KILIMO CHA PARACHICHI, HASS AVOCADO, AINA NA MIKOA AMBAYO UTAWEZA KULIMA ZAO HILI KIBIASHARA, MAVUNO

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 13 ต.ค. 2024

ความคิดเห็น • 48

  • @davisnitu890
    @davisnitu890 2 หลายเดือนก่อน

    Sawa bwana Mpanzi nimekuelewa sana ndugu yako wa seedco hapa

  • @winfridakipesha8214
    @winfridakipesha8214 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nashukuru kwa somo zuri, nimejifunza kitu hapo 🙏

  • @gracekawiche
    @gracekawiche 8 หลายเดือนก่อน +1

    Asante sana kwa darasa zuri naomba mawasiliano ni kilimo tija

  • @erickmgongolwa8505
    @erickmgongolwa8505 5 หลายเดือนก่อน +2

    Nina experience ndogo ya avocado for busness, ukitaka kulima kwa biashara tafuta maeneo kimo 1500 from sea level, alafu yawe yenye mvua za kutosha, hutapata shida kuhudumia. chini ya 1000m, ww lima kwajiri ya chakula chaco tu. ukifika Arusha ukaangalia hass inavobeba, alafu ufike dodoma uangalie unaelewa kwamba dodoma umeforce,

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  5 หลายเดือนก่อน +1

      Asante kwa Mchango wako, Karibu

    • @Salumchiwili2023
      @Salumchiwili2023 3 หลายเดือนก่อน

      Mimi nawaza kuanza kilimo hicho handeni tanga ila bado sijafanya utafiti mana nipo nje ya nchi sijui unaweza kunishauri nini hapo kiongozi

  • @lamama.
    @lamama. 4 หลายเดือนก่อน +1

    mi natoka Songea, mwinuko 1060m. vipi unadhani avocado inaweza kukuballi vizuri kama ntazingatia mahitaji mengine kwa usahihi.

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  4 หลายเดือนก่อน

      Ndio unaweza kulima vizuri tu! Karibu 0715 866 027

    • @lamama.
      @lamama. 3 หลายเดือนก่อน

      @@KilimoProTanzania ahsante ntawatafuta

  • @mercyMahenge-sp2yj
    @mercyMahenge-sp2yj 8 หลายเดือนก่อน

    Asante kwa elimu. Naomba mawasiliano yako, nahitaji kuwekeza katika hii industry

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  8 หลายเดือนก่อน

      Karibu sana 0715 866 027

    • @suaside7021
      @suaside7021 8 หลายเดือนก่อน

      Mbona hujaizungumzia songea kwani huko parachichi haifanyi

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  8 หลายเดือนก่อน

      @@suaside7021 Mkoa wa Ruvuma pia unaweza kulima parachichi na ukapata matokeo bora, ni moja ya mikoa mikuu ambayo unaweza kulima! Karibu

    • @Shadack360
      @Shadack360 16 วันที่ผ่านมา

      Naomba what's up number

  • @isaacmwaipopo
    @isaacmwaipopo 8 หลายเดือนก่อน +1

    Broo upo vizuri sana. Unajua kuelezea sana. Mungu akubariki. Ntakuchek kwenye namba yako kwa ushauri zaidi.

  • @JosephMbuya-c3z
    @JosephMbuya-c3z 8 หลายเดือนก่อน +1

    Nimependa sana mafunzo

  • @daudhenry6212
    @daudhenry6212 8 หลายเดือนก่อน +1

    👏 👏 👏 👏 👏

  • @masachihorticultureunitcol711
    @masachihorticultureunitcol711 2 หลายเดือนก่อน

    Tarime je

  • @siasia5469
    @siasia5469 3 หลายเดือนก่อน

    ASANTE SANA.
    UMETOA SOMO ZURI SANA
    MUNGU 🤲AKUBARIKI & AZIDI KUKUPA NGUVU YA ELIMU KILIMO TUKIPENDE.
    UMENIGUSA SANA NA NITAKUTAFUTA TUFANYEKAZI PA1🌹👊

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  3 หลายเดือนก่อน

      Asante Karibu sana! Endelea kufuatilia vipindi vyetu

  • @PaulEddy-bi3fi
    @PaulEddy-bi3fi 5 หลายเดือนก่อน +2

    Natafuta soko la kuuza parachichi naomba connection, nipo Iringa, wiliya ya Mufindi

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  5 หลายเดือนก่อน +1

      Wasiliana Nasi 0715 866 027

    • @AZAM_MEDIA
      @AZAM_MEDIA 4 หลายเดือนก่อน

      ​@@KilimoProTanzaniaKwa Iringa aina Gani ni Bora Zaid?

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  4 หลายเดือนก่อน

      @@AZAM_MEDIA Hass Avocado

    • @witnescholela1156
      @witnescholela1156 4 หลายเดือนก่อน

      Naweza pata namba yako

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  4 หลายเดือนก่อน

      @@witnescholela1156 0715 866 027

  • @saimonwantango9569
    @saimonwantango9569 6 หลายเดือนก่อน +2

    Mkuu nimeingia you tube mara kibao kufatilia kilimo cha ovacado ila sikupata jibu, niko wilaya ya kibiti kilomita 2 kutoka baharini,je naweza kulima na mimi ovakado ama sio sahihi kwa kilimo hicho?

    • @bavonwatson7360
      @bavonwatson7360 5 หลายเดือนก่อน +2

      Inawezekana ndugu, Mimi Niko Masoko karibu na Kyela Kuna joto pia lakini nimepanda avocado na navuna kwa sasa kama uko what's app nitakutumia picha kwa ushahidi zaidi

    • @JohnsonFcnco
      @JohnsonFcnco 4 หลายเดือนก่อน

      Unauzaje hizo kaka kama nahitaji za biashara

    • @kainimkini2073
      @kainimkini2073 3 หลายเดือนก่อน

      Njoo Iringa

    • @JohnsonFcnco
      @JohnsonFcnco 3 หลายเดือนก่อน

      Iringaa sehem gani Kuna parachichi nzuriii !!

  • @stevenelisha14
    @stevenelisha14 6 หลายเดือนก่อน +1

    Kwa Kanda ya ziwa ipi mbegu bola yakulima

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  6 หลายเดือนก่อน

      Hass Avocado! Inapatikana kwetu, Karibu 0715 866 027

  • @yasirabdalla1430
    @yasirabdalla1430 9 หลายเดือนก่อน

    tatizo huoneshi picha

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  9 หลายเดือนก่อน

      Karibu, picha gani unazotaka zionyeshwe?

    • @ahmadnyamwelu5597
      @ahmadnyamwelu5597 3 หลายเดือนก่อน

      Umetisha kijana wangu

    • @ahz6907
      @ahz6907 18 วันที่ผ่านมา

      ​@@KilimoProTanzaniani vizuri inapotajwa aina ya parachichi inawekwa na picha yake au mwalimu anashika sample kuonyesha...ni muhimu sana.

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  18 วันที่ผ่านมา

      @@yasirabdalla1430 Sio parachichi zote zilizotajwa zinalimwa Tanzania, ndio maana unazoziona ndio zilizopo!

    • @KilimoProTanzania
      @KilimoProTanzania  18 วันที่ผ่านมา

      @@ahz6907 Zingine hazipo hapa Tanzania