ATIWA MBARONI KWA MAUAJI YA RAFIKI YAKE NA KUMUIBIA MILIONI 61, KAMANDA AFUNGUKA ILIVYOKUWA

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 10 ก.ค. 2024
  • Mussa Khamis Bakari alimaarufu kama buda mkazi wa Temeke Dar es salaam anashikiliwa na jeshi la polisi kwa tuhuma za kumuaa Abdallah Twahir Selemeni mkazi wa Chanika baada ya kufanya tukio hilo mtuhumiwa alichukua mwili wa marehemu na kuutupa pembezoni mwa barabara itokayo Cheka kuelekea beach Kichangani baada ya hapo akachukua kadi ya benki ya marehemu na kwanyakati tofauti tofauti alianza kutoa pesa hizo
    Taarifa hio imetolewa leo Julai 11,2024 na Kamanda wa Polisi Jumanne Muliro alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa mikutano kituo cha Central Polisi Dar es salaam

ความคิดเห็น • 19

  • @JacksonChikopole-um6kn
    @JacksonChikopole-um6kn 18 วันที่ผ่านมา

    Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 21 วันที่ผ่านมา +6

    Siku hizi rafiki yako ni Mungu wako tu.

  • @edsonnelson4464
    @edsonnelson4464 21 วันที่ผ่านมา +5

    Ila polisi wakiamua hata ungejificha wapi watakupata tu

  • @user-md7bq3ew4e
    @user-md7bq3ew4e 21 วันที่ผ่านมา +5

    Pesa una nn mpaka tunatoana uhai? Ee Mungu uliye hai utusamehe sisi wenye dhambi.

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 21 วันที่ผ่านมา +4

    Ndomana mimi sina rafiki 😂😂

  • @user-yv7xg4em4s
    @user-yv7xg4em4s 21 วันที่ผ่านมา +3

    Rafiki staki kwa kweli

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 21 วันที่ผ่านมา +3

    TamaaZingine.SubhanaAllah.sasa.kapatanini

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 20 วันที่ผ่านมา +2

    Chamsingi mambo ya pesa usimshilikishe rafiki wala jilani

  • @tupegigwensajigwa2629
    @tupegigwensajigwa2629 21 วันที่ผ่านมา +2

    Rafiki hakika hakuna kabisa wengi ni chatu

  • @Yassinseleman
    @Yassinseleman 20 วันที่ผ่านมา

    Hongera jeshi letu kwa kazi nzuri

  • @arafahhh5574
    @arafahhh5574 21 วันที่ผ่านมา

    Mungu kamlaani kauwa pesa hajazitumia na inshalkah jela ya milele ataingia

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi 21 วันที่ผ่านมา +1

    Rafikiako die hadui wa miasha yako usimwamini sana

  • @SalmanMughal-lq5lt
    @SalmanMughal-lq5lt 21 วันที่ผ่านมา +1

    Ukidharirisha.Allah.Anakudharirisha.pasupasu

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 21 วันที่ผ่านมา +1

    Walichome hadharani

  • @shyfettymtunda4619
    @shyfettymtunda4619 21 วันที่ผ่านมา +2

    Rafiki mkia wa fisi wallahi!

  • @user-dz5jc6pp8e
    @user-dz5jc6pp8e 21 วันที่ผ่านมา +1

    Anyongwe

  • @HanifaOman-oo4pl
    @HanifaOman-oo4pl 21 วันที่ผ่านมา

    Buda kweri wakala wa sweitwani huyo nae anyongwetu basi wakakutanehuko maana huyo umbwa hanaatahuruma. Unamuua rafikiyako kweri

  • @JacksonChikopole-um6kn
    @JacksonChikopole-um6kn 18 วันที่ผ่านมา

    Hongereni jeshi la polisi kwa kazi nzuri