Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
Safi kabisa mzee kazi hukosei kwenye kufafanua
Unaakili sanaaa❤❤❤❤❤🌺🌺🌺🌺🌺🌺
Huyu mwamba mi sina mashaka nae namkubali sana 🎉🎉🎉❤❤❤
Kak unajua sana ✌🏽
Point brother kam mm tu naixh leo bro 🙏🙏🙏
Tanzania tunge pata wachambunzi kama kumi tu kama hawa mpila wetu unge fika mbali Big up sana bro 🎉🎉🎉🎉❤❤❤
❤❤❤❤❤
Hii simba yangu ipeni mudaaaaa tuu natusubi muda ndounaongeaa
Kaka kwenye kulinda wachezaji kaka umeongea sana maana mmmh kunamijitu inafanya mambo ya jabu sana
Uko vizuri sana bro. Ushauri wangu siku moja moja uchambue kwa English brother kwa faida ya hawa wachezaji wa kigeni pamoja na kocha. Nina imani kuna faida kubwa sana kwenye uchambuzi wako.
Limeisha hilo Kaka Ung'eng'e
tena na tena
Pamoja sana kakaa
Friji bovu uko vizuri sana, Chama akikutana na timu mbovu ndipo anaonekana, akikutana na wanaojua boli na kasi ya SGR haonekani anapotea kabisa.
FRIJI BOVU upo vzr
Bila kukusikiliza MWAMBA Huwa naona sija enjoy uchambuzi uko vzur sana broo
🔥 🔥
Uko vizur isipokua uchambuz wako wakati mwingine unaegemea upande mmoja
HUYO MVP WENU HILO GOLI ALILOFUNGA MABEKI NDIO WAMEZINGUA WANAMKABA KWA MACHO.KHS CHAMA WEWE TULIA, CHAMA ANAUWEZO WA KUCHEZA MATCH YOYOTE BILA SHAKA.
Friji bovu bhana hauna unafiki, palipo ukweli unasema! Alafu haijalishi ni timu gani unaipa maua yake🎉🎉🎉.
Yaani tumepata furaha sana simba wameshaanza kupata moto, naamini yale tuliosema kuwa washabiki tutulie hata yerusalem haikujengwa siku moja.Tuwatie moyo watafanya makubwa.
Hla chamou ipo sku atakuja itajka hamza ajakutana na heavy so sidhan moja kwa moja ni bora
Awesu yupo safi sana ila aache urembo mwingi anapoteza muda
Awesu asicheze mpira wa urembo kwasasa tunataka matokeo awe anatoa mpira haraka kwenye njia, barua nae nimchoyo hatoi pasi wengene wafunge
Balua ana uchura chura
Kiukweli kaka unachambua mpila ila kuna wengine wanachambua matembele
🔥 🔥
Naitua Dade nipo nsumbiji kuanza niwachukuru azam kua kutpatia buludani mechi yaleoo speni wapenzani wajipange Simba nguvu moja Mozambique🇲🇿 🇲🇿 🇹🇿 🇹🇿 🎉🎉🎉😂
Ukiacha Hans na ambangile huyu jamaa namuelewa sana
Mnarekodi ndefu Sana. Fupisheni.
Sasa huyu mwandishi anauyanga ndani huyu Kila wakati anataka kuongelea yanga
Kaka wape bwana maaana duuu jezi kidogo tuogope kutembea nazo msimu uliopita kaka duuu maumivu sasa wengi watahama sana msim huuu
Kamsifia Kwakua ni mtanzania mbona juzi pia kamsifia fei kasema fei ni mtanzania kwaio kama alikua anajua atamhonga pesa kama Chama na manula viongozi wako makini
Nakumbuka maneno Yako broo Abdurazack ulimtaja mwanzo
Jembe liko sawa
Barikiwa sana firiji bovu siku zote wewe huwa haupindishi
🎉🎉
Biringita sarakasi na jezi Yako ya heshima kaka JVC ! Nimeipenda hiyo friji
😂😂😂
Asante kaka wambie
6:18 6:35 6:36
HAWEZI KUENDA UJERUMANI KWA NAMNA YOYOTE ILE WEWEKENI KUMBUKUMBU YANGU
🎉gud-gud wamba uchambuzi wa ovyo Sana kwakuwa ndio Ameajiriwa huyu kaka
Mzamiru anazingua, na kwanini okejepha anaazia bench
Usijaribu Sarakasi Friji Bovu, tunakupenda na kukuhitaji😅
😂
Ndomana tunasema matapishi ya Simba chakula kwa wengine
😂😂😂😂
Chama team ngumu hana uwezo wowote huo ndo ukwel,,yaan team red card mbili bas anasifiwa mtu jmn nchi ngumu hii😂😂😂😂
Mbona tumekaa kinyonge mjengoni wakuu
🎉
Uko vzr man nakukubali uchambuzi murwaa kabisa
hongela bwana friji bovu ukovizuli 😂😂😂
🔥
Huyo kamera man nampa🎉🎉🎉 yake broo , anajua kutega
🎉
Huyu 𝗝𝗮𝗺𝗮𝗮 𝗮𝗻𝗮𝗷𝘂𝗮
🔥
NA WEWE.MWANDISHI UNAMBISHIA FRIJI BOVU. YUPO SAHIHI SANA NA MUNGU NI MWEMA HAYO YATATIMIA KWA UWEZO WA.MOLA
🔥
Utopolo akuna kitu kabsa Yan mwaka wetu huu
😂
Ubaya ubwela
Kaka hivi ni ukweli kwamba Simba tuna maingizo mapya upande wa safu ya ushambuliaji au ni tetesi tu 😢
Ni tetesi tu Kaka
ateba yupo
Mukwala gari limewaka usipowe tena
Oya akuna unyonge apa wakologwa apa fraha tu
🔥
Hiii nisimba ww achauwiga
Waongo sana maana walisema wamealikwa kwenye ufunguzi wa caf champions league kitu ambacho hakipo ha ha ha haaaaa