P-Funk Majani: Ni kweli nilimtesa Kajala, siwezi kumtungia tena mwanamke wimbo (Chill na Sky Part 3)
ฝัง
- เผยแพร่เมื่อ 26 พ.ค. 2017
- P-Funk Majani anasimulia jinsi ambavyo aliwahi kumtesa mpenzi wa zamani Kajala, anaelezea jinsi alivyomsaliti na rafiki yake na kumtungia wimbo I'm Sorry. Anasimulia kuhusu familia yake na jinsi ambavyo alishindwa kutumia muda mwingi na watoto wake wakubwa. Anaelezea pia jinsi ambavyo amebadilika sana ukilinganisha na jinsi alivyokuwa zamani.
Chill na Sky ni kipindi cha redio cha saa nzima ambacho huruka kila siku za Jumamosi kupitia www.dizzimonline.com. Kinaendeshwa na Fredrick Bundala aka Skywalker. Download app yetu Playstore na Appstore ili usipitwe na vipindi vyetu.
_________________________________________________
Tufollow kwenye mitandao ya kijamii:
Instagram: / dizzimonline
Twitter: / dizzimonline
Facebook: / dizzimonline - บันเทิง
Pfunk tunaomba uturudishie mziki wetu wa zaman sasa pruducer fake, mc fake yan hakuna feeling kabisa km umeliona hili gonga like hapa..
Nimemuelewa majani anafanya kazi kubwa kuna watu wanaamchukulia poa kumbukeni kila mtu ana maono yake kwenye huu ulimwengu big up to majani long forever legend
ONE AND ONLY PRODUCER IN TZ EVER
Ukiwa na akili utamuelewa xn huyu jamaa namuelewaa xn huyu bro
P. Funky, umekomaa kwa kweli. Unaweza saidia wengi kwa ushauri.
I like the way he talks
Ushamzimikia ww
p. funk nakukubali sanaaa aisee
Ningependa kama majani angetoa kitabu cha maisha yake huku akihusisha na historian au chanzo cha bongo fleva kwani yeye ndiye GODFATHER wa huu muziki wetu
True that
Kabisa
Ndo produced number one tz
It's good to be close to God brother.. #ProudlyStaunchCatholic
big brain
Baba la baba
mtoto wako mkubwa mashallaha
Kheee eti ndo naangalia leo.🤣
Tuko wote ambao ndo tunaona mwka huu
Na mm pia
Tupo wengi🤣🤣🤣
Neema VP
Huwa namkubal san majn wa bong rekod kuliko produza yeyote bongo kaza broo ww ndio king of bong flave wasanii bora wote wametok kwako
Bongolo🤣🤣🤣🤣
Good nice
Mi nshawahi kusikiaga izo stories, alikua anapiga wasanii makwenzi, anatukana , anawafukuza studios, ila alivyojibu ilo swali nimemuelewa
Kweri sana
Anaonekana msitaarabu sana huyu kaka
Weee paula anafanana na babake jamani
Watching in 2023.
kweli tumeshakua watu wazima
Hizi ndo interview za kuangalia
p1
masikini ana try kutokutukana ila unasikia Wata f 😢 I knw ni ramadan pia 😂😂😂😂 mie naona ramadan isogezwe iwe miez 2 angalau tusaidie wenye zambi nyingi kama sisi
Kitone Kantasha1 😂😂😂daah
Kitone Kantasha1
Wapare
Majani kama mzungu jamani kaa!
Chotara huyo, Tz & Dutch
Babaake ni mzungu kabisa
Baba muolanzi mama tz. Njombe
🇹🇿🇹🇿🇹🇿✌👍
mzee unachana povu
Niko
maswali ya maana huulizi....sasa kwa nini ujamuuliza watoto hao mapacha wako wapi na kwa nini hawajulikani
Nassor Said unataka swali gani mfano
Sema tu p nilikuwa nashughulika tupo kuwa tu aishi mikocheni B du jamaa alikuwa mtata sana kweli alikuwa anamtesa kasema uwazi ila Sasa Kawa mtu Zima