#TBC1
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ก.ย. 2020
- Fuatilia habari na matukio mbalimbali kwa saa 24 kupitia tovuti yetu, www.tbc.go.tz au App yetu ya “TBC Live” inayopatikana
Play Store (Android): bit.ly/3kYnnsr
App Store (iOS): apple.co/31Yxjta
Tufuatilie pia kwenye kurasa zetu za mitandao ya kijamii;
Twitter: / tbconlinetz
Instagram: / tbc_online
Facebook: / tbconetanzania
Asante saaana Dr. Samson Kibona. Umeeleza kwa kina faida za maboga na mbegu zake PUMPKIN, KUANZIA LEOOOOOO NAANZA KUZILA KWA FUJO KABISAAAAA NIMEPOTEZA HAKI YANGU KUTOKULA VITU HIVI VYA ASILI JAPO NYUMBANI TULIKULA TU KIPINDI CHA NJAA NJAA WAKATI UKAME ULIZIDI. PAMOJA SANA JAMANI.
Asanteee mungu akubarikiii
Nice n mzur Sana. Mbegu hizii kwa nguvu za kiumme yaan lnakupa ham Zaid
Dr . Samson kibona mungu akutunze,tuendelee kupata maarifa kuhusu Tiba chakula.
Shukranii
Ubarikiwe sana,kwa somo zuri la kuhusu mbegu za maboga
Elimu nzuri sana barikiwa
Shukran sana mungu akubalik
Elimu nzuri sana , Mungu akubariki
Asante mtangazaji kwa elimu
Asante sana mkuu
Asante Dr kibona nimepanda
Asante doctor
Asante mwalimu
Thanks father
Asante. Papa
Asante sana
Asante kwa elimu naomba mamba ya simu kwa mawasiliano zaidi
Asante kwa elimu
SubhanaAllah
Asante
Asante kwa kueleza vema
Asante Doctor
Kwa maelezo haya halisi . Pia tueleze vipi kuusu matumizi tafadhali...
Ahsante Sana dr
Mwanamke anaweza tumia
Barikiwa
ALLAH AKBAR
Asante Dr Kibona
Nivizuri kutoa elimu za kuzithamini afya zetu. Somo zuri
Asantee sana
Mjamzito anaruhusiwa kula
Yaan Tena we ndo ule nusu kikombe
Asant sana
Nakubali mkuu
🙏🙏
🙏🙏🙏🙏🙏
Asant sana
Asante ndazipata wapi baba
jambo docta mimi nipo drc kwaiyo km mtu alishahnza sikia mahumivu ya tezi dume akianza kula izo mbegu zamaboga atapona ?
Muwezeshaji,umenena vizuri
Mwezeshaji,umenena vizuri
Dr naweza kusagia kwenye lishe nikawa nakologa uji yani kusagia kwa pamoja
Thanks
Safi docter
Asante kwa somo nzuri
Dr. Nilikula hizo mbegu za boga nikaharisha sana je! Nini sababu?
Nimekupata endelea kutoa somo
Nitumiye namba zako
Zamzam,rehema
zina pqtika sokoni madukani
asante kak
Sijaelewa. Somo
shukulani
Utanitumia ile mbengu ya ndani wala ile yote na ganda?
Nimekuhelewa Doctor
Kwa mtu mwwnye sukari mbegu za maboga zinasaidia nini
Egusi hiyo
Doctor Sam thanks alot
Hey zinapatikana wapi ningum kupata
Ziko nyingi kwenye masoko uliza tu watakuonyesha
Mbengu izo zinatumikaje
Hujaeleza unatumiaje
Nilichomuelewa ni kuzitumia kwa kuzitafuna kama karanga Yaani unazikaanga,au unazisaga na kutumia UNGA wake, kwenye Uji,ktk mboga nk
Pia unazitumiaje
Unabii wako umebaki kwenye mbegu za maboga Leo walokole ndio wanasema unabii ulio fika 666 iliyofika kuhusu chanjo we unasemaje mbona kimyaaaa kibona?
Kibona hogera sana kwaeimu nzuri.
Zinapatikana wapi
Kaulizie sokoni utazipata huwa zinapatikana
Unga wa mbegu za maboga je unapatikana? Na unga wa tangawizi ninaitaji
ASANTE KWA SOMO ZURI NDUGU SAMSON KIBONA
Inauzwa mbegu za maboga 5000 kwa kilo.
Nakubali mkuu
🙏
Asante doctor
Asante
🙏🙏