Allah atakufanyia wepesi in sha allah , kua na subra malipo hapa hapa duniani ikiwa anajiona jabari mbelen kidogo atalipwa wala usiwe na wasiwasi swali sana mshkuru mungu haki ya mtu siku zote hailiki
Pole sana chanuo weesimama kama mama pambania watt wako waume wote nawaitaga maumbwaaa 2 unavyoumia mie pia nilipitia hayo ila nimesimama kama mama napambn nia maisha yangu nayamtt wangu
Wanawake n visirani sn, asa wakipata mtu akiwapigilia msumari ndio huja kujitilisha huruma km ivi, ila kiukweli asa wanawake ndio wanaanza kisha cc tunamaliza, big up sn Madebe🎉
Hata km ni mwanamme mwenzio unausapoti ujingavkm anaoufanya madebe kumbuka wanawake ni mama zetu .imagine huyu dada ni ndugu yako wa dam ungefirahia ndugu yako apitie hayo.hujui ulitendalo kwa kweli. Na dunia itamfunza
@@hamidawamba nimeshakusamehe zamani sn ww endelea kutukana zaidi na zaidi na kamwe mm cwezi jibu tusi wala siumii coz huna tusi jipya utarudiaridia tu😃 ila mm nawafahamu wanawake kwa uzoefu wa kuishi nao lkn pia kwa kuwasoma , yan mwanamme acpokua na ustahimilivu wa hali ya juu anapoishi na mwanamke ndio hutokea hayo, coz wanawake n visirani sn...
@@MadamAsya2024England tatizo lenu n kuckiliza kesi upande mmoja n lazma ule upande mwingine utauona m'baya, ila ukwl huwezi kuujua coz hawezi kuuzungumza ukwl ulivyo hasa, hivi ww unadhani yy huyo Chanuo n mkamilifu hana mapungufu yake? Jeee amesema hata moja na yy alilowahi kumkosea mmewe? Ujue kwmb ukwl hasa bdo haujasemwa mpk pale atakapopewa mda na muhucka wa upande mwingine, yan usihukumu kwa kuckiliza upande mmoja...
Ukimsikiliza kwa makini bado anampenda lkn ameona bora amuache aende,inaonyesha pia amepambania sn penz lake lkn wapi co amekuja kwenye mtandao aongee apate ahueni kisha amuache aende anapopenda na yy apate kaz maisha yaende😭😭
Kunawakati muda ndio unaamua katika maisha kulio sio mwisho wa matatizo katika dunia kikubwa kumuomba mungu akufanyie wepesi katika maisha yako mtoto sio kifungo utalea siku zote watakuwa tu mungu ndio atawakuza kwakila hali Muomba mungu achoki Ila mwamba umefeli sana kumliza mwanamke kulia kote unafikilia atakaa anateseka siku zote kilakicholiwa kina stilika muombe msamaa mkeo na alidhie awe hulu na maisha yake yawew ya amani kutoa talaka na kupokea talaka ya kinyong amuna mpe uhulu andelee na yakwake
Huyo madebe mwambieni siku nikikutana nae atajuta kuzaliwa atageuka makopo siku hioo atafurahi na shoo pole saana chanuo mungu mbele yako inshallah biidhinillah
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤❤❤❤❤
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤
Chanuo pole my. Usilie kamahivyo! Utakufa uache watoto wako juu ya mwanaume filauni. Mungu akulinde. Wanawake klasiku mnaambiwa msijenge na wanaume. Madebe yamkojo, rudisha akauti yamwenzio kwajili yakupata riziki na watoto wenu sura mchemsho wewe🥺🥺
Jamani acha kulia unatuliza wengi unalia kwa hisia sana unaumia ipo siku utafurahi utasahau yaani hadi mtoto hajaingia shule unalia sana hadi mtua akiangalia unajikuta na wewe unalia pole Allaah atakupa mume mwema
Uwiiiiii yani pole unapita sehemu ngumu kama nilikopita miaka kumi ilopita but now GLORY TO GOD. yatapita dada japo siyo rahisi sana mwamini Mungu tuu.
Dada Pole sana Mungu awe no moja kwako muachilie msamehe anza maisha yako upya naamini Mungu amekupitisha hapo darasani usome ujifunze minazani wale watu wanaojifanya waelimisha jamii ndio wanaongoza kufanya uhalifu nakupotosha jamii chozi lako haliendi bure Mshukuru Mungu sana dada Mungu atakusaidia
Dada Ninakuelewa sana mm nimesha wahi kuishi na mwanaume kama huyo ninamuelewa sna Yani wanaume kama hao jaman wapo Yani mtu haamin mpka atokewe umesha nitokea hiyo na inauma sna 😭😭😭😭ila mm kusema ukweli wangu madebe anaonekana tu hayuko sawa kabsa sio mtu mzuli huyo kabsa inauma mapenzi yanauma san jamoni
Pole sana kwa changamoto kubwa za ndoa unazopitia. Nakuomba kwanzia sasa, jali na angalia sana watoto wako, jikite kutafuta pesa kwa ajili ya watoto wako, achana na kitu kinaitwa mapenzi, mapenzi yako elekeza kwa watoto wako. Inatosha.
Tazizo upande moja wa story uwa unafanya umuone mbaya sana yule anaezungumuziwa, tuleteeni na upande wa pili wa madebe ndo tujue machoz hayawezi kutufanya tumujaji madabe
Pole sana Dada,, ila anachosema Dida kuwa wanaume tumekuwa katili, ni kweli kama anavyosema ila wanawake wamekuwa kama wafanyabiashara wanapenda kitu kwa mwanaume ndio maana tunakuwa kama tunawakomesha hivi, ila kukomesha huku kwa madebe ni Too much...
Madebe kumbuka kama Kuna Mungu kutesa mkee na watoto wajifanya mzuri kuogeza kutaka sifa kwatu kwako kwaharibika Mungu atalipiya huyo mwanamke kwa chozi lake Allah atakufanyia wepesi dada
Kilio cha huyu dada kinaumiza yaani unamuonea huruma jamani pole sana Allaah atakupa mume mumeo na yote utasahau utakumbuka ukiwa unatabasamu pole sana
Bi. Chanuo wewe ni mwanamke mzuri insha Allah mwenye zi mungu atakupa Mume.
Pole sana kipenzi chanuo
Ni mrembo huyu Dada mashallah🎉Allah akufanyie wepesi
Yaani namwelewa Sana Huyu dada kwa ambaye hajawahi kupitiya hayo mshukuru mungu kun wanaume wapole mpk ukimwambia mtu haamni pol San dada😢😢
Kabisa tumepitia wengi hayo kwakwel cjui wanaume wa siku hizi wapoje
Allah atakufanyia wepesi in sha allah , kua na subra malipo hapa hapa duniani ikiwa anajiona jabari mbelen kidogo atalipwa wala usiwe na wasiwasi swali sana mshkuru mungu haki ya mtu siku zote hailiki
Jmn Chanuo usilie mungu anamakusudi na wewe hilo nalo litapita tu. Nilikua shabiki wa Madebee Lakini kwa hili ma Left Group
nimecheka kama mwehu wallah ht mm nimemchukia madebe
Kwann unahukumu kwa kusikiliza upande mmoja
DdDDS add a add add z as s
@@hamzarumela1784kula dole mateso yote hayo😢😢😢
Mungu/MUNGU sio mungu
Dada nakushauri Usiondoke kwenye nyumba komaa,Tafuta mtaji Tu Mungu atakujalia. Wewe ni jeshi Kubwaaaa.
Mimi wakwanza nimejitoa siangalii tena filamu zake Tena maana nilikua nikimpenda sana madebe ila kwa haya Mimi nawaomba wakenya wenzangu tumejitoa
Wakenya wenzako wapi mmejitoa nao, pumbavu zako ivo, jitoe pekee yako
Pole sana chanuo weesimama kama mama pambania watt wako waume wote nawaitaga maumbwaaa 2 unavyoumia mie pia nilipitia hayo ila nimesimama kama mama napambn nia maisha yangu nayamtt wangu
😭😭😭😭 pole Mwanamke mwenzangu
Wallah da dida huyu dada ameniliza 😢😢😢😢nimetoa machozi mpka nimehisi ni mimi .Mungu awatie nguvu wanawake wote wanaopitia kipindi kama hiki.
Hayo mambo yapo sana jomon omba yasikukute uyasikie tu 😢😢pole sana chanuo.
Wanawake n visirani sn, asa wakipata mtu akiwapigilia msumari ndio huja kujitilisha huruma km ivi, ila kiukweli asa wanawake ndio wanaanza kisha cc tunamaliza, big up sn Madebe🎉
E makubwa ko hao wanawake wote ndio wanashida ? Nisameh ila nakutukana wew ni mjinga
Hata km ni mwanamme mwenzio unausapoti ujingavkm anaoufanya madebe kumbuka wanawake ni mama zetu .imagine huyu dada ni ndugu yako wa dam ungefirahia ndugu yako apitie hayo.hujui ulitendalo kwa kweli. Na dunia itamfunza
@@hamidawamba nimeshakusamehe zamani sn ww endelea kutukana zaidi na zaidi na kamwe mm cwezi jibu tusi wala siumii coz huna tusi jipya utarudiaridia tu😃 ila mm nawafahamu wanawake kwa uzoefu wa kuishi nao lkn pia kwa kuwasoma , yan mwanamme acpokua na ustahimilivu wa hali ya juu anapoishi na mwanamke ndio hutokea hayo, coz wanawake n visirani sn...
@@MadamAsya2024England tatizo lenu n kuckiliza kesi upande mmoja n lazma ule upande mwingine utauona m'baya, ila ukwl huwezi kuujua coz hawezi kuuzungumza ukwl ulivyo hasa, hivi ww unadhani yy huyo Chanuo n mkamilifu hana mapungufu yake? Jeee amesema hata moja na yy alilowahi kumkosea mmewe? Ujue kwmb ukwl hasa bdo haujasemwa mpk pale atakapopewa mda na muhucka wa upande mwingine, yan usihukumu kwa kuckiliza upande mmoja...
Huyu kabila moja sio bure na ndo mibaba ya hovyo kama huyo madebe aan mijaume kero tupu kama wametoka kuzimu aan mtihan
Pole dada yangu wengi tunapita huko mungu akupe nguvu utashinda
Bado unampenda mumeo ila mmeshindwa kujuana vizuri mumeo ni penda penda mi natamani usilie Tena pambania maisha Yako mungu atakusimamia.
W chanuo ww mzuri Sana usilie
Pole Sana mungu anamuona
Mimi kuazia leo sitazami tena move zako madebe unamtesa mdogo wangu chanua
Mshenzi sana huyo kaka simpendi Tena ata movie zako hatutozifagilia
Pole sana chanuo inshallah mung atakufanyia wepes na hili litapta tu kwa uwezo Wa mung
Pole mama boss usilie kipenz mungu akupe subir kipenz
Pole sanaaa dada mungu akutie nguvu
Ila huyu dada anaonekana alimpenda sana mumewe maskini 😢
Alimpenda n anajua kuvumilia sana😢
Madebe ndo kaanza kufunguwa ukurasa 😂😂 lazima apendwe 😂😂
Ukimsikiliza kwa makini bado anampenda lkn ameona bora amuache aende,inaonyesha pia amepambania sn penz lake lkn wapi co amekuja kwenye mtandao aongee apate ahueni kisha amuache aende anapopenda na yy apate kaz maisha yaende😭😭
Ndio lazima nyie yalinitokea haya kwakwel inauma balaa
Naipenda movie yake kaanzaa na Mungu ibariki Tanzania maneno mazuri sana kumbe hivyooo ipo siku nae atapiga magoti
Dah kusema kweli nimeumia Sana mi nilikuwa napenda Sana kazi za madebe kuanzia Leo kazi zake Sina mda nazo
Kunawakati muda ndio unaamua katika maisha kulio sio mwisho wa matatizo katika dunia kikubwa kumuomba mungu akufanyie wepesi katika maisha yako mtoto sio kifungo utalea siku zote watakuwa tu mungu ndio atawakuza kwakila hali
Muomba mungu achoki
Ila mwamba umefeli sana kumliza mwanamke kulia kote unafikilia atakaa anateseka siku zote kilakicholiwa kina stilika muombe msamaa mkeo na alidhie awe hulu na maisha yake yawew ya amani kutoa talaka na kupokea talaka ya kinyong amuna mpe uhulu andelee na yakwake
Madebe hana tofauti na aliekua mwanaume wangu
Haaaaaaaaaaaaaaaàaà labda huna radhaa mwenzangu poleeeeee weeeeeeeeee
Kamambwaimbwaitu asante mtangamwenzangu kwakuwekawazi umefichua mamboyake bigpuusilie mungu yupo
Polesana chanuo niliyapitia hayoo lakini inshaallah utasimama mungu yupoo
Usijari. Dada. Yangu. Yote. Nichangamoto. Za maisha usirie. Pambana
Uxipo hajibika kama mke ujuwe kuna mke mwingine zaidi yako
Madebe lidai ❤
Jmn dida wallah nakupenda sana daaaahh...!!eti unajua mwisho wake kipindi chenu kinaraha
Ataoa mpaka Majini mwache, mungu akufanyie wepes
Huyo madebe mwambieni siku nikikutana nae atajuta kuzaliwa atageuka makopo siku hioo atafurahi na shoo pole saana chanuo mungu mbele yako inshallah biidhinillah
😂😂😂 kweli umechafukwa
😂😂😂😂😂
Madebe anapiga ngumi balaa,usijaribu kumgusa ukikutana naye😂
pole sana daaha yani nimeumia sana pole mdogo wangu mungu akutie nguvyu katika ichi kipindi ichi kingumu
Fungua akaount nyingn mungu atakusaidia
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤❤❤❤❤
Pole mpenzi jamani hadi nimelia
insha'Allah chozilako halianguki bule atakujakwamagoti Munguyupo mpenz polesana my dear angalia MaIsha pambana kwaajiliyawtt wako Mungu atakupa hitaji lamoyowako.
Subuhana llahu polesana mwanamkemwanzangu najuwa wakati unapitia najuwahayomaumivi unapitia nishawahi kuyapitia polesana allah akupe subra nanguvu
Haswa Mungu akupe uvumilivu na subra
Mim nipo zanzibr naomba asijiumize m kiukwer nimeumia san kwani maumivu unayptia niliteseka ila ss nimepona nipo singo nahtji mke km huyo aliepitia kipnd kigumu km m nampnd sn chanuo❤
Nimeumia sana mana yaliyo nikuta mimi naona nimitiani yakawaida ila wewe mmm Pole sana Chanuo
Chanuo pole my. Usilie kamahivyo! Utakufa uache watoto wako juu ya mwanaume filauni. Mungu akulinde. Wanawake klasiku mnaambiwa msijenge na wanaume. Madebe yamkojo, rudisha akauti yamwenzio kwajili yakupata riziki na watoto wenu sura mchemsho wewe🥺🥺
Jamani acha kulia unatuliza wengi unalia kwa hisia sana unaumia ipo siku utafurahi utasahau yaani hadi mtoto hajaingia shule unalia sana hadi mtua akiangalia unajikuta na wewe unalia pole Allaah atakupa mume mwema
Pole sana dada yetu daaaaah hadi watoto wake nifala Sana madebe sio mwana ume uyo bana
Chanuo ww dada mpambanaji na unakipaji sana kuwa n subra ukianguka usichoke kusimama mungu yupo
Pole mdada mzuri
Duuh atr nanusu madebe kumbe ww uko ivo pole sana chanuo
dah pole sana dada unastahili kupata mwanaume mwenye upendo na uelewa na uvumilivu juu ya ndoa. atajua siku ambayo umepata pumziko lako la moyo.
Uwiiiiii yani pole unapita sehemu ngumu kama nilikopita miaka kumi ilopita but now GLORY TO GOD. yatapita dada japo siyo rahisi sana mwamini Mungu tuu.
Asantee dada dida kwa ushauri wako
@mama ngwajima msaidiye chanuo🙏🙏
Huyo aloolewa dada dida nimdogo wangu namuonea huruma
Pole sana da chanuo ni changamoto za ndoa
Pole kipenz yan
Pole mungu atakujibu Pole sana
Dah nimeumia sana jmn wanaume, pole dada chanuo ayo ni mapito shetani yupo kazini ,Mungu atakufanyia wepes yatapita ayo yamda msilie ila shukulu
Ustawi wa jamii ipo kwa ajili ya kuwasaidia wanawake na watot wanaonyanyaswa, uyo madebe afkishwe ofis za ustawi. Polee san Chanuo
Kweli asiwape maneno yake mpaka wakamuona yy ni mkweli simwaamini
@@Zainab_salat ustaw wa jamii n sehem sahih ambay inaskliza pande zote mbil na kufany uchunguz wa kijamii kuthbitisha anayoyasem mdai na mlalamikiwa
Hata hili litapita kipenzi, pole sana
Mungu anisamehe madebe ni mbaya wasura ata aendani namrembo uyu,achana nalo limadebe kwenye nyumba usitoke rud kwenye kuigiza basiii
Mamy yote mitihani ya maisha na mungu haezi mpa mja wake mtihani asio uweza mamy Mungu yuko kilakitu kitakua sawa😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Pole san chanuo usilie jipe moyo utashind huwez jua mungu amekuepush namangp yanbelen esabu haikuwa lizk namwingne atakja zaid yake❤
Tupo weengiii...
Pole sana chanuo kipenzi chetu wanaume mda mwingine wanakera ila nakushauri t achana nae fanya maisha yako
Upo sahihi sana
Dada Pole sana Mungu awe no moja kwako muachilie msamehe anza maisha yako upya naamini Mungu amekupitisha hapo darasani usome ujifunze minazani wale watu wanaojifanya waelimisha jamii ndio wanaongoza kufanya uhalifu nakupotosha jamii chozi lako haliendi bure Mshukuru Mungu sana dada Mungu atakusaidia
Aaaa,! Chanuo ,huyu dada anahitaji mwanaume atakayempenda upendo wa dhati hadi asahau machungu, pole sana.
Pole sana dada yangu
Chanuo iyo mitiani tuuh mungu ata kupitisha inshaallah
Soo painful.... Pole my... Madebe roho mbaya kama sura yake
Pole sana ndio ulimwengu huo
Daaah ndoa madebe unadhambi Pole chanuo umepitia magumu sana
😢😢😢😢
Pole Dada yangu mungu akupe mume mzuri usilie siz ❤️ madebe
Mungu akufanyie wepesi babyyy inshalla 🥺🥺🥺😔🙌🏾
Pole sana dada nilikuwa mfusi wake sana lkn nimemtoa akili
Mungu atakupa mume mwema madebe kumbee ndio alivo looh
Pole sana kipenz
Pole mwaya chanuo kwakupokea nguo ya mtu alie uchi
Wakaka wapole 🙌🙌🙌🙌
Dada watu mzuri mwenyewe
Jamani pole sana ila atalipwa na mungu
Nauyo mke mpya atie maji kbs mwenzio kashanyorewa😮😮madebe jinga sana nasura yako ngumu
Dada
Ninakuelewa sana mm nimesha wahi kuishi na mwanaume kama huyo ninamuelewa sna Yani wanaume kama hao jaman wapo Yani mtu haamin mpka atokewe umesha nitokea hiyo na inauma sna 😭😭😭😭ila mm kusema ukweli wangu madebe anaonekana tu hayuko sawa kabsa sio mtu mzuli huyo kabsa inauma mapenzi yanauma san jamoni
Pole sana kwa changamoto kubwa za ndoa unazopitia.
Nakuomba kwanzia sasa, jali na angalia sana watoto wako, jikite kutafuta pesa kwa ajili ya watoto wako, achana na kitu kinaitwa mapenzi, mapenzi yako elekeza kwa watoto wako. Inatosha.
Kweli kabisa apende watoto wake huyo sio mwanaume
Pole sana ipo siku uraha yako itarejea tena na uyo madebe anajialibia jna lake
Tazizo upande moja wa story uwa unafanya umuone mbaya sana yule anaezungumuziwa, tuleteeni na upande wa pili wa madebe ndo tujue machoz hayawezi kutufanya tumujaji madabe
Chanuo usijar kila mtihani ni neema mungu amekuandalia neema kubwa mbele muombe mungu
Pole sana Dada,, ila anachosema Dida kuwa wanaume tumekuwa katili, ni kweli kama anavyosema ila wanawake wamekuwa kama wafanyabiashara wanapenda kitu kwa mwanaume ndio maana tunakuwa kama tunawakomesha hivi, ila kukomesha huku kwa madebe ni Too much...
Mungu akutie nguvu ukweli wanaume wenye tabia kama hizo wako wengi sana
Naba yachanuwo tumusadiye weye tuko kenya🇰🇪
Watatoa ndg zetu wakenya tunawapenda hii story inauma saaaana
She is so beutifuly changamka mabwana wapo wanaokutaka😂
Maisha yana changamoto sana.Mungu atuepushe
Jamni usiliye chanuo mwachiye mungu kwachozi lako atalilipia siku moja Madebe laana unayo kwamachozi yamkeo😢😢😢
Madebe kumbuka kama Kuna Mungu kutesa mkee na watoto wajifanya mzuri kuogeza kutaka sifa kwatu kwako kwaharibika Mungu atalipiya huyo mwanamke kwa chozi lake Allah atakufanyia wepesi dada
Nimelia kwawuchung😭😭😭😭allah akuekee wepes kwakila jambo
Dah nimelia kwa uchungu sana allah akujaalie subra na uvumilivu insha Allah 😢
Dah! Mm nimeumia sana jaman dada pole na mungu akutie nguvu na hiyo nyumba usiiachie pamban ili uishi na watoto kwa amani
Shanua pambana usilie wanaume wapo weng tu endeleza maisha yako achana nae
Sio shanuo ni chanuo😂😂😂😂 jamani
@@Zainab_salat 😂😂😂😂😂
@@kombokichwa815 umefurahi? 🤣🤣🤣🤣
Pole sana my mungu atakusaidia baadhi ya wanaume mungu anawaona😭😭
Kilio cha huyu dada kinaumiza yaani unamuonea huruma jamani pole sana Allaah atakupa mume mumeo na yote utasahau utakumbuka ukiwa unatabasamu pole sana
Hatari hataaariii🤭
Pole dada,Mungu akutete jaman
Pole dada inauma xana tuliza akili ucje ukashindwa kulea watoto,