KAMWE AANGUA KICHEKO AZAM KUNG’OLEWA CHAMPIONS LEAGUE “WALISEMA WAMEIPATA CODE”

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024

ความคิดเห็น • 35

  • @LJSheffRBLX
    @LJSheffRBLX 19 วันที่ผ่านมา +1

    Millard Ayo, amazing video keep it up dude

  • @khalifasaidi7001
    @khalifasaidi7001 19 วันที่ผ่านมา +1

    Miaka yote hiyo ndiyo kawaida ya Azam mechimbili tuu wametoka

  • @user-sp2fm4qd2h
    @user-sp2fm4qd2h 18 วันที่ผ่านมา

    mbona huyo jamaa kajiandika DIDA MASHAMSHAM SPORTS ....au anampenda DIDA ?

  • @allytwalib7787
    @allytwalib7787 18 วันที่ผ่านมา

    kamwe acha roho mbaya jamaa yangu

  • @elimbotoraphael3940
    @elimbotoraphael3940 19 วันที่ผ่านมา

    Sawa mungu wa simba

  • @abdillahmchia8557
    @abdillahmchia8557 19 วันที่ผ่านมา

    Mtu anaombwewa Dua lakin akizingua tunamcheka t kwan nan hamjui ibwe kwa kukebehi wenzake

  • @selemanisaid1435
    @selemanisaid1435 19 วันที่ผ่านมา

    Ulisema unawaombea kheri azamu na coast wafuzu azmu kapigwa out na kesho coast anaaga mashindano acha rohoo mbaya

  • @peterjoseph4771
    @peterjoseph4771 19 วันที่ผ่านมา

    Mpaka sasa sielewi tunanufahika vipi na furaha ya Azam kutolewa!?tujifunze kutofautisha kati ya mechi za kimataifa na mechi za ndani

    • @tinashemachemedze2690
      @tinashemachemedze2690 19 วันที่ผ่านมา

      Ulisikia alichosema msemaji wao??

    • @NunuKupela
      @NunuKupela 19 วันที่ผ่านมา

      Napenda sana Azam inatolewa Kwa sabab ya feitoto mfyuuuuuuuuuum

    • @peterjoseph4771
      @peterjoseph4771 19 วันที่ผ่านมา

      @@tinashemachemedze2690 hapana Bali kama Watanzania tunajihujumu wenyewe kiuchumi pia!vilevile tunapokuwa na timu mbili inasaidia kusonga mbele kwa kuzipungu,a timu za nje

    • @ikwabemagesa5876
      @ikwabemagesa5876 19 วันที่ผ่านมา

      Ww acha zako angeshida tungempa sifa kapigwa acha achekwe .. tumsifie wakat kafungwa ww wa wap?!

    • @peterjoseph4771
      @peterjoseph4771 19 วันที่ผ่านมา

      @@ikwabemagesa5876 nani kasema kumsifia?Ni pigo kwa Nchi kama unafahamu Uchumi wa kimataifa,Ingekuwa ni ligi kuu hapo hakuna ubishi Bali inapokuja kimataifa hilo ni tatizo

  • @kambamazig02024
    @kambamazig02024 19 วันที่ผ่านมา

    Sasa Kamwe huu sio utanzania na wala si uzalendo! Ni utoto mkubwa.

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 19 วันที่ผ่านมา

      Ahmed Ally aliposhabikia kwenye media lile goli halali la Yanga kukataliwa kule South Afrika haukuwa UTOTO? Je, ule ulikuwa ni Uzalendo kama unavyodai?

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 19 วันที่ผ่านมา

      Makolokwinyo wengi walishajua safari yao kwenye champions league ilikuwa imeisha na hivyo waliomba kwa nguvu zote Yanga itolewe na hilo likadhihirishwa na msemaji wao comedian....mbona hatukuona comments zenu za kusisitiza Uzalendo na Utanzania. Yes tunatakiwa kusisitiza Uzalendo lakini lazima uambatane na UHALISIA

    • @abdunnurahmedsilim7456
      @abdunnurahmedsilim7456 19 วันที่ผ่านมา

      Huyo Ibwe alishawahi kusema kwamba (Simba, Yanga) wakishinda ni vizuri lakini wakifungwa TUTAWACHEKA...

  • @franccoz94
    @franccoz94 19 วันที่ผ่านมา +3

    MATOKEO YENYEWEE YA KUPANGA, ILIWAGAWANE PESA ZA MAMA NA VITALO WATU MNACHEZA 11 KWA 8 HOW COME