Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu unanibariki sana na unakuza imani yangu kiroho nakupenda sana mkenya nafanya kazi saudia nko vizuri s na mungu n mwema kwangu
Mungu akubariki nashukuru sana mungu akubariki nina majukumu mazito nakini nnapokusikiliza nazidi kupambana na kunipa moyo wa imani na matumaini nmeweza kupinga kosa la wazee wetu eti tukaombe mizimu ili tusamehehe na mizimu nimegoma nmesema tuombe na kufunga ili mungu atutoe kwenye huu utumwa wa mazimu
barikiwa sana mchungaji neno lako limenibariki sana na kunibadilisha kua kiumbe kipya.na sasa funguo zangu nitazitumia ipasavyo.jina la mwenyezi mungu na lishukuriwe milele🙏🙏🙏barikiwa sana pastor🙏🙏🙏.big love,more blessings from KENYA🙏🙏🙏💞💞💞💞
Ndugu muchungaji David nakufuatilia sana kutoka hapa Marecani, lakini natamani tuongee sijui nitapata number ya simu yako namna gani?? Or email address yako tuu, ninayo mengi kimaisha yangu ya ndoa yawezekana unisaidiye, jina yangu mama Lilian, na number yangu ya simu. 0117197448378, tena email address yangu ni lilianwanito@gmail.com, tafathali uniite .ubarikiwe sana
Tuombe misuli zaidi ya kubeba changamoto tulizonazo katika maisha yetu. Tuombe Neema zaidi ili Mungu atupatie suhuhisho. Tunapoanza siku 10 za maombi Mungu akupe roho mtakatifu uendelee kuwa baraka kwetu Pastor.
Amen asante mchungaji wau umenifungua akili vilivyo maana huwa nalalamika nikipatwa na changamoto bali kwa sasa neema ya Yesu yanitosha kutumia changamoto ili nipate suluhu
Ni miezi minne imepita kila nikisikilizaa bado inalipa sana. Yaani kila nikichagua video naona ni ujumbe wangu kabisa kwa siku au saa hiyo. Mungu atukuzwe sana. Pastor Ubarikiwe. Mungu aendelee kukufunulia na uendelee kupata msuli wa kurusha kwenye Mahubiri Tv.
Asante sana Muchungaji kwa somo zuli Mbalikiwe sana. Naomba kuuliza: Swali langu ni hili : Ina maana wale watu bado wanapeleka maombi yao kwenye ule Ukuta Inchini Islaeli wako sahihi? Asante sana naamini Mtanipa mwanga kwa hili.
ILE NI IMANI YAO,HAWANA MAANA KUWA MUNGU YUKO KWENYE UKUTA,HAPANA,ILA ZILE KARATASI NI ISHARA TU YA KILE AMBACHO KIPO MOYONI!! ILA KAMA MTU NAPELEKA KWA IMANI KWAMBA MUNGU YUKO HAPO NA KUWA HAPO NDO MAOMBI YANAJIBIWA SIO SAHIHI MAANA MUNGU YUKO POTE WAKATI WOTE
Asante sana Pastor kwa masomo mazuri kabisaaa ubarikiwe. Lakini ninahitaji msaada sana nahitaji kuonana kama ni ofisini au popote unapopatikana. Mm nko Dar nasina ata idea unapatikana wapi please ni urgent matter
Hivi hawa watu wanao- dislike videos na hawatoi kipi kirekebishwe au hawaoneshi sababu ya ku- dislike .... Siwaelewagi kabisa....!!! Muwe mnatoa na maoni nini kirekebishwe
Barikiwe sana mtumishi wa Mungu aliye hai,nimepata kitu, from Sweden.
Hakika unafundisha kwa huakika ubarikiwe sanaaaaaa Mungu akupe hekima zaidi
Powerful message pastor be blessed🙏
Barikiwa sana mchungaji kwa mafundisho mazuri. Hakika Mungu anazidi kukutumia ipasavyo.
Mungu akubariki sana mtumishi wa mungu unanibariki sana na unakuza imani yangu kiroho nakupenda sana mkenya nafanya kazi saudia nko vizuri s na mungu n mwema kwangu
You have a wonderful massage my God bless you,from saudi arabia
pastor ur the best and God is using you in his own way🙏
Amen amen Mungu akubariki sana kwa somo zuri sana
Somo zuri sana nimebarikia mno, nimejifunza kitu kipya, thanks pastor from qatar
Asantee maana leo nimefurahi kweli masomo yananivusha haya siyo mchezo
Wonderful lesson,,, barikiwa Pr kila siku yako mpya!
Nabarikiwa sana na nimefurahi na haya mahubiri
Powerful message be blessed Pastor 💯🙏
Mchungaji Mungu akubariki,nmebarikiwa mno mnoo! Mungu akufikishe mbali
Amen ubarikiwe saana pst
,😂😂😂😂 past unanibariki sana baba Mungu akubariki Sana
Mungu akubariki nashukuru sana mungu akubariki nina majukumu mazito nakini nnapokusikiliza nazidi kupambana na kunipa moyo wa imani na matumaini nmeweza kupinga kosa la wazee wetu eti tukaombe mizimu ili tusamehehe na mizimu nimegoma nmesema tuombe na kufunga ili mungu atutoe kwenye huu utumwa wa mazimu
Barikiwa mtumishi wa Mungu
Nimebarikiwa sana na somo,,samahan mchungaji naomba mwendelezo wa somo hili tena
MUENDELEZO UNAKUJA
@@MahubiriPrMmbaga ntashukuru sana
I'm still learning day to day...) God bless you pastor 🙏..........🇹🇿
barikiwa sana mchungaji neno lako limenibariki sana na kunibadilisha kua kiumbe kipya.na sasa funguo zangu nitazitumia ipasavyo.jina la mwenyezi mungu na lishukuriwe milele🙏🙏🙏barikiwa sana pastor🙏🙏🙏.big love,more blessings from KENYA🙏🙏🙏💞💞💞💞
Thank you pastor for your teachings may God bless you and protect you in jesus nam🙏🙏🙏🙏🙏
Powerful message pastor be blessed
Ndugu muchungaji David nakufuatilia sana kutoka hapa Marecani, lakini natamani tuongee sijui nitapata number ya simu yako namna gani?? Or email address yako tuu, ninayo mengi kimaisha yangu ya ndoa yawezekana unisaidiye, jina yangu mama Lilian, na number yangu ya simu. 0117197448378, tena email address yangu ni lilianwanito@gmail.com, tafathali uniite .ubarikiwe sana
Mchungaji ila Kibwa ubarikiwe sana. Mungu aendelee kukutumia km chombo tu maneno yatoke Kwake 🙏
Be blessed Man of GOD
Asante baba maana mwenyewe napitia ayo kila nikitaka kufanikiwa naludi nyuma lkn Mungu wa mbinguni naamini atasimama na mimi sitokata tamaa
Asante Kwa neno mtumishi wa mungu
Tuombe misuli zaidi ya kubeba changamoto tulizonazo katika maisha yetu. Tuombe Neema zaidi ili Mungu atupatie suhuhisho.
Tunapoanza siku 10 za maombi Mungu akupe roho mtakatifu uendelee kuwa baraka kwetu Pastor.
Barikiwa mchungaji kwa mahubiri mazuri..nimekuelewa Mungu atusaidie kwakweli
Ubarikiwe pastor!
Ameen haki mungu akubariki sana mtumishi wa mungu
Wonderful massage Amen❤❤
Unanivusha Sana ,,najifunzaga kufundisha neno la Mungu kupitia wewe mtumishi
Asante pr!Nakukubali sana matatizo ni fursa kubwa sana.Ufupi wa Zakayo ulimwezesha kukaa na Yesu meza moja baada ya kupanda kwenye mkuyu
Naamini hili somo limetupamwanga watu wengi ahimidiwe mungu kutufunulia kupitia wew barikiwa Sana mchungaji
Wonderful!be blessed pastor
Asante sana mch.Nazidi kubarikiwa na mafundisho haya mazuri.
Nmebarikiwa sn mpaka usingiz umekata...God bless u dad
God bless you
Amen asante mchungaji wau umenifungua akili vilivyo maana huwa nalalamika nikipatwa na changamoto bali kwa sasa neema ya Yesu yanitosha kutumia changamoto ili nipate suluhu
Asante pastor
7juu😀😀 napenda sana mahubiri yako
Ni miezi minne imepita kila nikisikilizaa bado inalipa sana. Yaani kila nikichagua video naona ni ujumbe wangu kabisa kwa siku au saa hiyo. Mungu atukuzwe sana. Pastor Ubarikiwe. Mungu aendelee kukufunulia na uendelee kupata msuli wa kurusha kwenye Mahubiri Tv.
AMEN MUNGU akubarik
Amina mtumishi ninakuelew sana
Baba Mungu umeniona
Barikiwa xaana mchungaji
Amina ubarikiwe sana maubiri ya leo yamenifariji pia ninazidi kujifuza
Amina mch, amenipa matumaini, ubarikiwe sana
Amen Amen Amen...asante kwa mafunzo na pia hukutukatia maombi
Hapo pa funguo za Daudi na Yesu nimeelewa Leo sikuwahi jua. Kila somo natoa kitu kipya.. Barikiwa sana 🙏🙏
Tunakupenda baba
be blessed a hundred times paster
amen, powerful indeed, God bless you man of God
Mungu akulinde sana mchungaji
Asante kwa somo la Leo.
Amina nimebarikiwa sana
Asante kwa some zuru PR. Mungu akubariki
Amen 🙏🙏
MUNGU atusaidie sana AMEN
Ubariliwe Mtumishi
AMINA 🙏😎.
Ubarikiwe sana pst
Paster .mmbaga nakuelewa sana jumbe zako najfnza mengi kutoka kwako
Nakwelewa sana pastor
Nimebarikiwa sana
nice mungu akubariki
Mungu akubariki pastor mbaga kwa ujumbe mzito
🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾🙏🏾
SAWA mchungaji wangu.
Be blessed
Asante mungu
Amem
We we ni mtumishi uliyebarikiwa sana !!
Asante sana Muchungaji kwa somo zuli Mbalikiwe sana. Naomba kuuliza: Swali langu ni hili : Ina maana wale watu bado wanapeleka maombi yao kwenye ule Ukuta Inchini Islaeli wako sahihi? Asante sana naamini Mtanipa mwanga kwa hili.
ILE NI IMANI YAO,HAWANA MAANA KUWA MUNGU YUKO KWENYE UKUTA,HAPANA,ILA ZILE KARATASI NI ISHARA TU YA KILE AMBACHO KIPO MOYONI!! ILA KAMA MTU NAPELEKA KWA IMANI KWAMBA MUNGU YUKO HAPO NA KUWA HAPO NDO MAOMBI YANAJIBIWA SIO SAHIHI MAANA MUNGU YUKO POTE WAKATI WOTE
Asntee kwa jibu zuri
Thanks
Aminaaaa
Amen
AMEN
AMEN nime pokea
Kwa kweli muchungaji una tufariji sana kwenye matatizo yetu.
Amina!
Naomba ROHO WA BWANA awe mwalimu wangu MILELE nikisoma bibilia niwe napata ufunuo wake, SIO tu kusoma bibilia kama story book
Amina
Asante sana Pastor kwa masomo mazuri kabisaaa ubarikiwe. Lakini ninahitaji msaada sana nahitaji kuonana kama ni ofisini au popote unapopatikana. Mm nko Dar nasina ata idea unapatikana wapi please ni urgent matter
Anapatikana dodoma ni mchungaji wa mtaa pale dododma mjini
I mean Dodoma mjini
@@zilpahamza8489 asante sana ubarikiwe.
Barikiwa pr
Mchugaji naomba uniombee nimekua nachagamoto nimekua kira wakati wakitakakuomba kanisani nimekua nikipiga miyayo sana nahiri tatizo rinamyaka sasa
Sifa nashukulani igwe kwako mtumishi wamungu mbarikiwa sana Amina amina
sifa na shukulani ziwe za nani? lekebisha hapo mpendwa
NADHANI ULIMAANISHA SIFA NA SHUKRANI VIWE KWA MUNGU WETU AMINA! Maana Pr. Mmbaga ni chombo tu mikononi mwa Mungu
anina
Mimi huwa nina sema biblia ni zaidi ya saclopidia
Hivi hawa watu wanao- dislike videos na hawatoi kipi kirekebishwe au hawaoneshi sababu ya ku- dislike .... Siwaelewagi kabisa....!!! Muwe mnatoa na maoni nini kirekebishwe
Mchungaji hemu nisaidie kuitambua biology na chemistry kwenye Bible
Ameen
Be blessed Man of GOD
Amen
Amina
Amen