🔘JE, NA WEWE UNA HABARI? 🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV (+255 767 400402), 🔘WhatsApp (+255 767 400402) 🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com 🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: mwanahalisionli...
For sure tuache utani Huyu Mzee kagusa watu Wengi mmi binafsi nimefahamia MONDULI TEACHERS'COLLEGE alikuwa mstari wa mbele mno Kwa maendeleo ya Elimu na ujenzi wa makanisa,misikiti na kujitoa pia akuwa na tamaa Bali alizika na Mali walizokuwa nazo alipogombea urahisi nikafurahi mno nilijua Nchi ya Tanzania imepata mtu mwenye kujali watu because any leader without WISDOM it NOTHING .Huyu Mzee alikuwa na HEKIMA MNO uraisi ailitaka tu kukidhi mahitaji ya watanzani MWENYEZI MUNGU ni kweli Kila mwadamu anamspungufu nakuomba msamehe Huyu Mzee huko aendako Amina RIP MY SUPER MAN LOWASA.
Bahati Bukuku Ana nguvu ya MUNGU ndani yake inayotokana na Utakatifu na maombi ndio maana ameimba kwa UWEPO MZITO WA JEHOVAH MUNGU kawafunika wote wa mbeya mwenzangu
Jmn bahat bukuku ameimba Kwa machungu zaidi, alimpendaga mno had ktk majukwaa ya kampeni alikua anamnadi Kwa nyimbo hata mwanga alikuja bahat bukuku 2015 .
For sure tuache utani Huyu Mzee kagusa watu Wengi mmi binafsi nimefahamia MONDULI TEACHERS'COLLEGE alikuwa mstari wa mbele mno Kwa maendeleo ya Elimu na ujenzi wa makanisa,misikiti na kujitoa pia akuwa na tamaa Bali alizika na Mali walizokuwa nazo alipogombea urahisi nikafurahi mno nilijua Nchi ya Tanzania imepata mtu mwenye kujali watu because any leader without WISDOM it NOTHING .Huyu Mzee alikuwa na HEKIMA MNO uraisi ailitaka tu kukidhi mahitaji ya watanzani MWENYEZI MUNGU ni kweli Kila mwadamu anamspungufu nakuomba msamehe Huyu Mzee huko aendako Amina RIP MY SUPER MAN LOWASA.
Mama bahati sauti yako Mungu awabaliki wote waimbaji
Bukuku big up , the voice ooh Lord
Mungu awabariki sana waimbaji wote pumzika kwa amani shujaa wetu😭😭😭
Bahati Bukuku Ana nguvu ya MUNGU ndani yake inayotokana na Utakatifu na maombi ndio maana ameimba kwa UWEPO MZITO WA JEHOVAH MUNGU kawafunika wote wa mbeya mwenzangu
Mungu Awabariki waimbaji wote mlioweza kufka kufariji familia ya ndugu hayati Edward Ngoyai lowassa
Bahati bukuku unabalaa sanaaa! Sio kwa Sauti hiyooo duh
Bahati bukuku dada yangu kutoka mbeya umewafunika wote
...sauti kutoka rama rahel analilia watoto wake ,mstari safi kutoka kwenye BIBLIA TAKATIFU
Mama bahati Mungu azidid kukupa kubali zaidi hakika unakitu
Kipaumbele1. Elimu,kipaumbele Cha pili Elimu na kipengele Cha tatu Elimu aise uyu Mzee rowa ahhaaa
bahati bukuku umetishaaaaaaaaaaaa❤❤❤
Bahati bukuku dada yangu yaani unajua tena unajua sana uko ROHONI...Sauti toka rama raheli akililia watoto wake ...YEREMIA 31:15
Bukuku roho wa mungu yupo ndani yako ongela saana mungu akupiganie umeimba vzuuri mnooooo
Bahati sauti nzuri Sana na kwa mungu inaonyesha uko mnyenyekevu ongera dd
Bahati bukuku ❤
Bahati bukuku nailed it 😢😢
Wote wanasauti na wameimba vizuri
Bahatiii una sauti mama
Polen sana
Nitakukumbuka kwa mema uliyotutendea wanafunzi wa Manyara miaka ya 2000 ulitupenda nakujali afya zetu kula yetu na hata elimu yetu. Pumzika Babu.....
Ulale pema EDUWADI ngoyay Lowasa R.l.P.,💔💔💔💔😭😭😭😭😭🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿😭😭😭😭LOWASA
bukuku ❤❤❤
Mungu akupe pumuzik la milele siku zote 😭😭😭😭
Mungu awabariki
Mmmmmh Bahati Bukuku ❤❤❤
Bukuku❤❤❤
Hyo sauti ya bukuku ingekatwa naye aongezea maneno machache autegeze wimbo mpya mkubwa
R.i.p Lowasa. Bahati ❤
Mungu awabariki Kwa faraja zenu
bahati bukuku ❤❤❤mchungaji wangu
Pumzika kwa amani Mzee wetu.Waimbaji mmeomboleza kwa kweli.tupo pamoja
Mungu awabariki waimbaji
Bahati Bukuku 🔥🔥Mungu awabariki na waimbaji wote!!
Nzuri Sana
Sikutegemea kumkuta bahati Bukuku na Nay wa mitego kwenye ngoma moja 🤔
😅😅😅😅😂😂 Lakini Kwa Nini tuchekeshane na haya ni maomboleza daaah my country people🙌🙌🙌
Wifi yangu huyo jamani🎉🎉🎉
Nasubiri ngoma ya Ney wa Mitego ikisena Lowasa waambie uliyoyaacha huku.
Umelala yooo
Bahati sauti Yako imenifanya mwili wangu usisimke
Nakumbuka bahati ktk kampeni kipindi Cha lowasa
Jmn bahat bukuku ameimba Kwa machungu zaidi, alimpendaga mno had ktk majukwaa ya kampeni alikua anamnadi Kwa nyimbo hata mwanga alikuja bahat bukuku 2015 .
Lala Salama baba yetu🙏
Wimbo mzur
Pole familia ya lowasa
Baba hajawahi kumjibu mtu vibaya hata kama umemtendea mabaya, ila alistahili kupewa maua yake akiwa hai, pumzika baba mzalendo wa kweli LOWASA
Daaaaaaaaah
Dah bukuku sauti nzr sn
Pumzika kwa Aman baba hatuna jinsi 😭😭😭
Nenda salama baba 😭😭😭😭
Nakukubal sana bahat bukuku nataman niimbe pia kwa viwango ulivyonavyo
Bukuku amefanya vizuri kwenye kuimba hapo
Ney wangu
Pumzika kwa Aman Shujaa.Hapa dunian tu wapitaji tu na mbinguni tutarejea.
Mch Bahati kafunika balaaa
Pole family
Kweli!! ishi udharauliwe, kufa usifiwe
Walikuwa wp akiwa hai?
@@babalao910 unafiki
Bukuuku unaomba vizuli
Bukuku dah
Furora mbasha upo
Nyimbo ni nzr lakin kwani kila ki2 lazima mutaje MAMA
Yani hata namm najiuliza mama ameingiaje kwann asingemtaja mke wake?
Nakubali mama yangu bahati bukuku
Hapo nimemwelewa mbasha na shusho,bahati na hawa wakiume
Hongeren xana nyimbo nzuuriii mnooo
Ney mpole leo
Ney wa mitego😅
Shusho uko salama kweli nawasws na uimbaji wako na sidhani kama ukosawa kabisaaaa yaani siku ya mwisho tutabakia midomo wazi mh
Kwa heri baba etu jamani
😭😭😭😭,MUNGU NA ATOE FARAJA YA PEKEE KWA FAMILIA
Inaegua machizi mungu ailaze roho Yake mahala pema
Hatareee bahati
😢😢
nikweli Kasi yamungu haina makosa bb pumzika kwa amani
Muuu jaman majonzi Kwa wa Tanzania wote
Poleni jamani mbele yeti nyuma yake
Bahati bukuku katisha ajabu
R.i.p dady Lowasa 😭😭🤲🙏🙏🙏🙏
Pumzika kwa amani
Pumzika kwa amani baba
Rip
Bukuku na shusho
Umetangulia Baba nenda kwa aman sis tupo nyuma yako
Nimefurahi kumuona rais wakitaa
Dada Bahati amewafunika
hawashindani😂
@@lusticendokole9385acha wivu mpuuzi wewe katoa mawazo yake kampongeza bahati bukuku ulitaka upongwzwe wewe na bichwa lako hilo
Nitamkumbuk sana kipnd kile cha ukawa
Amesaidia wengi eamesoma
Rest in peace 😂 lowassa vita umevipiga mwendo umaumaliza
Ujuh maana ya emoj
Pumzika kwaamani loasa
Flora mbasha unaimba aise
Bahati bukuku❤❤❤
Bukuku❤❤
Wimbo mzur
Bahati sauti Yako imenifanya mwili wangu usisimke
Bukuku❤️