”NAIBU WAZIRI BASHE NA SIMU ZA USIKU ZA HAYATI RAIS MAGUFULI/ KIKAO NA DKT. MPANGO"

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 30 มี.ค. 2021
  • Tukiwa bado kwenye maombolezo, CloudsMedia imefanya mazungumzo maalum na Naibu Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ambaye amezungumzia msiba wa Hayati Rais Dkt John Magufuli na hali nzima ya kufanya kazi chini ya uongozi wa Hayati Rais Magufuli.

ความคิดเห็น • 269

  • @meena-ol6fo
    @meena-ol6fo 3 ปีที่แล้ว +58

    Bashe umemuelezea vizuri sana shujaa wetu

  • @ramadhaniamiri8003
    @ramadhaniamiri8003 3 ปีที่แล้ว +17

    Kama unaamini bashe anauchamungu ndani yake gonga like

  • @kaundasutikaunda7769
    @kaundasutikaunda7769 3 ปีที่แล้ว +28

    Interview nzuri sana. Big up sana. RIP THE SON OF AFRIKA JPM

  • @hadijaalpha7547
    @hadijaalpha7547 3 ปีที่แล้ว +19

    Nimeipenda interview hii!Bashe siku zote ni mkweli umemtendea haki my President ❤ apumzike kwa amani 🤲🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @simonthomas7969
    @simonthomas7969 3 ปีที่แล้ว +25

    Hussein Bashe uko vizuri kazi ya mbunge ni kuishauri serikali na siyo kwenda kulala bungeni keep it up

  • @pendael02
    @pendael02 3 ปีที่แล้ว +45

    Mh Rais alikuwa halali kwa ajili ya Watanzania na Tanzania.

  • @margarethorgenes4874
    @margarethorgenes4874 3 ปีที่แล้ว +20

    Uko vizuri Sana kijana Bashe kwa usikilizaji na kujibu maswali kwa ufasaha. Kuna wengine wamekuwa na majibu ya AJABU katika kujieleza kuhusu marehemu Dr. Magufuli, wanaweka challenge kana kwamba baada ya kifo chake kumenoga, Tanzania mpya na hata kubeza kazi zake.

  • @annapeter4994
    @annapeter4994 3 ปีที่แล้ว +36

    Bashe alikuwa akisema ukweli... Mungu akubariki maana hukuficha ukweli kama wachumia tumbo wengine walikuwa waoga..

  • @godfreykacholi4886
    @godfreykacholi4886 3 ปีที่แล้ว +23

    The journalist has done a good job. Congratulations

  • @innoboy6768
    @innoboy6768 3 ปีที่แล้ว +21

    Msema kweli ni mpenzi
    Wa mungu ,
    Tunataka Viongozi wa kweli
    Kama Bashe ...
    MUNGU Akubaliki Sana

  • @sameermilo4907
    @sameermilo4907 3 ปีที่แล้ว +60

    Tunakukubali brother Hussein bashe , One day Huenda ukawa Rais wetu 🇹🇿 kwa miaka ya mbele, Mungu akipenda .
    Rest in Peace Hayaty Magufuli 🇹🇿💔

    • @maximilliankassimmakarabek7401
      @maximilliankassimmakarabek7401 3 ปีที่แล้ว +4

      Nakukubali sana bashe huna makuu na unachapa kazi kwelikwel

    • @jabarmalid5393
      @jabarmalid5393 3 ปีที่แล้ว

      Ilo ulilosema apo juu ata likitokea sitakuja Shangaa. Safi sanaa

  • @mwana4599
    @mwana4599 3 ปีที่แล้ว +12

    Excellent. Keep it up Hussein.

  • @mbantu5704
    @mbantu5704 3 ปีที่แล้ว +14

    Haven't changed since school..... MashaAllah. Stay on the truth my brother. May Allah protect you and the legacy of JPM

  • @mmwaupete6265
    @mmwaupete6265 3 ปีที่แล้ว +23

    Well done Mheshimiwa Bashe, hii ni baadhi ya interview chache ambazo zina contents za maana kwa Taifa. Mungu akubariki sana Bashe na hasa kwa kuwa mkweli na muwazi katika mambo unayoyafahamu na hasa yanayohusu Taifa. RIP Rais Dr John Pombe Magufuli, mzalendo wa kweli.

    • @omadal1
      @omadal1 3 ปีที่แล้ว

      From Kenya but so impressed by this Leader haki Tanzanians you are lucky to be a Tanzania.

    • @nicholasakeya6790
      @nicholasakeya6790 ปีที่แล้ว

      Namkubali tena saana watching from kenya😊

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 3 ปีที่แล้ว +19

    Mungu ibariki Tanzania ,Buriani JPM

  • @iddykivu1336
    @iddykivu1336 3 ปีที่แล้ว +11

    Moja kati ya Intervew Bora kabisa kwakweli Nimeifuraia sana sana Bashe Namuelewa sana

  • @yussuphsultan1400
    @yussuphsultan1400 3 ปีที่แล้ว +17

    Bashe uwezo uko juu, endelea kuwa mtulivu na mvumilivu utafika mbali!!Allah sw akuweke!

  • @salmaluhombero8466
    @salmaluhombero8466 3 ปีที่แล้ว +37

    Kumbe baba alikuwa apumziki kwa ajili yetu hakuwa na vacation ndio maana kaondoka mapema hakuwa na muda wa kupumzika dah kapumzike baba umetuumiza Baba yetu jamani

    • @ruqayaruqaya4283
      @ruqayaruqaya4283 3 ปีที่แล้ว +2

      @anna John tunaumia.sote ndg 😭😭😭😭cnta msahau apumzike.kwa Amani.

    • @ruqayaruqaya4283
      @ruqayaruqaya4283 3 ปีที่แล้ว

      Sn 😭😭😭😭

  • @tanzaniacarschannel6975
    @tanzaniacarschannel6975 3 ปีที่แล้ว +32

    Interview moja nzuri yenye contents mujarabu kabisa,,, hizi smart talks twazitaka nyingi hapa TANZANIA kwa ajili ya ku-shape mindset za watanzania wengi

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du 3 ปีที่แล้ว +20

    Bashe una kipaji. Taifa linakuhitaji. Allah akuhifadhi. By the way, jogoo wako kabambe!

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 3 ปีที่แล้ว +24

    Journalist umejitahidi kufanya mahojiano mazuri....Hongera

    • @bustani-inn7328
      @bustani-inn7328 3 ปีที่แล้ว

      Kabisa, maswali yake yameenda shule...amefanya maandalizi ya kutosha

    • @salustinavicter4649
      @salustinavicter4649 3 ปีที่แล้ว

      Bashe pambana. Mbele yako kuna mazuri zaidi yanakuja mbele yako unachapa kazi kijana

    • @issakawaya8315
      @issakawaya8315 3 ปีที่แล้ว

      Hongera ww ni uso wa taifa

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona2679 3 ปีที่แล้ว +14

    Upo makini na kazi yako nenda mbele my broo jipe moyo upo Okey 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @rahmaramadhan9773
    @rahmaramadhan9773 3 ปีที่แล้ว +10

    Mashallah upo vizuri Sana speech imenivutia najiona sipo mnyonge hayati magufuli kafunza wengi ninaimani tutafika alipo pataka in shaa Allah mungu awasimamie kila sektar zote mungu ailaze pema Rais wetu mpendwa Rais wetu magufuli

  • @lulanjamd3886
    @lulanjamd3886 3 ปีที่แล้ว +16

    Husein Bashe nakutabilia siku moja utakuwa Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania maana una hekima sana

    • @saidseleman6004
      @saidseleman6004 3 ปีที่แล้ว +2

      Yuko vizuri tumuombee

    • @annayakobo7686
      @annayakobo7686 3 ปีที่แล้ว +1

      Unaweza kuwa raisi kaka Mungu akuongoze

    • @musason1680
      @musason1680 2 ปีที่แล้ว +1

      Hata mm nitafrah sana

  • @minmaxc485
    @minmaxc485 3 ปีที่แล้ว +34

    huyu mwandishi anaelewa kuuliza na kumpa mtu muda wa kujieleza na maswali adimu siyo yaleeee tuliyozoea 😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍😍

    • @georgewilliam6001
      @georgewilliam6001 3 ปีที่แล้ว +1

      Sometime inategemea na mtu unaye muhoji...Bashe anajua kuzungumza na ni mzungumzaji

  • @bercahot152
    @bercahot152 3 ปีที่แล้ว +6

    Nice interview!! Interview zangu ambazo nimeziangalia Mwanz mpaka mwisho

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 3 ปีที่แล้ว +14

    kwa mazungumzo ya mbunge bashe mama samia suluhu ana kazi kubwa. kuna viongozi ndani ya ccm hawapendi ukweli mfano nape ridhuwani kikwete janauari makamba na sisi wanchi tuna taka nchi yetu iyende mbele isiwe nchi ya ccm wezi

  • @kautharjadid4287
    @kautharjadid4287 3 ปีที่แล้ว +17

    HUSSEN Nakupenda ww ni mkweli halafu upovizuri ww ni kichwa mchapa kazi

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 3 ปีที่แล้ว +12

    Bashe pole na msiba pole sana Mungu akupe nguvu pole

  • @nyumbanituthegendaheka7222
    @nyumbanituthegendaheka7222 3 ปีที่แล้ว +11

    Bashe unae Akili na uelewa mzuri jùu ya kazi za Ankoo Magufuli.✊🏿

    • @faisalikassim3837
      @faisalikassim3837 3 ปีที่แล้ว

      Asante kumbe umempta vzr jamaa yuk vzr so masihara

    • @bimaphd8301
      @bimaphd8301 3 ปีที่แล้ว

      Huyu Dada anakipaji kikubwa sana. Kwa hii interview anapaswa apandishwe juu 360

  • @ignassalmon0608
    @ignassalmon0608 3 ปีที่แล้ว +10

    Moja kati ya mahojiano mazuri mwaka huu wa 2021. Hongera sana Mheshimiwa naibu waziri wa kilimo ndg. Hussein Bashe kwa namna ambavyo umejibu maswali yote kwa ufasaha. Tunaona uongozo imara na wenye mwelekeo chanya ndani yako. Kama kijana ambaye kila wakati ulipopata nafasi ya kusimama bungeni ulikuwa unatoa hoja zenye mashiko zenye kuleta changamoto kwa serikali na kuifanya kwenda mbele zaidi katika utendaji wake. Maana ya kiongozi ni kuweza kusimamia kile unachokiamini. Ndani yako kuna hazina kubwa sana na tunauona uzalendo wa kweli kwa nchi yako. Tunakutakia utumishi mwema na Bwana Mungu azidi kukutunza na ulinzi wa kimbingu uwe juu yako kwa ajili ya mama Tanzania

  • @yahyamkone5601
    @yahyamkone5601 3 ปีที่แล้ว +14

    Kweli bashe imeongelea vizuri Sana kuhusu malehemu magufuli

  • @mohamedalirachidi380
    @mohamedalirachidi380 3 ปีที่แล้ว +11

    bashe safi sana wewe ni mbunge unaye jua kujieleza na unapenda nchi yako hangera kaka nina imani na wewe ipo siku utakuwa kiongozi mkubwa inshaa allah

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona2679 3 ปีที่แล้ว +9

    Broo nakukubali sana upo Okey jipe moyo chapa kazii

  • @samsonkasebwa7013
    @samsonkasebwa7013 3 ปีที่แล้ว +4

    Bonge la moja ya interview, hongera mtangazaji,hongera sana mh Bashe nakuona mbali sana kama itakua sio figisu za Ccm, be blessed 🙏

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma1459 3 ปีที่แล้ว +7

    Allah akubari uje uwe Rais brother nakukubali

  • @arthurmwabulambo1201
    @arthurmwabulambo1201 3 ปีที่แล้ว +6

    Well done Bashe. Keep it up iko siku itajibu.

  • @renathamartin6272
    @renathamartin6272 3 ปีที่แล้ว +6

    Bashe ana utulivu mkubwa sana wa akili, mstaarabu, muelewa, mkweli, mzalendo. Bashe for presidency 2035. Like if you wish the same

  • @saidabdalla8996
    @saidabdalla8996 3 ปีที่แล้ว +14

    Jamaani tuwe wakeli ivi yule lissu ataweza kweli kuongea na watu hawa kweli maaana huyu jaamaa anaonekana anawexa kuwa ata rais wa nchi

  • @DottRoBroc
    @DottRoBroc 3 ปีที่แล้ว +8

    I am an italian man. I studied Magufuli, a politician I appreciated for his complaint against the effectiveness of tampons. He was a great and courageous president, an honest man who had reduced his salary (from $ 15,000 to $ 4,000) defended the interests of the people. I also appreciated his position on covid and against dangerous vaccines. In my opinion they killed him even though he officially died of heart problems. I agree about Magulification of Africa! So, absolute estimate for Magufuli who for me will remin alive for ever for his honesty

    • @samedward4211
      @samedward4211 2 ปีที่แล้ว +1

      If you don't mind, come and visit our beautiful Country.. will be your Host

    • @ivankakooza1765
      @ivankakooza1765 2 ปีที่แล้ว

      Exactly bro

  • @vallerinejesse2299
    @vallerinejesse2299 3 ปีที่แล้ว +5

    Bashe umesema ukweli lv you.na hata wewe ktk masuala ya kazi usicheke na wazembe! Na ninakumbuka miezi kama miwili kwenye mkutano wake kuna kitu ulimweleza akasema hadharani amefurahia mawazo yako.ww kijana Bashe chapa kz nakutabiria makubwa mbele na kamwe usivutwe na wale 2014 kaa nao mbali kama ukoma !! Ili watanzania tuje tumuone MAGUFULI ndani yako.💪💪

  • @dinahawouragai2701
    @dinahawouragai2701 3 ปีที่แล้ว +18

    Wow!A promising young leader.So impressed.I wish we had the same in Kenya.

    • @FIFO28
      @FIFO28 3 ปีที่แล้ว

      Back your people came to Tanzania 🇹🇿 to learn leadership skills. They don't come anymore, so you can't get this products as used to be back then

    • @titusmachumu8487
      @titusmachumu8487 2 ปีที่แล้ว +1

      NAOMBA AND I HAVE TO BE AT HOME AND I

    • @mazukasimon8618
      @mazukasimon8618 2 ปีที่แล้ว

      ​@@FIFO28
      m.v.b

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 3 ปีที่แล้ว +11

    Bashi mdogo wangu nakukubali Sana raisi wangu wa baadae

  • @elibarikimollel7149
    @elibarikimollel7149 3 ปีที่แล้ว +5

    Uko sawa Bw.Bashe,ni mawazo yako jinsi mlivyofanya naye kazi. Wakati ukuta,mengi yatasemwa, mabaya na mazuri yake, binadamu lazima apakwe mafuta upande,na upande matope,lkn yote ktk yote nilipenda sana misimamo yako ya ukweli, Mungu akuinue Bashe ushike nafasi kubwa zaidi kwa manufaa ya Taifa zima. R I P JPM

  • @sylvesterchristopher8308
    @sylvesterchristopher8308 3 ปีที่แล้ว +8

    Waandishi wa habari wengine wajifunze kwa huyu dada. Kweli ameitendea haki taaluma yake. Well done dada

  • @FIFO28
    @FIFO28 3 ปีที่แล้ว +16

    Bashe uko vizuri sana... nakukubali. Natumai one day utashika nchi yetu ili uboreshe maisha ya mtanzania hasa upande wa kilimo...

  • @7191cany
    @7191cany 3 ปีที่แล้ว +10

    Nimekuelewa Bashe

  • @mishengoma2495
    @mishengoma2495 3 ปีที่แล้ว +8

    Bashe hongera sana. Ni Waziri makini, anayejiamini na msema ukweli
    Nachukia watu vigeugeu kama akina Kigwangala

  • @franciscomasungulwa3575
    @franciscomasungulwa3575 3 ปีที่แล้ว +12

    Safi sana Bashe kwa uwazi wako!

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 ปีที่แล้ว +1

    This is one of the best interviews of the 21st century in Tanzania. Mh. Bashe you just said it all, I wish all Africans will watch this interview. I shed a lot of tears of joy to hear Bashe articulating this! RIP Magufuli and Bashe thanks a lot for humanizing him at a level a lot of people could not articulate it. Kudos to Dr. Samia for carrying forward the vision of our nation. Aluta Continua!

  • @mtesigwalulale2942
    @mtesigwalulale2942 3 ปีที่แล้ว +8

    Uko vizuri bashe

  • @mussamwamoto8231
    @mussamwamoto8231 3 ปีที่แล้ว +6

    HONGERA SANA MH BASHE,NIA AINA YA KIONGOZI NIVIGUMU KUMUELEWA KTK USO WAKE ILA NI KWA VITENDO ANAVYOFITAFSRI KTK HISIA ZAKE ZA DHATI A KIMAAMUZI NA NDOMA JMP ALIKUELEWA BAADADA YA KUKUTAFAKARI NA KUKUELEWA.JPM HE WAS HERO,REFORMER,PAN AFRICANIST,NATIONALIST AND AFRICAN IDIOLOGIST-HUSEIN BASHE

  • @gabrielomondi4630
    @gabrielomondi4630 3 ปีที่แล้ว +6

    Interview nzuri...hongera

  • @peninasnyamhanga4860
    @peninasnyamhanga4860 3 ปีที่แล้ว +7

    Safi sana mh Bashe umeongea ukweli wako kuliko wanafiki wanaongea ubaya wa mpendwa wetu

  • @abdulatifmoxamed8047
    @abdulatifmoxamed8047 3 ปีที่แล้ว +11

    Upo vizuri dada lakini lugha yetu kiswahili tuitunze unasikilizwa au unasikika mbali maneno kama hakunaga au nakwambiaga tujitahidi tuyaache iwe hakuna au nakwambia ushauri tu

  • @masungamashauri4070
    @masungamashauri4070 3 ปีที่แล้ว +17

    Nakuaminia sana Mr Bashe kwa sisi tunaopenda Tanzania business tunajali sana mchango kwa Taifa Tanzania kama kijana .Na nimategemeo na mapenzi yangu kuwa unatakiwa kuwa Waziri kamili na hatimaye kiongozi mkuu zaidi ,it's my overview honestly

  • @happynesskibona2679
    @happynesskibona2679 3 ปีที่แล้ว +19

    Pole kwa kufiwa na Mama yako jamani lkn jipe moyo fanya kazi songa mbele chapa kaziii

  • @ellyswai1801
    @ellyswai1801 3 ปีที่แล้ว +10

    Basheeee

  • @nestor384
    @nestor384 3 ปีที่แล้ว +5

    Well said brother Bashe, Unaeleza halisi ambacho hata mwananchi wa kawaida atakueleza. Siyo ya kina Nape kuanza kujenga vijihoja vyenye dhihaka ndani yake Nape anasema mama kaja kutufuta macho like if before tulikuwa tunalia!.

  • @abdulrahimmohamed7066
    @abdulrahimmohamed7066 3 ปีที่แล้ว +3

    Bashe my somali brother, uko vizuri kaka . Jamaa anaongea point tu

  • @stewartstephen5067
    @stewartstephen5067 3 ปีที่แล้ว +10

    To my opinion, i think this gentleman deserves a docket of ministry of industry and trade as a full minister should the country wish to see real reforms in that area. Huyu tulietangaziwa bado namuona ni mwanasiasa zaidi kuliko uelewa na utendaji.

  • @gracemima5234
    @gracemima5234 3 ปีที่แล้ว +6

    Ulikuwa sawa kabisa. Serikali ya nne ilikuwa haifanyi vizuri kabisa. Kuna wengine walikuwa wananong’ona. Na ndiyo maana Rais Hayati Magufuli aliweza kukuchaguwa.

  • @malulufrank7871
    @malulufrank7871 3 ปีที่แล้ว +22

    Clouds huyu dada akae pale 360 mtanikumbuka

  • @dalmasmzalendo727
    @dalmasmzalendo727 3 ปีที่แล้ว +17

    Smart talks in the right time big up bashe

  • @francisrukeisa6299
    @francisrukeisa6299 3 ปีที่แล้ว +2

    Ahsante sana Bashe kwa kuongea ukweli na uwazi.Napenda sana hoja zako zenye proper mind-set bila unafiki,Mungu akulinde na baadae utakuja kuwa kiongozi mkubwa.

  • @c-4839
    @c-4839 3 ปีที่แล้ว +3

    Eloquent, intelligent and humble.
    Keep on training brother, acquiring more wisdom not abandoning empathy on the common citizen. And perhaps someday you will be the shining beacon for Tanzania and Africa as well.

  • @nyandwiziyada6451
    @nyandwiziyada6451 3 ปีที่แล้ว +9

    Tutakukumbuka daima Jemedari wetu

  • @br.samwelmparange4986
    @br.samwelmparange4986 2 ปีที่แล้ว +2

    Big up Mh. Hussein Bashe. Kati ya watu waliomjua Mwenda zake R.I.P Dr. Magufuli . Mungu akuzidishie Miaka mingi ya kuishi ili utuhudumie kwa kadri ya vipaji ulivyojaliwa na Mwenyezi Mungu kuwahudumia binadamu wenzako hususa Waafrika kwa ujumla.

  • @ibrahimm9301
    @ibrahimm9301 3 ปีที่แล้ว +7

    Tanzanian are so patriotic. I wish Kenyans wangefuata mfano wa Tanzania. This guy is so smart and well spoken. Not to forget good looking too.

  • @peterkalii5939
    @peterkalii5939 3 ปีที่แล้ว +3

    Big up Bashe I like your presentation in Parliament

  • @hendrycomonsiwenga1128
    @hendrycomonsiwenga1128 2 ปีที่แล้ว +3

    Interview hii imenifanya nitoe tena machozi nikimkumbula Baba aliye jitoa Sadaka kwa ajili ya Nchi yake ya Tz. Pumzika Kwa Amani Hayati Dk. JPM uliye kuwa Rais wetu. Daima utaishi Moyoni mwangu. 😭😭😭😭😭😭🙏🙏🙏🙏

  • @husseinabdiaziz9674
    @husseinabdiaziz9674 3 ปีที่แล้ว +4

    Dada mtalamu kweli shukran kwako dada na basha

  • @marysule5303
    @marysule5303 3 ปีที่แล้ว +8

    Mi nakukubali sana bashe wewe ni mzalendo wa kweli

  • @wilfredgeorge3181
    @wilfredgeorge3181 3 ปีที่แล้ว +4

    Clouds huyu mtangazaji ni 🔥🔥🔥🔥

  • @ApostleGodwin
    @ApostleGodwin ปีที่แล้ว

    Thanks Mheshimiwa Naibu Waziri Wa Kilimo nimejifunza mengi kupitia mahojiano haya nikiwa chuo cha Paradigms institute of health science Barikiwa Sanaa na Mwenyezi Mungu.

  • @thomaskaungo11
    @thomaskaungo11 3 ปีที่แล้ว +4

    Mungu akubariki Sana bashe

  • @fatumafatuma1459
    @fatumafatuma1459 3 ปีที่แล้ว +3

    Mashalla Mh Bashe unajibuu vizuri ninakukubali🥰🥰🤲Allah akbar

  • @frans_dede
    @frans_dede 3 ปีที่แล้ว +4

    Tumempotez J.P.M kipenz Cha weng, sasa tumempat Samia ambaye namuona waz anaend kutupotez yaan hawa wazung ni kama wamemnunua. R.I.P Mr. JPM😭

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu1427 3 ปีที่แล้ว +10

    Unaheshima na hekma lazima kuongea unachojua

  • @hawaabdallah4782
    @hawaabdallah4782 3 ปีที่แล้ว +13

    Hussein Bashe mim nakuelewa sana nakuomba kwa mungu uje upata wasifu mkubwa kabisa wanchi

  • @yuathmtenzi2114
    @yuathmtenzi2114 3 ปีที่แล้ว +5

    Good

  • @bahatihaerter5651
    @bahatihaerter5651 3 ปีที่แล้ว +4

    Nimejisikia machozi yananitoka Mungu amlaze mahala pema peponi

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu1427 3 ปีที่แล้ว +8

    Ata mi naona utakuja kua rais

  • @faisalikassim3837
    @faisalikassim3837 3 ปีที่แล้ว +1

    Masha Allah kaka yetu bashe you are good at all

  • @sera.8bomani502
    @sera.8bomani502 3 ปีที่แล้ว +3

    Smart guy!

  • @saidipara4134
    @saidipara4134 2 ปีที่แล้ว +1

    Nimeshika hapo tu ulipo sema mjomba alikuwa akfanya jambo alikuwa na dhamira njema.,🙏🙏👍👍

  • @keijoodehustla3259
    @keijoodehustla3259 3 ปีที่แล้ว +1

    wee jamaa mtoto wa kishua.... lkn uko vizuri sana kichwani big up Bro I really appreciate you

  • @philipmbunda3610
    @philipmbunda3610 3 ปีที่แล้ว +2

    Hongera sana Mh. Bashe

  • @frenkreuben5650
    @frenkreuben5650 3 ปีที่แล้ว +1

    Waziri Bashe umeelezea vizuri sana. Mwenyezi Mungu akubariki sana

  • @vunu_dunia3190
    @vunu_dunia3190 3 ปีที่แล้ว +2

    Good interview

  • @shafiqmohd1491
    @shafiqmohd1491 3 ปีที่แล้ว +5

    Yni ww bashe upo vzri sna bali mapungufu niyakibnadmu lkn hilo nila kila mtu upo makini na nimuelewa sna nakupongeza sna sna unajuwa ubinadamu mkubwa

  • @emanuelmlowe6854
    @emanuelmlowe6854 3 ปีที่แล้ว +2

    Asante bashe maana huo ndio ukweli alivyokuwa jpm

  • @hassanmasoud2113
    @hassanmasoud2113 3 ปีที่แล้ว +1

    🍒🙏bashe we ni mzalendo kama alvokua mh magufuli,allah akulinde katka utendaj wako

  • @shukranisilungwe1986
    @shukranisilungwe1986 5 หลายเดือนก่อน

    Hata mimi bashe nimekupenda kwa ukweli ulionao juu ya rais Magufuli. Amina sana mungu akubariki

  • @zuhurakassu1427
    @zuhurakassu1427 3 ปีที่แล้ว +4

    Poleee

  • @humphreyvidonyi253
    @humphreyvidonyi253 3 ปีที่แล้ว +5

    Bashe nimekuelewa kumbe walikua wanakuchukia kwa ukweli wako

  • @irakozejclaude7869
    @irakozejclaude7869 3 ปีที่แล้ว +4

    Ila uraisi unaonekana Kama ni kitu chakuenjoy ila sio.yani saa nane usiku unapigapiga masimu duh Mungu awepe nguvu na afya njema enyi viongozi wema

  • @mustafageorge2982
    @mustafageorge2982 2 ปีที่แล้ว

    Interview nzuri sana, hongereni sana

  • @shalomizrael667
    @shalomizrael667 3 ปีที่แล้ว +4

    2025 Chukuwa fomu Mh BASHE, utaona kitakachotokea

  • @misschagga8042
    @misschagga8042 3 ปีที่แล้ว +2

    Namkubali sana bashe