Highlights | Yanga ilivyoisulubu Dodoma Jiji 3-1 na kuiteka Arusha - VPL 19/12/2020
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 12 ก.ย. 2024
- Tazama hekaheka za Yanga SC ilivyoichapa Dodoma Jiji 3-1 na kunyakua pointi tatu huku ikizidi kupaa kileleni pasi na kufungwa hata mechi moja.
Tufuatilie kwenye mitandao mingine ya kijamii:-
►INSTAGRAM: / azamtvtz
►INSTAGRAM: / azamsports2
►TWITTER: / azamtvtz
►FACEBOOK: / azamtvtz
►WEBSITE: www.azamtv.co.tz
Wachezaj wa yanga mungu awabark mnacheza kwa kujtuma xana tena mna umoja 💛💛💛💛💛i love u yanga 💪💪💪💪
Well done boys from Kenya I love yanga
Yanga ya mwaka huu tamu sana inaleta raha sana kuitazama,mwaka huu 2020/2021 ni wetu wananchi kuchukua ubingwa
Ak
I love waching Tz football..all the way from Nairobi.😂..the game is quite entertaining😂😂
You're welcome
We love u kenyans
Mbona hi video haionekane vizuri, inatuharibu macho
Saido ntibazonkiza kwel tumelamba dume tena anaipenda yanga xana anatabaxam tu mda wote xaf nafurah xana 💛💛💛💛Yangaa
Yes azam tv
Napenda Yanga coz mpira wake ni wakisomi
Sanaaaaaa
Yanga tutafungwa na mahakama2🔥
Kabisa
Mnachelewa sana kutuma video
ANTIBIOTIC......Ntibazonkiza....!...noma
💚💛💚💛🔥🔥🔥hiii ndio yangaaaa🔥🔥🔥💛💚💪💪💪💪💪💪
Kuna aliyeuliza eti hii timu inayoongoza ligi ndio ile iliyoanza ligi bila kocha?!!!!LOVE YOU YANGA 💛💛💛💚💚💚💚🔥🔥🔥💪💪💪💪💪
Yanga baba lao,mikia mama lao
dodoma wanacheza mialeka kabisa, hii sio toughness kama kocha wao anavodai. kuwa toughness n uwezo wa kumiliki mpira bila kunyang'anywa4 na sio kucheza hizo rafu zao. kuna mmoja hapo kamkaba mwenzie kuanzia wako juu hadi wanadondoka eti ndo toughness
Mariam Kwayanga hii Jamani raha sana
Saido njo mchezaji mweny viwango
Daima mbele nyuma mwiko Wape Salaam
Young africa no one like us many words cant do anythng but we are xilent in order to do more action .😘😘😘😘😍😍😍😍😍😍😍love uuuuuuu
Hii ndo yanga bhana 💛💛💛💛
Mtani mnamchukua morison mnamuacha lamine moro . Hesabu zenu mlifeli hahaha
Wakijisikia wamchukue na fei Toto tena
@@brightbeatus8312 fei Toto kaze😱ka
Mjitahidi kuboresha camera zenu ili picha zionekane vzr zaidiiii
Anaulizia misumali kwenye duka la vipodozi
Dodoma jiji ni underdog mbele ya yanga
Mukoko anapenda kudance yaani napenda tu nimuone kila saaa hii ndio yanga bhuanaaa
Saidoooo🔥🔥
Yaani hizi timu zimekuwa zikicheza faul sana kwa timu kubwa ndo makocha wanawafundisha hivyo au nimeona vibaya nisaidie maoni jamani.
Kah ila yanga tamu nyeeeee
I love u yangaaaa💛💚💛
Nakupenda yanga
Unbiten 💛💚
Yanga anafanya kazi moja tu kufunga na kupata point tatu cyo vinginevyo
Ndyo chamuhimu.
Wachezaj wa Dodoma JJ wanacheza ulevi jmn mieleka kama yote
Azam acheni figisu video haina quality mnatuumiza tu macho
Bora na ww umeliona hili wameanza kufail sana
😂 ndo mana yanapigwa ovyo
Azam wanapandisha vifurushi halafu huduma inazidi kuwa mbovu
Hii ndio yanga ya 2020 2021 na kuendelea wapinzan Kaz wanayo
Kazi nzuri sana mnayo if ifanya kwaku furaisha wanainchi. Keep it up
Metacha acha kulewa sifa Fanya kaz
Metacha alimlipiza seif kwa kosa la kumfuga goli la kizembeq🥰
Yanga oyee
Kwani hao makamisaa kuna ulazima gani wa kupiga picha pind inapigwa pic marefa na makepteni??
Hiyo ndio Yanga
Lakin Fei bana aende ulaya tu hapa bongo hapamfai tena, mpra anaujua
Hahahaa jamaa alifurahia goli alijua halurudi tna duuh
Jmn aliruka uyo utafikir ye ndo wakwanza duniani kufunga goli upande wa yanga
Dodoma hakuna walichofanya zaidi ya kucheza rafu tu
,Ntibazonkiza ana bichwa kama LA tambwe
Kwa hiyo tufanyeje...pumbavuuuu..
,😃😃😃
Jamani 🤣🤣🤣
@Swahili Movies 🙄😅😅
Je la lakio km chama nyau wew
Mana naona tuu majina ya kigeni tuu mengi mnafurahia tuu wageni
Tui la nazi na maziwa vinafanana rangi tu na si vinginevyo 😂 yanga juu 🤸
Refa katuzingua hii gemu kulikua na Kadi nyekundu kama mbili..yanga tuko vizuri japo wapinzani wanatukamia..
kwa nn msiweke dakika kuanzia 40? tuwe tinaona marudio
Ntibazon chapa kazi
Point tatu muhimuu tukutane gemu ijayoo daima mbele nyuma mwikoo
Goooo Saidoo!!!
&
Yaaan kwamtazamo wang Yanga n mabingwa wawape kombe tu🤣🤣🤣🤣🤣 yaaan mkia FC ajiandae yaaan nawazee wale cpat pcha
Yanga oyeeeeeeeeee
Mm mwana Yanga ila nimefurahi card ya yacuba
Saido ntibazonkiza 🔥🔥🔥🔥
Wape SALAAM
Wamezipata
Hapo wachezaji wa timu ya taifa walioanza wangapi
2
Azam tv mnazngua low quality video enu
Saido mtamelewa tu
Lamine moro kashamfundisha manyeto kufunga sa itakuje" yanga hii kufungwa labda mahakamani tu. Bonyeza link hapa chin kunisapot na mm 👇👇👇th-cam.com/video/eFAfiPJUMhw/w-d-xo.html
Msimu huu Kuna watu watakufa na presha
Safi
Good Mwananchi
Yaani tumeifunga Dodoma mzimaa.. Mpaka serikali hahahhaaa
😁😁
Gd job yang
Woooyoooo raahaa saaana waaapeee saaalaaam..
Kiukweli hapa hakuna mpira ....mnafunga kwa kubahatisha ila sio technic
Umeona hizo faulo za Dodoma Jiji faulo 30 lakini kadi 4 tu...Walitakiwa wachezaji wao 2 waende nje kwa kadi nyekundu sio kwa rafu zile
Unaeteseka na Yanga Africans ukiwa mkoa gani
Nyie magoli yenu ya kupewa na refa unasemaje mkia we
Mbona unateseka Sana yakwenu ya uhakika yako wapi?nyie ndo mnatafuta point za mezani kwa penalt
Hivi unateseka ukiwa maeneo gani? Kuwa mpole tu ndugu na badoooooo!!!!
c kwa yanga hii
Wanacheza kunfu tu refa angaamua ddm mji wangebak 8 ndan
🔥💪💚💚💚💚💛💛💛💛💛
huyu aron kalambo kipa mzuri sannnah
Yanga ni hatar lakin salama
Yang tv
Safi Sana
Yanga
Mikia watakaa
Kasida
Muamuzi wa bongo hawajielewi kweli ufanyie faulo tena wew ulifanyiwa faulo ndio unakadi
Antibiotic 🤣😂😂
🤣🤣🤣🤣 hutibu mwagonjwa yote
🤣🤣🤣🤣🤝
Yanga
Nice
Quality za video zenu ni zero kabisa yani
Tizama mkono wa kulia juu Kuna vidoti 3 kibonyeze utaenda kubadili quality ya video ! Weka 720 p
@@tonyelshabbaz 😀😀😀😀😀😀bora umwambie watapata taabu sana mbona kama wanakeleka yanga ndo kwanza kumekucha
@@tonyelshabbaz thanx bro nimejifunza kitu leo
@@khalifasaid1131 umefanikiwa kuona??
@@tonyelshabbaz yap! Thanx bro
Kwel yanga mnacheza vizur ila lamine akitaka kucheza mpra show nacheka tu
Anti bayoti 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Yanga noooma sanaaaa
Mwendo aupungui
Wananchii eeeh eeeh wananchii eeh
Nakubl
Hivi jamani hatuigi kwa wenzetu kila siku najiuliza uyo alievaa suti anawaelekeza njia au ndo mwenye tunguli za uwanja au ana kazi gana?maana kwenye picha ya pamoja nae yumo yaan kuna vingine kichefu chefu tupu
Huyo kamishina wa mchezo dada
@@mussasuleiman9443 Kamishina wa mchezo upi?
Kila mchezo wa ligi ya bongo huwa una kamshina wa mchezo au huwa mtu yeyote mwenye nyazfa mkoa huo huaga lazma awezo kwenye picha ya ufunguz wa mchezo
💛💚🇴🇲
😗😗😗😗😗😗
Ttz dodom walikuwa wanatumia nguv nyingi baad watumie akili nyingi unaon hy ndio faida take madhamb x30 yote yanin ss tumia akili unapofany jambo sionguv
Hivi hawa mikia ndivo walivo au?naomba mnisaidie wana yanga wenzang hawawez comment bila kutoa matusi au ndivo simba walivo au?wanachefua hawana maadili kabsa na bado tutazd kuwakeraaaa cc tunapetaaa matuc tunawaachia mikia
🤣🤣🤣🤣
nyie waandishi Malaya xn,mbona hamuandiki na hamuongei kuhusu goli la Kwanza la yanga lamine moro ameushika mpira Kwanza ndipo akafunga? mikundu yenu pamoja na wachambuzi woteeeee tz
Oyaaa acha matusii mbona nyinyi mulibebwa na refaa
Ucteseke toa Ilo Moja hesabu Ni 2 - 1 apo VP😎😎😎😎
Toa hyo moja 2-1 hap vp
Kenge wew bx mbili moja
Kombe lile jangwani Sisi tunawasajili akina mukoko Simba wanawaokota akina onyango waliomaliza mikataba Yao kwenye vilabu vyao ndipo mwaka huu mtajua kwamba vizuri vyajiuza vibaya vyajitembeza
Kwel akil c nyel kwamba kila mtu atakua nazo iv unajitia tamaa ya kombe wakt mpira ata raund ya pil haija anza na ukiangalia ww na simba tafaut pwent 2 akimaliza viporo salama kombe simba anaweza kulichukua kupitia kwako wakikutana mara yapil izo pwent mbil zilo bak anachukua kwa yanga mi naamin hana uwezo wakuzuia asifungwe na simba mana ata ile raund ya kwanza tuliona sare ya kupewa penat na wakanyimwa penat halal simba ila mi naamin mzunguko wa pil tukipata marefa wazur watakao chezesha mpira halal naamin yanga kwa mkapa
@@badrumbarouk3377 hata akimaliza viporo mechi 17 mzunguko wa Kwanza bado hamfikii yanga nenda kaangalie vizuri msimamo wa ligi halafu wewe Una viporo mechi 3,namungo ugenini,Azam taifa Dodoma ugenini je Una uhakika utashinda maana ukitoa Sare yanga anakuzidi point 4 habari ndio hiyo kwahiyo wewe usiione timu yako ipo vizuri mtakuja kufarakana hapa bongo nyinyi komaeni tu kule Harare hili mwakani mpate kushiriki na nyinyi tena
@@jacksonnchimbi308 tatzo ww mguma wakuelewa ww unauhakika gan kuwa yanga izo mech alobakiza kua atashinda zote na ndo mana nikakwambia usijitie tamaa ya kombe muda wote watu wanaweza kupindua meza mzunguko wa pil ndo mgumu na ivo kubak na mech 3 ngum kwa simba sio tatizo simba kashinda nigeria ruwangwa kawaida sio muda wakutabir kombe muda uu tusubir kwanza na niliongea vizur tu simba akimaliza viporo vizur tafaut na yanga nipwent 2 na izo mbil anaweza kuchukua kwa yanga pia
Bench la ufund la Yanga so kwa shangwe izo
Upande wangu nimeona kawaida Sana
Ingia utuoneshe yasiyokuwa yakawaidaa 😈
@@robertdioniz3364 wewe sio juu yako kunijibu humu huwa hatupangiani mtu asemeje ,we toa maoni kivyako achana na yangu ,umeninunulia mb unavyonipangia mawazo? Jiheshimu shika yako ,toa point sio kunijibu point yangu , hii ni media Kila mmoja anaruhusiwa kutoa ya moyoni ,sio kumjibu mwenzake ,I am sorry !
@@elizabethmajaliwa5189
Kojoa ukale uote tena iyo ndoto haijatimia. Team ya wananchii
@@robertdioniz3364 achana nae huyo my brother hazipo sawa hy
@@robertdioniz3364 nami nazidi kumwambia uni maoni yako usinipangie , najua lazima nikojoe hakuna mwanadamu asiyekojoa Labda kuku ,nachokkueleza fuata Moyo wako ,usinipangie ninachoona nakusema mi si mkeo we vip?
Staniley
Real Madrid vs athletic Madrid
doooo
Marefa vpl hawaheshimiwi kabisa wtf