MREMBO ANAEHISIWA KUTOKA NA HARMONIZE "SISHIKI" AMTAJA ALIEMPA RANGE ROVER
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 27 มี.ค. 2023
- WATCH WASAFI TV📺
AZAM - 411 | DSTV - 296 | ZUKU - 028 | STAR TIMES - 444 & 333 | COCONUT TV - 20 | DODOMA CABLE - 113
LISTEN WASAFI FM 📻
88.9 DAR/ZNZ/PWANI 📻 | 104.1 DODOMA 📻 | 94.5 ARUSHA 📻 | 97.3 MBEYA 📻 | 94.9 MWANZA 📻 | SHINYANGA 106.3 📻 | KIGOMA 101.7 📻
Follow Us On:
INSTAGRAM: / wasafitv || / wasafifm
TWITTER: / wasafitv || / wasafifm
FACEBOOK: / wasafitv
𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2021 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
#wasafi #wasafitv #wasafifm - บันเทิง
This wasafi the only focus on negative to harmonize but they cant post positive about harmonize let me assure them 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪konde boy is number one than any other tanzanian artist
Hahahahahahahah punguza streess brooo hahahhaha number one kuvuta ganja ama
is number one in Kenya bruh
@@vanemmy6043 una ndoto za mchana hahahahahahha number dont lie
@@albertkadyanji9722 nah I didn't mean he's number 1 in Kenya, nimejibu yule mkenya anae dayi eti ni namba 1 tz nzima
Very true but few blind people what get it because they argue according to whom they support they ain't arguing facts
Nampenda Huyu Dada, Hanaga Uswahili hana maneno Mengi. ❤
😂😂😂😂😂itakuwa Kuna mahali mnakwama
Acheni wadada wapambane😂😂😂😂
Sema HARMONIZE wanamkubal hawa wasafi adi kesho...!!!!🥱
Sjaona media ambazo Haina akili kama hii always speak of negativity hamna akili trending Namba Moja single again
Anzisha media yako uongelee hiyo ngoma,usiwapangie watu
Mimi no WCB dami, lakini single again ya harmonize ni hatar buana 🔥🔥
Ww wcb au tikiti maji?? Nje lakijani ndani jekundu
Katika wadada wenye range mjini umemsahau Juma Lokole
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌🙌🙌🙌nitafute unaitaji credit
😅😅
😂😂😂😂😂😂😂
Nafaa nikutumie bando😂😂😂😂
Kweli wamemsahau walai
Huba la mpenzi wangu linanifanya nitakate😂😂😂😂😂nimeipenda😂😂😂
Hahahaha
Zungumzieni SINGLE AGAIN Inavyozidi kupasua anga wanafiki nyinyi mnajifanya kama hamjui kinachoendelea
Hamna kitu bhangi tu
Acha banginwewe
Anga ipi
Anga ipi we mwehu nn😅😅😅😅
@@kalistotv8795 😄😄😄😄😄😄
Alafu kuna magari mazuri hata zaidi ya range. Kila mtu ana aina la gari analopenda bwana siyo lazima rangeeee😮
Kazuriii Nakupenda bure we Dada japo sikujui
Wowow Umependez sana
Eti shogaangu dah wanaume mbona tunaisha😅
Huba la mzinifu mwenzako unataka tu no problem
Dem wakawida sna kiukwel
Kabsa
Kafanana na ESMA daimond
Toa Tigo kaka utapata 1,2&3
Huyuu host tuu anamkubl Sanaa rajab
Hujui unakwama wapi ukileta tamaa unaipata mbona juma lokole a nayo muulize kapata wapi Acha Tamaa dogo
Kiukweli Mimi na uyo damu mi ni pisi ya kwendaaa🎉 yaani wakawaida saaana acheni zenu
Acha wivu salha 🙃
Hayatuhusu acheni kutumalizia bando
Wenye rangeeeee ni wengi tuu
NOMA SANA
Mchagaa aombe number ya uyu dem
“Mm niko verry is going”jamani wasomi mnifafanulie hii!!
Sema huyu jamaa akikomaa anaweza akala
Yaani mtangazaji una mtaja makonde huku roho inakuuma!huna jinsi mana makonde ndo content bora kwa sasa😁
Mbn anashikika tu kila kitu anacheka so kwann mchaga usome sishikiki😀😂
jifunze kutangaza mwanaume mzima una hoji kama shoga unazungumza kama shoga eji kama mwanaume sio unaoji mwanamke kama mwanamke mwenzako
Juma Lokole Na Renger😂😅🤣
Niwakawaida sana
Kwaiyo mchaga og unamsema dd wa boss wako esma
Hee shoga angu Tena au nimeskia vbaya 🤣🤣
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 ameweza ee
Wasafi wanafiki sana hii nchi bhana 😂😂😂
Sasa magari ya kununuliwa hayawezi kututisha sisi wanaume
Lavalava aliacha mziki???
Wakristo huwa wananishangaza sa yeye mtu wa dini lakini kavaa uchi
Hapo alivyovaa ni uchi?ongea jingine tu km unalo
@@winnifridaashery4449 nawe SI mkristo mkaa uchi mwinzie ndio maana unaona kavaa vizur
@@hamisijob5647 mnapenda kuhukumu..
@@hamisijob5647 Ok,ndo nimekuulizeni hapo amekaa uchi?hongera wewe mwislam acha mi niwe mkristo màana naona kashfa za dini zinaanza.Mungu akutangulie ktk funga yako wewe uliye msafi wa moyo🙏🙏
@@winnifridaashery4449 achana nao hao wanafki tu wanajidai wanaijua dini kumbe .....tusije kukufuru MUNGU bure
Yaan gar ni ya bei kubwa kuliko mtaji wa duka
Umemdahau Juma lokole
Puaaaaaaaaa
Juma lokole ana rang
Wakawaidasana
Napenda chuchudede
Mondi mtu atali sana 🚙
MIT MARATARI
Mtangazaji bonge la fala aisee
Wadada wote Wana range mumesahau Kumar da Kumar lokole
Uyu dada anaonekana ni mtu poa sana real life 🖐
Mchaga unamchokonoa
Mbona.hausemi na juma lokole naye ana range???!!!
Amesema wanawake..au juma pia mwanamke
🙄🙄
Machaga Unataka kuolewa acha umbea🥵
🤣🤣🤣 eti nilianzaga na elfu tatu
Single again
🦣🦣🦣🦣🦣♥️
Rrrrrrrrrrrrrrange
🤣🤣🤣atakama n ww me nmekukubali
Kuna mtu kaona Chuchu au ni mm tu
Always this channel speaks negative to harmonize foolish channel
Ukitaka range utaliponza tako😠we wakiume
🤣🤣🤣🤣🤣mwisho we unachanwa 🤣🤣🤣
Ongelea Single again
Angeles kwa kipi kila entavew inalipiwa
Most useless media house I know of,, kuna siku mtawahi sema something good about the guy,, his song is doing great but juu ya wivu u can play it,, just shame,, ngojeeni mkubwa wenu atoe ' gidi gidi,, kenkenke' promote
Sas kama hupend si unsubscribe umeitwa kwan