UMEINGIAJE- Mkemwema choir (official video)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 23 มี.ค. 2018
- #mkemwema #gospelsongs #official #umeingiaje
Karibu usikie na kutazama wimbo UMEINGIAJE wenye kumsifu MUNGU na kukujenga kiroho kutoka kwao MKEMWEMA CHOIR.
KARIBU SANA TUMSIFU MUNGU
Usisahau ku LIKE, COMMENT na SUBSCRIBE
Phone No.:0624405955
Email:vijanachoirmkemwemakasulu@gmail.com
Subscribe ''Mkemwema choir' kutazama Video Zaidi: / amkemwemakwayakasulu
_________
Song: Umeingiaje?
Artists: Mkemwema choir, F.P.C.T Kasulu Mjini - Mkemwema choir
Video Album: UMEINGIAJE?
_________
►Tazama nyimbo nyingine kutoka katika Album ya Video ya UMEINGIAJE?👇🏽👇🏽
🔘Hapana ~ • HAPANA- Mkemwema Choir...
🔘Tutafute Kitambulisho ~ • Utafute kitambulisho -...
🔘Ingolane ~ • INGOLANE- Mkemwema cho...
🔘Sauti ya Watu ~ • sauti ya watu- Mkemwem...
🔘Maisha bila lengo ~ • Maisha bila lengo- Mke...
🔘Tukae tutafakari ~ • Tukae tutafakari- Mkem...
🔘Mwanamume ~ • Mwanaume - Mkemwema ch...
🔘Ni faida gani ~ • Ni faida gani- Mkemwem...
🔘Wewe ni Mungu wetu ~ • Wewe ni Mungu wetu Mke...
_________
►Tufikie kupitia Kurasa zetu za Kijamii
🔘Instagram ~ / mkemwemachoir
🔘Facebook ~ / mkemwemachoirtz
🔘Twitter ~ / mkemwemachoir
_________
►Mawasiliano Zaidi
📞 Simu: +255 755717519
📩 Barua Pepe: mkemwemachoir@gmail.com
_________
Haki zote zimehifadhiwa©2018. - เพลง
Mungu niwetu sote kwakila amwaminiaye
Mungu ni mungu
Barikiwa mno
Old is gold! Hii ni tamu sana
Mungu awabaliki
pia watu wa burundi tunaapongeza
❤❤❤❤❤❤❤
Ndakumbuye ipende kasulu jamani barikiwa sana muko juuu
Tubadilike tutoke kule tuwe twende kwake yesu amin kama umebadilika gonga like ubarikiwe amin
Mungu awabariki sana nawapenda mno wapendwa Wa yesu nyimbo zenu kwa kweli zinatubariki sana
God may bless you. You are very good in preaching the word of god through song.
Mnatisha BWANA YESU AWABARIKI SANA,
Amene Amene Amene
Magari yadaladala kwaya kasuru
Waooo mungu awabariki
Wanadamu tubadilike tuyafanye yale yampendezayo Mungu. Barikiwen kwa ujumbe mzuri
nawapenda sana waimbaji wazuli Mungu azidi kuwalinda na si Burundi tunawapenda sanaaaaa
Safi sana
mzehe lafa muambie eti watu wa Burundi tunawasikia sana na tunawapenda kabisa kwa nyimbo nzuli mulituimbia kila mala ila nyimbo za sasa hatuzione tupe ngoma mpia
Nawapenda Sana kila nickiapo nyimbo zenu nabarikiwa mno
Mungu awaonekanie
Hii nayo imezidiii
Awesome awesome so true said
Safi sanaaaaaa vijana kasulu
I miss you home because of good songs
Kwakweli waimbaji munatubaliki sana ktk nyimbo hii. Tunapaswa kubadilika. Warumi 6:6 na wagalatia 5:25.
shukurani sana
Hongeren sana Mungu atusaidie
Hii nyimbo haichoshi I'm still watching 2022 🙏🙏
Nawapenda mwaaaaa
Mubarikiwe Sana watumishi
Kabisa hata wanyama sikuhizi sio wabaya kama wanadamu 2020
wimbo huu unanikumbusha nilikuwa nyanyusi nilikuwanausikiliza nakosa usingizi hongeleni sana mbalikiwe
Jibuni Swali :: UMEINGIAJE?? 2021 June 10th sijapata jibu
Guys give us more songs of this Album plz. I love ur songs, Be blessed
Mbalikiwe wapendwa
Amina👏👏
Muhezagirwe cane
asanteni sana na nyi pia mbalikiwe sana
Nzur
I want their song that wewe nimungu wetu
Be blessed servants of God
❤❤❤❤❤2024
Asanten kwa kutubarki kwa huduma yenu
mke mwema wapo vizur sana
Kwaya iliyo wahi kunikuna vilivyo
🤖🤖🤖🤖
Tubadirike tusiingie kanisani na dhambi,,
naona wengine wameanza kidogo kidogo kujichumbia mawanja bakini njia kuu hayo mavipodozi ni ya kuzimu na lotion kali top lemon na kadhalika mnazijua huyo mama anayesolo alikuwa vizur naona ameanza kidogo.
Agripina nakupo zakwa kuwa kubusha huwa vipodozi siharari kwawatu wamugu wasipoteze zawadiwariyoyi pewa namugu wetu uedereye kuwakubusha
Kumbe unamfatilia ee
mko vizur ila sana ila hayo maadlil mliyo nayo myatunzea maana dunia inavuta mno kaa hivyo hivyo hayo matakata ya mawigi na manywele ya kishetanisiyafuate.
mpaka sasa inaonesha wameshaacha mapito yao ya zamani
Huyu anayeimbisha anawaharibia kujipodoa kuweni kama mlivyoanza hivyo ndivyo mtakuwa tofauti na hii duniaya leo
God may bless you. You are very good in preaching the word of god through song.
Tubadilike tutoke kule tuwe twende kwake yesu amin kama umebadilika gonga like ubarikiwe amin