Magoli yote | Yanga SC 6-0 Vtal'o FC | CAF CL 24/08/2024
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Clatous Chama amefunga goli moja na kutoa assist nne, Yanga SC ikiwanyoosha Vital'O ya Burundi kwa kichapo kizito cha magoli 6-0 katika mchezo wa marudiano Ligi ya Mabingwa Afrika #CAFCL uliopigwa kwenye Dimba la Azam Complex, Chamazi....
Waliofunga magoli hayo ni Pacome Zouzoua kwa penati dakika ya 14, Clement Mzize dakika ya 49, Clatous Chama dakika 51, Prince Dube dakika 71, Stephane Aziz Ki dakika ya 78 na Mudathir Yahya dakika ya 86.
Haya hapa magoli yote......
Ili ukisahau kizuri chako lazima upate kizuri zaidi ya ulicho nacho. Sisi Simba chama bado tunakukumbuka, good performance today, Goli 1 assist 4 Goli 5 umehusika Chama Baba what a player. Mungu azidi kukumurikia Taa ya mafanikio yako Brother Tunakukubali sana Sisi WanaSimba❤🎉
@@mansourjuma3731 kabisaaaa
Goli zote kahusiki😅😅😅
Sio manne niyot
@@salumkabady2842 noma sana na siku zinavyoenda anazidi kuwa mzur
Sawa, amekuskia
Chama kahusika kwenye magoli matano,,,assist 4 na goal 1,,, that is magician 💚💛
Chama na pacome nani bora ?
Goli 6, chama goli 1 na assist 4 total 5 yani amehusika kwenye goli 5. Kweli chama ni master wa kuassist.
CHAMA JR....MAN OF MATCH
Chama ni mtu mmoja hatari kwelikweli. Anaweza kusababisha timu ipate goli bila kutarajia. Hongera Young Africans.
Chama chama chama chamaaaaaaaaa duuuuuuh kalibu sana jangwani
Tujuane kwa like Wananchi ⚽⚽⚽⚽⚽⚽
Hongera sana Wachezaji wetu, Jeshi letu!!!!!
Wangapi tunasubiri 😂😂 interview ya mzee saidi
😂😂😂
Ivi azamFC kwann isifutweee
Sema yanga wanaupendo mkubwa sana kutoka uongoz had wachezaj💚💚💚
💚 yanga tamuuuu na enjoy tu hapa stress za warabu zinaisha enh
Hawa Yanga mbna wazuri sana ❤❤❤
Wengi tulimkubali kiaina chama toka akiwa na makolo
Ila sasa hatumkubali kiaina tunampenda sasa vilivyo
Chama Triple C Mwamba wa lusaka .. Big up! 🎉🎉🎉🎉
Yanga Juuu
Chama 😂😂😂😂duuh siyo mtu mzuri ata kidogo yani bila uruma
Wa kwanza leo hongereni sana watani mnaupiga mwingi
Man of the Match; TRIPLE CCC 💚💛💚💛
Umeweza🎉🎉🎉
Umeonaeeee. Tuna enjoy sana. Yanga
Leo Mwamba wa Lusaka Tripple C gemu imemkubali almost goli zote Assist katoa yeye
Yanga wanakula vizur ndo maan tunafunga na tuna fanya zohezi nyie amuogopi🎉🎉🎉💚💚💚💚💛💛💛💛💛💛
Yanga yangu❤❤❤🎉🎉🎉
MAN OF THE MATCH, Nyota was mchezo kwa leo ni..
Chama
Chama
Triple CCC!
HONGERA SANA Young African
Chama Clatous is from another planet....what a player!
Chama fundiii zote katoa yeye ni fundiiiiiiiiiiiiiii usajili wa chama a2jala asaraaaa
Chama
Chama baba, why simba sell Chama, Chama kaingia kwenye mfumo kakutana na wachezaji wanaoweza kuzitumia nafasi anazo tengeneza.
Katika jambo ambalo Simba wamefeli ni kuruhusu chama aondoke
Chama gori zuri hilo 👍🏽
Chama ana waheshimisha wenzake mamae
Simba must be regretting this bad dream. They don't wanna wake up to it. Bad bad dream. What a player CCC. One Zambia. Bola sana.
Chama kahusika kwenye goli 5
Good game for chama💚💚
Naipenda sanayanga
Wananchi oyoooooooo 💛💚
Nyie wenyew c mnaona yanga❤❤
Chama ni genius wa hii kitu
😭😭🤦🏾♂️🤦🏾♂️Yani Yanga hata sisi majirani yenu Burundi 🇧🇮 mnatupiga kama waharabu kweli😳😳goals 10 so painful 😣 hamna undugu kabisa
Chamaz kahusika kwenye mgoli 5.ni hatar sana. Assist 4 kafunga 1
Chama chama chamaaa
Mnaosema vital'o ni vibonde ninyi shilikisho mnatafuta nini ?💛💚💛💚💛💚💛
Maaninaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤yangaaaaaaa❤
Chama ni mzee wa kazi😂😂😂 siomzee👏👏👏hongerasana kaka pigakaz mungu akuepushe na fitina za makolo👏👏
Yangaaa💚💚💚💛💛💛
Yanga bingwaaaaaaa❤❤❤❤
Mimi ni yanga lakini mwenyewe naiogopa hii tim yangu 😢😢
Young Afrricans wako kwenyesafari ya kulileta kombe la CAF Tanzania. Simba inabidi wajifunze kutoka kwa watani wao. It has taken Young Africans miaka mitano kufikia walipo hii ni kwa sababu wameiinvest kwenye timu.
Duuuh chama ❤😂
Made in Zambia Used in Tanzania...ni hatariii sana
Yanga on fire 🔥
Yanga bingwa yanga tamu yanga rahaa ww huogopi 😂😂😂 humu tu 💚💚💚💛💛💛💪💪💪
Nimeipenda iyo iyo apo ni kwamba
Nimafuliko tosha
Ya MAGOLI
Lazima kombe tuchukue ❤❤❤
Nani kamuona mchome?🤣🤣
Nimecheka kinoma nilivomuona😂😂😂😂
Kashangilia kweli na mbet yake ya kizibao😂
Wana yanga oee❤❤❤❤❤
Hii ndo sababu ya Yanga kumsajili TRIPLE C, CAFCL! He is the master!
Hahahahahaha
Bonge la chezaji goli 1 assist 4 hakika simba tutakukumbuka big up young Africans..kazi tumeiona
Hawa ndo wazee Sasa kumbe utu uzima dawa kweri
Mim nliwai kusema ata fainal ya usm Alger na yanga angekuwepo chama tungechukua,Mr assist
Yanga gujitu gukubwa Afrika
*inabidi yanga niipende tuuuu hata kama mimi ni simba*
God's hand from Vital's player
Sio nyie tu sisi wenyewe mashabaki tunaiogopa yanga
Chama anajua mpaka anakera daaah
Unyesha sasa Magic media tv 🔥🔥
Duh
Chama kahusika bao zote sita.
Haaa!! Yanga kwa mahaba haya mh sibanduki ng,oo ❤❤
Yanga bingwa 🔰🔰
Yanga Tishio I love you young Africans
Wananchiiiii angalieni mchome anavofrahiii na yanga
Sasa si utopolo huyo kwanini asifurahie
@@rahimmarions5712 hahahahah usishangae akahama
Mwanangu chama ndio nilikuwaga nataka aje Jangwani uwaga ana tumia azabu kulingana mgonjwa
Safi sana chama langu la younga africansssssss mmeiheshimisha inch yetu,tuaendelea kukusanya pesa ya mama mpaka sasa tuna 50 ml.
😂😂😂😂huyu jamaa si Bora wangemuweka awe golikipa yeye😂😂😂
hivi chama yeye anatakaga tushinde ngapi😀😀😀
chama assist 4+1
god bless yanga
Chama magician
Itafikia hatua hata sisi simba tutaomba yanga icheze tufurah😢😢
Hahahaamha
💚💛💛💚
Yanga ya moto Ii 🔥🔥🔥
Ila chama 👌
Yanga inafungwaje sasa 💛💛💛💚💚💚
Chama fundi
Afu sio Mchoyo
Chamaa duh
😂😂dar!? Ila Chama hatarii
❤❤❤yanga❤❤APR fc❤❤❤❤ my night now is bae🥰🥰🥰🥰🥰
Yanga rahaaaaa
Kumeanza kuchangamka 💚💚💚💛💚💛💚
huyu jamaa aliye daka mpira kaleta futuhi ukuu😂😂😂🙌🏻
Aliyepewa red card ni zaidi ya kipa🥳🥰
mzize huwa anafunga magoli ktk angle ngumu sana,hakika kwa mchezaji mzawa tanzania,huyu n lulu.
Warundiii mkomeeee kuja yangaaa hiiii ndio tanzaniya bna 😅😅😅😅🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
🎉🎉🎉 safi sana Mimi kama mtanzania mwanasimba
Chama🔥🔥🔥
Tatizo la Simba viongoz wetu wakurupukaji na hawacheza Mpira wootee
Chamaz noma san
Burundi waachane na mpira haajui kicheza
Nilikuw nasubir hii😊❤
Huyu chama ni sifa sasa kwa assist zake yanga wamembeba huyu si kwa bahati mbaya
Kama ubovu wa timu ni kufungwa goli tano basi hizi ni miongoni mwa timu mbovu, SIMBA,ASAS,KMC,IHEFU,HOUSING,JKT,VITAL 'O, nk
😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Mchome atakua ni shabiki wa yanga sio kwa kushangilia kule.😂