Aiseeh!😥 Ubinadamu ni kazi sana. Pole sana Harmonize na salute kwako! Umepitia mengi mno ambayo yanafanya ya sisi wengine tuone kumbe ni kama hatujapitia magumu hata! Keep going Harmonize🙏🙏🙏
@@bodosam7798 ngoma gani sasa mko nazo. Mimi nikae chini nisikie sijui sipangwingwi. Una wazimu. Kina sauti sol, nameless wako sawa,Otile brown etc but ukweli ni kuwa nyimbo mob ni bogus tu hazibambi.
Harmonize... Kile Mungu amekupangia, kitakuwa chako daima. I swear you're so humble, you're patient and sincere. Your journey is teaching a lot!! I'm glad you're now independent and outstanding. May you shine forever. More love from 254❣️❣️
Unajua nu vizuri ukiajiriwa ukifanya kazi, ufanye bidii utoke ufungue kampuni yako uanze kazi nawe na uajiri watu.! Huyu kijana aliamua kuanza kivyake! Am proud of you harmonize. I will get your contacts and bring you to europe. Be patient😘😍u r on my list and we gonna talk more soon.
Na huu ndio mfano mzuri wa kikulacho kinguoni mwako.. Ila bro wewe ni JESHI let no one tell you otherwise.. am proud ulifanya uamuzi mzuri kutoka Kwa hao wanadamu kupe..
Ni kawaida kwa mfanyikazi kula 40% na boss kula 60% tuulizeni sisi tunaoishi na commission ndiyo tunajua,kwa mfano umerediwa music bure,audio bure,mavazi bure,ticket ya ndege bure sasa wataka ukifanya show upewe ngapi??????
@@SalimSalim-bv3wb sikia stor yake vizuri alikubalian n yote kukatwa asilimia sema alitoka wcb maneno yalizid hao machawa wa diamond walikua wanamwambia diamond kua makin n harmonize atakupita kimziki bifu ndo lilianza hapo source ni kupitwa kimziki
There are no negatives in life, only challenges to overcome that will make you stronger. CONCERNED BUT NOT CONSUMED! Beautiful souls are shaped by ugly experiences. Keep going #jeshi #harmonize
Listening to what this guy is saying, hurts most.. Watching in tears😭😭😭. Never knew what you went through bro but I know God is working something beautiful in your life.. Watching from Kenya. Hugs
Mambo yama Team yamesababisha watu tukuchukie bila kujuwa tatizo kwahilo tunaomba msama kwa kukuchukia Matatizo ni sehem ya maisha kwa kila binaadam Now naamini wewe ni JESHI Mda wote huu kuyabeba kifuwani ukweli wa mambo yote hayo.Daaah Respect Jeshi🙌🏾🇧🇮🇹🇿
Roho imeniuma kuskia hii news kwa kweli! Harmonize wewe ni jeshi and we love your music baba. Endelea kupiga kazi baraka zinatoka kwa Mungu tu. Rizki yako iliandikwa tokea ungali tumboni kwa mama Kondeboy. Kweli wewe ni jeshiii🐘🐘💪💙💙 stay strong Konde🥰🙏
Harmonize has shown alot of wisdom since the whole scandle between him and Diamond started. He's remained silent no matter how many times Diamond pocks his nose. Diamond has had disagreements with so many artists in Tanzania including my favorite Ali kiba, meaning he's the problem. He believes that no one should be ahead of him in music career. He wants them to stagnant where there are as he remains at the top..
That's Capitalism. The best always succeed and if you can't keep up get out of the game. I understand your concern is all about his way of dealing with competition but that's business 😅.
Du Pole sana #Harmonize , sikujua ukweli Mimi shabiki wa mziki tu kawaida but niliwaza hivo kuwa umeleta jeuri sababu unajiba umemdharau Diamond kumbe ndo Vita ilikuwa Kali hivo mpaka nimeumia mazee but I'm happy because you still growing day after day Mungu hajakutupa so keep going man as you Sang #Never_give_up.
The fact that you are still calling Diamond Bro shows the respect you have for yourself and to others. And this confirms how disciplined you are as a man. Mungu yupo na malipo ni hapa hapa duniani. Ipo siku.
@@bolingomwana5963 thanks so much. Kwakweli naishi nje but hata alipokuja Minnesota siku enda, ila baada ya kutoa ya moyoni roho imeniuma. Ni kijana mchakarikaji aliyekuwa anapewa lawama for no reason😢😢
@@ahmedsdk6736 😂😂😂😂 situation aliyonayo mond n mbaya Zaid kuliko huyu aloongea ili aonewe huruma. Sikuzote mtoto wa kambo hanaga shukran n wachache wanaojua kumshukuru, ukimlea mtoto haijalishi umemleaje either kwa kipigo au kumdekeza hii haimaanish akikuwa akulipe hy😂😂😂😂 acha tuone
I'm a Zambian bt your story is so emotional😢...Surely, I think there's jxt something to why I've never loved Diamond Platnumz n I guess this is the damn thing...So sad man. Edit: Simba is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 He deserves flowers while he's still able to smell em...because he has mentored so many talents who are now stars🏆👑
This interview makes sense of what artustes go through with bad management. Diamond is jealous of anyone who is making it in life. Its a record label, your artists should blow up more than you if at all you have their interests at heart. I'm happy that JESHI held it down and is vindicated from all the paid gossipers on radio, tv and social media who tarnish his name on a daily basis. WCB should focus on their artists, stop following former artusts if at all you're confident about yourselves. #KondeGangGang @Harmonize milele.
Hiyo story ni noma manze, Daaaaah! Harmonize you've poured out so much that I felt tears in my eyes. If it wasn't for the late Magufuli we don't know how this could have ended. Big up Jeshi much love Kenya. Endelea kuhustle pekee yako tembo.
Now we know why Harmonize was soo much affected and cried out loud when President John passed away we might have judged him in a bad way As show off BT until today, he was soo close to him and he remembers how he helped him,Sky is just the lower limit Jeshi keep ya head up!
I’m so sorry for the difficult time you've sailed through. I don’t know what to say, except that Keep the faith. Things are going to start looking up soon bro.....Don’t let anyone dull your sparkle, you're unique
@@jennytugara9470 kindly replay the video clip to comprehend what the dude went through before the intervention of the late Dr Magufuli, Tanzania President
Eti mwambie atume e-mail niconfirm kuonana na yeye,dah nyie maisha aya...pole Harmo...hapa hamna ata haja yakusema nisubir niskilize upande wa pili maana namjua ni muongo,atakuja na maneno kibao yakujikosha ili afute hii aibu lakini atagonga mwamba..we love you and we encourage you to go even far.MUNGU ni wetu sote.
kwa hii interview pekeyake, kaisambaratisha WCB yote na maubaya yao...God is on your side bro!! umeshachukua NUsu ya followers wote wa hao wanafiki..big up konde boy
Me team kiba ila pole sana mze umezidi kuinspire watu wengi kwa uthubutu wako na upambanaji wako keep it on mze mwisho nadhani watu ndo wataelewa kwanini Alikiba alikataa kumpa kiganja cha mkono mdomo thank you sir✌️❤️🇹🇿🇨🇦
I used to judge kondeboy now I understand….as the saying goes never judge a book by it’s cover ….now we know who the devil 👿 is.May God continue opening your path and protect you now that you’ve given us all the issues u faced.
Sijawahi kuona ubaya wa Harmonize na hajawahi kumuongelelea vibaya Diamond ila WCB kila siku wanamuattack..freedom is here with us team konde gang..much love from Kenya
Heshima kwako Jeshi. Wimbo wako wa 'wapo' ni fundisho tosha. Akasema professor J kuwa dunia jalala ,litazame kwa jicho la tatu. Much love from Homa Bay county, KENYA.
Harmonize speaks to many souls, Souls that go through similar or more complex conditions away from music. God does not give your blessing to anyone. May somebody be inspired today to walk away from toxic people. Be it family, your boss or client.
May almighty God continue protecting you against all odds 🙏🙏🙏Kondegang....I love your honest and wisdom (mungu akatete nao wanao teta nawe,akapigane na wanao pigana nawe🙏🙏🙌)
Kaka napenda kukuakikishia Kama haya yote unayosema yanaukweli ndani yake na umeweza kuyavumilia kwa kipindi kirefu kesho yako Ni kubwa Sana naachilia baraka zote mungu awe nawe katika mziki wako, Amina
Wewe ni JESHI......got my respect 🤝..umeyatoa yote ya moyoni daaah tz tuache uteam na hii ni mbaya.....dai will never recover from this....pambana konde boy...DONT GIVE UP💪💪
Duh! He's very humble. Very talented. Keep praying and staying true to yourself and you will be where God intended you to be. Next time you come to the US I will make sure I attend your show and will bring many people with me. God bless you and be strong.
huyu jamaa ukiangalia Kwa upande mwengine anahaki asilimia 💯 ya kutoka WCB amefanya uamuzi mgumu lakini amefanya kitu chenye manufaa kwake Sanaa hapo nimempa big up Sanaa
Welcome back jeshi. Tuko na wewe. Unajitahid lakini tunajua wcb wanajitahidi sana kukuporomosha. Wala usiwaangalie endelea na kazi zako. Unajitahidi sana na tunaona. Na wao hawapendi maendeleo yako. Kila siku wao wanaku attack. Tumewachoka
Respect Brother, Mimi ni miongoni mwa wapenzi wa Diamond na WCB lkn sasa nawachukia. Naomba nawe usiwafanyie vibaya wasanii wadogo kama inavyoonekana sasahivi
God bless you bro, real smart of you to fight on and talk at the right moment. Total respect for protecting RayVanny at the crucial moment when he needed your back. Thanks for not hitting back when they posted your nude pictures. A big show of maturity and fighting through without bringing anyone down. Very brilliant you distanced yourself from Diamond's Ex'es. A smart move to spill the beans now. Karma is real. Always trust your hustle. Thumbs mkuu wa Jeshi Kuu💪💪
harmonize Anapedwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪balaa andi vinjinjini. Anajulikana God protect you harmonize kenya we love you so much 🙏❤️ don't cry 😭💔💔pole kababa inauma
Kama unampenda konde boy gonga like
Nipoa
Konde geng for everybody
Nimependa milliard Ayo ametupa full story sio kama source nyingine zinatoa habari ambayo hajakamilika , hongera sana team nzima ya Millard Ayo
Ndmn huwa nkisia habar naingia kwa millard ayo
Kuna baadhi ya maneno ameyaficha lakini.😁
@@emmanuelzao ᴷᴬᴹᴬ???
Mbona ata milad katoa clip nusunusu au hujazionana acha kukurupuka fatilia atayeye anazo zanusunusu
At first I didn't feel the pain but after the reshuffling time of the termination contract goosebumps started to form😥😥😥this man has a great ❤️💜
Binadamu hawana wema, watakuchekea usoni, ukiwapa kisogo wanakusema.NEVER GIVE UP bro keep on moving.
th-cam.com/video/EwsRIeCGuew/w-d-xo.html
Huyu jamaa kweli ni jeshi..✊🏾
Ni jeshii kweli kabisa mungu hatamsadiya
Namuelewa tangu akiwa wcb na msanii wangu niliyekuwa namuelewa ni huyu kuliko wt alivyohama Nani nikahama
Aiseeh!😥
Ubinadamu ni kazi sana. Pole sana Harmonize na salute kwako! Umepitia mengi mno ambayo yanafanya ya sisi wengine tuone kumbe ni kama hatujapitia magumu hata! Keep going Harmonize🙏🙏🙏
Kondeboy is the definition of a true gentleman.all this time just being silent with all this pressure.i salute.love you song bro
Hj. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Kwanzia leo Harmonize akitoa nyimbo nitakuwa naiwatch TH-cam kishenzi. Love from 254 🇰🇪🇰🇪
Same here
Same
same to me
Ungefanya hivyo ngoma za Kenya ingekuwa vyema zaidi
@@bodosam7798 ngoma gani sasa mko nazo. Mimi nikae chini nisikie sijui sipangwingwi. Una wazimu. Kina sauti sol, nameless wako sawa,Otile brown etc but ukweli ni kuwa nyimbo mob ni bogus tu hazibambi.
My respect for harmonize has increased to another level,,,amevumilia
Kondegang Never give Up
Leo ndio nimemuelewa Harmonize...Inauma lakin kuanzia leo naona umepona 💯💯💯
Mimi I started loving Harmonize the moment alitoka WCB....I loooooove him!!!🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Harmonize... Kile Mungu amekupangia, kitakuwa chako daima. I swear you're so humble, you're patient and sincere. Your journey is teaching a lot!! I'm glad you're now independent and outstanding. May you shine forever. More love from 254❣️❣️
Never seen a human being so humble and strong.... U are an icon to humanity
Ui0. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Bro mungu azidi kukupambania
I agree
I agree
Unajua nu vizuri ukiajiriwa ukifanya kazi, ufanye bidii utoke ufungue kampuni yako uanze kazi nawe na uajiri watu.! Huyu kijana aliamua kuanza kivyake! Am proud of you harmonize. I will get your contacts and bring you to europe. Be patient😘😍u r on my list and we gonna talk more soon.
What Erick Omondi is fighting for is right ...we need to listen our own music
Na huu ndio mfano mzuri wa kikulacho kinguoni mwako.. Ila bro wewe ni JESHI let no one tell you otherwise.. am proud ulifanya uamuzi mzuri kutoka Kwa hao wanadamu kupe..
Ni kawaida kwa mfanyikazi kula 40% na boss kula 60% tuulizeni sisi tunaoishi na commission ndiyo tunajua,kwa mfano umerediwa music bure,audio bure,mavazi bure,ticket ya ndege bure sasa wataka ukifanya show upewe ngapi??????
@@SalimSalim-bv3wb sikia stor yake vizuri alikubalian n yote kukatwa asilimia sema alitoka wcb maneno yalizid hao machawa wa diamond walikua wanamwambia diamond kua makin n harmonize atakupita kimziki bifu ndo lilianza hapo source ni kupitwa kimziki
I used to really hate him but now getting his side of the story makes me give him all the respect...🙌🏻♥
H7. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
This is a lesson that we should always hear both sides of the story.
Jeshiii yupo sawa asilimia 10000
True, I love this guy
how can u hate someone who doesn't know u fala wewe
There are no negatives in life, only challenges to overcome that will make you stronger. CONCERNED BUT NOT CONSUMED!
Beautiful souls are shaped by ugly experiences.
Keep going #jeshi #harmonize
This guy he is talking from deep down of his heart haki, and there is alot of sincerity in his words. Keeping moving bro, and you shall conquer.
Daaaaah kweli Jeshi alishayapitia. Simba kweli Roho yake mawe🥺🥺🥺🥺 Jeshi KONDE GANG FOR EVERYBODY
Listening to what this guy is saying, hurts most.. Watching in tears😭😭😭. Never knew what you went through bro but I know God is working something beautiful in your life.. Watching from Kenya. Hugs
Watu kama hao wengi tu cyo kwenye mziki tu
@@husnamadai7052 0
@@shabansaleem4277 ?
Mambo yama Team yamesababisha watu tukuchukie bila kujuwa tatizo kwahilo tunaomba msama kwa kukuchukia
Matatizo ni sehem ya maisha kwa kila binaadam Now naamini wewe ni JESHI Mda wote huu kuyabeba kifuwani ukweli wa mambo yote hayo.Daaah Respect Jeshi🙌🏾🇧🇮🇹🇿
Ww unaamini vip kama aliyoyaongea ni ya kweli au uongo?
@@karimmkejina980 Tupe wewe ukweli ambao utaongea tuuamini mkuu
Kabisa broh am a Kenyn but inauma sanaa yaani kushuhudia taifa stars ikichezwa anakatwa😭
@@karimmkejina980 kama ni uongo mwambie domo wako ajitokeze hadharani apinge na alete ukweli halisi
Hu. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Woooo i never saw this side of a coin. Harmoniz is a strong guy much respect. U gat my surpot from today onwards
i will never SUpport that FAKE simba Guy !!!
Ata usowako hamuna uwongo kabisa huwogopeye mtu apo harmonize forever ❤️
Kaongee wew
😁 😁 😂😂
Harmonize 💪💪
Pole sana konde boy kumbe umepitiaa mengi sana. Domo kumbe sio mtu mzuri na team yake yote ya wcb. Kuanzia Leo I'm your number one fan inshallah.
Duuuuuh gata mambo so poa
@@tanntiger1206 Noma😂✌️🇹🇿
Daa nimeangalia hii interview nimejifunza mengi kwakweli ,mungu akusimamie Sana harmonize upo kwenye vita Kali Sana ⛪⛪
Roho imeniuma kuskia hii news kwa kweli! Harmonize wewe ni jeshi and we love your music baba. Endelea kupiga kazi baraka zinatoka kwa Mungu tu. Rizki yako iliandikwa tokea ungali tumboni kwa mama Kondeboy. Kweli wewe ni jeshiii🐘🐘💪💙💙 stay strong Konde🥰🙏
Much love from 254 🇰🇪🇰🇪
@@vanevannesa7154 🙏💙
Piga moyo konde aise endelea kupambana aise
Uyoo shoga tu ana lolote
@@alexaiddan979 Mashoga huwa wanajuwana ndio maana unamuona shoga kwa sababu na wewe ni shoga! Harmonize/Tembo for life hutaki kufaaa😎
He should be tanzanian number one musician,,,he is humble and very straight
Ml. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Take heart Konde Boy, God will do you more than you can imagine
Harmonize has shown alot of wisdom since the whole scandle between him and Diamond started. He's remained silent no matter how many times Diamond pocks his nose. Diamond has had disagreements with so many artists in Tanzania including my favorite Ali kiba, meaning he's the problem. He believes that no one should be ahead of him in music career. He wants them to stagnant where there are as he remains at the top..
That's Capitalism. The best always succeed and if you can't keep up get out of the game. I understand your concern is all about his way of dealing with competition but that's business 😅.
@@tallybance That is called EXTORTION, not business!
Y. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
@@tallybance Capitalism is letting the market choose bana. Hio ya diamond ni cowardice yaani kua mwoga
it happens all over africa
Du Pole sana #Harmonize , sikujua ukweli Mimi shabiki wa mziki tu kawaida but niliwaza hivo kuwa umeleta jeuri sababu unajiba umemdharau Diamond kumbe ndo Vita ilikuwa Kali hivo mpaka nimeumia mazee but I'm happy because you still growing day after day Mungu hajakutupa so keep going man as you Sang #Never_give_up.
We sidhani hata kama unaelewa music
The fact that you are still calling Diamond Bro shows the respect you have for yourself and to others. And this confirms how disciplined you are as a man. Mungu yupo na malipo ni hapa hapa duniani. Ipo siku.
Big up Harmonize for opening up. Nlikuwa sio fan wako lakini I salute you. Will start supporting your music
Welcome to the big gang
Me too, I give up on Wasafi😏😏😏😏
Big up Tembo
Hormonize mungu atazidi kujufungulia kila lenye kheir nawenye kukutakia mabaya mungu atawashinda
@@bolingomwana5963 thanks so much. Kwakweli naishi nje but hata alipokuja Minnesota siku enda, ila baada ya kutoa ya moyoni roho imeniuma. Ni kijana mchakarikaji aliyekuwa anapewa lawama for no reason😢😢
Official nimehamia Konde Boy ❤️ Much love to this Guy
Hama kabisa wacha si tubaki wasafi
Welcome
@@Officialrockzompa Nimesha pewa Kadi Mzee
@@kennedykipruto1267 ww bak kwenye dhurma
@@ahmedsdk6736 😂😂😂😂 situation aliyonayo mond n mbaya Zaid kuliko huyu aloongea ili aonewe huruma. Sikuzote mtoto wa kambo hanaga shukran n wachache wanaojua kumshukuru, ukimlea mtoto haijalishi umemleaje either kwa kipigo au kumdekeza hii haimaanish akikuwa akulipe hy😂😂😂😂 acha tuone
I'm a Zambian bt your story is so emotional😢...Surely, I think there's jxt something to why I've never loved Diamond Platnumz n I guess this is the damn thing...So sad man.
Edit: Simba is 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 He deserves flowers while he's still able to smell em...because he has mentored so many talents who are now stars🏆👑
Not only Harmonize is wise, but he is kind of Kanye of Africa. He is a genius and my only prayer is he succeeds forever.
Bj. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
😭😭😭😭🥺🥺 such a humble human being.. mad respect to you harmo, you deserve more and by the grace of God you will get more❤️❤️ -your Idaho fan👊🏽
He really is very humble person, I cried when he talked about his mom. Amepitia mengi mno God bless him
This interview makes sense of what artustes go through with bad management. Diamond is jealous of anyone who is making it in life. Its a record label, your artists should blow up more than you if at all you have their interests at heart.
I'm happy that JESHI held it down and is vindicated from all the paid gossipers on radio, tv and social media who tarnish his name on a daily basis. WCB should focus on their artists, stop following former artusts if at all you're confident about yourselves. #KondeGangGang @Harmonize milele.
th-cam.com/video/EwsRIeCGuew/w-d-xo.html
Umetisha kaka
Kama umelisikia lengo la Harmonize like chapuuuuu mwaisa
Hiyo story ni noma manze, Daaaaah! Harmonize you've poured out so much that I felt tears in my eyes. If it wasn't for the late Magufuli we don't know how this could have ended. Big up Jeshi much love Kenya. Endelea kuhustle pekee yako tembo.
Bh. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
WCB washamba sana story yako inasikitisha sana mie kuanzia leo sitaki kuwasikia ata nyimbo zao nyau hao.
😁😁😁😁
I have shed tears knowing that there someone somewhere going through the same manipulation.Trust the process.Much love from Kenya🇰🇪
Why this guy is not a number one in tz? Such an eloquent, humble، confident....and has a meaningful music
mitanzaniya hayapunguwi kuwa mijinga ni mijinga ya mwinsho katika duniya
@@hamzayusuf2999 kuwa na akili ww
Ffffgggggggggggfffffffggffggfggffgtggggdpdp
L
Mikunye
This is what great personalities go through...for greatness
Leo unaweza lala kwa amani kabisa maana umeutua mzigo kifuani ogopa sana mtu aliyekaa kimya siku akiamua kuharisha utajua hujui
Kweli kabisa
Kabisaaa
Kweli kabisa namuonea Hadi Imani ..Ila mungu yupo na niwetu zote 🙌
😁😁😁😁😁😁😁
𝑑𝑖𝑎𝑚𝑜𝑛𝑑 𝑛𝑑𝑖𝑜 𝑎𝑛𝑎𝑠𝑎𝑓𝑖𝑟𝑖𝑎 𝑛𝑦𝑜𝑡𝑎 𝑦𝑎 ℎ𝑎𝑟𝑚𝑜𝑛𝑖𝑧𝑒
Yaani uwezi amini nimewaweka wa Zambia shule kuwatafisiriya anachosema homanaiz mpaka wamechoma nguwo ya Diamondi big up hamonaiz
Safi sana kaz mzuri
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣am dying
@@lylyanefletcher6958 good
🤣🤣
Tena nampenda saaaaaana harmonize jamani kaka wawatu wote tz ni mzuri sana mkarimu pia
Now we know why Harmonize was soo much affected and cried out loud when President John passed away we might have judged him in a bad way As show off BT until today, he was soo close to him and he remembers how he helped him,Sky is just the lower limit Jeshi keep ya head up!
B. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Kabisa
Kweli kupata nguvu za kunyamaza na mambo haya yote,Harmonize wewe uko na baraka kupindukia!!🇰🇪💯💯💯💯💯
Uyoo shoga tuh
Kabisa jams ana moyo we cuma
Sahih kabs mm na wew atuwezi😀
Am lacking words ...but Munguu yupo🙏🏻💯....keep winning Harmonize...Hope one day diamond will change his ways🙏🏻🙏🏻🙏🏻🙏🏻 #254
I’m so sorry for the difficult time you've sailed through. I don’t know what to say, except that Keep the faith. Things are going to start looking up soon bro.....Don’t let anyone dull your sparkle, you're unique
6u. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Sorry but what happened to him? You said difficult time when and where?
@@jennytugara9470 kindly replay the video clip to comprehend what the dude went through before the intervention of the late Dr Magufuli, Tanzania President
@@makakawillys4133 got it thanks
@@jennytugara9470 You welcome dear
Eti mwambie atume e-mail niconfirm kuonana na yeye,dah nyie maisha aya...pole Harmo...hapa hamna ata haja yakusema nisubir niskilize upande wa pili maana namjua ni muongo,atakuja na maneno kibao yakujikosha ili afute hii aibu lakini atagonga mwamba..we love you and we encourage you to go even far.MUNGU ni wetu sote.
Saana!!
80% of Kenyans are Harmonize fans. Konde boy to the world.
80% wagani wewe??😂😂,hebu jisemee.Harmonize does not support Kenyan music hata!!!, Heri Alikiba Na Rayvanny
@@zephermwango2258 it's true he's not lying
@@itgamingke harmo does not even care about Kenyan fans,same with Diamond,hawana haja na kufanya collabo huku,
Harmo anakuja Kenya December-atafanya shows na kutoa EP na wasanii wa Kenya,itaitwa GENGE-FLAVOUR
Kumbe diamond anaroho mbaya hivyo pambana kk
kwa hii interview pekeyake, kaisambaratisha WCB yote na maubaya yao...God is on your side bro!! umeshachukua NUsu ya followers wote wa hao wanafiki..big up konde boy
Never has tears rolled down my cheeks in a long time....be blessed Harmonize...
8u. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
me too it so sad
th-cam.com/video/EwsRIeCGuew/w-d-xo.html
Really
@@ednabwatuti4856uqakika
Sichokaji kusikiliza hii interview ya Harmonize. Mungu aendelee kukusimamia Jeshi. Kujiamini kuzurii!
Me team kiba ila pole sana mze umezidi kuinspire watu wengi kwa uthubutu wako na upambanaji wako keep it on mze mwisho nadhani watu ndo wataelewa kwanini Alikiba alikataa kumpa kiganja cha mkono mdomo thank you sir✌️❤️🇹🇿🇨🇦
Kabisaaa
kwamba alitaka kumchota nyota 😀
@@mamaamourtamba7801 haswaaa🤣
@@mamaamourtamba7801 😹😹😹😹😹
After watching this.... Let's all go and stream the new album let's support him I swear 🙂 if you want it like it
Let's go go go
I'm there already 🤪
I used to judge kondeboy now I understand….as the saying goes never judge a book by it’s cover ….now we know who the devil 👿 is.May God continue opening your path and protect you now that you’ve given us all the issues u faced.
He has gone through alot!! It's good he is speaking up hope he gets through this and continues with his music...Never Give up!!
Hu. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Vp
Jeshi hagive up. Called himself Soldier for a reason
Yes amepitia mengi mno it's good he let all out, God bless him
2. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Diamond is toxic, narcissistic and full of jealousy. Harmonize move on.
Automatically unfollowed diamond
One million ❤️❤️❤️Harmonize is genius hutaki basi
Sijawahi kuona ubaya wa Harmonize na hajawahi kumuongelelea vibaya Diamond ila WCB kila siku wanamuattack..freedom is here with us team konde gang..much love from Kenya
hajawahi !!!! nyimbo kibao sna dis... amedis adi kuhusu mondi kumpotezea baba ake wa kambo.
@@nakimteti7249 alianza domo kumdiss na kusema "amezidi ubonge ila kwa mziki bado sana"
@@nakimteti7249 kweli nafkinafki Sana hili jamaa 😂😂😂anapenda kujitilisha huruma nawatu wameingia kingi, hanaga shukran huyu 😂😂😂
@@nakimteti7249 umetumwa na Diamond wewe
I LOVE YOU SO MUCH MY BROTHER HARMONIZE UKWELI NI MZURI SANA UNAKUWEKA HURU CONGRATULATIONS
Oo. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Gud
Heshima kwako Jeshi. Wimbo wako wa 'wapo' ni fundisho tosha. Akasema professor J kuwa dunia jalala ,litazame kwa jicho la tatu.
Much love from Homa Bay county, KENYA.
Harmonize is great in Kenya more than the whole WCB 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Speak for yourself and your family....In Kenya King Kiba is bigger than all tanzanians
@@vitisha8986 Faith said more than the whole WCB not the whole Tanzanian artistes.
@@vitisha8986 Reread the statement
I never imagined diamond can do this. Pole harmonize may God bless you
Really? That's right up his alley! He's evil to the core!
Qa. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Just like his mom
@@Kasweetie_254 apple-tree
Binadamu bwana
Mm nilimpenda harmoo tangia happ mwanzoo
Much love ❤from here Iraq 🇮🇶
This man is strong nakubali uitwe jeshi...God is the only being that can bless you sio binadamu🇰🇪🇰🇪 tunakusupport 🙏🙏
Fact
Harmonize ni bora umetua mzigo ambao umekaa nao muda mrefu sana
I fell you for real...Only family you can relay on not even relatives .... Big up KONDEBOY... FOREVER IN YOUR PATH....AND SOMEDAY WE WILL MEET
Ngtk
Jhg. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
You are the only Artist from east Africa who has reposted my dance challenge on TikTok ❤️❤️🚀🚀love you konde🇰🇪
Sawa basi😂😂
@@latishiernjeri354 umenifuata mpaka uku😂😂🔥🔥
😭😭😭😭😭It is so sad kiukwer, mwenyez Mungu akuongoze katika mapambano yako,penye nia pana njia, kikubwa dua.
Harmonize speaks to many souls, Souls that go through similar or more complex conditions away from music. God does not give your blessing to anyone. May somebody be inspired today to walk away from toxic people. Be it family, your boss or client.
Op. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Amen, truly said 🙏🏾
May almighty God continue protecting you against all odds 🙏🙏🙏Kondegang....I love your honest and wisdom (mungu akatete nao wanao teta nawe,akapigane na wanao pigana nawe🙏🙏🙌)
Nimeumia this man is very emotional
Jeeshi. Big up bro we never knew the truth but now we know."NEVER GIVE UP" we LOVE ur music
Waaah this is so sad ...big up bro its good u have opened up.
N Nv hj. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Kaka napenda kukuakikishia Kama haya yote unayosema yanaukweli ndani yake na umeweza kuyavumilia kwa kipindi kirefu kesho yako Ni kubwa Sana naachilia baraka zote mungu awe nawe katika mziki wako, Amina
Pole sana harmonize anae kuelewa haraka ni mavoko ambae aliyapitia sisi wengine tutajuwa unadanganya
Hapo hakuna cha kudanganya its means alivumilia vya kutosha now imebidi juu nkama walikua wanamforce
Hapo hakuna cha kudanganya its means alivumilia vya kutosha now imebidi juu nkama walikua wanamforce
Huyu snichi wa mavoko
nina asilimia nyingi kweli karibia 100 hajadanganya mpk ametaja viongozi wakubwa wa nchi humo ujue rais, waziri huwezi danganya kwa kiasi hicho
He is not lying hakuna uongo hapa mtu hawezi sema uongo na hii expression yote the guy is telling the truth
Until the day the lion would learn to write its story, the hunter will always be glorified. Salute to Konde Boy.
Exactly!!!
Umenikumbusha chinua chebe
Hii ni story yake ni inspiration kwa wengi .Hata wakuonee Kijicho Mungu hampi baraka yako mwingine.Ata wakuwekee vikwazo
This interview made me love harmonize🥰
Xow🙄
Much ❤️ from Kinshasa DRC 🇨🇩🇨🇩 to this dud#Harmo#. Trop fièr de toi, car c'est très profond, ce que tu viens de nous relater. Sois fort bro✊.
Nyc bro... keep on moving ,ur always de bext we lov ue!
Harmonize you're my best artist forever I'm happy for you being open
Wewe ni JESHI......got my respect 🤝..umeyatoa yote ya moyoni daaah tz tuache uteam na hii ni mbaya.....dai will never recover from this....pambana konde boy...DONT GIVE UP💪💪
The love I have for u aaaaw especially matatizo...it lifts me...mob love from kenya
A good lesson here from harmonize ni kwamba let us work hard to be independently big up bro keep it up 💪
True ..my dear
Kama unamkubali #HARMONIZE gona like🙏
God made you pass thru fire so you could realize your dreams much faster-you now have konde lable earlier and you have blessed us
Harmonize story is what all poor and upcoming musicians go through under corrupt and jealous managements but no one speaks for them
We love you Tembo sio huyo #Domo
Duh! He's very humble. Very talented. Keep praying and staying true to yourself and you will be where God intended you to be. Next time you come to the US I will make sure I attend your show and will bring many people with me. God bless you and be strong.
huyu jamaa ukiangalia Kwa upande mwengine anahaki asilimia 💯 ya kutoka WCB amefanya uamuzi mgumu lakini amefanya kitu chenye manufaa kwake Sanaa hapo nimempa big up Sanaa
ilimlazimu kwa kweli .pole sana konde ...yishi maisha marefu
Welcome back jeshi. Tuko na wewe. Unajitahid lakini tunajua wcb wanajitahidi sana kukuporomosha. Wala usiwaangalie endelea na kazi zako. Unajitahidi sana na tunaona. Na wao hawapendi maendeleo yako. Kila siku wao wanaku attack. Tumewachoka
Respect Brother, Mimi ni miongoni mwa wapenzi wa Diamond na WCB lkn sasa nawachukia.
Naomba nawe usiwafanyie vibaya wasanii wadogo kama inavyoonekana sasahivi
After this interview I've just liked the man.. Bongo si mambo yangu lkni nimempa sabuskripshon... Kumbe Diamond mchawi
God bless you bro, real smart of you to fight on and talk at the right moment. Total respect for protecting RayVanny at the crucial moment when he needed your back. Thanks for not hitting back when they posted your nude pictures. A big show of maturity and fighting through without bringing anyone down. Very brilliant you distanced yourself from Diamond's Ex'es. A smart move to spill the beans now. Karma is real. Always trust your hustle. Thumbs mkuu wa Jeshi Kuu💪💪
What happened dear m from UGANDA wanna know ,
Get your amazing package of mix to my TH-cam account 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥 mix subscribe comment share kindly
Have always loved his music, he is so humble n strong. Here to support kondeboy
harmonize Anapedwa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪balaa andi vinjinjini. Anajulikana God protect you harmonize kenya we love you so much 🙏❤️ don't cry 😭💔💔pole kababa inauma
J8. th-cam.com/video/L0HUlvg01XA/w-d-xo.html
Kweli
Vinjinjini ndio wap😭
Nampenda sana🥰🥰🥰
FACT!!!!!! MPAKA WATOTO