KAYUMBA-CHUNGA (OFFICIAL VIDEO)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 25 ต.ค. 2024
- #KAYUMBA #CHUNGA
Chunga Directed By Super talented Director Majagi
Audio Produced By Famous Producer Mafia
For booking:
kayumba.jtz@gmail.com
+255673201286
Connect with Kayumba on :
Instagram:
/ kayumbaasosie
Boomplay:
www.boomplay.c...
Ambao. Wanasema vipaji ndo hivi. Tupia like yako twende sw 👍💪
❤❤❤
Nani anarudia hii ngoma kama mim kama upo gonga like twende sawa
Sorry tuko mbele pamoja kama pua
Sijui nilini utanifanya nisikuelewe siku zote #Kayumba huna kiki huna habari za kishamba Ila unapenye kwa wale wenye kiki na wanabaki kusikiliza nyimbo zako gongaa like nawewe kama unakubali tumsuport mwana💪💪
An mie namkubali mpaka naumwa jaman
Okaka hongela sana nimependa mashailiyote mungu akutie nguvu kaka
So sweeter 🎉🎉🎉❤❤❤❤
hii ni product ya Bongo star search,, from Kenya 🇰🇪 we love you, adi leo 2024
Kayumba Kenya twakupenda sana🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪 wapi likes tz+ ke
Bahuuey ka
Sana tu
Iko poa sn hiiii wimbo lv kanumba
Nzuri
Yani watu wanaroho mbaaayaa duu wimbo mzuri mtu kabonyeza dole CHINI🤣 hamtatoboa kwa wivu Wala hamuwezi kumshusha ....nyie hamgawi riziki ...uko vizuri Sana kayumba
L pop Palapa Poppy PPA l1234
1234
Good 👍
Wewe ndo mwenye Roho Chafu Umejuwa aje kama Watu Wana wivu kuhusu kayumba??😂😂
Good song
Kayumba you are not pregnant but you deliver, much love from Kenya ❣️❣️🥰🥰
Mhhh muziki natazama peke yangu mpaka Leo kama we mshabiki wa kayumba nipe like apa👍👍👍
Tunaondelea kusikiliza huu wimbo 2023 tujuane😘❤️
Mm mpaka 2024
Mm nshabki wa kayumba naombeni like zenu 🔥🔥👌
Ngoma kali iyo kabisa nakama unamkubali kayumba acha like yako hapo
Safi Sana bandika banduwa nakubari ngma jiwe hiro
jamanii mimi nimechelewa naombeni like zenu ndugu zangu
Kama wewe ni shabiki wa kayumba nipe like zako twende kazi
Keep watching,keep sharing #Testimony by yours truly💕❣️ Ambassador paul
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Don't forget to subscribe to my TH-cam channel for more information.
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Your support is highly appreciated
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Nakuaminia kayumba bgp imenibamba
Ila ninashida sana kwa mda mlefu
Appreciated ngoma kali
Oiii mamb aj me ni shabiki wa kayumba naomba saport
Nyimbo za huyu dogo nikama ubuyu wa babu issa unamung'unya huku unasinzia kwa raha
Ila kwel
Ahsante kwa ubuyu wa babu isa
Nakubali walio kwenye shida flan hivi unazisahau kwa mda kwa uhakika
Kama umekubali hii ngoma kali gonga LIKE
mmmh
TANZANIA NYOKO WANAOJUA SANA NDO HAWAPO KABISA TRENDINGDUUUUU
Uchawi upo asee
Yan Hadi me nashaanga kwa hilo asee
Tatizo matimu timu yakisenge ndo yanakosti,hivi marioona huyu mwamba unawezamshindanisha na konde au cjui lavalava aumboso,Hawa wakina kayumba na marioo Ni nyoko wanajua mpaka kufuru,yaani unaaikiliza mziki mtamu kinoma,tatizomatimu yao yanaharibu mziki mzuri
Daah!! Kayumba unanifanya nirudie rudie kuitazama hii ngoma!! Una tenzi flani hivi za kiutu uzima!! Keep it up!!!
Keep watching,keep sharing #Testimony by yours truly💕❣️ Ambassador paul
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Don't forget to subscribe to my TH-cam channel for more information.
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Your support is highly appreciated
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Jama nilimpenda tangu BSS hadi leo
Kumbe ww kama mm yan hata sikumbuki nimerudia mara ngap
Vp
Mamb ayo
Kama weww unalenda ngoma za kayumba bofya like bas inatosha 😂😂😂😂
Ebwana mnavyoziachia huu mwezi tutakoma
😂😂😂😂
🥰🥰🥰
Umeona
Ninoma
Ngoma tamu sana hata kama unamawazo yanapungua kabisa
Nachoamini kayumba anaimba kuliko kina sijui ibra ,,lavalava ana sauti fulani hivii amazing
...kwel kabsa ila cjui anakwam wap
Dah kayumbaeeeee umenikumbueha mengi ndugu yangu Asante mwana natamani tuonane2 hii Kali mkal wang
❤️❤️🥰
Huyu dogo anasauti nzuri na kali sana.
Mameno anayatamka yanatamkika hakuna matusi wala nini.
Dogo ni mkali sana
Kila ni kiwa na stress na sikiya Ihi song 🎧 tu 😢💔🥶👿
Ngoma kali gonga like twende sawa 🔥🔥
Kayumba msenge wewe, unajua kunilia mb zangu!! Nyimbo kalii utadhani uliahidiwa Corolla!!!
Hhhahahahaha lov
Daaaaaah.......🔥🔥🔥🔥🖒 Shabiki Damuu wa Kayumba kama kayumba utasoma hii Nakukubali sanaaa Rafki yanguu 🔥🔥🔥🔥🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿
We kayumba ni balaa
You re my favorite kayumba l luv yr songs very much yani dogo nakubali na nakwaminia tu Sana yn. Kilawakati afatilia nyimbozako zinanipa amani Sana moyoni biggup kayuba may God bless yr work luv you
Haaaa
Pamoja kayumba
Kayumba baba lao
Bonge moja la hit kwakwel daaaah kayumba unajua sana ww jamaaa huuu wimbo nimerudia kuanglia mara 7 aisee nan tupo pamoja kurudia rudia kuanglia hili bonge moja la hit from dogo kayumba hatar.....
Nimeisubiri sanaa hii ngomaa mwanangu 🙏🙏support Yangu n kubwa mnoo kwako Keep moving my brother
2023 is here and this song is still a hit
Strong King Kayumba
Japo nawasha moto,,, chunga chunga.
Usichochee makaa like kwa kayumba
Vizur sana
💯💯💯💯 big up Sana Kayumba
Hiu ndio Bongo fleva jaman kwa wale msio jua ...nyie endekezeni vya kuiga tu wacha sisi tukomae na bongo yetu
Kweri buana miziki mingine imebaki ya kuiga
Wazi
KAYUMBA, yani ungejua jisi ninavyo upenda wimbo huu basi tu..... Yani naurudia rudia Every single time.!!!!!!! Much love from USA 🇺🇸🤝 from 🇨🇩to 🇺🇬 to 🇺🇸
Keep watching,keep sharing #Testimony by yours truly💕❣️ Ambassador paul
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Don't forget to subscribe to my TH-cam channel for more information.
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Your support is highly appreciated
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
9mm8⁸98
Nimerudi tena kuitazama leo 1/2/2024 wangapi tujuane Kayumba anajua hadi anakera
Please gonga hata kumi🇨🇩🇨🇩🇨🇩💪💪💪💪💪
Bonge la hit
Vraiment il est fort ce type
Keep watching,keep sharing #Testimony by yours truly💕❣️ Ambassador paul
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Don't forget to subscribe to my TH-cam channel for more information.
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Your support is highly appreciated
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Nakukubali mbaya
Jiunge wasafi ujulikane ukovizuri
Nyimbokariiiii kama unamkubali kayumba gonga like
Shabik wakwel jamaa anajua haipingwi iyoo 🔥🔥🔥
Hao wanaowekaga dislike,wako timamu kweli..?..ngoma kali $ana kaka Kayumba..unaupeo mkubwa $ana wa kutunga ma$hairi yanayoeleweka🙏🙏
Nakukubali sana jembe langu kayumba, mziki unautendea haki balaa.,big up sana.
Dah nyimbo kali sana
@@felistatarimo7570 kweli kabisa 100%
Kudadeki kuna watu wanajua, hiki ndo tulikimiss muda mrefu!!
My favourite artist,nimeweka hii ngoma babake akaniongezea spika🔥🔥🔥
Nimechelewa musani wangu ninayemu penda sana 🥰🥰🥰🇨🇩🇨🇩 nikawaida kukosana shikiya bintu biakayumba
My best artist forever....who else like dopsy middy
Weuwe💥💥💥
Nimesubiri saana Mkuu...
Kitu moto..
+254 Dogo wako Slimmer The Kenyankid
Jamaa kakaa vizuri sana big up bro I support you, all the way from DRC tuko pamoja
Ngoma kali sn, kwanini huwi on top na unajua sn we jamaa
Bron mungu aku zidichiye kipazi chako 🎉🎉 naku kubali🎉🎉
Kayumba hiyo ngoma ni Kali Sana hongera mdogo wangu .
kayumba nakupenda
Duh bonge la ngomaaaaaaa
Sana'a tuuu
I swear Tanzanians ur talented can't stop listening to ur musics ,,,,,,more love from KENYA
❤️❤️❤️🇹🇿🇰🇪
Well spoken dear
Thank you our neighbour👍
King kayumba genious song🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿☝️🙏
Keep watching,keep sharing #Testimony by yours truly💕❣️ Ambassador paul
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Don't forget to subscribe to my TH-cam channel for more information.
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Your support is highly appreciated
th-cam.com/video/k3bd4S3SU4k/w-d-xo.html
Kayumba brother Ngoma yako ii kali sana, mara ya tano narudia.🎉
Daah kayumba touching song
Ngoma ni kali Sana watu jigunze Kucomment
I love the song
Namkubal kinyamaa mshkaji❤
Honestly kila nikiangalia hii nyimbo natokwa chozi 😭😭 nikishangaa kipaji na uwezo wa kayumba juma
Nakukubali sana kayumba yaan nyimbo nazipenda mno❤❤
Kayumba wewe ni G.O.A.T greatest of all time ❤️
Jamani katika wasani wot wa Tanzania nampenda sana kayumba nyimbo zake mung akusimamie uwe marufu ndunia zima
Some serious talent here....awesome vocals and lines. Love it
Nairobi Kenya.
We unaimba. Nayumba kiukweli ata daimond akupati ata chembe sijui tatizo nini.
One of underrated artists but you are the best!! Nice song.
I knooooow
Lovely love it so much
I love it dear❤️❤️❤️🇰🇪🇰🇪 keep the fire burning 🔥🔥🔥🔥
How i came to know you Sijui! But i must say i loooove your music my guy. My new bae in town... #tilalila tamu #CHUNGA kali zaidi.... Go go go my guy.
I play the song mara 5 kwa show yangu
0% Drugs
0%Dirty photos
100% Talent
Good song,good vibe🔥🔥Hii ngoma nliona katika status ya mtu nikasema mpaka nitafute full,nimekua fan wa Kayumba rasmi kuanzia leo🤝🤝🔥🔥unaenda far broo🔥🔥
Kumb tuko wengi
Yeah👊
Jamaa anauwezo mkubwa saaaan🦓
Me pia nimeikuta status asee
Kayumba nizaid ya WSB sjui mond sjui Nan hapa ndo moto🔥🔥🔥🔥🔥like kama unakubal
Naombeni likes zenyu mi mgeni hapa ila ngoma moto ajabu
No ma sana
Kali sana🤗💥💥💥
Sweetheart Mteule use to play this music for me...husbae nitakutunzia madhaifu yako🥰😍🥰😍🥰🥰feel much loved wherever u r....
Pamoja hu wimbo unaujumbe wakutosha kwa kina dada na kaka wote
One of the best underrated artist.. Love from 254
Asante kwa hili bonge la burudani bro👊👊👊🙌
I'm very proud of you ndungu I'm from Uganda currently working with Alfalah Security services Abu Dhabi UAE but I supported from round one in Bongo starsearch and I have been wanting to see your fruits thanks so much the sky is no longer your limit
Good song i like it keep it up the good work may the almighty bless you
Been vibing this for a century. 1M legit listening. This song is so soulful. Thanks, Kayumba & Mafia for this masterpiece
Kayumba is very consistent in his melody, his identity. Bravo
Jamani ninavyo ipenda hii wimbo ni mungu tu ndo anajuwa 🔥🔥❤️❤️🙌🦋💪
Kijana yuko vizuri
Ngoma kali Sana nakukubali 🔥🔥
Kwaivyo ndoumeamua kuniliza😭😭 nyimbo inapigia rohoni
One of my favourites from Tanzania ❤❤.. much love from Malawi🇲🇼
How is malawi😊
Nakupenda Sana kayumba
th-cam.com/video/sqznSi2Ae-U/w-d-xo.html
Kijana iko vizuri🔥 ipo siku atatusua kama akina mbosso yaa keep working hard Kayumba. Unaweza kuni follow pia #BasitaMedia
Huyu jamaa anajua ila kwasasa nahis mario kamzibia pengo😊
Kama umeukubali wimbo huu gonga
Like twende sawa mashabiki wa kayumba mpooooo????
Siku zote napenda nyimbo zake
This song is so sweet my girlfriend can't stop singing on repeat
This guy is so talented because he sing very good let's support him all
The most underrated Bongo flavour artist,such a good voice
I know right
@@clemencemali8378 wwwwwwwwewwe
@@clemencemali8378 wwwwwwwwwwwwww
Najaribu kufikiria sababu ni nini na nakosa
mbona unawasha Moto🔥🔥🔥🔥🔥
🧱🔥🔥🔥🔥nawasha moto kwa kusubiri like za KAYUMBA,unaweza sana
Mwenzako mi muungwana
Kama we muungwan Kama Mimi twende sawa hapa
Huu ndo wimbo ambao nimeutazama mara nyingi sana TH-cam...Dah huwa unagusa penyewe mzee...ila one day utakaanon toooooop....Nakuamini kuliko wanaoishi on trend....#Kayumba the great.
Kayumb napend Sana nyimbo zako nawe pia nakupenda sana❤❤❤❤❤❤
I am always joyous when I see Tanzanians still can afford to give us good music ,we are too old for those club bangers
Hilo Ni Baraka kutoka Kwa baba God pure talent I say congratulations my brother 🎉🎉🎉🎉🎉🎉ngoma Tamu asali❤
I am from Papua Indonesia, and am very happy to hear this song, and I ask you to make this song in the form of Reggae music version. Thank you 🙏 success always ️ God bless
Awesome
Kaka wew noma sana sema bc Tu.
Mad bro you're di besssssst ,,,,Bongo music leader please Tanzanian I'm from Senegal but Kayumba meaning in my native language always shining is the best of the best....... Enjoying day and night
Aise uuu wimbo hauna expire 2023 unaonekana mpya mtamu baraaa kayumba naomba nyingine kama iiii dogo🙏🙏🙏🙏🙏
Why anajuwa kuhimba ivi😩😍🤞✅
Wimbo ikiisha nani uyo anaimba kaa dangote 😅
Gonga like za kutosha km unamkubari kayumba