Mgisa Mtebe - NYAMAZISHA NAFSI YAKO.
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 14 ต.ค. 2024
- Mgisa Wilson Mtebe ni Mwalimu wa Neno la Mungu ; ni
mtotowa pili wa Dr. Wilson Mtebe na Mama Usuli Mtebe
wa Morogoro mjini. Kitaaluma, Mgisa ana shahada ya
kwanza katika Uchumi na Mipango (BSc. In Planing)
Chuo kikuu cha mjini Morogoro. Pia Mgisa ni mwalimu mwenye Diploma kutoka
Chuo cha Ualimu cha Kanisa la kilutheri cha jijini Mbeya.
Mgisa amekuwa akifundisha neno la Mungu kwa ufasaha, katika
Makanisa , Makongamono Vyuo nashule mbalimbali, ndani na nje ya
Tanzania . Huduma hii ya Ualimu aliyopewa na Mungu imekuwa
Baraka nyingi kwa watu wengi.
Mobile : +255 753 497 655
Website: www.mgisamtebe....
facebook : / mgisa-mtebe
Instagram : www.instagram.com
Watumishi hawa ndio hazina ya Bwana.Glory to God Almighty.
Hii clip ina ujumbe mzito sana, nairudia kil mda nikiongozwa hapa.
Ubarikiwe sana kwa mafundisho mwalimu ni mazuri mno .
God bless you mwalimu kwa somo zuri🌺💞👏
Mungu akubariki,tunamshukuru na Kumtukuza kwa ajiri yako,umefanyika baraka kwa wengi. Tunaomba mafundisho zaidi,maana nimeangalia mpaka inanibidi nirudie kila mafundisho yako,kila siku lazima niingie kuangalia kama umeweka fundisho jingine,tuna kiu na mafundisho ya kweli. Asifiwe Yesu
Amina mtumishi
Mungu akuinuie na kukuongezea maisha marefu zaidi mwalimu
Ubarikiwe.
Mungu akutie nguvu umenibariki na kunipa matumaini tena
Hakika nimelipenda sana neno lako BABA ubalikiwe
Akika nabarikiwa na mafundisho yako mungu akubariki
Asant mwl kwa neno
Hongeraa Mwl Mungu akubariki xn
Mungu azidi kukutumia zaid ili tupone kiroho.
Nabarikiwa sana na mafundisho Mungu akuzidishie baraka tele
Amen
Ubarikiwe sana mtumishi kwa mafundisho mazuri
nashukuru
nabalikiwa sana mwalimu mgisa mtebe
Mwalimu wetu Mungu akubariki sana kwakua wewe chombo kupitia injili. Amina
Very powerful
Salute Mwalimu
you are one of the preacher ,preach until the Lord Jesus Christ came back!😀😁😂
preacher may Almighty God bless you and your family and your ministry, continue to preach the truth Amen and Amen😁
Amen..ubarikiwe sana kwa neno zuri la baraka
Ni Mungu mwenyewe anisaidie niweze kusamehe..
ubarikiwe mwalimu kwa somo nzur sanaa
Barikiwa mwalimu wetu.
nimebarikiwa sana baba na mafundisho yako
Kaka Dodoma unakuja lini?
Yani nashangaa mbona nilichelewanga kufuatilia channel hii..duh...
Mwalim kanisa lipo wapi?
Nataka kuja kusari milele umli wangu bado mdogo mwalim nataka niikwepe dunia
@@lovenamice6036 ubarikiwe kwa huo moyo wako, Mungu akufanikishe
🙏🏽🙏🏽🙏🏽
🙏🙏🙏🙏🙏Amena
Thanks you