Chanuo Part 2 - Chanuo, Madebe Lidai, Zaudia Shabani, Zakharia Jashi (Official Bongo Movie)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 3 ต.ค. 2024
- #africhaentertainment #africhamovies #africha
Chanuo - Full Movie Part 2 (Chanuo & Madebe Lidai)
Tamaza Chanuo Part 1 hapa: • Chanuo Part 1 - Chanuo...
CAST: Madebe Lidai, Zaudia Shabani, Zakharia Jashi, Hidaya Boli Ibrahim Mbwela, Coretha Mkemangwa
STORY/SCRIPT: Madebe Lidai
DIRECTOR: Madebe Lidai
PRODUCER: Madebe Lida
Subscribe to Africha Entertainment: bit.ly/AfichaSubs
The Best Of African Music: Kadogo Kamu: New Ugandan Music: New Zambian Music: New Rwanda Music: New Kenyan Music: New Taarab Music: New Gospel Music: New Tanzania Music: New Zanzibar Music: Kenya gospel music: Tanzania Gospel Music: Zambia Gospel Music: ugandan Music
Kwakwel japokua watu wengi wanakimbilia mkorogo ila watu weusi niwazur sana i love u black mwenzang😘
Ilaaaa uck paleee nliona machooo tuuuu😃😃😃😃
Huo ni uongo hawawezi kuwa wazuri ni kawaida sana tena sana limbukeni ndo umeona hivyo
Black is beautiful ❤
Jipeni moyo ila mwanamke hasaaa ni mweupe
Mjumbe kasoma hadi nucta jamani🤣🤣madebe hongera kaka hujawahi kuniangusha
Chanuo huna baya mama m hupenda movie zako kwa kujiamn mpenzi hongera❤❤❤❤❤❤❤❤
Madebe na chunvinyingi 😂😂😂😂haki nyinyi mpewe maua yenu❤❤❤❤❤
Mashaailah ongereni Sana washirii wore Kea kutupa. Mafunzo bora
Kitu nachokipenda kwa madebe,misemo baba anamisemo huyu jmn....
Napenda movie zako madebe'
Pole Sana mysala
Madebe mungu akupe maisha marefu uzidi kutuerimisha jamii iliyo potea
Madebe unanifanya nipende kuangalia move za kibogo tena za kwako Tu,hongera sana kwa kazi nzur
Da kwakwel unajitaid bt hata hatujajua ilikuwaje baaada ya apo
Ama kweli madebe mkali, tunga part three ya chanuo. Isiishie hapo tu bwanaaaaa
Ukweli nikwamba tangu kanumba afariki sijawai kuangalia move tofauti na. Move ya madebe tu
Ila anatesa wake zake na wwatoto zake abadilike
Mnaenda vzr san
Hakika hainishi hamu kuangalia movie za madebe Kwan zinagundisha mambo mazuri
Zinagundisha au sio
Tena madebe uko vizuli Sana tena Sana hizi ndiyo move zakuangalia sio kama move zawezetu za kimapenzi tuata sisimizi anajuwa jandomana! MUNGU Akubaliki Sana.
Ni elimu nzuri sana anayoitoa madebe ukiacha kiburudisho mungu akutie moyo uendelee kufundisha jamii kupitia sanaa yako
nimeielewa sana
Hongera bwana madebe
we fundi madebe
Nakubali sana madebe wewe Ninamba moja Tanzanie
Yani madebe hii movie umenibamba,
Movie ambazo naangalia za tz ni zako tuu,big up kaka
Fast one to comment,let US much together if you like chanuo # madebe lidai $ hiday boli
Nimekubali nnoma
Hongera madebe
Bonge la movie
Nimecheka mno madebe mungu anakuona kwakwel utapigwa mno
Nakubal
hii movie ni Kali,visa vyake vilivyo pangwa kama ndo inaisha kumbe bado.utamu kila hatua
Nakubali Nabii Mswahili. Mungu akuongezee umri upate kufundisha kwa maneno na vitendo.
madebe ww noma
Hongera sana Kaka kwa chakula unachotupa ili angaa mwenye sikio asikie na mwenye macho akaone.... Shukran sana
pole.sana.madebeee.pesa.itaendesha.mapenzi.ya.tamaa.na.hisis.itsendeshs.mapenzi.kweli
Sara Sospeter seen
Kazi safi
Au bwana fidodido unakibamiaaaah
Unajua kakaaaaa unastahik tuzo🏆🏆🏆🏆🏆🏆🏆🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️🎖️
Kali sanaaaaa
Nzuri
Nice
Mhh madebe unamuwezea chanuooo
Nakupenda apo tu madebe aunakaz mbovu
Duh
Noma saaana
Wanawake mwapenda pesa kuozesha mtoto asipopataka mwisho wake mauti,@ulevi nao haunasiri madebe anamwaga mchele sasa Haha umenichekesha etimwanaume rijali hanamtoto anatumiamani yakishogaa loo yani move za madebe kali sana hakunamwigizaji atamfikia madebe namesemo yake
Safi tu
Hongera kwa kazi nzuri madebe
njmekigwa na kijiji kizima kasoro wew daaah very finny
Tuache unafiki madebe umebadirisha upepo wa movie za kibongo natamani kukutana sana na ww na timu yako
Duh
Chanuo Nchakali napenda uhusika wako
Maisala 😍😍😍
Madeb n chanuo naipnd kaz yen nzur mnayoifanya
Kazi nzuri
madebe my best actor 💪
Waah. zamani tulikuwa tunafunua chupi ili tuone makalio, saii tunafunua makalio ili tuone chupi, jamani hii kali ya Madebe.
Much love from Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪❤❤❤❤❤😂😮😮
Hi
Marehemu kaacha orodha
Nakubali sana
Madebe. chanuo .nawapenda bure❤👏
Movie pambe
We noma❤
Kifo cha Kisonoko kimewaacha wanakijiji na alama ya kuuliza🤔🤔🤔🇰🇪
Hili ndilo funzo kwangu wenye Imani kwa Mungu Leo siku ya Raha na siku ya kilio wanakimbilia uchwawi kupata suluu
Unaombaje msamaha wakat. Na yeye anapakuliwa na maswa.... Et umenikosea sana mume wangu wakat unaenda usiku kupakuliwa mbwa kabisa
Ngoma droo ukichepuka nusu tunachepuka nzima
Nmeburudka lkn kikubwa zaid nmepata funzo ahsanteeh
Mashallah huyu jamaa noma
🤣🤣🤣marehemu kaachia watu songombingo🙈🙈
Haya alitaftwa mrithi wakanumba nahc kapatikana sasa
nakubali kamanda madebe🎉😢😮😅😊
Inaumiza sana 😢😢😢😢
hahaha jamani alikuwa anachungulia kwani tunafanya kwenye tenga😂🤣😂🤣
😂😂😂 yaani hapo TU ndo kicheko
Yani hapa mi sijaelewa kitu zaidi ya chabo tu
Zainabu Zainabu hahahahahaha
🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Mama ushauli
Nilikua nishaach kuangalia movie za kibongo nina miaka nand sauz ila kwa madebe nimeanza tena kwel we chizi msomi
Tunataka part three bhna inaishaje kizembe ivo? Tunaaka maisha baada ya kifo cha baby chanuo bonge la manzi
Nc🇧🇮🇧🇮💕
😂😂😂😂😂nimeelewa nn maana ya tenga hahaaaaa
Alikua anachungulia! Kwani sisi tunafanya kwenye Tenga😅😅😅😅😅
Anachungulia? kwani si tulikuwa tunafanya kwenye tenga!?😁 kama umesikia hyo gonga like!!
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Pendo Sana kisonoko ❤️❤️
Kamatupo pamoja gonga like
H
Wanaume msorizik
kanumba
Mm mpaka napagawa na movie zake
Kaka madeb unazingua muachie mkeo akant yake kingine lea watoto
Hahahaaaa,,,alikuwa anachungulia kwani sisi tunafanyia kwenye tenga
jamani imeishia patam
Anakaz ya kuwewesek t na kuwataj wachezaj wa ligi
Ur a good actor madebe may god bless u
Mzee Kambona amechafua Hali ya hewa kijiji kizima
well done,nice movie
Love 💕
Aysha 💖💝💞
Ase bro unafundisha san tena zaid ya sana tuko pamoja naww
Ulizalau daku kwa mdundo wa dufu#ha ha ha ha ha
Iyo ngoma moto🤣🤣🤣
Dumadebe umenifunda asatesana naisimunguamekutuma ongelasana
Kumbe
Haaaa
Zubeda unaria nini Baki njia kuu michopuko siodili
Pesa itaendesha penzi la tamaa na hisia zitaendesha penz la kweli
Unamaanisha nini
Mikorogo sio mizuri jaman lol