M labda nimpe hongera muimbaji wa hii nashed yaan frankly anatulia kwenye uimbaji wake Pia on other hand jamaa wanajuw sana inshallah m nakutakieni kazi njema
Henyi new star hongereni sana watu wa Wingwi nyie ni watu wa visa sana mwampa mgeni mafunzo yakuishi na watu wa Wingwi, Maana mtu wa Wingwi hakuangushipo.
Kidundo hatujamfukuza, ikiwa unafuatilia vizuri katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya aliweka bayana nia yake ya kuondoka New Star nakwenda kufanya kazi kati kwakujitegemea, hivyo unaweza kufuatilia kazi zake kupitia chanel yake pendwa ya KIDUNDO MEDIA.
M labda nimpe hongera muimbaji wa hii nashed yaan frankly anatulia kwenye uimbaji wake Pia on other hand jamaa wanajuw sana inshallah m nakutakieni kazi njema
Vizuri sana Kobe mungu akzdishe kipaji chako
Well done❤❤
Kobe Shikmooo 😂😂😂😂😂😂😂😂😂 hii afuu wote wamesapot na huyu mkaks mwenye muhogo kaichukuw vzr 😂😂
Nakubali sana kazi ❤❤❤❤❤❤❤❤
Good job
Dahhh hii ndo wingwi nnayoijua mm
Naaam na hii ni wingwi😂😂😂😂
Safii
😅 watakuua ao kwa njaaa ondoka wee huwajui wapemba eee😅😅😅😅
😂😂😂 Kobe kunajichomowa wakaribushe wabongo
Henyi new star hongereni sana watu wa Wingwi nyie ni watu wa visa sana mwampa mgeni mafunzo yakuishi na watu wa Wingwi,
Maana mtu wa Wingwi hakuangushipo.
😂😂😂 heee na utaungoja sana apooo waliiii😂😂
Kobe wee 😂😂
Wingwi moja 2 nawakubali cn
Naipataje hiyo nashidi ya kobe
kweli wimgwi ni hatar mgeni ndio anasubiria chumba mpaka anasinziaaaa
Kobe kma kobe 😂😂
Vp kidundo mmemfukuza
Eeeemaaamaa ichi kiwingwi heee
Jamani vituko vakobe haishi amu
Kidundo kipo unguja
Hatar we mtot
Damu yetu tatoboa
Pamoj ila kobee usimuache
Vp kidundo mmemfukuza
Kidundo hatujamfukuza, ikiwa unafuatilia vizuri katika moja ya mahojiano aliyowahi kufanya aliweka bayana nia yake ya kuondoka New Star nakwenda kufanya kazi kati kwakujitegemea, hivyo unaweza kufuatilia kazi zake kupitia chanel yake pendwa ya KIDUNDO MEDIA.