Simba 2-0 Kagera Sugar | Highlights | NBC Premier League 20/08/2022
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 ส.ค. 2024
- Goli la Dejan Georgijevic dakika ya 81 na la Moses Phiri dakika ya 42 yametosha kuipa Simba ushindi wa mabao 2-0 dhidi ya Kagera Sugar kwenye Dimba la Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Hii ni mechi ya raundi ya pili kwenye ligi kuu ya NBC Tanzania Bara #NBCPremierLeague
Mzungu katunyamazishia watu, like Zake tafadhali
Mimi ni Yanga Damu. Ila sikufurahishwa kabisa na zile dhihaka na ubaguzi dhidi ya Dejan. Leo nimefurahia kuona kafunga.
Hii game nimechek zaid ya mara moja youtube..inavutia sana..dondosha like kama na ww umekuwa ukirudia..na viewers ni wengi
Mzungu movement zake nzuri, Sema ananyimwa mipira.
Naipenda simba jamn 😍😍😍
Tunaipeleka on trend number one nguvumoja💪💪💪
Hii ndio Tim mboga 7 full mazagazaga yaani kila mchezaji mfungaji hatutegemei mtu mmoja
Simba Unstoppable
Mlete mzunguuuu simba damu damu ulaya katikati ya Dar🥰🥰🥰🥰
Uyo mzungu inatakiwa avae namba 9 . Lete mzungu 🦁💪🙏🏻
Leteee mzunguuuuu,, lete mzunguuuuu,,🦁🦁🦁💪💪🔥🔥🔥🔥 leo tumeupiga mwingi aseeee pongezi kwetuu wanamsimbaziiii,,🔥🔥🔥🔥💪💪💪💪🦁🦁🦁🦁
Chama chama na moses phiri na mzungu mungu awalinde tunaomba
Amiina
Sema huyu Mzungu anayo touch nzuri sana
Mzungu staa kuliko mchezaji yeyote kwenye ligi yetu nimeamin leo ananyotq ya kupendwq🇹🇿🇹🇿
Simba kama itajengeka chemistry basi ni timu hatari sana sana sana
Yaani hizi pasi zikikamatika na benzene ring basi inaweza ikasababisha watu kuchukia kukutana na simba
Kabisa bro, Koch’s aone ujumbe wako
Professional football from Simba sports club.
Lete mzunguu lete mzunguu❤️🇰🇪🇰🇪🇰🇪🔥🔥🔥❤️
Naipenda Simba yangu jaman yaan hadi napata utam kisimi kinasisimka uwiiii🙈🙈 #NguvuMoja🦁🦁🔥🔥🔥💪🏽💪🏽
😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 😂 Daaa
Dah nakubal simba nguvu moja
Kisimi chko kina simama kweli
Kweli kina si mama kinaa takaa nn
Kinaa. Sisimkaaa kweli hicho kisimi chako ww
Sijafurahishwa na utupaji wa mabao ya wazi... Tunatakiwa tuwe clinical infront of goal.. hii mechi hata 7 tungepata kama wachezaji wetu wangemakinika mbele ya lango...
Simba ni wazuri na wameonyesha soka Kali sana ila wanakosa umakini katika umaliziaji na hii mara nyingi inawagharimu hata wakikutana na Yanga,,,,kwaujumla ilikuwa mechi nzuri sana Kwa maana hata Kagera wameonyesha soka Kali sana!
Safi sanamzungu wetu wahoooo mlete mzungu mlete mzungu waooo
simba babu kubwa
Asante Dejan Sasa umetuamsha , Safi sanaaaa...
Mlete mzungu 💓💓💓💓💓💕💕
Goli la lete mzungu 😋amazing sana…..
Mzungu na fred Nan bola
Dejan what a striker
kipa wa Kagera sugar kawaokoa ila walikuw waoge magoli mengi leo
Of coz, ila ndo kazi yake😂
Simba tamuuuu nyie 🦁🦁♥️
Kwanza ile movement kibongobongo ni ngumu sana
Wachezaji wa simba wanapendana sana hadi raha
Good service, I enjoy to view you tube
Ila hii game ya Leo nimefurahi sana yaani Simba penda sana ndani mzungu wetu Leo kawafunga midomo wale washamba hahahahahaha hatujamalizaaaaaaa🦁🦁🦁🦁❤️
Nimekua wakwanza na mzungu wetu hatujamalizaaaaa😂🦁🦁🦁
Anatakiwa Inonga ampige pige Mayele nje ya boksi kubwa atatuumiza sana.
What a goal
Classic goal🇺🇸🇺🇸
Huwa najiuliza kwann NBC Premier wanatumia beat za caf champions league wakati mpira ukitaka kuanza?
Lete mzungu ni lete mzungu tu Braza simba ni simba tu….endeleeni kumkebehi lete mzungu wetu ndiyo kwanza aaaa mnamtengenezea umaarufu.
Mzee baba anaonekana akichenza winger ndo atafaa zaidi maana sio kwa speed zile
Hao wachezaji wa kitanzania ndio hawaonyeshi kujituma wageni ndio wanajikaza na kuinogesha ligi ya Tanzania bara.
Sidhani kama Simba inamuhitaji Manzoki, natamani siku moja Mzungu apige namba 9 alafu Moses Phir namba 10, winga kushito Banda na winga Kulia Sakho. Chama na Kanoute kati na nyuma kama kawaida
Na ndiyo ilitakiwa namba zipangwe hivyo Dejan apige namba tisa zen Phiri apige namba kumi
Simba inamuhitaji MANZOKI.. Angalia shot on target ngapi zimepatikana.. Dejan Ni mzuri Lakini sio mshap Kama Manzoki.. Wakisaidiana Simba itafunga kwa idadi kubwa ya magoli..
Hapo Okrah asikosee
Ulaya ni ulaya tu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 hatariiii
Ila chama daaah!, mamae
Mzungu aanzee mapema
Goli la Dejan Kila siku naliangalia
simba tamu jamani
It's 🔥🔥🔥🔥🔥 Simba 💪 moja
Kwani wao wanasemaje huko anajua hyo ana baraaa hyooooooo
Mzungu angekosa na Hilo basi ningeomba yeye na sakho wakae benchi kidogo mechi Kama tatu hivi wajifunze. Beki ya kagera wamefanya makosa mengi washukuru kipa na bahati ya kutofungwa goli nyingi. Mdhungu naona anapenda mpira wa kukimbizana aangalie hii ni Africa atavujwa miguu... Mwenzake moloko hoi tayari....jamaa wanapita na zote. Ilikua game nzuri Sana kwa Simba
Hatujamalizaaaaaaaaaa
Tatizo wachezaji wetu tusiwe wabinafsi Yani mzungu anatoa pasi alafu anaiomba kwa mbele lakin unakuta jitu linakaa na mpira tu mguuni
SAHIHI KABISA...NIMEBOREKASANA NA HUU UPUMBAVU...MZUNGU NI MSTAARABU SANA NAANACHEZA SOKA LA DARASANI LA KUTOKAA NA MPIRA ILA MIJITU KAMA VILE HAITAKI ASHAINI VILE..HOVYO SANA
Uko sahihi kabisa ,ndio mpira wa kiafrika,Mzungu anagusa na kukimbia mbele,sisi mpira wetu ni show game ,mtu nataka kupiga chenga ambazo hazina faida
Hapo ndo huwa namkumbuka Luis ukiomba tu ishafika zamaani sana
Phiri🔥🔥🔥
Jmn leo wanakufa vibaya hawa😅😅
Mleteee mzunguuuu 😂😂😂😂😂😂 katufuta machozi leo
Mzunguuuuuuu
Nimekubali
Watangazaji wetu mna Mambo,,,,,,!!!
Kinacho wauma sio kufunga goli tatizo hiyo shangilia yake watakoma mbona
Nanyinyi wachezaji wa simba muwe mnampa pasi mzungu
sakho leo katunyima magoli mengi sana alikosa utulivu alikua anapiga piga tu
Ohoooo asante thimba
Simba tamuuu....!!
Simba
Wao mzunguuuuu
Nimecheka Dance ya mzungu wetu😂
Muzunguuuuuuuu uraya ni uraya 2
Hii mech ni tamu Sana Kama wachezaji wangetulia wangemchapa mtu wiki
Kabisaaaa
Hatujamalizaaaa
Mzungu yuko vizur ispokuwa asife moyo pila matunda liko pamoja nae.
Daah hili Gori balaa,yaan wachezaji wawili chali.
Hiyo pasi ya goli aliomba akanyimwa sema kipa alivyopach na ye hapo hapo akafanye yake uchoyo wa psi acheni Jamani timu yangu kuweni kitu kimoja
Hata mimi nineona
Wanamnyima ushirikiano tu mzungu
Hata kuna moja Sakho alikua ampe mzungu
Nimejukiza pale mwenda alikuwa anapaswa nani😆😆😆
Kagera sugar..
Wamecheza
Na simba kaitaba Bkoba utatoka salama
Unaifahamu vzur kagera nkiwa kaitaba
Triple c mr assist
Simba wako vizuri, kocha apewe nafasi arekebishe wachezaji wake naiona semi final ya cafcl. Hii ligi muhimu kushinda ila nusu ya ligi ya mabingwa ndo muhimu sana.
Hapa ndo tulipopoteza ligi
Jifunze hukmu za quran gusa picha yang mara 2 hapo kama hautojli
Nani anamkubali mzungu
Kanout kacheka leooo
Nihatariii pia nimeshangaaa
Mzungu umenifanya niongezeke kilo kwakweli kwa furaha
Naona nimeonekana na Jezi ya Lete mzungu..😊, Sakho ajifunze kitu
Umeonekana wewe au imeonekana jezi?
Mzungu atawalaza wengi sana endapo2 atapewa nafasi ya kucheza na akipewa ushirikiano na wenzake
Sakho, Isra Mwenda walikuwa wachoyo kwa nafasi ambazo kama wangetoa pasi kwa Dejan kungekuwa na magoli mengi
Mlete mdhunguuu...😂😂😂🦁🦁🦁
Okwa ni hatari,kocha hasimweke benchi
Unataka akae nani bench chama au
Djan nimchazaj sema tu bas
Mzungu kawaziba midomo wote
Duh! Simba ni matata
♥️♥️♥️♥️
Simba nguvu
Oyoooo
Kipa wa kagera yuko vizuri sana aongeze ushapu pia mabeki inabid kujua mapungufu ya kipa wao mipira ya kutemwa akilala aamki haraka
Aendelee kufanyia mazoezi
Credit kwa mtangazaji kafanya poa sana
Jamani mzungu arudi😂😂😂😂😂
Simba oyeeeeeeee
Uyu mzungu atauwa watu anaspidi atar
Mzungu hatarii
🔥🔥🔥
Mzungu apewe ulinzi
Mletee mzuguuuuuuu
Nimekuwa wa pili. Dejan ataua watu. Huyu jamaa mikimbio take ni mizuri mno. Sema wachezaji wakimjulia atafunga so chini ya magoli 10+
We nae mikimbio ukisema nipe maana yake
Sherehe ya ndimi video
Tulikuwa wabaguzi hakupewa pass zur alipewa za lawama
Sakho na chama vip mnakosa magoli ya wazi kabisa KWA nini mpjra unapokuja unganisha usianze kupiga chenga
I'm
Nilichokigundua watu weusi wanamnyima mzungu pasi hii itatugalimu Sana Kama wakiendelea nahuu ujinga mzungu anaomba hawampi pasi huu ni ushamba wakizamani Sana