@@tinashemachemedze2690 hapana Bali kama Watanzania tunajihujumu wenyewe kiuchumi pia!vilevile tunapokuwa na timu mbili inasaidia kusonga mbele kwa kuzipungu,a timu za nje
@@ikwabemagesa5876 nani kasema kumsifia?Ni pigo kwa Nchi kama unafahamu Uchumi wa kimataifa,Ingekuwa ni ligi kuu hapo hakuna ubishi Bali inapokuja kimataifa hilo ni tatizo
Ahmed Ally aliposhabikia kwenye media lile goli halali la Yanga kukataliwa kule South Afrika haukuwa UTOTO? Je, ule ulikuwa ni Uzalendo kama unavyodai?
Makolokwinyo wengi walishajua safari yao kwenye champions league ilikuwa imeisha na hivyo waliomba kwa nguvu zote Yanga itolewe na hilo likadhihirishwa na msemaji wao comedian....mbona hatukuona comments zenu za kusisitiza Uzalendo na Utanzania. Yes tunatakiwa kusisitiza Uzalendo lakini lazima uambatane na UHALISIA
Millard Ayo, amazing video keep it up dude
Miaka yote hiyo ndiyo kawaida ya Azam mechimbili tuu wametoka
mbona huyo jamaa kajiandika DIDA MASHAMSHAM SPORTS ....au anampenda DIDA ?
kamwe acha roho mbaya jamaa yangu
Sawa mungu wa simba
Mtu anaombwewa Dua lakin akizingua tunamcheka t kwan nan hamjui ibwe kwa kukebehi wenzake
Ulisema unawaombea kheri azamu na coast wafuzu azmu kapigwa out na kesho coast anaaga mashindano acha rohoo mbaya
Hakuna roho mbaya ndo malipo ya fitna.
Mpaka sasa sielewi tunanufahika vipi na furaha ya Azam kutolewa!?tujifunze kutofautisha kati ya mechi za kimataifa na mechi za ndani
Ulisikia alichosema msemaji wao??
Napenda sana Azam inatolewa Kwa sabab ya feitoto mfyuuuuuuuuuum
@@tinashemachemedze2690 hapana Bali kama Watanzania tunajihujumu wenyewe kiuchumi pia!vilevile tunapokuwa na timu mbili inasaidia kusonga mbele kwa kuzipungu,a timu za nje
Ww acha zako angeshida tungempa sifa kapigwa acha achekwe .. tumsifie wakat kafungwa ww wa wap?!
@@ikwabemagesa5876 nani kasema kumsifia?Ni pigo kwa Nchi kama unafahamu Uchumi wa kimataifa,Ingekuwa ni ligi kuu hapo hakuna ubishi Bali inapokuja kimataifa hilo ni tatizo
Sasa Kamwe huu sio utanzania na wala si uzalendo! Ni utoto mkubwa.
Ahmed Ally aliposhabikia kwenye media lile goli halali la Yanga kukataliwa kule South Afrika haukuwa UTOTO? Je, ule ulikuwa ni Uzalendo kama unavyodai?
Makolokwinyo wengi walishajua safari yao kwenye champions league ilikuwa imeisha na hivyo waliomba kwa nguvu zote Yanga itolewe na hilo likadhihirishwa na msemaji wao comedian....mbona hatukuona comments zenu za kusisitiza Uzalendo na Utanzania. Yes tunatakiwa kusisitiza Uzalendo lakini lazima uambatane na UHALISIA
Huyo Ibwe alishawahi kusema kwamba (Simba, Yanga) wakishinda ni vizuri lakini wakifungwa TUTAWACHEKA...
MATOKEO YENYEWEE YA KUPANGA, ILIWAGAWANE PESA ZA MAMA NA VITALO WATU MNACHEZA 11 KWA 8 HOW COME
Pangeni na nyinyi
Kwani wewe ulipopigwa 5 mlikuwa wangapi vile😂
5 zenu zilipangwa
Haujui mpira kaa kimya
Heka heka😂