EXCLUSIVE: SHAFII AFUNGUKA (A - Z) SABABU ZA KUPIGANA NA STEVE MWEUSI

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 7 ก.ค. 2024
  • 𝑪𝒐𝒑𝒚𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕 ©2024 𝑾𝒂𝒔𝒂𝒇𝒊 𝑴𝒆𝒅𝒊𝒂. 𝑨𝒍𝒍 𝒓𝒊𝒈𝒉𝒕𝒔 𝒓𝒆𝒔𝒆𝒓𝒗𝒆𝒅.
    #wasafi #wasafitv #wasafifm
  • บันเทิง

ความคิดเห็น • 198

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n 12 วันที่ผ่านมา +148

    Kama unamkubali Steve gonga like za kutosha

    • @GibsonNtamamilo
      @GibsonNtamamilo 12 วันที่ผ่านมา +6

      Steve na mtu na nusu

    • @AdamAmos-rr6fg
      @AdamAmos-rr6fg 12 วันที่ผ่านมา

      Mtu nanusu nimwanamke​@@GibsonNtamamilo

    • @ramamakelo3780
      @ramamakelo3780 12 วันที่ผ่านมา +5

      Hawamuwez Stive hawa wangese, gasho. Stive kitambo sana kwenye tasnia hii

  • @amaizingvideo8858
    @amaizingvideo8858 12 วันที่ผ่านมา +12

    Shafii msenge tuu mwongo hana confidence ya kujitetea

  • @ngulathfundikira4205
    @ngulathfundikira4205 12 วันที่ผ่านมา +26

    Ushamba tu,msemo msemo kwamba wewe ndio wa kwanza kutunga misemo ? Mijitu mingine chefuuu

    • @Muba3304
      @Muba3304 12 วันที่ผ่านมา +1

      Kwanza sio wake shafii kaiba

    • @user-gb1hn5ml8y
      @user-gb1hn5ml8y 12 วันที่ผ่านมา +1

      😂😂😂

  • @ayub6465
    @ayub6465 12 วันที่ผ่านมา +4

    Ukwwli nikwamba Steve yupo level nyingine tofaut sana na shafiii

  • @MishekiLukali
    @MishekiLukali 12 วันที่ผ่านมา +15

    Weee shizi to shafii

  • @honestangalapa4178
    @honestangalapa4178 12 วันที่ผ่านมา +16

    Utoto mwingi tu, hamna la maana

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 12 วันที่ผ่านมา +6

    Mm huyu Binti Nampendaga sanaaaa aisee

  • @rogersiddy
    @rogersiddy 12 วันที่ผ่านมา +5

    Kifupi Shafii tatizo maana swali la Tambwe ulilo muuliza Shafii swali zuri sana umekaa na msemo mda wote huo miezi 6 mtu anachukua kitu kdg anakifanyia kazi kinampatia kipato kifupi Shafii shida

  • @ALBATWA5-zh4zk
    @ALBATWA5-zh4zk 12 วันที่ผ่านมา +12

    Shafi mavi tu huyu
    Achana na simba kilaka kenge wewe,!

  • @ustadhisimbula8622
    @ustadhisimbula8622 12 วันที่ผ่านมา +9

    Jomba anaonekana kabisa nimuongo wa hatar ww hujui hujui tuu😂

  • @piusdriver7842
    @piusdriver7842 11 วันที่ผ่านมา +2

    Huo msemo ni wangu .shafii kautoa kwangu sema nimekosa platform

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z 12 วันที่ผ่านมา +7

    kiki za kiduanzi😊...afu skilizeni wamama wa kiswahili ndo kunatoka maneno hayo..na so kwamba wanatunga inatokea tu kwenye kuzungumza..mkitumia kwenye content zenu ikienda gafla mnageuka waanzilishi tena😊

  • @KassimMakame-dq6nq
    @KassimMakame-dq6nq 12 วันที่ผ่านมา +6

    😂😂shafii unachuki naunakik t ndouzotk wew acheni kumuonea wivu Steve

  • @MosesDarius-p7f
    @MosesDarius-p7f 12 วันที่ผ่านมา +2

    Shaffi unadangaya bro ❤❤❤❤ sema ukweli

  • @hirizonetz9558
    @hirizonetz9558 12 วันที่ผ่านมา +9

    Mbona me huu msemo nimeusikia Kwa mwakatobe anautumia umalaya tu kuaoga aah hizi kenge Nazo bwana 😂😂 halafu hiki kijamaa nacho bwana kinatafuta umaarufu tu kupitia Steve

    • @romzy_tz7305
      @romzy_tz7305 11 วันที่ผ่านมา

      Kabisa tena kwenye movie ya snake boy😂

  • @Hope_Plus
    @Hope_Plus 12 วันที่ผ่านมา +6

    Sasa wewe shafii unaubunifu gani zaid ya Ku copy 😂 na huna content yako ambayo umefanya umeenda sna zaid ya Ku copy sema mwana umezingua Steve Ili u trend huna jipya Steve ni content creator mzur sna na amekuzid mbali sana acha kumzingua Steve bhana, kwana maelezo yako inaonekana kabisa msemo sio wako kuiba misemo tu kubuni aaah😂

  • @bishopalfreddywilliamu2382
    @bishopalfreddywilliamu2382 12 วันที่ผ่านมา +8

    Hahahaha eti msemo? Wahenga wame toa misemo mingapi mbona hawapigi watu

    • @saidtembele3070
      @saidtembele3070 10 วันที่ผ่านมา

      Wahenga wote washakufa.😂😂

  • @ernestnzoyikorera4629
    @ernestnzoyikorera4629 12 วันที่ผ่านมา +15

    Shafi acha kujichafua mwanangu huo msemo sio wako pia wewe hata ungefanya usingefika popote sema hata ukitaka na nyimbo zake tukuachie Aaaaaah Aaaaaah 😂😂😂

  • @Mariam-fm8vq
    @Mariam-fm8vq 12 วันที่ผ่านมา +5

    Shafii basi tukukipe utuachie huo msemo maana umeendana na sisi aki 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 12 วันที่ผ่านมา +4

    Huna lolote unajiaribia wee huogopi,haya namie nikapambane na suzi bale mbn maneno tunaiga mengi,umekuja juz tu shafii unajiona bichwa kubwa tive ameanza kitambo lkn hakuwa na makuu mpk leo

  • @Gabriel-f7x
    @Gabriel-f7x 15 ชั่วโมงที่ผ่านมา

    Shafii acha ushambaa, broo unazingua hujui lolote tambii kichaniii kuoga aaaa

  • @KurubhoneJonas-hq4dv
    @KurubhoneJonas-hq4dv 7 วันที่ผ่านมา

    Mtangaji uyo dogo umemuuliza swali zuri sana

  • @aboudasilver6541
    @aboudasilver6541 12 วันที่ผ่านมา +12

    Huyo dogo mkorofi sana msemo ndio urushe ngumi mpumbavu Huyo dogo

    • @volkenge
      @volkenge 12 วันที่ผ่านมา

      Sasa matusi ya nini ndugu me mwenyew shabiki wa steve lakin kwenye ukweli ubaki ukweli steve pale ndio alioanza alitafuta kupigwa mwenyew

    • @volkenge
      @volkenge 12 วันที่ผ่านมา

      Au naongopa

    • @SemeniOjoni
      @SemeniOjoni 12 วันที่ผ่านมา +1

      Ngumi zakimama

  • @user-uv7op5yp6n
    @user-uv7op5yp6n 12 วันที่ผ่านมา +3

    Huo ni utoto mnao fanya fanyeni kazi mtufuraishe bhan

  • @AfidhiRajabu-q2f
    @AfidhiRajabu-q2f 9 วันที่ผ่านมา +1

    Why haukuwa wa kwanza kutumia acha kujichetua una vitu vingi wap????

  • @paulhema5713
    @paulhema5713 12 วันที่ผ่านมา +3

    Mna hoji upande mmoja ...achen izo bhn muhojin na Steve ...ila Steve ndo kila kit....dog anaonekana mkorof sana

  • @dumabagame3901
    @dumabagame3901 12 วันที่ผ่านมา +17

    Sasa hajawahi kuwa mshkaji wako unamtaniaje

    • @happynkya9770
      @happynkya9770 10 วันที่ผ่านมา

      Ajabu anajikanyaga kanyaga tu

  • @PaulinaOctavian
    @PaulinaOctavian 10 วันที่ผ่านมา

    Steve sio level yako shafii acha ushamba

  • @RehemaMasunga-ml7kt
    @RehemaMasunga-ml7kt 12 วันที่ผ่านมา +1

    Nyie ni kioo cha jamii yaani mnajiaibisha. Alafu kama ungeweza kumuachia kwa nini hukumuachia ili msijiaibishe

  • @MamlakaAdalbert
    @MamlakaAdalbert 12 วันที่ผ่านมา +3

    Huyo jamaa mkorofi maanaa anachoongea akina matiki

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 7 วันที่ผ่านมา

    Kwani uyo shafii pia msanii na km msanii wanini wakuogelea au wakula sana mimi sijawai kumueelewa uyo jamaa😂😂

  • @user-pi2ih6qr3n
    @user-pi2ih6qr3n 10 วันที่ผ่านมา

    Steve ni mtu clean heart.hawa madogo wamekuja juzi tumewapa attention wameanza kujisahau.Msemo ni kitu cha kurushiana ngumi?
    #learnfromEliudSamuelnaTxDullah,they're cool guys

  • @OmarMwer
    @OmarMwer 7 วันที่ผ่านมา

    Sisi twajuwa Steve aaaah

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 12 วันที่ผ่านมา

    Aliya ameulizaa swali nzuri sanaa

  • @happynkya9770
    @happynkya9770 10 วันที่ผ่านมา

    Shafii anaonekana mshari afu anashikilia vitu vidogo rohon kama wa kike bhna mbona kitu kidg sana,,afu sasa leonrdo kafanyiwa interview akasema msemo kwa mara ya kwanza alisikia kwa stive, ndaro huyo huyo unayesema ulimwambie leo amekwambia acha wizi, kwahyo huoni kama mnaleteana mabifu yasiyokuwa ya maana jamn

  • @AshaRajabu-h7h
    @AshaRajabu-h7h 7 วันที่ผ่านมา

    U a not seriously bro u can change another thing apart from aaaaah , okay wat thing for the fast song Steve nyeuc aaahaaaaaa aaaaah it was some thing special keep up u mind bro u can change some idea

  • @Stevemweusioggy
    @Stevemweusioggy 11 วันที่ผ่านมา +1

    SHAFF KIUKWELI KAFELI TU ATAFUTE MENGINE IRA KWA HUU MSEMO STEVE MWEUSI NDO KAUWEKA MJINI NA SISINTUMEJUA KUPTIA STEVE PIA UMETAMBA KUPTIA STEVE 😂😂😂😂

  • @oscargolden7932
    @oscargolden7932 11 วันที่ผ่านมา

    We dogo unafeli tafuta kazi nyingne ya kufanya...we una jelous sn huwez toboa kwa staili hizo..steve kakuzidi mbali san

  • @aloycesamba998
    @aloycesamba998 12 วันที่ผ่านมา

    Huyo shafii mjinga sana,kwani we ndiyo wa kwanza kuanzisha misimo,pumbafu sana ww

  • @biggiee1
    @biggiee1 12 วันที่ผ่านมา

    Sasa huyu nae sio mzima sasa atakama yeye ndo alimwambia mwenzake akaona unaweza tumika kama msemo na yeye hakutaka kuutumia sasa analalamika nini.

  • @LuciaMsabila
    @LuciaMsabila 12 วันที่ผ่านมา

    Shafii muongo jmn mwizi sana huyo

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 10 วันที่ผ่านมา +1

    Matako yako wa mushamba Mimi Niko Zambia niko ndugu na Steve

  • @Cutterose
    @Cutterose 11 วันที่ผ่านมา

    Shafi Anazengua kwasababu huo msemo alimtania Steve ila yeye hakumuambia official kuwa ni msemo wake wa kazi
    Unazengua shafi kaonge ukoooo fala wewe

  • @mwanaidimatanoabdarahman9135
    @mwanaidimatanoabdarahman9135 12 วันที่ผ่านมา

    Uyo safii ikekua museum ni wake zi age-related mwapie ahaje ujinga sana kama umekauka nenda ukalale 2

  • @salhamrishoi4943
    @salhamrishoi4943 12 วันที่ผ่านมา +2

    Acheni utoto harafu ata hamjatrendi acheni ushamba nyau nyie 😅😅😅😅

  • @MasokaSakina
    @MasokaSakina 12 วันที่ผ่านมา +1

    Uwo msemo niwa Steven mweusi

  • @dianerditto
    @dianerditto 12 วันที่ผ่านมา +2

    Em tutokee huko bwana useme wewe kitu nani akishobokee umebeba mashavu na ulimbukeni tu kwendwaa

  • @user-dq4ur9kk6h
    @user-dq4ur9kk6h 12 วันที่ผ่านมา +1

    Ila watu bana Yaani mwenye msemo ni Mimi nyie mnautafutia ugali 😂😂ngoja nimcheck mwanasheria wangu 😏

  • @chomwabonzo8811
    @chomwabonzo8811 11 วันที่ผ่านมา

    Hawa ndio maana watu wanasema wanapumuliwa usogoni kwa vitu kama ivi vya kupuuzi aisee ndio nn sasa eti

  • @JoyceMartin-ex6zw
    @JoyceMartin-ex6zw 10 วันที่ผ่านมา

    Wew NI mwiz shafii hatakama ujiteteeje Mim binafsi swez kukuelew

  • @AthumaniSelemani-o1l
    @AthumaniSelemani-o1l 7 วันที่ผ่านมา

    Stive atqbaki kua stive tafuta msemo mwengine sisi twajua uwo ni wastive kwende media2 umbea aaa shafii acha longo longo umbea2 kuimba aaaa😂😂

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 11 วันที่ผ่านมา

    Haya chukuwa ww huo msemo lkn haufanani nao mishavu kama mtoto wa pka KENYA SISI TWAMJUA TU STV NDARO ,VEVO NA RINGO NA WENGINE

  • @AmergoBenit
    @AmergoBenit 10 วันที่ผ่านมา +1

    Muongo ata auja fika makama ulisha shindwa

  • @Cutterose
    @Cutterose 11 วันที่ผ่านมา

    Wewe hauna haukuufikisha huo msemo kama Steve kulalamika tu kujituma aaaah

  • @user-bu8nv5gf8d
    @user-bu8nv5gf8d 12 วันที่ผ่านมา

    The last lady is smart.
    Anaitwa?

  • @hollyboyMW254
    @hollyboyMW254 11 วันที่ผ่านมา

    Shafii ni mpumbavuu 😄😄wizi tuu kuoga aaah

  • @DjJackAfricanboy
    @DjJackAfricanboy 12 วันที่ผ่านมา +1

    Kanasema uongo tyu unwell aaaahh

  • @ramseychobaliko1002
    @ramseychobaliko1002 11 วันที่ผ่านมา

    Uyu msenge mm huwa hata simjui ila Steve mweusi ni anamzidi kila kitu 😂😂😂 Steve na uyo bwege anasema Steve hana ubunifu wakati kaajili watu kibao😅

  • @user-lp6pc9dk9o
    @user-lp6pc9dk9o 12 วันที่ผ่านมา

    Mahojiano yanaonyesha wazi jamaa kavamia mwenzie kuhusu msimo. Mara nilipo mwambia tu ghafla nikakuta kesho karuka nao, tena sikuwai kuona kama karuka Noa maana mimi si mtu wa TH-cam. Mara mimi naye si wana lakini Nika mtania tu. nilitaka nione nguvu yamsemo. Binafsi anavyo jibu maswali sipati majibu.
    Ndugu huyo ajitathmini kwanza

  • @HamadMwagoani
    @HamadMwagoani 12 วันที่ผ่านมา +1

    Msemo wa wadada wakuvaa visocks na vibagi vya micky mouse ndo mnapigana wacheni ujinga

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 11 วันที่ผ่านมา

    Msemo haufanani nao yule stev n mwamba buza buza Bambucha mishavu waumia kuwa Stv n mtu mhmu Kwa watu ww huna watu kwenda

  • @stamiliayubu2294
    @stamiliayubu2294 12 วันที่ผ่านมา

    Shafii unazingua sana bana

  • @malimathegreattv9251
    @malimathegreattv9251 12 วันที่ผ่านมา

    Shafii acha kujibebisha
    Tutakukataa wote kwa uongo wako
    Msemo ni wastev

  • @lucasbatano333
    @lucasbatano333 12 วันที่ผ่านมา +2

    We dogo huna akili unatafuta kiki

  • @mtzhalisi2232
    @mtzhalisi2232 12 วันที่ผ่านมา +1

    Msemo lazina urasimishwe... Acheni ushamba fanyeni kazi mazeee watu wapate burudani

  • @Mery-st4nu
    @Mery-st4nu 12 วันที่ผ่านมา +2

    We ule msemo sio wako Sema umekaa kikikee

  • @nasramohd9924
    @nasramohd9924 12 วันที่ผ่านมา

    Anatakiwa achukuliwe sheria huyo dogo kw kujichukukia sheria mikononi steva kesha fany kazi nyingi kali mpaka china marekn wanamjuwa huyu mim natk ashtkiwe sio mtu mzyr

  • @warakawayohana2896
    @warakawayohana2896 10 วันที่ผ่านมา

    Dada acha choyo misemo ilianzishwa mingi tu na waswahili wala hawapigani acha utoto

  • @joebinarysignals
    @joebinarysignals 11 วันที่ผ่านมา

    Mbona mwakatobe ndo alianza kusema umalaya tu kuoga ha ha, na kitambo tu afu mtu anakuja kusema kaanzisha mxemo

  • @user-zk1sc8fi5p
    @user-zk1sc8fi5p 12 วันที่ผ่านมา +1

    Wewe shafi huna chochote kojoa ulale😂😂😂😂ujinga 2 muone bithwaaaaaaa kuliosha aaaaaaaah😂😂😂

  • @SabrinaSwalehy
    @SabrinaSwalehy 11 วันที่ผ่านมา

    Acha wiv kwaiyo umeshindwa kumtafuta sehem nyingine mpaka hadhara ya watu halafu unamsitukiza mwenzio inamaana we umejiandaa kwenda kipigana acha ushamba we unamsemo misemo yote ni ya zamani

  • @calebmartinz8588
    @calebmartinz8588 12 วันที่ผ่านมา

    Hilo kiki lao halina ubunifu wakatafute baba levo na mwijaku awafunze

  • @ronaldkimengich8958
    @ronaldkimengich8958 12 วันที่ผ่านมา

    This people needs to be greated by gen Z

  • @ommimg2467
    @ommimg2467 12 วันที่ผ่านมา

    Kwanza nilikuwa simjui lakin nimemuona Hana akili halafu hichi kitoto cha elfumbili bado hakijakuwa kifundishwe maisha haka

  • @SultanSuleiman-qf7cx
    @SultanSuleiman-qf7cx 11 วันที่ผ่านมา

    Hata hapo huna la kusema

  • @Forester__
    @Forester__ 12 วันที่ผ่านมา

    Bas na ule wimbo wa Steve uliotrend ni wako?

  • @adamsengo1869
    @adamsengo1869 12 วันที่ผ่านมา

    Kusema kweli tangu stive amzungumzie ndio nimelijua jina la shafii

  • @aayanmaroba6056
    @aayanmaroba6056 12 วันที่ผ่านมา +2

    Afu uyo dogo ata huwa simuelewi et

  • @user-lo6gd4tg2n
    @user-lo6gd4tg2n 11 วันที่ผ่านมา

    Mi naona mnajiaibisha tu, mtu sio mwanao then unasema ulimtania

  • @patriciatumain172
    @patriciatumain172 7 วันที่ผ่านมา

    Wapi haooo wabongo wanazingua

  • @gun60jgt40
    @gun60jgt40 12 วันที่ผ่านมา

    Naomba atafutwe Steeve aulizwe huyu Shafii muongo tu

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa ni nani?
    Mi namjua steve mweusi

  • @user-samweli
    @user-samweli 12 วันที่ผ่านมา

    Shafii ni msenge tu alafu hapo hawakupigana

  • @blankoboy898
    @blankoboy898 11 วันที่ผ่านมา

    Shafii unajiharibiya

  • @NepporSabith
    @NepporSabith 12 วันที่ผ่านมา

    Huyu jamaa aliona wivu ndani yake but sioni sababu yamsingi anaizungumzia au kutetea hoja yake.

  • @mohdkhalifa8828
    @mohdkhalifa8828 12 วันที่ผ่านมา

    Mm nyimbo ya Ray Van ya nitatokaje nilijua wa stan bakora mana alitowa adi vdeo😂

  • @stevenmathias1739
    @stevenmathias1739 9 วันที่ผ่านมา

    Dgo shafii we ni mwehu tu utaka ukuze jina lako kupitia kwa stev au👉

  • @IbrahDeDonny-lv2lo
    @IbrahDeDonny-lv2lo 12 วันที่ผ่านมา +1

    Shafii hana lokote, hana cha kumzidi Steve! Alaf ata huyu mashavu wala hachekeshi

  • @TarazaLove
    @TarazaLove 12 วันที่ผ่านมา

    Huo shafi hana akili eti wanagombana kiss musemo

  • @ferezaisaack9836
    @ferezaisaack9836 12 วันที่ผ่านมา

    Mambo yakijinga kabisa mpigane kisa Msemo tu

  • @user-tw1oi4ec3n
    @user-tw1oi4ec3n 12 วันที่ผ่านมา

    Nilianza kukufuatilia lakini nafuta hata video zako huna akili kumbe

  • @fadhilimasud-mb9nk
    @fadhilimasud-mb9nk 12 วันที่ผ่านมา

    jamani shafii anaakili

  • @Mariam-k2e
    @Mariam-k2e 11 วันที่ผ่านมา

    hata hueleweki mskn tafuta wakwko 2😂😂😅

  • @DeborahBrown-ts2hb
    @DeborahBrown-ts2hb 11 วันที่ผ่านมา

    Uwong tu kusema ukweli aaah

  • @isackmbade3181
    @isackmbade3181 12 วันที่ผ่านมา

    Bora Aliya umerud mjengoni

  • @josephlugongo6357
    @josephlugongo6357 12 วันที่ผ่านมา

    Hawa watakuwa na mabifu Yao mengine TU.
    Kwanza kama ukiwa mbunifu idea Yako inatakiwa iwe Siri yako., Afu kitukingine hivi unadhani msemo huo Kwa jinsi ulivyovuma wewe ungeweza kuuvumisha hivyo.? Akumbuke tu kuwa angeweza kuusema yeye na usifike popote. Hilo ni gem TU Kila mtu anabahati yake.

  • @ItikaGwakisa
    @ItikaGwakisa 11 วันที่ผ่านมา

    Swali ni kwamba unafaida Gani. Msemo huo?

  • @user-gx1mn7ub5y
    @user-gx1mn7ub5y 12 วันที่ผ่านมา

    Hana HAKILI huyo msenge

  • @AbelNguluchaMasuke-oj7zy
    @AbelNguluchaMasuke-oj7zy 12 วันที่ผ่านมา

    Shafii wewe ni brand kubwa acha ujinga maneno mmezaliwa mkayakuta

  • @zainabaziz5364
    @zainabaziz5364 12 วันที่ผ่านมา

    Tangu nimjue Steve hajawahi kua mgomvi,ila ww shafii chunga tusikufanyie Ile kitu kwa account zako,na wivu uache Steve sio levo Yako mbwa ww😂😂😂😂