EXCLUSIVE 3: KAJALA-" PAULA Walimsema Sana, Niliumia"/ Siwezi Kutaja Mafanikio
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 24 ก.ค. 2019
- EXCLUSIVE 3 KAJALA-" PAULA Walimsema Sana, Niliumia"/ Siwezi Kutaja Mafanikio
Msanii wa maigizo Kajala Masanja amesema kuwa watu walivyokuwa wakimsema mtoto wake pindi amefeli alijisikia vibaya sana..
"Na paula nae alikuwa katika wakati mgumu, lakini namshukuru Mungu alifanyiwa cancelling akawa sawa.."
#KAJALA
th-cam.com/users/playlist?list... www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: globalpublishers Instagram:
globalpublishers Twitter: GlobalHabari Install Global App: ANDROID: goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: goo.gl/2jDyho - บันเทิง
Nimependa sna majibu ya hu yiu kajala. Pamoja na watu kumsema sna binti yke. Amnaendelea kuwapuuza hana hata habari nao. Kitu kikubwa anaangalia tu maisha ya familia yke. Na ni jinsi gani amfanikishe binti yke ktk kumuendeleza kielimu.
Kajala nakupenda sana mpenzi 😍😘
nampenda kajala mpaka naumwa she is very simple and beautiful
Hey Cancelling ni Counseling !
Huyu nae hajui kuuliza maswali
Yaan uyu mtangazaji jmn sijui walimtoleaga wap tu....
Nampenda kajala sana sana
uyu mtangazaj yukoje jaman... na maswal yake😠
nakupenda sana sana kajala
Kajala jeshiiiiii💕🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Mnampondaa mtangazajii lkn maswali yanajibiwaa tyu na Kajala wetu
Saf 👌👏👏
Hata hivyo Dar ni joto uwezi kusuka au mawigi kila wakati
Dada kajala kaongea kama mm kasema hapungui ng'ooo
Yani watanzania ukweli hakuna kitu kinauma km MTU tena mwingine hata kizazi hana anatokea kumsema mtoto wa mwingine vibaya.Yani km mzazi imenikuta ukweli iliniuma.
Mwanamke unajuwa kuuliz maswal vzr
Sasa kwani maisha yenu hadi ya wanenu shulen lazima tuyajue jaman
eti ukikasirika u.aenda shooping hata kama huna hela huo ni uongo kama huna hela unanunua nini mnajidai mna pesa kumbe Holland
Jaman sio canceling ni counseling hio heading hapo mmbadilishe
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂 umenichekesha
I'm ze one Hongera Kajala Masanja !
Roja Kijana
@@liliantevelu9121 Wow ! Nice name LILIAN !
Mtangazaji hana vigezo vya utangazaji😂
Kapooza sana bhana
Jipe moyo mama haya niya dunia tu
Huyu mama ayui kuoji anatisha
Hii interview hata hainogi
Counselling ...hivi uandishi wa habari mmesoma wapi nyie???
😍😍😘😘
Uyu mtangazaji khaaaa🤣🤣🤣mwonekani F
😂😂😂😂😂😂😂
Wew ndy mjinga na mwanao maan mtt anajiachia atakavyoo sasa asipatee zero angepataa Z kabisaa😏😏😏😏
Hela mnazo ibia watu wa biko
wewe kajala umzur
Anaongea kama jay dee
Ongera kajala. Kuwa mwanamke mpambanaji mungu akubariki Sana.ila tupo wanawake wezenu huku mtaan ambao tunandoto kubwa lakin tumekosa saport kutoka kwenu hata yakutushika mkono kupata appointment na wanawake wezetu naminnikishikwa mkono kidogo tu lazima nifikie malengo.ukiguswa wasiliana na mi kwanumber 0653033705