ya akhera hana habari ya dunia anaona kama kazaliwa akafariki hajui haamini kama kaishi miaka mia moja
Mashahallah kumbe Alikaa miaka miamoja duuh Mashahallah mungu Ampumzishe kwa Amani
@@Saripa234-u7g siwaleo warioba mwenzwe
Yani angekua ktk imani yetu tulishaa anza na kusahau msiba.
Miaka 70 bhana
Yaani acha tu
Tanesco mpaka kwenye msiba mna kata umeme Tena kwa waziriiii😭😭😭😭😭
Very sad pumzika kwa amani my Dady lowasa
Rest easy mzee wetu,,,ulipambana sana
Tusikufuru Mungu kavuna Mavuno yake mwenyewe sisi ni mbegu tyuu
Duh,lowasa alifariki lini
Pumzika kwa amanii baba ukimwona magufuli mwambie tunalia kila tukikumbuka uwepo wake katka dunia hiii😭😭😭🙏
Ulikua na hekima rest papa I personally loved you
Poleni familia ya Lowasa poleni Watanzania
Mmh ila alipokua mzma akigombea walimsema vbaya leo kafarik anapewa sifa lakn tayar haoni hasikii 😢😢😢pumzka salama ..
Ndio binadam tunavyoamrishwa mtu akifa hatutakiwi kumsema vibaya
Ndio Tanzania yetu
TANESCO kama Kawa nao wameingiza vocal yao 😢 inawezekana hata wao ndio waliomuua baada ya kukata umeme muhimbili
Hapa duniani kila kiumbe kilicho umbwa na Allah kitaonja umauti
Mungu akulaze mahali pema peponi
😭😭😭 lala pema peponi Baba Wetu Huna pingamizi Kwa watanzania
Ingekuwa inawezekana kurikod ningetuma voice vp mumsifie mtu hakishakufa na sio hakiwa hai we mrisho unamwambia hamke kweri mbona unakashifu kunamtu hafe kisha hamke ebu mkamsitiri
Alafile alafile tu hata ukimba na kulia kzi ya mungu haina makosa
Kila nafsi itaonja umauti safari njema baba yetu🤲tuakuombea dua
Ibaki tu kusema rest in peace our leader 😢😢😢😢
Sisi sote ni marehemu watarajiwa tukumbuke hilo
Angeenda tu Samia 😢😢
My country 🇹🇿🇹🇿
R.I.P baba yetu mpendwa tulikupenda ❤ lakini mungu kakupenda zaid pole san mam mjane na wanafamilia wote😂😂😂😂
Jmn muwe mnaimba nyimbo za Mungu,,illi iwe faraja Kwa familia😅
Duniya ukiiwacha ndo unapata sifa sio Tanzania pekee acheni kejeli. Ukiona sawa sifu ukiona vyenginevo sepa
Kikubwa kuombeana dua ili kua na mwisho mwema
Apumzike kwa amani 😢😢😢😢
Munguu amlazee mahali pema peponiii
aende tu
Mpoto mnafki hata tukimuuliza kinamliza nini atajibu kinafiki,tuwe was kweli huyu lowasa alifanya nini tz zaidi ya wizi tu,mpoto acha unafki nilikua na kuheshimu ila leo neo nimejua wewe na watanzania wenzio ni wanafki mno,na mmefika hapo mmelipwa pesa wala hamjakwenda bure
Mwanzilishi wa shule za kata ni yeye pia maji toka ziwa viktoria ni yeye mazuri ni mengi aliyofanya.
Asante kwa kusema ukweli
R.i.p my super hero 😢
Dunia mapito pumzika kwa amani Lowasa😢
Rest in peace our dady lowasa
Namkumbuka ulijitoa muhanga wwe ili Tanzania ibaki salama kujitoa uwaziri mkuu 😭😭😭😭
Poleni TU tuko pamoj
Ni haki yake kupata matibabu kwa mchango alioutoa na bad treatment mlizompa.
Wasanii imbeni nyimbo za faraja sio za kuwaliza wafiwa
Huyu nae badala ya kufariji analiza watuu
Ama hakika sio kila ndoto inatimia hakika alitamani kuwa rais wa tz🇹🇿 nenda mzee nitakukumbuka sana 2015 katika viwanja vya furahisha jiji la miamba hakika tulikuwa na mahaba na kama mwenyewe ulivosema nenda baba nenda tataonana badae
Mrisho mpoto😢
Pumzika Kwa Amani
Ana kipaji cha amina yake.
😭😭 rest and peace
Pumzika Kwa Amani Mzee wetu😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kiongozi pekee aliyeniliza baada ya kunyang'anywa ushindi nikawa tayari kwa loloye ambalo angeamua kutuelekeza kufanya
Innalilai wainna illah rajiun poleni 😢
Yaani hii nchi dah mpaka ufe ndio usifiwe dah na kutungiwa nyimbo mh
Daaaaah pumzika kwa amani rowassa Ahsante mrisho kwa nyimbo nzuri 😭😭😭
sifa nyingi wanakupa baada ya kufa kwa nini hizo sifa hamjampa enzi ya uhai wake mungu akulaze mahali pema Mpendwa
Still Rest in Peace 😢
Niktakie maish mena tgun tozzy tmkmc Sana sumbawanga
Anakipaji hiyo ndia ofisi yake
R,I,p ngoyayi
Pumzika kwa Aman LOWASA
Kuna Wana wapo hapo wanaselfika tu🥲
Alafu midume wanaume wa Dar kazi sana
Msiba huu au danc
Dansi 😂😂 yan wabongo noma
daaah pumzika kwa amani lowasa