WAZIRI MKUU: HUYO ASIKAMATWE “MAMA YANGU ANAUZA VITUMBUA, VIONGOZI HAWANA HURUMA" MFANYABIASHARA
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 16 พ.ค. 2023
- Karibu kujiunga na group letu la What's app kwa Habari, Matukio, Burudani
BONYEZA LINK 👉👉 chat.whatsapp.com/DfwqANhvBcB...
Subscribe hapa : bit.ly/2UBtyaG
Tufuate Kwenye Twitter : bit.ly/2UFkrWH
Like Ukurasa wetu wa Facebook : bit.ly/2XbYro5
Mashallah wazir wetu ni rais wetu ajae majariwa wetu ni rais wetu ajae inshallah 🙏
Safi sana jamaa yuko vizuri, Waziri Mkuu ww ni Jembe
Majaliwa safi sana Tena safi sana . Unastahili cheo kikubwa zaidi ya hicho Mungu tuwezeshee huyu mtu Sina mengi.
Rest In Peace Magufuli
Majaliwa Mungu akusimamie vema uwe Rais wa nchi hii
Mweshimiwa waziri mkuu tunaomba sana tena sana hawo vishoka wote kama wote wameleta taswira chafu sana hapa nchini mweshimiwa waziri mkuu
Safii apa wazir kaongea point
🥺🥺🙏mungu ubarikiwe Tanzania na watu wake inshaallah 🇹🇿
Mashaalah mwenyezimungu akulinde majaliwa
Dah poleni sana watanzania
Huyu mwamba majaliwa huwa namuelewa sana huyu awe raisi wetu mtarajiwa
Kweli kabisa, jamani Mhshmw Majaliwa Mungu azidi kukutunza..
Mimi sio mfanyabiashara ila nimeumia Sana nilipofuatilia mkutano wa leo. Ndugu zetu wanaumia Sana.😂😂😂
R. I. P JPM.
Sheikh umenifurahisha sana. Viongozi wengi wa awamu hii hawana nia ya dhati kuwasaidia watanzania. Wengi wapigadili
Shamba la Bibi
Kiukweli ni hovyo sana..hii nchi inafanywa kama shamba la bibi kila mtu kitengo, upuuzi mtupu.
Hakuna taasisi inayokamua watu na wizi Kama TRA
TRA woote fukuza wawekwe wanajeshi Wana nidhamu ya kazi nchi itasonga
Kweli kabisa askari wetu ni wezi kabisa.
😢😢😢daaaah watu washaumizwa mno
Angekuwepo jpm Watu wa aina akuwachekea alikua akitoa maamuzi magumu papo hapo watu wanatumbuliwa wananch kutosikilizwa na viongozi nikuongeza tatzo kwa jamii kuichukia serikari
kazi ,mbele
Funguka babu 🫡🫡🤣
Nakuombea kwa mungu chukua fom ya urais nitakuwa wakkwanza kupiga kura
Safi maalim ila haki ifate mkondo Hapa duniani tunapita tu tutaacha kila kitu
Saf..sheikh wang..ila namuona maguful kwa wazir sema huna nguvu tu
Safiiiiiii funguka baba
Kweli huyu ni waziri Mkuu,TRA hawana Huruma kabisa safi kabisa kiongozi sema kweli najua waisilamu hamuogopi kusema kweli safi kabisa
Amina kubwaaaa
Saf sana tunataka watu kama hawa
Kweli Baba
Ongeni ukweli
T,R,A sukuma ndani ndano
Faini 70 no risiti ni kikundi cha wahuni
Daah...!!
Majiwa chukua nchi
RIP JPM
Boda boda wanavyokamatwa inauma sana Serikali yetu tunaamini italifanyia kazi
Akutane nae
Kwakweli polisi wamezidi MUNGU anawaona
Upewe ulzi
Mwiguru jiuzuru
Jamani tuangalie hoja tunazotoa nikweli waziri mkuu nimzuri Sana lakini nivibaya kutoa hoja yakusema anafaa kuwa rais wakati rais yupo huko nikumtengeze chuki kwamtawala wake kwamana hiyo haikwepeki kisaikolojia
Hii awamu ni kero Sana,Rip JPM
polisi wezi mno
Kwishaaaaaàaaa
Zungumzia kama unaukwelii SASA unaokopa nini
Roma ashasema mti huu mpishi ataona kuni fundi ataona mbao mganga ataona dawa
TRA wana tu umiza san
Mtu unaish km digidig kwenye nchi yako
Rais samia nchi imemshida analazimisha tuu
Kabisa umeona eee MUNGU anamuona
Una uhuru wa kusema upendavyo. Uko huru!
Haijamshinda. Huu wizi umeanza kitambo yeye anafanya taratibu ngazi kwa ngazi hii nnchi. Ina utaratibu wake bwana mwanao hawezi kukufanyia jambo baya ukafukuza. Mazima zio kitu rahisi
Mwanamke hawezi hata sku moja kuongoza nchi allah ameweka mwanaume kuwa kiongozi mbona magufuli aliweka sawa nchi hta mauwaji yalipungua lkn saiv kesi mauji kudhulumu.