Watu hawaelewi ugumu wa kuishi nchi za nje.. Tena hawaelewi hata pesa upatikanaji ni kwa kujitesa,na garama ya kuishi ni kubwa sana,ukiona mtu yupo nje anakupatia pesa yake he grateful na umuimbee Mungu aendelee kumfanyia wepesi
Naishi marekani miaka 27,Sio rahisi lakini inabidi kuzoea nimezaa watoto wanne na wajukuu watatu3,nimepambana vya kutosha lakini bado naipenda Tanzania sana"
Kuhusu kurudi umeshafika Canada uwezi kurudi kama mnavyo sema coz umetumia gharama kubwa sana hadi kufika uku inakubidi ukomae tu mimi nipo uku naona mengi sana it's not easy men
Watu hawaelewi ugumu wa kuishi nchi za nje..
Tena hawaelewi hata pesa upatikanaji ni kwa kujitesa,na garama ya kuishi ni kubwa sana,ukiona mtu yupo nje anakupatia pesa yake he grateful na umuimbee Mungu aendelee kumfanyia wepesi
she is soo kind and beautiful, i like the way she appreciate Bongo and our life style. you welcome again to bongo.
Kule ni kwenda kusaka hela sio sehemu ya kula bata
Naishi marekani miaka 27,Sio rahisi lakini inabidi kuzoea nimezaa watoto wanne na wajukuu watatu3,nimepambana vya kutosha lakini bado naipenda Tanzania sana"
Thank you Sister🥰
Hongera my sister
Hakuna sehemu duniani kukawa na urahisi,tuacheni uvivuu
congo kingshasa uyu usitupange
Bata lanini batalinamaliza pesa
Ubarikiwe L❤you🎉🎉🎉
Baridi kali wazee
Kweli kabisa....hakuna bata hapa... :( Kazi kila siku
Ndo vizur kwasisi wapambanaji
Rudini Sasa Africa mbona hamrudi😁
Ikifika siku tutarudi tu
Kwel kbsa kwakweli
😅🏃🏃😅
Courage sana Mutamba
Huyo sio mtanzani ni mtu wa Burund au Congo sema wamekuja kama wakimbizi muda mrefu mtagazaji hata hawez kujua huyu sio mtanzania
Dada mstaarabu sana. Kilaakheri
Mkongo huyu ama?😂😂 cmuoni kwa utanzania kabisa
OK, KIPI UMEFAIDIKA
KUA SI RAIA WA TANZANIA?
@@allahisone6386 Umeulizaje wewe, 🤣🤣..
UTANZANIA WANGU NI FAHARI YANGU
😂😂😂😂 mimi mkongo ila simuoni kwa ukongo wowote
@@Orgenemizzyy Lazimaa🤗 si huna D mbili 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Basi arudi tz kama maish magum mbona hawarudi sasa
Nimekupenda bure,kila sehem magumu ,hata marekani nipo maisha ni magumu ni kazi kila siku but huwezi compare na huko.
Waongo hao.....
@@joycehaule9717Dada joyce😊
Chris, Mbona kama hii manzi imekuaminia hivi
Hata bongo pagumu
Kunarafiki yang mmoja alikuwa anaishi uko anasema kuna baridi sana yan...
Ni kweli kuna baridi kalikali sana
Wacheni ujinga maisha hayana ugumu wowote
@@aairraahseif5648 baridi inategema na province wenyewe na kuhusu kazi ndio mana nchi zetu hazi endeleii kwa7bu hatufanyi kazi tunendekaza starehe
Maisha yakikushinda Canada hakuna shida basi unarudi nyumbani. Nyumbani kumenoga
Dada naomba namba 😂😂😂
Sister usijalibu kutaka kuishi tz
Kwa Nini? Mtu kwao, mkataa kwao ni Mtumwa, mwache atafute arudi nyumbani kula Bata😊
Hao ni waongo
Thibitisha huo uongo
Ukweli maisha ni tofauti sana ingawa thamani ya pesa ipo juu lkn wee ubaguzi nk
Kuhusu kurudi umeshafika Canada uwezi kurudi kama mnavyo sema coz umetumia gharama kubwa sana hadi kufika uku inakubidi ukomae tu mimi nipo uku naona mengi sana it's not easy men
Hapa natoka kazini mamamae huku kazi kazi😂
Brother inakuwaj nakutafut sanaa
Siyo Congo democratic Republic 😲😲
Itakua
Mtagazaji mshamba sanasa
Mrudi sasa africa kirasiku maisha magumu
Hakuna sehemu duniani kukawa na urahisi,tuacheni uvivuu