Highlights Yanga walivyoipapasa Ruvu Shooting na kuichapa 2-1 kwa Mkapa - VPL 06/12/2020
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Kama una mkubali T K MASTER gonga like ya nguvuu 😍
Unajitaidi
Unajitaidi
Hiii ndiyo yanga ninayoijua Mimi ongera sana yanga yangu💚💚💚💛💛
Safi sana wananchi mmejua kutupatia raha mwaka huu👍😀😀😀😀
Mbele daima nyuma mwikoooooh 👌 👌 💚 💚 💚 💛 💛 💛
Kisindaa man of the match
Kisindaa@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
@@grobaltechtz1656 GE
@@grobaltechtz1656 you in prayer Kiti bb
TUISILA KISINDA (JET FIGHTER).
Jet fighter ni ndege za kivita zina sifa ya spidi kali, uwezo wa kushambulia ikiwa kwenye speed ile ile, kwenda kushoto au kulia , chini au juu. TK master ana speed kali, ananyumbulika, anaweza kwenda kushoto au kulia, anaweza kukupasia mpira anakutanguliza halafu anatoka nyuma na kukuovatek. hivyo basi naomba wanajangwani tumbatize jina la Jet fighter,.
kama unakubali gonga like kisha twenzetu na wanajangwani na jet fighter.
tk master mzeee baba asanteeeeeeeeeee
Yakuba ni mchezaji . Mzuri kama unakubaliana na mimi like hapa
Bonge la mchezaji, ana speed, ball control, hachoki. Sema naye TK master ni balaa, hawa wawili ni wachezaji
Hata mimi nakubar mzee baba
@@mwakipundahenry5235 umeona hiyo mwakipunda
@@fihilihakika8709 yes sana
Yanga raaaha yanga yetu wananchi
ilove yanga from burundi🙌
Kama unaipenda yanga Tonga like hapa
@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
Bravo young Africans from Nairobi Kenya
Rossein Tuisila Kisinda from As Vita club🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
Thank you guys
Thanks you
Thanks from 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Penda sana timu yanga, daima mbele nyuma mwiko
Wewe ni simba sisi tunakujuwa
Tk Master Ni sheeda
Tuacheni na yanga yetu watoto WA jangwani..
@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
Tki masita mchezaji bora katika mechi hii ...yanga oyeeeeeee
Nakubali Sana man of the speed TK master 💛💚💛💚
Tk master duuuu noma sanaaa
Lkn pongezi kwa tk master jmn huuu sio pw
Hii ndo yanga nayoitaka mie💪💪💪🔰🔰🔰🔰
Piga kelele kwa yanga yetu kama unaipenda kindaki ndaki weweee show show
Oyoooooooooooooooooooopooooooooop9oooooo
KISINDA we n hatar xana
Tuisila nimekuelewa mwananchi ukipata mpira nikuchomoka2
Yanga🔥🔥🔥
Iiii ndiyo yanga inakeraaaaaaaaaaá
Thanks Dana kwa yanga yet🤗🤗🤗
Huyu kisinda sy pow anaukimbiza hatar
Hamna kitu hpo tumelamba garasa
We ndo garasa
@@mo_masai4261 imeisha hyo huwez badil ukwel shoga angu
@@fatmahobah1042 kakojoe ulale
@@shaninaftary1693 anza ww shoga
Makin sana wakwanza mm hapa 🔥🔥🔥
Kwel sasa hii niyanga nayo ifahamu mimi khaaa si kwa brudani hii mambo moto
au cy
Kama umemuona Nick mbish akishangilia ruvu gonga like
Mwendo wa ushindi tu mwanzo mwisho
@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
Uyu Kisinda n mtu na nusu
@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
Daima mbele nyuma mwikooo...💚💚💚💚💚💛💛💛💛💚💚💚💚💛💛💛💚💚💚💚
Iyo yanga ni babalao si kwa mpira huu
Ruvu bhana walijua na leo wanacheza na simba kumbe n yangaa hahahaaa
😂😂😂😂
😂😂😂
Tuisila kisinda ni ✈️💥💥
Aliyesikia mtangazaji akichapia
"Nusu ya mchezo huyu " gonga like tujuane
Saf yanga 🙏🙏
H@aaaaa TK Master a.k.a Turboo hatar sana 💚💛 YANGA.
Yanga mbele na iko imara naipenda yanga kiukweli
Tk turbo ahsante snaaaa
Jmn yanga hiii noma inashambulia mwanzo mwisho
Daima mbele nyuma mwiko
Yanga tumnyimwa penalt imekuwa kona
Mwakaa huu ubingw w2
Mfupa uliomshinda Jirani yetu, Leo Wananchi wameusagasaga.
hahahahhhhhhh
Hahaaaaaaa th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
😂😂😂
I love tz soccer 🔥🔥
SASA YANGA IMEANZA KUONYESHA MPIRA MZURI NA WENYE MALENGO
@th-cam.com/video/bjUrSRpcuHc/w-d-xo.html
Sio sasa toka msimu umeanza
Yanga bado hatudefend vizuri. Hawa jamaa walipata nafasi nzuri sana za kufunga ila hawapo vizuri.mwamnyeto na lamine wamepoteana sana.
Hivi ingekuwa marekani ndio haina korona tungekoma lakini kwa kuwa ni tz wapo kimyaaa. Wtz tujivunie jambo hili na kutokusahau kumshukuru MUUMBA wetu kila wakati
Masawe😀😀😀 sisi sio wale mbute mbute mliowafunga moja
Mtangazaji well done chukua maji popote ulipo ela utalipa mwenyew
Kisindaaa weeeeeeeeee
tuisilia kuna vitu vichache akiviweka sawa basi anayo nafasi kuwania mchezaj bora.
Mdogo mdogo atakuwa fireee
Hatushikiki yanga
Mpaka ligi inaisha hatuachi kiti Yanga juu tuuuuu
Hatariiiiiii
Kuna watu wanatamani waseme kua YANGA tayari GARI LIMEWAKA lakini wanahofia tu kwamba wataonekana ni wasaliti
Yanga hiii motooooooooo
🔰💪🔥🔥
HAaaaaaa Yanga mmetupa raha
Yanga hii kufungwa ni ndoto
Yanga raha sana
Mdogo mdogo mpaka ubingwa wananchi
Al watan 👏🏽🔥🤠
uyu kisinda inabidi tumkague aseee ..n motoooo
Chambueni mpira kiukweli na mtuoneshe matukio ya ukweli na mpira uko uwanjani hatutajki figisu.
Tunawasubiri blabla Simba hawana jipya labda hela na figisuu nuktaaaa.. yanga tuko vizuri chambueni Ila pira linachezwa uwanjani..
hamna rorote
Afu apo siyo kupapasa....ni kutekenya
Uyu tuisila aongezewe miaka 10
Umeona eee
Yanga ni baba lao
Msipoangalia Azam online kuna unsubscribe kwa upendeleo wenu .. tutawapotezea.
Kweli bana hii ni Barcelona ya Bongo
Sign kahata.....4 depth
Duu tuisila wewe kiboko
Siyo kimoja tena ni viwili vya mkwezi hahaha raha sana
Yangaaaaa
Huyu beki wa Ruvu captain anacheza ndivyo sivyo
Huyu Tuisila atawaumiza mapafu wapinzani duuuh hatar
Hahaha 😆😆
Yanga imara
Huyu yacouba ningekuwa coach ningekuwa namuweka bench kwanza
Yanga baba Lao
Jaman yanga mnanipa rahaaa
Ukisikia yanga weka mbali nawatoto
Hizo freekick saido atawamaliza
Video safi
Sarpongu ni mchezaji mzuri
Ana timeing ya movement wa tim ni sifa ya mshambuliaji kama enz za Mohammed hussen mmachinga. Mkama Ntare wa RTCkagera.
Ni mchezaji mzuri sana...
💛💚💛💚💛💛💚💚
🔥
Ameogelea maj ambayo hakuwekewa yeye
Hii ndo yanga ya 2017 sasa laha laha tupu,,,,,,
Weweeeeee we don't wa 5-5
Pamoja na Kushinda na kuongoza ligi, Lakn hamtachukua ubingwa
Tulia upigwe sindano.
Tanga, ruvu
Wa kwanza
Walikua wanakufa 4 hawa
Nc
mmmmmh mpira kama bunda sliga
*Tafadhali naomba angalia video ya wimbo wangu mpya kw kugusa picha yang hapo pembeni lakin pia naomba subscribe kwenye channeli yangu ili uniwezeshee kumonitize channel yangu hii*
Simba boy