Kilimo cha Maharage KINATAJIRISHA BALAA !! Uhakika wa MILLION 5 Kila Baada ya Miezi Minne

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 5 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น •

  • @antipasjohn62
    @antipasjohn62 10 หลายเดือนก่อน

    I love it

  • @tumainikandaga2997
    @tumainikandaga2997 9 หลายเดือนก่อน

    Ahsante sana kwa elimu.
    Maharage aina gani hayo ya kuvuna gunia 20 mpaka 30?
    Ni mkoa gani apo na wilaya?
    Shukrani

  • @msamgunda7684
    @msamgunda7684 10 หลายเดือนก่อน

    Habar.jee,maharage yanaweza kustawi vzur mkowa wa pwani?

  • @hassansalimmntjjggk9403
    @hassansalimmntjjggk9403 9 หลายเดือนก่อน +2

    Muache uwongo hata upande mbegu za mawe upati gunia hata 10

  • @juniormahenge8845
    @juniormahenge8845 10 หลายเดือนก่อน

    Naomba kufundishwa kuhusu kilimo Cha maharage

    • @RubabaTv
      @RubabaTv  10 หลายเดือนก่อน

      Wasiliana nasi 0764 148 221

  • @eunicecharles8378
    @eunicecharles8378 10 หลายเดือนก่อน

    Mna group la whatsapp?

  • @rehemahramadhani3428
    @rehemahramadhani3428 11 หลายเดือนก่อน

    mkoa gan na heka ngapi hizo

  • @lwitikomwambogela4276
    @lwitikomwambogela4276 7 หลายเดือนก่อน

    Hapo kwenye kipato sio kweli. Kwa ekari ukijitahidi ni gunia 8 mpaka 10 hizo 20 mpaka 30 ni kipato cha hekta 1 ambayo no sawa na ekari 2.5

    • @SamwelMisungwi
      @SamwelMisungwi 4 หลายเดือนก่อน +1

      Zao hili linauzwa kulinga na bei ya soko ni kama mahindi

    • @SamwelMisungwi
      @SamwelMisungwi 4 หลายเดือนก่อน

      Zao hili linauzwa kulinga na bei ya soko ni kama mahindi

    • @SamwelMisungwi
      @SamwelMisungwi 4 หลายเดือนก่อน

      Zao hili linauzwa kulinga na bei ya soko ni kama mahindi