Maswali kwa Kajala.. Amesemaje kuhusu hii ya Wema? cha mwisho kilichomliza? Pishu?

แชร์
ฝัง
  • เผยแพร่เมื่อ 3 ก.พ. 2025

ความคิดเห็น • 65

  • @jedan0920
    @jedan0920 9 ปีที่แล้ว +1

    Millard Ayo, you have a very unique and beautiful voice. Quite beautiful to listen to. LOVE IT!

  • @erickepimack9417
    @erickepimack9417 9 ปีที่แล้ว

    ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima

  • @khalsasalim7692
    @khalsasalim7692 9 ปีที่แล้ว +1

    Napenda sana neno lako la mtu wangu wa nguvu na mm mtu wako wa nguvu niko oman big up sana👍

  • @kingin5461
    @kingin5461 9 ปีที่แล้ว

    Ebwanaa.. ***** tisha Sana'a Mzee.. Nakuelewa MTU wangu.. Mungu akuongoze katika kazi zako amiin.

  • @dorapatric9176
    @dorapatric9176 6 ปีที่แล้ว +2

    wewe Dada nakupendaaa jomon😍😍😍

  • @imanifado1554
    @imanifado1554 9 ปีที่แล้ว

    Kanzi nzuri kaka IMillard! Unanipatiya inspiration kabisa! Big salute from Russia, but i'm congolese.

  • @magdalenemuna684
    @magdalenemuna684 9 ปีที่แล้ว

    Safi sana mtu wangu wa nguvu,mungu akuzidishie mafanikio katika kazi yako,,,watchin u from mombasa kenya,,,

  • @benvicent5200
    @benvicent5200 9 ปีที่แล้ว

    safiiii sana natanan niobe iyo mov

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 7 ปีที่แล้ว +1

    MashaAllah nice interview

  • @deowilliam5658
    @deowilliam5658 9 ปีที่แล้ว

    Mambo VP millardy we ninoma zaidi ya noma big up

  • @Omushonga
    @Omushonga 9 ปีที่แล้ว

    Millard hii fupi sana.Ndefu ihusike.
    Kazi nzuri bro👏👏👏👏

  • @denisnyererenicesarah3919
    @denisnyererenicesarah3919 6 ปีที่แล้ว +2

    Kajala Masanja ni msukuma uyoo!

  • @athanacandrew3906
    @athanacandrew3906 9 ปีที่แล้ว

    Daaaaaaaaaaaaahhhhhhhh shida kwel Kajali ni shida anaweza xan

  • @ashuraatanas5967
    @ashuraatanas5967 8 ปีที่แล้ว

    Millard ayo in namba 1 nakukubali sana

  • @olivajusto9092
    @olivajusto9092 9 ปีที่แล้ว

    hongera sana mtuwangu wa nguvu nakupenda sasa kaka.. oliva niko mbeya!!

    • @winebernad3908
      @winebernad3908 9 ปีที่แล้ว

      Safi sana kajala kwa kumpa moyo wema huo ndo ubinadam hongera mtu wangu wa Nguvu kwa habar nzur

  • @jacklineheriel1437
    @jacklineheriel1437 9 ปีที่แล้ว

    ur inspiration millard

  • @cheupegmailcomHhcheupe
    @cheupegmailcomHhcheupe 9 ปีที่แล้ว

    Tafadhali sana mtu wangu hiyo ni fupi sana.all the way from kenya nairobi city.by the way uko poa sana keep it up.

  • @kivukivuyo604
    @kivukivuyo604 9 ปีที่แล้ว

    Namkubali na nampenda sana ma sister kajala coz kwanza anaongea vizuri pia mara nyingi nikimwangalia anaongea ukweli kama anaongopea ni mara chache.

  • @kivukivuyo604
    @kivukivuyo604 9 ปีที่แล้ว

    nakubali sana kazi zako mtu wangu wa nguvu millardayo
    upo vizuri sana broo.
    Ongeza tu bidii kazi zako zipo poa sana sana big up broo.

  • @Katabwa
    @Katabwa 9 ปีที่แล้ว +2

    Myamwezi na Msukuma ni yule yule bana... History..

  • @mkwavi
    @mkwavi 9 ปีที่แล้ว

    Nice work brother
    Picha nzuri sauti ina sikika kwa uzuri una stahili pongezi hard work ina lipa

  • @neemaclement112
    @neemaclement112 9 ปีที่แล้ว

    Kazi nzuri man

  • @مريمعلي-و8س
    @مريمعلي-و8س 6 ปีที่แล้ว

    Nice kajala

  • @waboMedia
    @waboMedia 9 ปีที่แล้ว

    Nakusikiliza sana mtu wangu kutoka QUÉBEC

  • @peterjohn8745
    @peterjohn8745 5 ปีที่แล้ว +1

    Wasukuma wazuri

  • @mariamjimmy1412
    @mariamjimmy1412 9 ปีที่แล้ว

    Your so cool Ayo and try to be more creative appreciate you sana salut

  • @mnyasaharuna5911
    @mnyasaharuna5911 9 ปีที่แล้ว

    Nice

  • @thebest7278
    @thebest7278 8 ปีที่แล้ว

    waga ukosei nice bro

  • @khayrahawaahmedwaahmed8494
    @khayrahawaahmedwaahmed8494 6 ปีที่แล้ว

    nice

  • @itongwamtebwa7255
    @itongwamtebwa7255 4 ปีที่แล้ว

    Tumesha miss Interview zako Millard

  • @benithatebuka4509
    @benithatebuka4509 9 ปีที่แล้ว +1

    Millard video zako ni nzuri ila fupi mno 😩😭. Jaribu kuongeza muda angalau kidogo. Otherwise napenda sana kazi yako. Nakuona ukikuwa kila siku katika fani hii. Keep it up

  • @ahmadzubeir9113
    @ahmadzubeir9113 6 ปีที่แล้ว

    Ikiwa anahangaika kimatibabu ili aweze kupata uja uzito,dawa zipo wala asiwe na khofu na tayari nimeshawasaidia watu wengi na watoto wao wengine wanasoma shule ambapo wazazi wao walikaa sana mpaka kukata tamaa

  • @aviwaomar439
    @aviwaomar439 4 ปีที่แล้ว

    Mnyamwezi huyooo shombe shombeee

  • @dateededdy5833
    @dateededdy5833 9 ปีที่แล้ว +1

    Tunashkur sana mtu wetu wa nguvu kwa kutupa vtu vya nguvu Mungu akuweke uzd kutuhabrsha yanayojir ulimwengun na ufankiwe kwa kila kzr ukifanyacho *****

    • @dateededdy5833
      @dateededdy5833 9 ปีที่แล้ว

      Tupo pamoja #mr_countdown *****​

  • @castorylalika425
    @castorylalika425 9 ปีที่แล้ว

    Kaka yani nakukubali sana mpaka haaipiti siku bila kuingia kwenye blog yako cz kila kitu kinapatikana humo.

  • @jescaramadhani2038
    @jescaramadhani2038 8 ปีที่แล้ว

    nc

  • @eunicedavid8533
    @eunicedavid8533 9 ปีที่แล้ว

    waaa

  • @ramadhansemen7567
    @ramadhansemen7567 9 ปีที่แล้ว

    Congrats brodaa
    Mungu azidishe hiz nguvu

  • @paulinaluanda9894
    @paulinaluanda9894 9 ปีที่แล้ว

    nakukubal sana mtu wangu wa nguvu

  • @denisnyererenicesarah3919
    @denisnyererenicesarah3919 6 ปีที่แล้ว +2

    we nimsukuma wasukuma ndo wanamajina ya kajala na Masanja yakisukuma ww hujui kabila lako VP wewe

  • @muhkil
    @muhkil 9 ปีที่แล้ว +2

    @millard huyu dada sio mkweli.

  • @marrymchiro3979
    @marrymchiro3979 6 ปีที่แล้ว

    Hata mm siwezagi kuongea

  • @ghaipaulinho4736
    @ghaipaulinho4736 6 ปีที่แล้ว

    huyu katoto ni hodari

  • @raymeeasan7482
    @raymeeasan7482 6 ปีที่แล้ว

    Msukumaaa😄😄😄😄

  • @francepeter7080
    @francepeter7080 9 ปีที่แล้ว +1

    Fanya mpango kuna hiyo background ya beat isiwe juu sana@Millard

  • @myvalavakhofficial143
    @myvalavakhofficial143 7 ปีที่แล้ว +1

    Jaman et wasan hawajui makabila yao "towelagi ubukwer dunh mwoyoyomba"hahahhhhh

  • @anetikapami4228
    @anetikapami4228 7 ปีที่แล้ว

    Eti haujui kabila lako acha kujishaua kwamba hujui kabila lako. Watu wa zenga Tabora huko ni wanyamwezi.

  • @anitakapinga7532
    @anitakapinga7532 9 ปีที่แล้ว

    Kajala uko mnafiki hatanjisi unavyoongeya
    Vinakufanana achakujifanya mzuri
    Najapokuwa roho yako nichafu sivizuri

  • @johncosta2181
    @johncosta2181 9 ปีที่แล้ว

    Pmj bro

  • @kitotheboss3121
    @kitotheboss3121 9 ปีที่แล้ว

    Unatisha sn mtu wangu wa nguvu

  • @siapascal7344
    @siapascal7344 9 ปีที่แล้ว

    Okay

    • @aliali189
      @aliali189 8 ปีที่แล้ว

      +Millard Ayo thanx ayo kwa mikono yako

  • @martinlucas7875
    @martinlucas7875 9 ปีที่แล้ว

    Kaka Nipo Africa kucn Ila huwa nakusikiliza na kukufuatilia kila siku kupitia tune in pita mitandaon,,,,,,wewe ni mfano wa kuigwa mkuu

  • @gervassmbwambo6652
    @gervassmbwambo6652 9 ปีที่แล้ว

    mbona ipo nusu kaka

  • @doramaricel1564
    @doramaricel1564 7 ปีที่แล้ว

    wasanii bhana? eti hawjuag makabila yao dahhh

    • @anetikapami4228
      @anetikapami4228 7 ปีที่แล้ว

      Dora Maricel, Waongo hawa wasanii, kazi kujishaua tu

  • @zeyanaomar2566
    @zeyanaomar2566 9 ปีที่แล้ว

    kajala

  • @ahmadzubeir9113
    @ahmadzubeir9113 6 ปีที่แล้ว

    Wema naweza kumsaidia kupata ujauzito kwa dawa za miti(tiba ya kisunna).Anaweza kunitafuta kwa no. 0715299278/0772299278,,,Zanzibar

  • @johnanaely166
    @johnanaely166 6 ปีที่แล้ว

    huyu dada amenichafua etiajui kabila lake inaonyesha ajiamini nimuigizaji siomkweli

  • @erickepimack9417
    @erickepimack9417 9 ปีที่แล้ว

    ongela sana millard ayo watu wanajaribu bt wewe ni noma sana coz picha nzuri sauti iko powa bigup bro mungu akufikishe mbali.... ERICK mwanza pande za sahara mtaa maarufu mwanza nzima